< Hesabu 30 >

1 Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
Et il dit aux princes des tribus des enfants d’Israël: Voici la parole qu’a ordonnée le Seigneur:
2 Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
Si un homme a voué un vœu au Seigneur, ou s’est lié par serment, il ne rendra point vaine sa parole, mais il effectuera tout ce qu’il a promis.
3 Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
Si une femme a voué quelque chose et s’est liée par serment, et qu’elle soit dans la maison de son père, et encore dans le jeune âge; si le père connaît le vœu qu’elle a fait, et le serment par lequel elle a lié son âme et qu’il garde le silence, elle est obligée à son vœu;
4 na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
Tout ce qu’elle a promis et juré, elle le mettra à effet;
5 Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
Mais, si, dès qu’il l’apprend, son père proteste contre, et ses vœux et ses serments seront nuls, et elle ne sera point obligée à tenir son engagement, parce que son père a protesté contre.
6 Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
Si elle a un mari, et qu’elle ait voué quelque chose, et qu’une parole une fois sortie de sa bouche ait obligé son âme par serment,
7 Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
Et que dans le jour où son mari l’a appris, il n’ait pas protesté contre, elle sera obligée à son vœu, et elle effectuera tout ce qu’elle a promis;
8 Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
Mais, si l’apprenant, le mari proteste contre aussitôt, et rend ainsi nulles ses promesses, et les paroles par lesquelles elle a lié son âme, le Seigneur lui sera propice.
9 Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
Une veuve et une répudiée effectueront tout ce qu’elles ont voué.
10 Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
Lorsqu’une femme dans la maison de son mari s’est liée par vœu ou par serment,
11 na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
Si son mari l’apprend, et qu’il garde le silence, et ne proteste pas contre son engagement, elle effectuera tout ce qu’elle a promis;
12 Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
Mais si sur-le-champ il proteste contre, elle ne sera pas obligée à tenir sa promesse, parce que son mari a protesté contre; et le Seigneur lui sera propice.
13 Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
Si elle a fait un vœu, et si elle s’est obligée par serment à affliger son âme par le jeûne, ou par l’abstinence de toute sorte de choses, il dépendra de son mari qu’elle le fasse ou ne le fasse pas;
14 Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
Que, si l’apprenant, son mari garde le silence, et diffère jusqu’au lendemain à dire son sentiment, tout ce qu’elle a voué et promis, elle l’effectuera, parce que dès qu’il l’a appris, il a gardé le silence;
15 Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
Mais s’il a protesté contre, après qu’il est venu à le savoir, il portera lui-même l’iniquité de sa femme.
16 Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.
Telles sont les lois que le Seigneur a établies par Moïse entre le mari et la femme, entre le père et la fille, qui est encore dans le jeune âge, ou qui demeure dans la maison de son père.

< Hesabu 30 >