< Hesabu 3 >
1 Sasa hii ndiyo historia ya uzao wa Haruni na Musa wakati BWANA aliposema na Musa kwenye mlima Sinai.
Detta är Aarons och Mose slägt, i den tiden, då Herren talade med Mose på Sinai berg.
2 Majina ya watoto wa Haruni walikuwa Nadabu ambaye ndiyo mtoto wa kwanza, na Abihu, na Eliezeri, na Ithamari.
Och detta är Aarons söners namn: Den förstfödde Nadab, dernäst Abihu, Eleazar och Ithamar.
3 Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni, makuhani waliokuwa wamepakwa mafuta na kuwekwa wakfu kutumika kama makuhani.
Det äro namn till Aarons söner, som till Prester smorde voro, och deras händer fyllde till Presterskap.
4 Lakini Nadabu na Abihu walikufa mbele ya BWANA walipomtolea moto usiokubalika walipokuwa katika nyika ya Sinai. Nadabu na Abihu hawakuwa na watoto, kwa hiyo Eliazari na Ithamari walitumika kama makuhani pamoja na baba yao.
Men Nadab och Abihu blefvo döde för Herranom, då de offrade främmande eld för Herranom, uti Sinai öken, och hade inga söner. Men Eleazar och Ithamar skötte Prestaämbetet under deras fader Aaron.
5 BWANA alinena na Musa, akamwambia,
Och Herren talade med Mose, och sade:
6 “Walete kabila ya Lawi na uwaweke kwa Haruni kuhani ili wamsaidie
Haf fram Levi slägte, och ställ dem inför Presten Aaron, att de skola tjena honom;
7 Nao lazima wafanye majukumu badala ya Haruni na jumuiya yote mbele ya hema ya kukutania. Lazima watumike hemani.
Och hålla hans och hela menighetenes vakt inför vittnesbördsens tabernakel, och tjena i tabernaklets tjenste;
8 Watayatunza mapambo ya hema ya kukutania, na watawatumikia makabila ya Israel kwa huduma ya hemani.
Och vakta all tyg, som vittnesbördsens tabernakel tillhörer, och Israels barnas vakt, till att tjena i tabernaklets tjenste.
9 Uwaweke Walawi kwa Haruni na watoto wake. Nimewatoa kikamilifu ili wamsaidie kuwatumikia watu wa Israel.
Och skall gifva Aaron och hans sönom Leviterna till gåfvo af Israels barnom;
10 Umchague Haruni na watoto wake kuwa makuhani, lakini mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe.”
Men Aaron och hans söner skall du sätta, att de vakta på deras Presterskap. Om någor främmande bjuder sig dertill, han skall dö.
11 BWANA alinena na Musa. akamwambia,
Och Herren talade med Mose, och sade:
12 “Tazama, nimewachagua Walawi katika watu wa Israel. Nimefanya hivyo badala ya kuchukua mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wana wa Israel. Hawa Walawi ni wangu.
Si, jag hafver tagit de Leviter ibland Israels barn, för allt förstfödt, som moderlif öppnar ibland Israels barn, så att Leviterna skola vara mine.
13 Na hata wazaliwa wa kwanza ni mali yangu. Katika siku ambyo niliwavamia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, Niliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli kwa ajili yangu, watu na wanyama pia. Ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.”
Förty de förstfödingar äro mine, ifrå den tid jag slog all förstföding i Egypti land; då helgade jag mig all förstföding i Israel, ifrå mennisko allt intill boskapen, att de skola höra mig till: Jag Herren.
14 BWANA alinena na Musa katika nyika ya Sinai. Akasema,
Och Herren talade med Mose uti Sinai öken, och sade:
15 “Wahesabu uzao wa Lawi katika kila familia, katika nyumba za koo zao. Hesabu kila mume kuanzia mwezi mmoja au zaidi.”
