< Hesabu 30 >
1 Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
Moses also spake vnto the heads of ye tribes concerning the children of Israel, saying, This is the thing which the Lord hath commanded,
2 Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
Whosoeuer voweth a vow vnto the Lord, or sweareth an othe to binde him selfe by a bonde, he shall not breake his promise, but shall do according to al that proceedeth out of his mouth.
3 Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
If a woman also vow a vow vnto the Lord, and binde her selfe by a bonde, being in her fathers house, in the time of her youth,
4 na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
And her father heare her vowe and bonde, wherewith she hath bound her selfe, and her father hold his peace concerning her, then all her vowes shall stande, and euery bonde, wherewith she hath bound her selfe, shall stand.
5 Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
But if her father disallow her the same day that he heareth all her vowes and bondes, wherewith she hath bound her selfe, they shall not bee of value, and the Lord will forgiue her, because her father disallowed her.
6 Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
And if she haue an husband when she voweth or pronounceth ought with her lips, wherewith she bindeth her selfe,
7 Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
If her husband heard it, and holdeth his peace concerning her, the same day he heareth it, then her vowe shall stande, and her bondes wherewith she bindeth her selfe shall stand in effect.
8 Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
But if her husband disallow her the same day that hee heareth it, then shall hee make her vowe which shee hath made, and that that shee hath pronounced with her lips, wherewith shee bound her selfe, of none effect: and the Lord will forgiue her.
9 Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
But euery vowe of a widowe, and of her that is diuorced (wherewith she hath bound her selfe) shall stand in effect with her.
10 Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
And if she vowed in her husbands house, or bound her selfe streightly with an othe,
11 na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
And her husband hath heard it, and helde his peace cocerning her, not disalowing her, then all her vowes shall stand, and euery bond, wherewith she bound her selfe, shall stand in effect.
12 Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
But if her husband disanulled them, the same day that he heard them, nothing that proceeded out of her lippes concerning her vowes or concerning her bondes, shall stand in effect: for her husband hath disanulled them: and the Lord will forgiue her.
13 Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
So euery vowe, and euery othe or bonde, made to humble the soule, her husband may stablish it, or her husband may breake it.
14 Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
But if her husband holde his peace concerning her from day to day, then he stablisheth al her vowes and all her bondes which shee hath made: hee hath confirmed them because he held his peace concerning her the same day that hee hearde them.
15 Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
But if he breake them after that he hath heard them, then shall he beare her iniquitie.
16 Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.
These are the ordinances which the Lord commanded Moses, betweene a man and his wife, and betweene the father and his daughter, being young in her fathers house.