< Hesabu 26 >
1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
Da sotten var forbi, sa Herren til Moses og til Eleasar, sønn av Aron, presten:
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
Ta op manntall over hele Israels barns menighet fra tyveårsalderen og opover, efter deres familier, over alle dem i Israel som kan dra ut i strid.
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
Og Moses og Eleasar, presten, talte med dem på Moabs ødemarker ved Jordan, midt imot Jeriko, og sa:
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
Fra tyveårsalderen og opover skal de mønstres - således som Herren hadde befalt Moses og Israels barn, dem som hadde draget ut av Egyptens land.
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
Ruben var Israels førstefødte; Rubens barn var: Fra Hanok hanokittenes ætt, fra Pallu pallu'ittenes ætt,
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
fra Hesron hesronittenes ætt, fra Karmi karmittenes ætt.
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
Dette var rubenittenes ætter, og de av dem som blev mønstret, var tre og firti tusen, syv hundre og tretti.
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
Pallus sønn var Eliab,
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
og Eliabs barn var Nemuel og Datan og Abiram. Det var den Datan og den Abiram som var utkåret av menigheten, og som yppet strid mot Moses og Aron dengang Korahs flokk satte sig op imot Herren,
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
og jorden oplot sin munn og slukte både dem og Korah, og hele flokken omkom idet ilden fortærte de to hundre og femti menn, og de blev til et tegn;
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
men Korahs barn omkom ikke.
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
Simeons barn var efter sine ætter: Fra Nemuel nemuelittenes ætt, fra Jamin jaminittenes ætt, fra Jakin jakinittenes ætt,
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
fra Serah serahittenes ætt, fra Sa'ul sa'ulittenes ætt.
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
Dette var simeonittenes ætter, to og tyve tusen og to hundre.
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
Gads barn var efter sine ætter: Fra Sefon sefonittenes ætt, fra Haggi haggittenes ætt, fra Suni sunittenes ætt,
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
fra Osni osnittenes ætt, fra Eri erittenes ætt,
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
fra Arod arodittenes ætt, fra Areli arelittenes ætt.
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
Dette var Gads barns ætter, så mange av dem som blev mønstret, firti tusen og fem hundre.
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
Judas barn var Er og Onan; men Er og Onan døde i Kana'ans land.
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Og Judas barn var efter sine ætter: Fra Sela selanittenes ætt, fra Peres peresittenes ætt, fra Serah serahittenes ætt.
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Peres' barn var: Fra Hesron hesronittenes ætt, fra Hamul hamulittenes ætt.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
Dette var Judas ætter, så mange av dem som blev mønstret, seks og sytti tusen og fem hundre.
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
Issakars barn var efter sine ætter: Fra Tola tola'ittenes ætt, fra Puva punittenes ætt,
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
fra Jasub jasubittenes ætt, fra Simron simronittenes ætt.
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
Dette var Issakars ætter, så mange av dem som blev mønstret, fire og seksti tusen og tre hundre.
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
Sebulons barn var efter sine ætter: Fra Sered sardittenes ætt, fra Elon elonittenes ætt, fra Jahle'el jahle'elittenes ætt.
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
Dette var sebulonittenes ætter, så mange av dem som blev mønstret, seksti tusen og fem hundre.
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
Josefs barn var efter sine ætter: Manasse og Efra'im.
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
Manasses barn var: Fra Makir makirittenes ætt, og Makir var far til Gilead, fra Gilead gileadittenes ætt.
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
Gileads barn det var: Fra Jeser jesrittenes ætt, fra Helek helkittenes ætt
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
og fra Asriel asrielittenes ætt og fra Sekem sikmittenes ætt
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
og fra Semida semida'ittenes ætt og fra Hefer hefrittenes ætt.
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
Men Selofhad, Hefers sønn, hadde ingen sønner, bare døtre, og Selofhads døtre hette Mahla og Noa, Hogla, Milka og Tirsa.
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
Dette var Manasses ætter, og de av dem som blev mønstret, var to og femti tusen og syv hundre.