Räkna Levi söner efter deras fäders hus och slägter, allt det mankön är, månade gammalt, och derutöfver.
16 Musa aliwahesabu, kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
Och så talde Mose dem efter Herrans ord, såsom han budit hade.
17 Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Och voro desse Levi barn vid namn: Gerson, Kehat, Merari.
18 Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei.
Men Gersons barnas namn i deras slägter voro: Libni och Simei.
19 Ukoo uliotokana na watoto Kohathi walikuwa ni Amramu na, Izihari, Hebroni, na Uzieli.
Kehats barn i deras slägter voro: Amram, Jizear, Hebron och Usiel.
20 Ukoo uliotokana na watoto wa Merari walikuwa ni Mahili na Mushi. Hizi ndizo koo za Walawi, zilizoorodheshwa ukoo kwa ukoo.
Merari barn i deras slägter voro: Maheli och Musi. Det äro Levi slägter, efter deras fäders hus.
21 Koo za Walibini na Washimei zilitokana na Wagerishoni. Hizi ndizo koo za Wagerishoni.
Desse äro Gersons slägter: De Libniter och Simeiter.
22 Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
Summan af talet vardt funnen sjutusend och femhundrad, allt det som mankön var, och månade gammalt, och derutöfver.
23 Koo za Wagerishoni watapanga upande wa magharibi wa hema.
Och de samma Gersoniters slägter skola lägra sig bakföre tabernaklet, vesterut.
24 Eliasafu mwana wa Laeli ataongoza koo za uzao wa Wagerishoni.
Deras öfverste skall vara Eliasaph, Laels son.
25 Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania.
Och de skola vakta på vittnesbördsens tabernakel, på boningena och täckelset, och dess öfvertäckelse, och på klädet i dörrene af vittnesbördsens tabernakel;
26 Wataulinda ua, lile pazia la kwenye lango—ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
På bonaden åt gårdenom, och på klädet i gårdsens ingång, hvilken går omkring boningena och altaret, och på dess tåg, och allt det som till dess tjenste hörer.
27 Koo zifuatazo zinatokana na Kohathi: ukoo wa Waamrami, ukoo wa Waizihari ukoo wa Wahebroni, na ukoo wa Wauzieli. Koo hizi zinatokana na Wakohathi.
Desse äro Kehats slägter: De Amramiter, de Jizeariter, de Hebroniter och Usieliter;
28 Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
Allt det som mankön var, och månade gammalt, och derutöfver, vid tal åttatusend och sexhundrad, de som akta skola på helgedomens vakt;
29 Familia ya uzao wa Kohathi watapanga upande wa kusini wa Hema.
Och skola lägra sig vid sidona af tabernaklet, söderut.
30 Elizafani mwana wa Uzieli ndiye atakayeongoza ukoo wa Wakohathi.
Deras öfverste skall vara Elizaphan, Usiels son.
31 Watalilinda sanduku, meza, vikalishio vya taa, madhabahu, vitu vitakatifu ambvyo hutumika katika huduma yao, pazia, na kazi zote zinazoambatana na hema.
Och de skola vakta arken, bordet, ljusastakan, altaren, och all helgedomens tyg, der de tjena med; och på förlåten, och hvad till dess tjenste tillhörer.
32 Eliazari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza wanaume wanaowaongoza Walawi. Atawasimamia wanaume wanaongoza eneo takatifu.
Men den öfverste öfver alla Leviternas öfverstar skall vara Eleazar, Prestens Aarons son, öfver dem som skickade äro till att taga vara på helgedomens vakt.
33 Koo mbili zimetoka kwa Merari: Ukoo wa Mahili na ukoo wa Mushi. Koo hizi zimetokana na Merari,
Desse äro Merari slägte: De Maheliter och Musiter;
34 Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
Hvilke till talet voro sextusend och tuhundrad, allt det mankön var, månade gammalt, och derutöfver.
