< Hesabu 27 >

1 Kisah wakaja kwa Musa binti wa Zelofehadi mwana wa Hefa mwana wa Gilied mwana wa Machiri mwana wa Manase, wa ukoo wa Manase mwana wa Yusufu. Hawa ndio waliokuwa binti zake: Mahala, Noha, Hogla, Milika, na Tiriza.
И пришедшя дщери Салпаада сына Оферова, сына Галаадова, сына Махирова, сонма Манассиина, сынов Иосифовых, и сия имена их: Маала и Нуа, и Егла и Мелха и Ферса,
2 Walisimama mbele ya Musa, Eliazari kuhani, kwa. viongozi, na mbele ya watu wote langoni mwa hema ya kukutania. Walisema,
и ставшя пред Моисеом и пред Елеазаром жерцем, и пред князи и пред всем сонмом у дверий скинии свидения, глаголаша:
3 “Baba yetu alifia jangwani. Hakuwa mmoja wa wale waliompinga BWANA katika lile kundi la Kora. Alikufa kwa dhambi zake, na hakuwa na watoto wa kiume.
отец наш умре в пустыни, и сей не бе среде сонма воставшаго на Господа в сонме Кореове, яко греха ради своего умре, и сынове не быша ему:
4 Kwa nini jina la baba yetu liondolewe mioingoni mwa ukoo wa jamaa zake kwa sababu ya kukosa wana? Tupeni ardhi miongoni mwa ndugu wa baba zetu.”
да не погибнет имя отца нашего от среды сонма своего, яко несть сына ему: дадите нам наследие посреде братии отца нашего.
5 Kwa hiyo Musa alileta shauri hilo mbele za BWANA.
И принесе Моисей суд их пред Господа.
6 BWANA akanena na Musa akamwambia, “Binti wa
И рече Господь к Моисею, глаголя:
7 Zelofehadi wanasema kitu sahihi. Lazima uwaptie ardhi kama urithi miongoni mwa ndugu wa baba zao, na uhakikishe kuwa urithi wa baba zao wanapata.
право глаголаша дщери Салпаадовы: даяние да даси им одержание наследия посреде братий отца их, и да приложиши им жребий отца их:
8 Utawaambia wana wa Israeli na kusema, 'Kama mtu anakufa na hana mtoto wa kiume, basi utaufanya urithi wake wapewe binti zake.
и сыном Израилевым да речеши, глаголя: человек аще умрет, и не будет сына ему, дадите наследие его дщери его:
9 Kama hana binti, basi urithi wake atapewa kaka zake.
аще же дщери не будет ему, дадите наследие его брату его:
10 Kama hana kaka zake basi huo urithi watapewa ndugu wa baba yake.
аще же не будут ему братия, дадите наследие брату отца его:
11 Kama baba yake hana ndugu, basi huo urithi atapewa ndugu yake wa karibu katika ukoo, na utauchukua kuwa wake. Hii itakuwa sheria iliyoanzishwa kwa amri kwa ajili ya watu wa Israeli kama BWANA akivyoniamuru.”
аще же не будут братия отца его, дадите наследие ужику ближнему его от племене его наследити яже его: и да будет сие сыном Израилевым оправдание суда, якоже заповеда Господь Моисею.
12 BWANA alimwamia Musa, “Nenda juu ya mlima Abaraimu na uitazama nchi ambyo nimewapa wana wa Israeli.
И рече Господь к Моисею: взыди на гору, яже об ону страну Иордана, сия гора Навав, и виждь землю Ханааню, юже Аз даю сыном Израилевым во одержание:
13 Baada ya kuwa umeiona, pia lazima ufe, kama Haruni kaka yako.
и узриши ю, и приложишися к людем своим и ты, якоже приложися Аарон брат твой на горе Ор:
14 Hii itatokea kwa sababu ulipinga amri yangu katika jangwa la Sini. Pale ambapo maji yalitoka kwenye mwamba, katika hasira yako ulishindwa kuniheshimu mimi kama mtakatifu mbele ya macho ya watu wote.” Haya ni yale maji ya Meriba ya Kadeshi katika jangwa la Sini.
понеже преступисте слово Мое в пустыни Син, внегда супротивитися сонму освятити Мя, не освятисте Мене у воды пред ними: сия есть вода Пререкания в Кадисе в пустыни Син.
15 Ndipo Musa akamwambia BWANA akisema,
И рече Моисей ко Господу:
16 “Wewe, BWANA, Mungu wa wote wenye mwili, uchague mtu awe juu ya watu,
да изберет Господь Бог духов и всякия плоти человека над сонмом сим,
17 mtu ambaye atatoka na kuingia kuja kwao na kuwatoa kisha kuwarudisha, ili kwamba watu wako wasije kuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.”
иже изыдет пред лицем их, иже внидет пред лицем их, и иже изведет их и иже введет их, и да не будет сонм Господень, яко овцы не имущя пастыря.
18 BWANA akanena na Musa, “Mchukue Joshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yangu hukaa, na umwekee mikono yako juu yake.
И рече Господь к Моисею, глаголя: поими к себе Иисуса сына Навина, человека, иже имать Духа в себе: и да возложиши руце твои на него:
19 Umweke mbele ya Eliazari kuhani na mbele ya watu wote, na umwamuru kuwaongoza mbele ya macho yao.
и поставиши его пред Елеазаром жерцем, и заповеждь ему пред всем сонмом, и заповеждь о нем пред ними:
20 Utaweka baadhi ya mamlaka yako kwake, ili kwamba watu wote wa Isareli wamtii.
и даси на него от славы твоея, яко да послушают его вси сынове Израилевы:
21 Ataenda mbele ya Eliazari kuhani ili kutafuta mapenzi yangu kwake kwa ajili ya maamuzi ya kura. Yeye ndiyo atakayetoa amri ili watu kutoka na kuingia, yeye pamoja na watu wa Israeli, ambao ni watu wote.”
и пред Елеазаром жерцем да станет, и да вопросят от него суда явленных пред Господем: по словеси его да исходят, и по словеси его да входят сам и сынове Израилевы вкупе, и весь сонм.
22 Kwa hiyo Musa akafanya kama alivyoagizwa na BWANA. Alimchukua Joshua na kumweka mbele ya Eliazari kuhani na mbele ya jamii yote.
И сотвори Моисей, якоже повеле ему Господь Бог: и взем Иисуса постави его пред Елеазаром жерцем и пред всем сонмом:
23 Akaweka mikono yake juuy ake na kumwamuru aongoze, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
и возложи руце свои на него, и устрои его, якоже повеле Господь Моисею.

< Hesabu 27 >