< Hesabu 30 >

1 Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
and to speak: speak Moses to(wards) head: leader [the] tribe to/for son: descendant/people Israel to/for to say this [the] word which to command LORD
2 Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
man for to vow vow to/for LORD or to swear oath to/for to bind injunction upon soul: myself his not to profane/begin: profane word his like/as all [the] to come out: speak from lip his to make: do
3 Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
and woman for to vow vow to/for LORD and to bind injunction in/on/with house: household father her in/on/with youth her
4 na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
and to hear: hear father her [obj] vow her and injunction her which to bind upon soul: myself her and be quiet to/for her father her and to arise: establish all vow her and all injunction which to bind upon soul: myself her to arise: establish
5 Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
and if to forbid father her [obj] her in/on/with day to hear: hear he all vow her and injunction her which to bind upon soul: myself her not to arise: establish and LORD to forgive to/for her for to forbid father her [obj] her
6 Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
and if to be to be to/for man: husband and vow her upon her or rash word lips her which to bind upon soul: myself her
7 Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
and to hear: hear man: husband her in/on/with day to hear: hear he and be quiet to/for her and to arise: establish vow her and injunction her which to bind upon soul: myself her to arise: establish
8 Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
and if in/on/with day to hear: hear man: husband her to forbid [obj] her and to break [obj] vow her which upon her and [obj] rash word lips her which to bind upon soul: myself her and LORD to forgive to/for her
9 Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
and vow widow and to drive out: divorce all which to bind upon soul: myself her to arise: establish upon her
10 Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
and if house: household man: husband her to vow or to bind injunction upon soul: myself her in/on/with oath
11 na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
and to hear: hear man: husband her and be quiet to/for her not to forbid [obj] her and to arise: establish all vow her and all injunction which to bind upon soul: myself her to arise: establish
12 Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
and if to break to break [obj] them man: husband her in/on/with day to hear: hear he all exit lips her to/for vow her and to/for injunction soul: myself her not to arise: establish man: husband her to break them and LORD to forgive to/for her
13 Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
all vow and all oath injunction to/for to afflict soul: myself man: husband her to arise: establish him and man: husband her to break him
14 Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
and if be quiet be quiet to/for her man: husband her from day to(wards) day and to arise: establish [obj] all vow her or [obj] all injunction her which upon her to arise: establish [obj] them for be quiet to/for her in/on/with day to hear: hear he
15 Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
and if to break to break [obj] them after to hear: hear he and to lift: guilt [obj] iniquity: crime her
16 Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.
these [the] statute: decree which to command LORD [obj] Moses between man to/for woman: wife his between father to/for daughter his in/on/with youth her house: household father her

< Hesabu 30 >