< Hesabu 26 >

1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
پس از آنکه بلا رفع شد، خداوند به موسی و العازار (پسر هارون کاهن) فرمود:
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
«تمامی مردان اسرائیل را از بیست سال به بالا سرشماری کنید تا معلوم شود از هر قبیله و طایفه چند نفر می‌توانند به جنگ بروند.»
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
بنابراین وقتی ایشان در دشتهای موآب، کنار رود اردن، روبروی اریحا اردو زده بودند، موسی و العازار کاهن خطاب به ایشان گفتند:
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
«قوم را از بیست ساله و بالاتر سرشماری کنید، همان‌گونه که خداوند به موسی فرمان داده بود.» اینانند اسرائیلیانی که از مصر بیرون آمدند:
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
قبیلهٔ رئوبین: ۴۳٬۷۳۰ نفر. (رئوبین پسر نخست‌زاده یعقوب بود.) طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران رئوبین نامگذاری شده بودند: طایفهٔ حنوکی‌ها، به نام جدشان حنوک؛ طایفهٔ فلوئی‌ها، به نام جدشان فلو؛ (خاندان الیاب که یکی از پسران فلو بود شامل خانواده‌های نموئیل، ابیرام و داتان بود. داتان و ابیرام همان دو رهبری بودند که با قورح علیه موسی و هارون توطئه نمودند و در حقیقت به خداوند اهانت کردند. ولی زمین دهان گشود و آنها را بلعید و آتش از جانب خداوند آمده، دویست و پنجاه نفر را سوزانید. این اخطاری بود به بقیهٔ قوم اسرائیل. اما پسران قورح کشته نشدند.) طایفهٔ حصرونی‌ها، به نام جدشان حصرون؛ طایفهٔ کرمی‌ها، به نام جدشان کرمی.
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
قبیلهٔ شمعون: ۲۲٬۲۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران شمعون نامگذاری شده بودند: نموئیلی‌ها، به نام جدشان نموئیل؛ یامینی‌ها، به نام جدشان یامین؛ یاکینی‌ها، به نام جدشان یاکین؛ زارحی‌ها، به نام جدشان زارح؛ شائولی‌ها، به نام جدشان شائول.
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
قبیلهٔ جاد: ۴۰٬۵۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران جاد نامگذاری شدند: صفونی‌ها، به نام جدشان صفون؛ حجی‌ها، به نام جدشان حجی؛ شونی‌ها، به نام جدشان شونی؛ اُزنی‌ها، به نام جدشان ازنی؛ عیری‌ها، به نام جدشان عیری؛ ارودی‌ها، به نام جدشان ارود؛ ارئیلی‌ها، به نام جدشان ارئیل.
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
قبیلهٔ یهودا: ۷۶٬۵۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران یهودا نامگذاری شدند، ولی عیر و اونان که در سرزمین کنعان مردند جزو آنها نبودند: شیله‌ای‌ها به نام جدشان شیله؛ فارِصی‌ها، به نام جدشان فارِص؛ زارحی‌ها، به نام جدشان زارح. خاندانهای زیر جزو طایفهٔ فارص بودند: حصرونی‌ها، به نام جدشان حصرون؛ حامولی‌ها، به نام جدشان حامول.
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
قبیلهٔ یساکار: ۶۴٬۳۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران یساکار نامگذاری شدند: تولعی‌ها، به نام جدشان تولع؛ فونی‌ها، به نام جدشان فوه؛ یاشوبی‌ها، به نام جدشان یاشوب؛ شمرونی‌ها، به نام جدشان شمرون.
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
قبیلهٔ زبولون: ۶۰٬۵۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران زبولون نامگذاری شدند: سارَدی‌ها، به نام جدشان سارَد؛ ایلونی‌ها، به نام جدشان ایلون؛ یحلی‌ئیلی‌ها، به نام جدشان یحلی‌ئیل.
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
نسل یوسف: ۳۲٬۵۰۰ نفر در قبیلهٔ افرایم و ۵۲٬۷۰۰ نفر در قبیلهٔ منسی. در قبیلهٔ منسی طایفهٔ ماخیرها بودند که به نام جدشان ماخیر نامیده می‌شدند. طایفهٔ جلعادی‌ها نیز از ماخیر بودند و به اسم جدشان جلعاد نامیده می‌شدند. طایفه‌های زیر از جلعاد بودند: اِیعَزَری‌ها، به نام جدشان اِیعَزَر؛ حالقی‌ها، به نام جدشان حالق؛ اسری‌ئیلی‌ها، به نام جدشان اسری‌ئیل؛ شکیمی‌ها، به نام جدشان شکیم؛ شمیداعی‌ها، به نام جدشان شمیداع؛ حافری‌ها، به نام جدشان حافر. (صِلُفحاد پسر حافر پسری نداشت، اما پنج دختر داشت به نامهای محله، نوعه، حُجله، ملکه و ترصه.) تعداد ۳۲٬۵۰۰ نفر که زیر اسم قبیلهٔ افرایم ثبت شده بودند، شامل طایفه‌های زیر بودند که به اسم پسران افرایم نامیده می‌شدند: شوتالحی‌ها، به نام جدشان شوتالح؛ (یکی از طوایف شوتالحی‌ها، عیرانی‌ها بودند که به نام جدشان عیران نامیده می‌شدند.) باکری‌ها، به نام جدشان باکر؛ تاحَنی‌ها، به نام جدشان تاحَن.
