< Hesabu 28 >

1 BWANA akanena na Musa akamwambia,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
2 “Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
“Israel ca te uen lamtah amih te thui pah. Kai kah nawnnah neh kai buh khaw, kai kah hmaihlutnah ham kamah kah hmuehmuei botui te amah khoning vaengah kai taengla khuen ham ngaithuen uh.
3 Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
Te dongah he he amih te thui pah. Sainoek hmueihhlutnah dongah hnin at ham tu kum khat ca, a hmabuet pumnit te BOEIPA taengah hmaihlutnah la khuen uh.
4 Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
Mincang ah tu pumat nawn lamtah tu pabae te kholaeh vaengah nawn.
5 Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
Khocang ham tah cangnoek parha dongkah vaidam te bunang pali dongkah a sui situi neh thoek pah.
6 Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
Sainoek hmueihhlutnah he Sinai tlang ah ni BOEIPA taengkah hmaihlutnah hmuehmuei botui la ana saii coeng.
7 Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
Tuisi bunang pali neh tu pumat te hmuencim ah BOEIPA kah cangsi tuisi la suep.
8 Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
Tuca pabae mincang kah khosaa neh a tuisi bangla kholaeh ah saii lamtah BOEIPA taengah hmuehmuei botui hmaihlutnah la nawn.
9 Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
Sabbath hnin ah tah kumkhat tu ca a hmabuet pumnit, a tuisi situi neh a thoek khocang vaidam doh nit te nawn.
10 Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
Sabbath ah he Sabbath hmueihhlutnah phoeiah sainoek hmueihhlutnah neh tuisi khaw khueh pah.
11 Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
Nangmih kah hla sae vaengah BOEIPA taengah hmueihhlutnah ham saelhung ca vaito pumnit, tutal pumat neh, kumkhat tu ca a hmabuet pumrhih te nawn.
12 Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
Vaito pumat dongah situi neh a thoek khocang vaidam doh thum, tutal pakhat ham situi neh a thoek khocang vaidam doh nit saeh.
13 Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
Hmaihlutnah Tuca pumat dongah situi neh a thoek khocang vaidam doh at, doh at saeh lamtah BOEIPA taengah hmuehmuei botui hmaihlutnah la om saeh.
14 Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
Amih kah tuisi la misurtui he vaito pumat dongah bunang ngancawn cet saeh lamtah tutal pumat dongah bunang khoi thum saeh, tu pumat dongah bunang khoi li saeh. He he kum khat kah hla khat takuem hlasae vaengah hlasae kah hmueihhlutnah la om saeh.
15 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
BOEIPA taengkah boirhaem la maae ca pumat phoeiah khaw sainoek hmueihhlutnah te a tuisi neh nawn saeh.
16 Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
Hla lamhmacuek kah hlasae hnin hlai li vaengah BOEIPA taengla Yoom om ni.
17 Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
Tekah hla dongkah hnin hlai nga vaengah hnin rhih khotue ah vaidamding ca saeh.
18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
A cuek hnin ah hmuencim kah tingtunnah om saeh lamtah thohtatnah bitat boeih tah saii uh boeh.
19 Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
BOEIPA taengah hmueihhlutnah hmaihlutnah na nawn vaengah saelhung ca vaito pumnit neh tutal pumat, tu kum khat ca pumrhih he nangmih taengah hmabuet la om uh saeh.
20 Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
Situi neh a thoek a khocang vaidam te vaito pumat dongah doh thum saeh lamtah tutal ham tah doh nit saii pah.
21 Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
Tu pumrhih dongah tu pumat ham doh at, doh at saii pah.
22 na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Nangmih ham aka dawth la boirhaem maae ca khaw pumat saeh.
23 Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
Mincang kah hmueihhlutnah phoeiah sainoek hmueihhlutnah ham khaw he rhoek he saii uh.
24 Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
hmaihlutnah buh he hnin rhih khuiah hnin takuem BOEIPA taengah hmuehmuei botui neh, sainoek hmueihhlutnah neh a tuisi khaw nawn saeh.
25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
A hnin rhih dongah tah nangmih ham hmuencim kah tingtunnah la om saeh. Te vaengah thohtatnah bitat boeih tah saii uh boeh.
26 Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
BOEIPA taengah khocang a thai na nawn uh vaengkah thaihcuek khohnin ah khaw nangmih ham hmuencim kah tingtunnah te yalh khat khuiah om saeh lamtah nangmih kah thohtatnah bitat boeih tah saii uh boeh.
27 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
Tedae saelhung ca dongkah vaito pumnit neh tutal pumat, kumkhat tu ca pumrhih te BOEIPA taengah hmueihhlutnah hmuehmuei botui la khuen uh.
28 Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
Situi neh a thoek a khocang vaidam te vaito pumat dongah doh thum saeh lamtah tutal pumat dongah doh nit saeh.
29 Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
Tuca pumrhih dongah tuca pumat ham te doh at, doh at saeh.
30 na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Nangmih ham tholh aka dawth la maae ca pumat saeh.
31 Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”
Sainoek hmueihhlutnah voel ah khaw a khosaa khueh lamtah a tuisi neh nangmih taengah hmabuet la om saeh.

< Hesabu 28 >