< Hesabu 3 >
1 Sasa hii ndiyo historia ya uzao wa Haruni na Musa wakati BWANA aliposema na Musa kwenye mlima Sinai.
RAB Sina Dağı'nda Musa'ya seslendiği sırada Harun'la Musa'nın çocukları şunlardı.
2 Majina ya watoto wa Haruni walikuwa Nadabu ambaye ndiyo mtoto wa kwanza, na Abihu, na Eliezeri, na Ithamari.
Harun'un oğulları: İlk oğlu Nadav, Avihu, Elazar, İtamar.
3 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni, makuhani waliokuwa wamepakwa mafuta na kuwekwa wakfu kutumika kama makuhani.
Harun'un kâhin atanıp meshedilen oğulları bunlardı.
4 Lakini Nadabu na Abihu walikufa mbele ya BWANA walipomtolea moto usiokubalika walipokuwa katika nyika ya Sinai. Nadabu na Abihu hawakuwa na watoto, kwa hiyo Eliazari na Ithamari walitumika kama makuhani pamoja na baba yao.
Nadav'la Avihu Sina Çölü'nde RAB'bin önünde kurallara aykırı bir ateş sunarken öldüler. Oğulları yoktu. Elazar'la İtamar babaları Harun'un yanında kâhinlik ettiler.
5 BWANA alinena na Musa, akamwambia,
RAB Musa'ya şöyle dedi:
6 “Walete kabila ya Lawi na uwaweke kwa Haruni kuhani ili wamsaidie
“Kâhin Harun'a yardım etmek üzere Levi oymağını çağırıp görevlendir.
7 Nao lazima wafanye majukumu badala ya Haruni na jumuiya yote mbele ya hema ya kukutania. Lazima watumike hemani.
Buluşma Çadırı'nda Harun'la bütün topluluk adına konutla ilgili hizmeti yürütsünler.
8 Watayatunza mapambo ya hema ya kukutania, na watawatumikia makabila ya Israel kwa huduma ya hemani.
Buluşma Çadırı'ndaki bütün eşyalardan sorumlu olacak, İsrailliler adına konuta ilişkin hizmeti yerine getirecekler.
9 Uwaweke Walawi kwa Haruni na watoto wake. Nimewatoa kikamilifu ili wamsaidie kuwatumikia watu wa Israel.
Levililer'i Harun'la oğullarının hizmetine ver. İsrailliler arasında tümüyle onun hizmetine ayrılanlar onlardır.
10 Umchague Haruni na watoto wake kuwa makuhani, lakini mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe.”
Kâhinlik görevini sürdürmek üzere Harun'la oğullarını görevlendir. Kutsal yere onlardan başka her kim yaklaşırsa öldürülecektir.”
11 BWANA alinena na Musa. akamwambia,
RAB Musa'ya şöyle dedi:
12 “Tazama, nimewachagua Walawi katika watu wa Israel. Nimefanya hivyo badala ya kuchukua mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wana wa Israel. Hawa Walawi ni wangu.
“İşte İsrailli kadınların doğurduğu ilk erkek çocukların yerine İsrailliler arasından Levililer'i seçtim. Onlar benim olacaktır.
13 Na hata wazaliwa wa kwanza ni mali yangu. Katika siku ambyo niliwavamia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, Niliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli kwa ajili yangu, watu na wanyama pia. Ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.”
Çünkü bütün ilk doğanlar benimdir. Mısır'da ilk doğanların hepsini yok ettiğim gün, İsrail'de insan olsun hayvan olsun bütün ilk doğanları kendime ayırdım. Onlar benim olacak. Ben RAB'bim.”
14 BWANA alinena na Musa katika nyika ya Sinai. Akasema,
RAB Musa'ya Sina Çölü'nde şöyle dedi:
15 “Wahesabu uzao wa Lawi katika kila familia, katika nyumba za koo zao. Hesabu kila mume kuanzia mwezi mmoja au zaidi.”
“Levioğulları'nı ailelerine ve boylarına göre say. Bir aylık ve daha yukarı yaştaki her erkeği sayacaksın.”
