< Hesabu 26 >

1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
Ölümcül hastalık son bulunca RAB, Musa'yla Kâhin Harun oğlu Elazar'a, “İsrail topluluğunun ailelerine göre sayımını yapın” dedi, “Savaşabilecek durumdaki yirmi ve daha yukarı yaştaki bütün erkekleri sayın.”
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
Bunun üzerine Musa'yla Kâhin Elazar, Şeria Irmağı'nın yanında, Eriha karşısındaki Moav ovalarında halka, “RAB'bin Musa'ya verdiği buyruk uyarınca, yirmi ve daha yukarı yaştaki erkekleri sayın” dediler. Mısır'dan çıkan İsrailliler şunlardı:
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
İsrail'in ilk doğanı Ruben'in soyundan gelen Rubenoğulları: Hanok soyundan Hanok boyu, Pallu soyundan Pallu boyu,
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
Hesron soyundan Hesron boyu, Karmi soyundan Karmi boyu.
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
Ruben boyları bunlardı, sayıları 43 730 kişiydi.
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
Pallu'nun oğlu Eliav,
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
Eliav'ın oğulları Nemuel, Datan ve Aviram'dı. Bunlar topluluğun seçtiği, Musa'yla Harun'a, dolayısıyla RAB'be başkaldırarak Korah'ın yandaşlarına katılan Datan'la Aviram'dı.
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
Yer yarılıp onları Korah'la birlikte yutunca yok oldular. Ateş Korah'ın iki yüz elli yandaşını yakıp yok etti. Böylece başkalarına bir uyarı oldular.
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
Korah'ın oğulları ise ölmedi.
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
Boylarına göre Şimonoğulları şunlardı: Nemuel soyundan Nemuel boyu, Yamin soyundan Yamin boyu, Yakin soyundan Yakin boyu,
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Zerah soyundan Zerah boyu, Şaul soyundan Şaul boyu.
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
Şimon boyları bunlardı, sayıları 22 200 kişiydi.
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
Boylarına göre Gadoğulları şunlardı: Sefon soyundan Sefon boyu, Hagi soyundan Hagi boyu, Şuni soyundan Şuni boyu,
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
Ozni soyundan Ozni boyu, Eri soyundan Eri boyu,
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
Arot soyundan Arot boyu, Areli soyundan Areli boyu.
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
Gad boyları bunlardı, sayıları 40 500 kişiydi.
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
Yahuda'nın iki oğlu Er'le Onan Kenan ülkesinde ölmüşlerdi.
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Boylarına göre Yahudaoğulları şunlardı: Şela soyundan Şela boyu, Peres soyundan Peres boyu, Zerah soyundan Zerah boyu.
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Peres soyundan gelenler şunlardı: Hesron soyundan Hesron boyu, Hamul soyundan Hamul boyu.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
Yahuda boyları bunlardı, sayıları 76 500 kişiydi.
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
Boylarına göre İssakaroğulları şunlardı: Tola soyundan Tola boyu, Puvva soyundan Puvva boyu,
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
Yaşuv soyundan Yaşuv boyu, Şimron soyundan Şimron boyu.
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
İssakar boyları bunlardı, sayıları 64 300 kişiydi.
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
Boylarına göre Zevulunoğulları şunlardı: Seret soyundan Seret boyu, Elon soyundan Elon boyu, Yahleel soyundan Yahleel boyu.
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
Zevulun boyları bunlardı, sayıları 60 500 kişiydi.
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
Boylarına göre Yusuf'un oğulları: Manaşşe ve Efrayim.
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
Manaşşe soyundan gelenler: Makir soyundan Makir boyu –Makir Gilat'ın babasıydı– Gilat soyundan Gilat boyu.
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
Gilat soyundan gelenler şunlardı: İezer soyundan İezer boyu, Helek soyundan Helek boyu,
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
Asriel soyundan Asriel boyu, Şekem soyundan Şekem boyu,
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
Şemida soyundan Şemida boyu, Hefer soyundan Hefer boyu.
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
Hefer oğlu Selofhat'ın oğulları olmadı; yalnız Mahla, Noa, Hogla, Milka ve Tirsa adında kızları vardı.