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
Efra'ims barn det var efter deres ætter: Fra Sutelah sutelahittenes ætt, fra Beker bakrittenes ætt, fra Tahan tahanittenes ætt.
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Sutelahs barn det var: Fra Eran eranittenes ætt.
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
Dette var Efra'ims barns ætter, så mange av dem som blev mønstret, to og tretti tusen og fem hundre. Dette var Josefs barn efter deres ætter.
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
Benjamins barn var efter sine ætter: Fra Bela balittenes ætt, fra Asbel asbelittenes ætt, fra Akiram akiramittenes ætt,
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
fra Sefufam sufamittenes ætt, fra Hufam hufamittenes ætt.
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
Belas barn var: Ard og Na'aman, fra Ard ardittenes ætt, fra Na'aman na'amittenes ætt.
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
Dette var Benjamins barn efter deres ætter, og de av dem som blev mønstret, var fem og firti tusen og seks hundre.
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
Dans barn var efter sine ætter: Fra Suham suhamittenes ætt. Dette var Dans ætter efter deres ættetavle.
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
Alle suhamittenes ætter, så mange av dem som blev mønstret, var fire og seksti tusen og fire hundre.
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
Asers barn var efter sine ætter: Fra Jimna jimna'ittenes ætt, fra Jisvi jisvittenes ætt, fra Beria beriittenes ætt;
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
av Berias barn: Fra Heber hebrittenes ætt, fra Malkiel malkielittenes ætt.
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
Asers datter hette Serah.
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
Dette var Asers barns ætter, så mange av dem som blev mønstret, tre og femti tusen og fire hundre.
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
Naftalis barn var efter sine ætter: Fra Jahse'el jahse'elittenes ætt, fra Guni gunittenes ætt,
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
fra Jeser jisrittenes ætt, fra Sillem sillemittenes ætt.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
Dette var Naftalis ætter efter deres ættetavle, og de av dem som blev mønstret, var fem og firti tusen og fire hundre.
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
Dette var de av Israels barn som blev mønstret, seks hundre og ett tusen, syv hundre og tretti.
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
Og Herren talte til Moses og sa:
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
Mellem disse skal landet skiftes ut til arv efter folketallet.
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
Den stamme som er stor, skal du gi en stor arv, og den som er liten, skal du gi en liten arv; hver stamme skal få sin arv efter tallet på dem som blev mønstret der.
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
Men ved loddkasting skal landet skiftes ut; efter navnene på sine fedrenestammer skal de ta arv.
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
Efter som loddet faller, skal hver stamme, stor eller liten, få sin arv.
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Dette var de av levittene som blev mønstret, efter sine ætter: Fra Gerson gersonittenes ætt, fra Kahat kahatittenes ætt, fra Merari merarittenes ætt.
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
Dette var levittenes ætter: libnittenes ætt, hebronittenes ætt, mahlittenes ætt, musittenes ætt, korahittenes ætt. Kahat var far til Amram,
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
og Amrams hustru hette Jokebed; hun var datter av Levi og født i Egypten; og Amram fikk med henne Aron og Moses og deres søster Mirjam.
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
Og Aron fikk sønnene Nadab og Abihu, Eleasar og Itamar;
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
men Nadab og Abihu døde dengang de bar fremmed ild inn for Herrens åsyn.
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
Og de av levittene som blev mønstret, var tre og tyve tusen, alt mannkjønn blandt dem fra den som var en måned gammel og opover; de blev ikke mønstret sammen med de andre Israels barn, fordi det ikke var gitt dem arv blandt Israels barn.
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
Disse var det som blev mønstret av Moses og Eleasar, presten, da de mønstret Israels barn på Moabs ødemarker ved Jordan midt imot Jeriko,
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
og blandt disse var det ikke nogen av dem som blev mønstret av Moses og Aron, presten, dengang de mønstret Israels barn i Sinai ørken.
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
For Herren hadde sagt at de skulde dø i ørkenen. Og det var ingen tilbake av dem uten Kaleb, Jefunnes sønn, og Josva, Nuns sønn.