< Hesabu 29 >
1 Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
Moreouer, in the first day of the seuenth moneth ye shall haue an holy conuocation: ye shall doe no seruile worke therein: it shall be a day of blowing the trumpets vnto you.
2 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
And ye shall make a burnt offering for a sweete sauour vnto the Lord: one yong bullocke, one ram, and seuen lambes of a yeere olde, without blemish.
3 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
And their meat offring shalbe of fine floure mingled with oyle, three tenth deales vnto the bullocke, and two tenth deales vnto the ramme,
4 na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
And one tenth deale vnto one lambe, for the seuen lambes,
5 Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
And an hee goate for a sinne offering to make an atonement for you,
6 Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
Beside the burnt offring of the moneth, and his meat offring, and the continual burnt offring, and his meate offring and the drinke offrings of the same, according to their maner, for a sweete sauour: it is a sacrifice made by fire vnto ye Lord.
7 Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
And ye shall haue in ye tenth day of the seuenth moneth, an holy conuocation: and ye shall humble your soules, and shall not doe any worke therein:
8 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
But ye shall offer a burnt offring vnto the Lord for a sweete sauour: one yong bullocke, a ramme, and seuen lambes of a yeere olde: see they be without blemish.
9 Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
And their meate offering shall be of fine floure mingled with oyle, three tenth deales to a bullocke, and two tenth deales to a ramme,
10 na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
One tenth deale vnto euery lambe, thoroughout the seuen lambes,
11 Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
An hee goate for a sinne offring, (beside ye sinne offring to make the atonement and the continual burnt offring and the meat offring thereof) and their drinke offrings.
12 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
And in the fifteenth day of the seuenth moneth ye shall haue an holie conuocation: ye shall do no seruile worke therein, but yee shall keepe a feast vnto the Lord seuen daies.
13 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
And ye shall offer a burnt offring for a sacrifice made by fire of sweete sauour vnto the Lord, thirteene yong bullockes, two rammes, and fourtene lambes of a yeere olde: they shall bee without blemish.
14 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
And their meate offering shall bee of fine floure mingled with oyle, three tenth deales vnto euery bullocke of the thirteene bullockes, two tenth deales to either of the two rammes,
15 na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
And one tenth deale vnto eche of ye fourteene lambes,
16 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
And one hee goate for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, his meate offring, and his drinke offring.
17 Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
And the second day ye shall offer twelue yong bullockes, two rams, fourteene lambes of a yeere olde without blemish,
18 Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
With their meate offring and their drinke offrings for the bullockes, for the rammes, and for the lambes according to their nomber, after the maner,
19 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
And an hee goate for a sinne offring, (beside the continuall burnt offering and his meate offring) and their drinke offrings.
20 Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
Also the third day ye shall offer eleuen bullocks, two rams, and fourteene lambes of a yeere olde without blemish,
21 Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
With their meate offring and their drinke offrings, for the bullockes, for the rams, and for the lambes, after their nomber according to the maner,
22 Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And an hee goat for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, and his meate offring and his drinke offring.
23 Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And the fourth day ye shall offer tenne bullocks, two rammes, and fourteene lambes of a yeere olde without blemish.
24 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
Their meate offring and their drinke offrings, for the bullockes, for the rammes, and for the lambes according to their nomber, after the maner,
25 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
And an hee goate for a sinne offering beside the continuall burnt offring, his meate offering and his drinke offering.
26 Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
In the fifth day also ye shall offer nine bullockes, two rammes, and fourteene lambes of a yeere olde without blemish,
27 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And their meat offering and their drinke offrings for the bullockes, for the rammes, and for the lambes according to their nomber, after the maner,
28 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
And an hee goat for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, and his meat offring and his drinke offering.
29 Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
And in the sixt day ye shall offer eight bullockes, two rams, and fourteene lambes of a yeere olde without blemish,
30 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And their meate offring, and their drinke offrings for the bullockes, for the rammes, and for the lambes according to their nomber, after the maner,
31 Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And an hee goat for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, his meate offring and his drinke offrings.
32 Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
In the seuenth day also ye shall offer seuen bullocks, two rammes and fourteene lambes of a yeere olde without blemish,
33 Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
And their meate offering and their drinke offrings for the bullockes, for the rammes, and for the lambes according to their nomber, after their maner,
34 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
And an hee goate for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, his meate offering and his drinke offring.
35 Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
In the eight day, yee shall haue a solemne assemblie: yee shall doe no seruile worke therein,
36 Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
But yee shall offer a burnt offering, a sacrifice made by fire for a sweete sauour vnto the Lord, one bullocke, one ram, and seuen lambes of a yeere old without blemish,
37 Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
Their meate offring and their drinke offrings for the bullocke, for the ramme, and for the lambes according to their nomber, after the maner,
38 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
And an hee goat for a sinne offring, beside the continuall burnt offring, and his meate offring, and his drinke offring.
39 Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
These things ye shall do vnto the Lord in your feastes, beside your vowes, and your free offrings, for your burnt offrings, and for your meate offrings, and for your drinke offrings and for your peace offrings.
40 Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.
Then Moses spake vnto the children of Israel according to all that the Lord had commanded him,