35 Zurieli mwana wa Abihaili ataongoza ukoo wa Merari. Hawa watapanga upande wa kaskazini mwa hema.
Deras öfverste skall vara Zuriel, Abihails son; och skola lägra sig vid sidona af tabernaklet, norrut.
36 Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika,
Och deras ämbete skall vara, att vakta uppå bräden, skottstängerna, och stolparna, och fötterna åt tabernaklet, och all tyg, som till den tjensten tillhöra;
37 na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.
Så ock på stolparna kringom gården, med fötterna, och pålarna, och tågen.
38 Musa na Haruni na watoto wake watapanga upande wa mashariki wa masikani, mbele ya hema ya kukutania kuelekea mawio ya jua. Wao wataajibika na majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya wana wa Israeli. Mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe.
Men framför boningena och vittnesbördsens tabernakel österut skola sig lägra Mose och Aaron, och hans söner, att de skola vakta på helgedomen, och på Israels barn. Om någor främmande bjuder sig dertill, han skall dö.
39 Musa na Haruni wakawahesabu wanaume wote wa ukoo wa Walawi walikuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi, kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Walihesabu wanaume ishirini na mbili elfu.
Alle Leviterna uti en summo, som Mose och Aaron talde efter deras slägter, efter Herrans ord, alltsammans mankön, månade gammalt, och derutöfver, voro tu och tjugu tusend.
40 BWANA alisema na Musa, “Wahesabu wanaume wote ambo ni wazaliwa wa kwanza wa Israeli ambao wana umri wa mwezi mmoja na zaidi. Orodhesha majina yao.
Och Herren talade till Mose: Räkna all förstföding, det mankön är ibland Israels barn, månade gammalt, och derutöfver och tag talet på deras namn;
41 Unitwalie walawi kwa ajili yangu badala ya wazaliwa wa kwanza wa Israeli, Mimi ndimi BWANA. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa wanyama wa uzao wa Israeli,”
Och skall uttaga Leviterna mig Herranom för all Israels barnas förstföding; och Leviternas boskap, för all förstföding af Israels barnas boskap.
42 Musa akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli kama BWANA alivyomwagiza kufanya.
Och Mose talde, såsom Herren honom budit hade, all förstföding ibland Israels barn.
43 Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
Och vardt funnet namnens tal, af all förstföding, det mankön var, månade gammalt, och derutöfver, i deras summo, tu och tjugu tusend, tuhundrad, och tre och sjutio.
44 Tena BWANA alinena na Musa. Akasema,
Och Herren talade med Mose, och sade:
45 “Watwae Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa wana wa Israeli. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wanyama wa Waisreli wengine. Walawi ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.
Tag de Leviter för all förstföding ibland Israels barn, och Leviternas boskap för deras boskap, att Leviterna skola vara mine, Herrans.
46 Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi.
Men de lösepenningar för de tuhundrade tre och sjutio, som öfverlöpa i Israels barnas förstföding, utöfver Leviternas tal,
47 Utazitumia hizo shekeli tano kwa kipimo cha mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera ishirini.
Skall du taga ju fem siklar ifrå hufvud till hufvud, efter helgedomens sikel; tjugu gera gäller en sikel;
48 Utawalipa hizo shekeli za wokovu kwa Haruni na wanawe.”
Och skall de samma penningar, som öfverrisa utöfver deras tal, gifva Aaron och hans sönom.
49 Kwa hiyo Musa akakusanya shakeli za wokovu kutoka kwa wale waliozidi idadi ya wale waliookolewa na Walawi.
Då tog Mose de lösepenningarna, som öfverriste utöfver Leviternas tal,
50 Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
Af Israels barnas förstfödingar, tusende trehundrad, och fem och sextio siklar, efter helgedomens sikel;
51 Musa akafanya kila kitu alichoagizwa na neno la BWANA kama BWANA alivyomwagiza.
Och fick dem Aaron och hans söner, efter Herrans ord, såsom Herren hade budit Mose.