< Hesabu 29 >
1 Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
And in the month seventh on [day] one of the month a convocation of holiness it will be to you any work of servitude not you will do a day of [the] sound of a loud blast it will be to you.
2 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
And you will offer a burnt offering to an odor of soothing to Yahweh a young bull a young one of cattle one a ram one lambs sons of a year seven unblemished.
3 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
And grain offering their fine flour mixed with oil three tenths [of an ephah] for the young bull two tenths [of an ephah] for the ram.
4 na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
And a tenth [of an ephah] one for the lamb one for [the] seven the lambs.
5 Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
And a male goat of goats one a sin offering to make atonement on you.
6 Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
Besides [the] burnt offering of the new moon and grain offering its and [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offerings their according to ordinance their to an odor of soothing a fire offering to Yahweh.
7 Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
And on the ten of the month seventh this a convocation of holiness it will be to you and you will humble selves your any work not you will do.
8 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
And you will bring near a burnt offering to Yahweh an odor of soothing a young bull a young one of cattle one a ram one lambs sons of a year seven unblemished they will be to you.
9 Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
And grain offering their fine flour mixed with oil three tenths [of an ephah] for the young bull two tenths [of an ephah] for the ram one.
10 na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
A tenth a tenth for the lamb one for [the] seven the lambs.
11 Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
A male goat of goats one a sin offering besides [the] sin offering of atonement and [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offerings their.
12 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
And on [the] fif-teen day of the month seventh a convocation of holiness it will be to you any work of servitude not you will do and you will celebrate a festival a festival to Yahweh seven days.
13 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
And you will bring near a burnt offering a fire offering of an odor of soothing to Yahweh young bulls young ones of cattle thir-teen rams two lambs sons of a year four-teen unblemished they will be.
14 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
And grain offering their fine flour mixed with oil three tenths [of an ephah] for the young bull one for thir-teen young bulls two tenths [of an ephah] for the ram one for [the] two the rams.
15 na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
And a tenth a tenth for the lamb one for [the] four-teen lambs.
16 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
And a male goat of goats one a sin offering besides [the] burnt offering of continuity grain offering its and drink offering its.
17 Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
And on the day second young bulls young ones of cattle two [plus] ten rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
18 Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
And grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to the ordinance.
19 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
And a male goat of goats one a sin offering besides [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offerings their.
20 Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And on the day third young bulls one [plus] ten rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
21 Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to the ordinance.
22 Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And a male goat of a sin offering one besides [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offering its.
23 Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And on the day fourth young bulls ten rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
24 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to the ordinance.
25 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
And a male goat of goats one a sin offering besides [the] burnt offering of continuity grain offering its and drink offering its.
26 Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And on the day fifth young bulls nine rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
27 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to the ordinance.
28 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
And a male goat of a sin offering one besides [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offering its.
29 Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And on the day sixth young bulls eight rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
30 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to the ordinance.
31 Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And a male goat of a sin offering one besides [the] burnt offering of continuity grain offering its and drink offerings its.
32 Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And on the day seventh young bulls seven rams two lambs sons of a year four-teen unblemished.
33 Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And grain offering their and drink offerings their for the young bulls for the rams and for the lambs by number their according to ordinance their.
34 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
And a male goat of a sin offering one besides [the] burnt offering of continuity grain offering its and drink offering its.
35 Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
On the day eighth an assembly it will be to you any work of servitude not you will do.
36 Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And you will bring near a burnt offering a fire offering of an odor of soothing to Yahweh a young bull one a ram one lambs sons of a year seven unblemished.
37 Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
Grain offering their and drink offerings their for the young bull for the ram and for the lambs by number their according to the ordinance.
38 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And a male goat of a sin offering one besides [the] burnt offering of continuity and grain offering its and drink offering its.
39 Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
These you will offer to Yahweh at appointed feasts your apart from votive offerings your and freewill offerings your to burnt offerings your and to grain offerings your and to drink offerings your and to peace offerings your.
40 Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.
And he said Moses to [the] people of Israel according to all that he had commanded Yahweh Moses.