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
قبیلهٔ بنیامین: ۴۵٬۶۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران بنیامین نامگذاری شدند: بالعی‌ها، به نام جدشان بالع؛ (طایفه‌های زیر از بالع بودند: اردی‌ها، به نام جدشان ارد؛ نَعمانی‌ها، به نام جدشان نَعمان.) اشبیلی‌ها، به نام جدشان اشبیل؛ احیرامی‌ها، به نام جدشان احیرام؛ شفوفامی‌ها، به نام جدشان شفوفام؛ حوفامی‌ها، به نام جدشان حوفام.
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
قبیلهٔ دان: ۶۴٬۴۰۰ نفر. در این قبیله طایفهٔ شوحامی‌ها بودند که نام جدشان شوحام پسر دان بر آنها گذاشته شده بود.
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
قبیلهٔ اشیر: ۵۳٬۴۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران اشیر نامگذاری شدند: یمنی‌ها، به نام جدشان یمنه؛ یشوی‌ها، به نام جدشان یشوی؛ بریعیی‌ها، به نام جدشان بریعه؛ طایفه‌های زیر از بریعه بودند: حابری‌ها، به نام جدشان حابر؛ ملکی‌ئیلی‌ها، به نام جدشان ملکی‌ئیل. اشیر دختری نیز داشت به نام سارح.
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
قبیلهٔ نفتالی: ۴۵٬۴۰۰ نفر. طایفه‌های زیر جزو این قبیله بودند و به اسم پسران نفتالی نامگذاری شدند: یاحص‌ئیلی‌ها، به نام جدشان یاحص‌ئیل؛ جونی‌ها، به نام جدشان جونی؛ یصری‌ها، به نام جدشان یصر؛ شلیمی‌ها، به نام جدشان شلیم.
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
پس تعداد کل مردان قوم اسرائیل ۶۰۱٬۷۳۰ نفر بود.
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
سپس خداوند به موسی فرمود: «این سرزمین را بین قبایل به نسبت جمعیت آنها تقسیم کن. به قبیله‌های بزرگتر زمین بیشتر و به قبیله‌های کوچکتر زمین کمتر داده شود.
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
نمایندگان قبایل بزرگتر برای زمینهای بزرگتر و قبایل کوچکتر برای زمینهای کوچکتر قرعه بکشند.»
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
قبایل لاویان که سرشماری شدند از این قرارند: جرشونی‌ها، به نام جدشان جرشون؛ قهاتی‌ها، به نام جدشان قهات؛ مراری‌ها، به نام جدشان مراری.
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
این طایفه‌ها نیز جزو قبیلهٔ لاوی بودند: لبنی‌ها، حبرونی‌ها، محلی‌ها، موشی‌ها و قورحی‌ها. زمانی که لاوی در مصر بود صاحب دختری به نام یوکابد شد که بعد به همسری عمرام، پسر قهات، درآمد. یوکابد و عمرام پدر و مادر هارون و موسی و مریم بودند.
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
ناداب و ابیهو و العازار و ایتامار فرزندان هارون بودند.
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
ناداب و ابیهو وقتی آتش غیر مجاز به حضور خداوند تقدیم کردند مردند.
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
تعداد کل پسران و مردان قبیلهٔ لاوی از یک ماهه به بالا در سرشماری ۲۳٬۰۰۰ نفر بود. ولی تعداد لاویان در جمع کل سرشماری قوم اسرائیل منظور نمی‌شد، زیرا از سرزمین اسرائیل زمینی به ایشان تعلق نمی‌گرفت.
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
این است ارقام سرشماری‌ای که توسط موسی و العازار کاهن، در دشت موآب کنار رود اردن و در مقابل اریحا به دست آمد.
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
در تمام این سرشماری، حتی یک نفر وجود نداشت که در سرشماری قبلی که در صحرای سینا توسط موسی و هارون کاهن به عمل آمده بود شمرده شده باشد، زیرا تمام کسانی که در آن وقت شمرده شده بودند در بیابان مرده بودند، درست همان‌طور که خداوند گفته بود. تنها افرادی که زنده مانده بودند کالیب پسر یفنه و یوشع پسر نون بودند.
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.

< Hesabu 26 >