< Hesabu 29 >
1 Katika siku ya kwanza, ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Katika siku hiyo hamtafanya kazi zenu za kila siku. Itakuwa siku ya kupiga matarumbeta.
В седмия месец, на първия ден от месеца, да имате свето събрание и да не работите никаква слугинска работа; той да ви бъде ден на тръбно възклицание.
2 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ya kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja na wanakondoo dume saba wa mwaka mmoja, kila mmoja mkamilifu.
Да принесете във всеизгаряне, за благоухание Господу, един юнец, един овен, седем едногодишни агнета без недостатък;
3 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya huyo fahari, sehemu mbili za kumi kwa ajili ya huyo kondoo mume,
а хлебният им принос да бъде чисто брашно, смесено с дървено масло, - три десети от ефа за юнеца, две десети за овена,
4 na sehemu ya kumi ya kila hao wanakondoo waume saba.
и по една десета за всяко от седемте агнета;
5 Na mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
и един козел в принос за грях, за да се извърши умилостивение за вас;
6 Toeni hizo sadaka katika mwezi wa saba kama nyongeza ya sadaka mtakazotoa kila mwanzo wa kila mwezi: pamoja na sadaka maalumu za kuteketezwa na sadaka za unga. Hizi zitakuwa nyongeza za sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji. Utakapokuwa ukiendelea na sadaka hizi, utakuwa ukitii kile kilichoamriwa kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa BWANA.
в прибавка на новолунното всеизгаряне и хлебния му принос, и всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянията им, според определеното за тях, за благоуханна жертва чрез огън Господу.
7 Siku ya kumi ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumwabudu BWANA. Mtajinyeneyekeza na hamtafanya kazi.
И на десетия ден от тоя седми месец да имате свето събрание, и да смирите душите си, и да не работите никаква слугинска работа;
8 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja mchanga ili kutoa harufu nzuri, kondoo mmoja mume, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
а да принесете във всеизгаряне Господу, за благоухание, един юнец, един овен, седем едногодишни агнета, които да бъдат без недостатък;
9 Pamoja na sadaka hizo utatoa sadaka ya unga, unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa ajili ya fahari, sehemu mbili za kumi za kondoo dume mmoja,
а хлебният им принос да бъде чисто брашно, смесено с дървено масло, - три десети от ефа за юнеца, две десети за единия овен,
10 na sehemu ya kumi ya efa moja kwa kila mwanakondoo wale saba.
и по една десета за всяко от седемте агнета;
11 Mtatatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya upatanisho. Hii itakuwa sadaka ya nyongeza ya upatanisho, ya sadaka ya kila siku ya kuteketezwa, pamoja na sadaka za unga, na sadaka zake za vinywaji.
един козел в принос за грях, в прибавка на приноса в умилостивение за грях и всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянията им.
12 Siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu lakumwabudu BWANA. Siku hiyo hamtafanya kazi za kila siku, na mtazitunza hizo sikukuu kwa muda wa siku saba kwa ajili ya BWANA.
И на петнадесетия ден от седмия месец да имате свето събрание, и да не работите никаква слугинска работа, а да пазите празник Господу седем дена.
13 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ilikutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne wa mwaka mmoja. Wote wakamilifu.
Да принесете във всеизгаряне, за благоуханна жертва чрез огън Господу, тринадесет юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, които да бъдат без недостатък.
14 Pamoja na hao mtatoa sadaka ya unga, unga mwembaba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa kwa kila fahari katika hao kumi na tatu, sehemu mbili za kumi kwa kila hao kondoo dume wawili,
А хлебният им принос да бъде чисто брашно, смесено с дървено масло, - три десети от ефа за всеки от тринадесетте юнеца, две десети за всеки от двата овена.
15 na sehemu ya kumi ya efa ya hao wanakondoo kumi na nne.
и по една десета за всяко от четиринадесетте агнета;
16 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa, sadaka yake ya unga, pamoja na sadaka za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
17 Siku ya pili ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi na mbili, kondoo dume wawili na wanakondoo dume kumi na mbili wa umri wa mwaka mmoja, wote wakamilifu.
На втория ден да принесете дванадесет юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, без недостатък;
18 Pamoja nao mtatoa sadaka ya unga, na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na kwa ajili ya wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilvyoamriwa.
