< Hesabu 28 >

1 BWANA akanena na Musa akamwambia,
The LORD spoke to Moses, saying,
2 “Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
"Command the children of Israel, and tell them, 'My offering, my food for my offerings made by fire, of a pleasant aroma to me, you shall observe to offer to me in their due season.'
3 Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
You shall tell them, 'This is the offering made by fire which you shall offer to the LORD: male lambs a year old without blemish, two day by day, for a continual burnt offering.
4 Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
You shall offer the one lamb in the morning, and you shall offer the other lamb at evening;
5 Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
with the tenth part of an ephah of fine flour for a meal offering, mixed with the fourth part of a hin of beaten oil.
6 Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
It is a continual burnt offering, which was ordained in Mount Sinai for a pleasant aroma, an offering made by fire to the LORD.
7 Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
Its drink offering shall be the fourth part of a hin for the one lamb. You shall pour out a drink offering of strong drink to the LORD in the holy place.
8 Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
The other lamb you shall offer at evening: as the meal offering of the morning, and as the drink offering of it, you shall offer it, an offering made by fire, of a pleasant aroma to the LORD.
9 Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
"'On the Sabbath day two male lambs a year old without blemish, and two tenth parts of an ephah of fine flour for a meal offering, mixed with oil, and the drink offering of it:
10 Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
this is the burnt offering of every Sabbath, besides the continual burnt offering, and the drink offering of it.
11 Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
"'In the beginnings of your months you shall offer a burnt offering to the LORD: two young bulls, and one ram, seven male lambs a year old without blemish;
12 Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
and three tenth parts of an ephah of fine flour for a meal offering, mixed with oil, for each bull; and two tenth parts of fine flour for a meal offering, mixed with oil, for the one ram;
13 Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
and a tenth part of fine flour mixed with oil for a meal offering to every lamb; for a burnt offering of a pleasant aroma, an offering made by fire to the LORD.
14 Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
Their drink offerings shall be half a hin of wine for a bull, and the third part of a hin for the ram, and the fourth part of a hin for a lamb: this is the burnt offering of every month throughout the months of the year.
15 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
One male goat for a sin offering to the LORD; it shall be offered besides the continual burnt offering, and the drink offering of it.
16 Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
"'In the first month, on the fourteenth day of the month, is the LORD's Passover.
17 Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
On the fifteenth day of this month shall be a feast: seven days shall unleavened bread be eaten.
18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
In the first day shall be a holy convocation: you shall do no servile work;
19 Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
but you shall offer an offering made by fire, a burnt offering to the LORD: two young bulls, and one ram, and seven male lambs a year old; they shall be to you without blemish;
20 Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
and their meal offering, fine flour mixed with oil: you shall offer three tenth parts for a bull, and two tenth parts for the ram.
21 Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
You shall offer a tenth part for every lamb of the seven lambs;
22 na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
and one male goat for a sin offering, to make atonement for you.
23 Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
You shall offer these besides the burnt offering of the morning, which is for a continual burnt offering.
24 Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
In this way you shall offer daily, for seven days, the food of the offering made by fire, of a pleasant aroma to the LORD: it shall be offered besides the continual burnt offering, and the drink offering of it.
25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
On the seventh day you shall have a holy convocation: you shall do no servile work.
26 Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
"'Also in the day of the first fruits, when you offer a new meal offering to the LORD in your feast of weeks, you shall have a holy convocation; you shall do no servile work;
27 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
but you shall offer a burnt offering for a pleasant aroma to the LORD: two young bulls, one ram, seven male lambs a year old;
28 Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
and their meal offering, fine flour mixed with oil, three tenth parts for each bull, two tenth parts for the one ram,
29 Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
a tenth part for every lamb of the seven lambs;
30 na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
one male goat, to make atonement for you.
31 Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”
Besides the continual burnt offering, and the meal offering of it, you shall offer them (they shall be to you without blemish), and their drink offerings.

< Hesabu 28 >