< Hesabu 30 >

1 Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
Mousese da amo malasu Isala: ili fi ilia ouligisu dunu ilima olelei.
2 Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
Dunu da liligi amo Hina Godema imunusa: sia: ne ilegesea o hou afae maedafa hamoma: ne sia: ne ilegesea, e da amo dafawane sia: mae giadofale, hi hamoma: ne sia: i huluane defele hamoma: mu.
3 Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
Uda a: fini da ea ada diasu ganodini esalea, e da Hina Godema liligi imunusa: ilegesea o hou afae hame hamomu ilegesea,
4 na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
ea ada da amo nababeba: le, logo hedofamusa: hame sia: sea, e da ea hamomusa: liligi huluanedafa hamoma: mu.
5 Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
Be ea ada da amo nababeba: le, amo hamoma: ne ilegele sia: i mae hamoma: ne sia: sea, e da amo hamoma: ne sia: i ilegei hame hamomu. Hina Gode da ea hamoma: ne sia: i ilegei giadofai ba: sea, e gogolema: ne olofomu. Bai ea ada da e amo mae hamoma: ne, logo hedofai dagoi.
6 Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
A: fini gawa hame fi amo da hamomusa: sia: ilegesea, (dawa: iwane o udigili mae dawa: iwane) o hou maedafa hamoma: ne ilegele sia: sa, be amoane e da dunuga lai dagoi ba: sea,
7 Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
egoa da logo hedofale hame sia: sea, e da ea ilegele hamomusa: sia: i liligi huluane defele hamoma: mu.
8 Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
Be egoa da amo ilegele hamomusa: sia: i mae hamoma: ne sia: sea, e da ea ilegei hamoma: ne sia: i amo yolesimu da defea. Amasea, Hina Gode da ea hou gogolema: ne olofomu.
9 Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
Uda didalo o uda egoa fisiagai da hamomusa: sia: ilegesea, e da amo sia: i huluane dafawane hamoma: mu, amola e da hou afae hame hamomusa: ilegele sia: sea, e da amo defele hamoma: mu.
10 Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
Uda amo da egoa gala, e da hamomusa: sia: ilegesea o hou afae hame hamomusa: ilegele sia: sea,
11 na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
egoa da amo sia: nabasea, ea logo hame hedofasea, e da ea hamomusa: sia: i ilegei huluane defele hamoma: mu.
12 Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
Be egoa da ea ilegei sia: i amo nababeba: le, amo sia: i mae hamomusa: sia: sea, e da ea hamomusa: ilegei sia: i hame hamomu da defea. Hina Gode da ea giadofai amo gogolema: ne olofomu. Bai egoa da ea ilegei sia: i mae hamomusa: sia: i dagoi.
13 Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
Egoa da ea hamomusa: ilegei sia: i o hou afae mae hamomusa: ilegele sia: i amo logo hedofamusa: defele gala.
14 Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
Be egoa da amo hamomusa: ilegele sia: i nabasea, eso afae aligili, hame hihini sia: i ba: sea, amasea amo uda da ea ilegele sia: i defele hamomusa: sia: ma. Egoa da eso amoga e da ilegele sia: i nabasea, hame hedofama: ne sia: beba: le, e da amo ilegele sia: i da defea fedege agoane sia: i dagoi.
15 Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
Be e da fa: no agoane, amo hamomusa: ilegele sia: i liligi logo hedofasea, amo ilegele hamomusa: sia: i da hame hamoi ba: sea, giadofai da egoa ea: fawane amola e da amoga se dabe lamu.
16 Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.
Hina Gode da Mousesema amo sema i. Amo sema da ilegele hamomusa: sia: i amo da gawa hame fi a: fini da eda diasua esala amola dunuga lai uda, amo elea hou olelesa.

< Hesabu 30 >