хлебния им принос с възлиянията им за юнците, за овните и за агнетата, според числото им, както е определено;
19 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kila siku, sadaka yake ya unga, na sadaka zake za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянията им.
20 Siku ya tatu ya kusanyiko, mtatoa sadaka mafahari kumi na moja, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
На третия ден, единадесет юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, без недостатък;
21 Pamoja na hizo sadaka mtatoa sadaka ya unga na sdaka ya vinywaji kwa wale mafahari, kwa wale kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, utoe sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
хлебния им принос с възлиянията им за юнците, за овните, и за агнетата според числото им, както е определено;
22 Mtatoa sadaka beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya zile sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
23 Siku ya nne ya kusanyiko, mtatoa mafahari kumi, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
На четвъртия ден, десет юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, без недостатък;
24 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sdaka za vinywaji kwa wale mafahari, na kwa wale kondoo dume na kwa wale wanakodoo, mtatoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
хлебният им принос с възлиянията им за юнците, за овните и за агнетата, според числото им, както е определено
25 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kuwa nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
26 Siku ya tano ya kusanyiko, mtatoa mafahari tisa, kondoo dume wawili, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
На петия ден, девет юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета без недостатък;
27 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, kondoo dume, na wale wanakondoo, mkitoa sdaka nyingi kama ilivyoamriwa.
хлебния им принос с възлиянията им за юнците, за овните и за агнетата, според числото им, както е определено;
28 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kuteketezwa za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
29 Siku ya sita ya kusanyiko, mtatoa mafahari wanane, kondoo dume wawili, na wanakondoo kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
На шестия ден, осем юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, без недостатък;
30 Pamoja na sadaka hizo mtatoa sadaka za unga nasadaka za vinywaji kwa wale mafahari, kondoo wa dume na wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
хлебният им принос с възлиянията им за юнците, за овните и за агнетата, според числото им, както е определено;
31 Mtatoa beberu kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku za kuteketezwa, sadaka zadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
32 Siku ya saba ya kusanyiko, mtatoa mafahari saba, kondoo dume saba, na wanakondoo dume kumi na nne wa mwaka mmoja, wakamilifu.
На седмия ден, седем юнеца, два овена, четиринадесет едногодишни агнета, без недостатък;
33 Pamoja nao mtataengeneza sadaka ya unga na sadaka ya vinywaji kwa ajili ya wale mafahari, na kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkitoa sadaka nyingi kama ilivyoamriwa.
хлебният им принос с възлиянията им за юнците, за овните и за агнетата, според числото им, както е определено за тях;
34 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka ya kuteketezwa ya kila siku, na sadaka yake ya unga, na sadaka yake ya vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос с възлиянието му.
35 Siku ya nane mtakuwa na kusanyiko lingine makini. Hamtafanya kazi zenu za kila siku.
На осмия ден да имате тържествено събрание и да не работите никаква слугинска работа;
36 Mtafanya sadaka za kuteketezwa, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari mmoja, kondoo mmoja dume, na wanakondoo saba dume wa umri wa mwaka mmoja, wakamilifu.
и да принесете във всеизгаряне, за благоуханна жертва чрез огън Господ, един юнец, един овен, седем едногодишни агнета, без недостатък;
37 Mtatoa sadaka zake za unga na sadaka zake za vinywaji kwa ajili ya yule fahari, kondoo dume, na kwa wale wanakondoo, mkifanya sadaka nyingi kadri ilivyoamriwa.
хлебния им принос с възлиянията им за юнеца, за овена и за агнетата, според числото им, както е определено;
38 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kama nyongeza ya sadaka za kila siku, na sadaka zake za unga, na sadaka zake za vinywaji.
и един козел в принос за грях, в прибавка на всегдашното всеизгаряне и хлебния му принос, с възлиянието му.
39 Hivi ndivyo utakavyotoa sadaka kwa BWANA katika sikukuu zenu za kila mwaka. Hivi vitakuwa nyongeza ya viapo vyenu na sadaka zenu za hiari. Mtavitoa hivi kama sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za unga, sadaka za vinywaji, na sadaka za amani.”
Тия да принасяте Господу на празниците си, - в прибавка на обреците си и доброволните си приноси, - за всеизгарянията си, за хлебните си приноси, за възлиянията си, и за примирителните си приноси.
40 Musa aliwaambia wana wa Israeli kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru kusema.
И Моисей каза тия неща на израилтяните напълно, както Господ заповяда на Моисея.