< Hesabu 29 >

1 Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
Ensimäisenä päivänä seitsemännellä kuukaudella pitää teillä pyhä kokous oleman: ei yhtään orjan työtä pidä teidän (silloin) tekemän: se pitää oleman soittamisen juhlapäivä.
2 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
Ja teidän pitää uhraaman polttouhria makiaksi hajuksi Herralle: yhden nuoren mullin, yhden oinaan, seitsemän vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä,
3 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
Niin myös heidän ruokauhrinsa: öljyllä sekoitettuja sämpyläjauhoja, kolme kymmenestä mullille, kaksi kymmenestä oinaalle,
4 na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
Ja yhden kymmeneksen jokaiselle karitsalle, niistä seitsemästä karitsasta,
5 Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Ja yhden kauriin syntiuhriksi, teitä sovittamaan,
6 Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
Paitsi saman kuukauden polttouhria ja ruokauhria, ja paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa, heidän säätynsä jälkeen makian hajun tuleksi Herralle.
7 Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
Kymmenentenä päivänä tällä seitsemännellä kuukaudella pitää myös teillä pyhä kokous oleman ja teidän pitää vaivaaman teidän sielujanne, ja ei yhtään työtä (silloin) tekemän.
8 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
Vaan teidän pitää uhraaman polttouhria makiaksi hajuksi Herralle: yhden nuoren mullin, ja yhden oinaan, ja seitsemän vuosikuntaista karitsaa: virheettömät ne pitää oleman teillä,
9 Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
Ynnä heidän ruokauhrinsa kanssa: sämpyläjauhoja, sekoitettuja öljyllä, kolme kymmenestä mullille, kaksi kymmenestä oinaalle,
10 na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
Ja aina kymmeneksen jokaiselle karitsalle, niistä seitsemästä karitsasta,
11 Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Yhden kauriin syntiuhriksi, paitsi sovittamisen syntiuhria ja alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
12 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
Viidentenätoistakymmenentenä päivänä seitsemännellä kuukaudella pitää teillä pyhä kokous oleman: ei mitään orjan työtä pidä teidän (silloin) tekemän, ja teidän pitää juhlaa pitämän Herralle ne seitsemän päivää.
13 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
Ja teidän pitää uhraaman polttouhria ja tuliuhria, makiaksi hajuksi Herralle: kolmetoistakymmentä nuorta mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa: virheettömät ne pitää oleman,
14 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
Heidän ruokauhrinsa kanssa, sämpyläjauhoja, sekoitettuja öljyllä, kolme kymmenestä jokaiselle kolmestatoistakymmenestä mullista, kaksi kymmenestä kumpaisellekin oinaalle.
15 na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
Ja kymmeneksen itsekullekin neljästätoistakymmenestä karitsasta,
16 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi: paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
17 Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
Ja toisena päivänä kaksitoistakymmentä nuorta mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä,
18 Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
Ja heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä perästä.
19 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi: paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
20 Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Kolmantena päivänä yksitoistakymmentä mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä.
21 Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Ja heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
22 Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi: paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
23 Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Neljäntenä päivänä kymmenen mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä,
24 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
25 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
Siihen kauriin syntiuhriksi; paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
26 Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Ja viidentenä päivänä yhdeksän mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, ilman virhettä.
27 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Ja heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
28 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi; paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
29 Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Ja kuudentena päivänä kahdeksan mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä.
30 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Ja heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
31 Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi; paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
32 Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Ja seitsemäntenä päivänä seitsemän mullia, kaksi oinasta, neljätoistakymmentä vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä.
33 Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Ja heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
34 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi; paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
35 Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
Kahdeksas päivä pitää oleman teille päätösjuhla: ei yhtään orjan työtä teidän pidä (silloin) tekemän.
36 Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Ja teidän pitää uhraaman polttouhria makian hajun tuleksi Herralle: yhden mullin, yhden oinaan ja seitsemän vuosikuntaista karitsaa, virheetöinnä,
37 Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
Heidän ruokauhrinsa ja juomauhrinsa mulleille, oinaille ja karitsoille, heidän lukunsa ja säätynsä jälkeen.
38 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
Siihen myös kauriin syntiuhriksi; paitsi alinomaista polttouhria, ruokauhrinensa ja juomauhrinensa.
39 Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
Nämät pitää teidän tekemän Herralle juhlapäivinänne, paitsi mitä te mielellänne lupaatte ja hyvällä tahdollanne annatte polttouhriksenne, ruokauhriksenne, juomauhriksenne ja kiitosuhriksenne.
40 Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.
Ja Moses sanoi Israelin lapsille kaikki ne, mitä Herra hänelle käskenyt oli.

< Hesabu 29 >