16 Musa aliwahesabu, kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
Böylece Musa RAB'bin buyruğu uyarınca onları saydı.
17 Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Levi'nin oğullarının adları şunlardı: Gerşon, Kehat, Merari.
18 Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei.
Gerşon'un boy başı olan oğulları şunlardı: Livni, Şimi.
19 Ukoo uliotokana na watoto Kohathi walikuwa ni Amramu na, Izihari, Hebroni, na Uzieli.
Kehat'ın boy başı olan oğulları: Amram, Yishar, Hevron, Uzziel.
20 Ukoo uliotokana na watoto wa Merari walikuwa ni Mahili na Mushi. Hizi ndizo koo za Walawi, zilizoorodheshwa ukoo kwa ukoo.
Merari'nin boy başı olan oğulları: Mahli, Muşi. Ailelerine göre Levi boyları bunlardı.
21 Koo za Walibini na Washimei zilitokana na Wagerishoni. Hizi ndizo koo za Wagerishoni.
Livni ve Şimi boyları Gerşon soyundandı. Gerşon boyları bunlardı.
22 Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
Bir aylık ve daha yukarı yaştaki bütün erkeklerin sayısı 7 500'dü.
23 Koo za Wagerishoni watapanga upande wa magharibi wa hema.
Gerşon boyları batıda konutun arkasında konaklayacaktı.
24 Eliasafu mwana wa Laeli ataongoza koo za uzao wa Wagerishoni.
Gerşon'a bağlı ailelerin önderi Lael oğlu Elyasaf'tı.
25 Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania.
Buluşma Çadırı'nda Gerşonoğulları konuttan, çadırın örtüsünden, Buluşma Çadırı'nın girişindeki perdeden,
26 Wataulinda ua, lile pazia la kwenye lango—ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
konutla sunağı çevreleyen avlunun perdelerinden, avlunun girişindeki perdeyle iplerden ve bunların kullanımından sorumlu olacaktı.
27 Koo zifuatazo zinatokana na Kohathi: ukoo wa Waamrami, ukoo wa Waizihari ukoo wa Wahebroni, na ukoo wa Wauzieli. Koo hizi zinatokana na Wakohathi.
Amram, Yishar, Hevron ve Uzziel boyları Kehat soyundandı. Kehat boyları bunlardı.
28 Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
Bir aylık ve daha yukarı yaştaki bütün erkeklerin sayısı 8 600'dü. Bunlar kutsal yerden sorumluydular.
29 Familia ya uzao wa Kohathi watapanga upande wa kusini wa Hema.
Kehat boyları konutun güney yanında konaklayacaktı.
30 Elizafani mwana wa Uzieli ndiye atakayeongoza ukoo wa Wakohathi.
Kehat boylarına bağlı ailelerin önderi Uzziel oğlu Elisafan'dı.
31 Watalilinda sanduku, meza, vikalishio vya taa, madhabahu, vitu vitakatifu ambvyo hutumika katika huduma yao, pazia, na kazi zote zinazoambatana na hema.
Kehatlılar Antlaşma Sandığı'ndan, masayla kandillikten, sunaklardan, kutsal yerin eşyalarından, perdeden ve bunların kullanımından sorumlu olacaktı.
32 Eliazari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza wanaume wanaowaongoza Walawi. Atawasimamia wanaume wanaongoza eneo takatifu.
Levili önderlerin başı Kâhin Harun'un oğlu Elazar olacak, kutsal yerden sorumlu olanları o yönetecekti.
33 Koo mbili zimetoka kwa Merari: Ukoo wa Mahili na ukoo wa Mushi. Koo hizi zimetokana na Merari,
Mahli ve Muşi boyları Merari soyundandı. Merari boyları bunlardı.
34 Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
Bir aylık ve daha yukarı yaştaki bütün erkeklerin sayısı 6 200'dü.
35 Zurieli mwana wa Abihaili ataongoza ukoo wa Merari. Hawa watapanga upande wa kaskazini mwa hema.
Merari boylarına bağlı ailelerin önderi Avihayil oğlu Suriel'di. Merari boyları konutun kuzey yanında konaklayacaktı.