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
Manaşşe boyları bunlardı, sayıları 52 700 kişiydi.
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
Boylarına göre Efrayim soyundan gelenler şunlardı: Şutelah soyundan Şutelah boyu, Beker soyundan Beker boyu, Tahan soyundan Tahan boyu.
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Şutelah soyundan gelenler şunlardı: Eran soyundan Eran boyu.
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
Efrayim boyları bunlardı, sayıları 32 500 kişiydi. Boylarına göre Yusuf'un soyundan gelenler bunlardı.
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
Boylarına göre Benyamin soyundan gelenler: Bala soyundan Bala boyu, Aşbel soyundan Aşbel boyu, Ahiram soyundan Ahiram boyu,
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
Şufam soyundan Şufam boyu, Hufam soyundan Hufam boyu.
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
Bala'nın oğulları Ard'la Naaman'dı. Ard soyundan Ard boyu, Naaman soyundan Naaman boyu.
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
Boylarına göre Benyamin soyundan gelenler bunlardı, sayıları 45 600 kişiydi.
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
Boylarına göre Dan soyundan gelenler şunlardı: Şuham soyundan Şuham boyu. Dan boyu buydu.
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
Hepsi Şuham boyundandı, sayıları 64 400 kişiydi.
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
Boylarına göre Aşer soyundan gelenler: Yimna soyundan Yimna boyu, Yişvi soyundan Yişvi boyu, Beria soyundan Beria boyu.
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
Beria soyundan gelenler: Hever soyundan Hever boyu, Malkiel soyundan Malkiel boyu.
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
Aşer'in Serah adında bir kızı vardı.
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
Aşer boyları bunlardı, sayıları 53 400 kişiydi.
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
Boylarına göre Naftali soyundan gelenler: Yahseel soyundan Yahseel boyu, Guni soyundan Guni boyu,
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
Yeser soyundan Yeser boyu, Şillem soyundan Şillem boyu.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
Boylarına göre Naftali boyları bunlardı, sayıları 45 400 kişiydi.
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
Sayılan İsrailliler'in toplamı 601 730 erkekti.
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
RAB Musa'ya şöyle dedi:
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
“Adlarının sayısına göre ülke bunlara pay olarak bölüştürülecek.
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
Sayıca çok olana büyük, sayıca az olana küçük pay vereceksin. Her oymağa kişi sayısına göre pay verilecek.
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
Ancak ülke kura ile dağıtılacak. Herkesin payı, ata oymağının adına göre olacak.
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
Küçük, büyük her oymağın payı kurayla dağıtılacak.”
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Boylarına göre sayılan Levililer şunlardı: Gerşon soyundan Gerşon boyu, Kehat soyundan Kehat boyu, Merari soyundan Merari boyu.
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
Şunlar da Levili boylardı: Livni boyu, Hevron boyu, Mahli boyu, Muşi boyu, Korah boyu. Kehat Amram'ın babasıydı.
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
Amram'ın karısı Mısır'da doğan, Levi soyundan gelme Yokevet'ti. Amram'a Harun'u, Musa'yı ve kızkardeşleri Miryam'ı doğurdu.
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
Harun Nadav, Avihu, Elazar ve İtamar'ın babasıydı.
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
Nadav'la Avihu RAB'bin önünde kurallara aykırı bir ateş sunarken öldüler.
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
Levililer'den sayılan bir aylık ve daha yukarı yaştaki bütün erkekler 23 000 kişiydi. Bunlar öbür İsrailliler'le birlikte sayılmadılar. Çünkü öbür İsrailliler arasında onlara pay verilmemişti.
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
Şeria Irmağı yanında, Eriha karşısındaki Moav ovalarında Musa'yla Kâhin Elazar'ın saydıkları İsrailliler bunlardı.
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
Ancak, bu sayılanların arasında Musa'yla Kâhin Harun'un Sina Çölü'nde saymış olduğu İsrailliler'den kimse yoktu.
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
Çünkü RAB o dönemde sayımı yapılan İsrailliler'in kesinlikle çölde öleceğini söylemişti. Onlardan Yefunne oğlu Kalev'le Nun oğlu Yeşu'dan başka kimse sağ kalmamıştı.

< Hesabu 26 >