36 Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika,
Merarioğulları konutun çerçevelerinden, kirişlerinden, direklerinden, tabanlarından, takımlarından ve bunların kullanımından,
37 na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.
konutu çevreleyen avlunun direkleriyle tabanlarından, kazıklarıyla iplerinden sorumlu olacaktı.
38 Musa na Haruni na watoto wake watapanga upande wa mashariki wa masikani, mbele ya hema ya kukutania kuelekea mawio ya jua. Wao wataajibika na majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya wana wa Israeli. Mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe.
Musa, Harun ve oğulları konutun önünde, gündoğusu yönünde Buluşma Çadırı'nın önünde konaklayacaklardı. İsrailliler adına kutsal yerin bakımından sorumlu olacaklardı. Kutsal yere başka her kim yaklaşırsa öldürülecekti.
39 Musa na Haruni wakawahesabu wanaume wote wa ukoo wa Walawi walikuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi, kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Walihesabu wanaume ishirini na mbili elfu.
RAB'bin buyruğu uyarınca Musa'yla Harun'un Levili boylardan saydıkları bir aylık ve daha yukarı yaştaki bütün erkeklerin sayısı 22 000'di.
40 BWANA alisema na Musa, “Wahesabu wanaume wote ambo ni wazaliwa wa kwanza wa Israeli ambao wana umri wa mwezi mmoja na zaidi. Orodhesha majina yao.
Sonra RAB Musa'ya, “İsrailliler'in bir aylık ve daha yukarı yaştaki ilk doğan bütün erkeklerini say, adlarını yaz” dedi,
41 Unitwalie walawi kwa ajili yangu badala ya wazaliwa wa kwanza wa Israeli, Mimi ndimi BWANA. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa wanyama wa uzao wa Israeli,”
“İsrailliler'in bütün ilk doğanlarının yerine Levililer'i, yine İsrailliler'in ilk doğan hayvanlarının yerine Levililer'in hayvanlarını bana ayır. Ben RAB'bim.”
42 Musa akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli kama BWANA alivyomwagiza kufanya.
Böylece Musa, RAB'bin buyurduğu gibi, İsrailliler arasında ilk doğanların tümünü saydı.
43 Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
Adlarıyla yazılan, ilk doğan bir aylık ve daha yukarı yaştaki erkeklerin sayısı 22 273'tü.
44 Tena BWANA alinena na Musa. Akasema,
RAB Musa'ya şöyle dedi:
45 “Watwae Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa wana wa Israeli. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wanyama wa Waisreli wengine. Walawi ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.
“İsrailliler'in ilk doğanları yerine Levililer'i, hayvanları yerine de Levililer'in hayvanlarını ayır. Levililer benim olacak. Ben RAB'bim.
46 Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi.
İsrailliler'in ilk doğanlarından olup Levililer'in sayısını aşan 273 kişi için bedel alacaksın.
47 Utazitumia hizo shekeli tano kwa kipimo cha mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera ishirini.
Adam başına beşer şekel al. Kutsal yerin yirmi geradan oluşan şekelini ölçü tut.
48 Utawalipa hizo shekeli za wokovu kwa Haruni na wanawe.”
Levililer'in sayısını aşanlardan bedel olarak alınan parayı Harun'la oğullarına ver.”
49 Kwa hiyo Musa akakusanya shakeli za wokovu kutoka kwa wale waliozidi idadi ya wale waliookolewa na Walawi.
Böylece Musa, bedeli Levililer olanların sayısını aşan İsrailliler'den bedel parasını aldı.
50 Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
İsrailliler'in ilk doğanlarından 1 365 kutsal yerin şekeli aldı.
51 Musa akafanya kila kitu alichoagizwa na neno la BWANA kama BWANA alivyomwagiza.
RAB'bin sözü uyarınca, RAB'bin kendisine buyurduğu gibi, bedel parasını Harun'la oğullarına verdi.