< Hesabu 26 >
1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
and to be after [the] plague and to say LORD to(wards) Moses and to(wards) Eleazar son: child Aaron [the] priest to/for to say
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
to lift: count [obj] head: count all congregation son: descendant/people Israel from son: aged twenty year and above [to] to/for house: household father their all to come out: regular army: war in/on/with Israel
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
and to speak: speak Moses and Eleazar [the] priest with them in/on/with Plains (of Moab) (Plains of) Moab upon Jordan Jericho to/for to say
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
from son: aged twenty year and above [to] like/as as which to command LORD [obj] Moses and son: descendant/people Israel [the] to come out: come from land: country/planet Egypt
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
Reuben firstborn Israel son: descendant/people Reuben Hanoch family [the] Hanochite to/for Pallu family [the] Palluite
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
to/for Hezron family [the] Hezronite to/for Carmi family [the] Carmite
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
these family [the] Reubenite and to be to reckon: list their three and forty thousand and seven hundred and thirty
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
and son: child Pallu Eliab
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
and son: child Eliab Nemuel and Dathan and Abiram he/she/it Dathan and Abiram (chosen *Q(K)*) [the] congregation which to struggle upon Moses and upon Aaron in/on/with congregation Korah in/on/with to struggle they upon LORD
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
and to open [the] land: soil [obj] lip her and to swallow up [obj] them and [obj] Korah in/on/with to die [the] congregation in/on/with to eat [the] fire [obj] fifty and hundred man and to be to/for ensign
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
and son: descendant/people Korah not to die
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
son: descendant/people Simeon to/for family their to/for Nemuel family [the] Nemuelite to/for Jamin family [the] Jaminite to/for Jachin family [the] Jachinite
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
to/for Zerah family [the] Zerahite to/for Shaul family [the] Shaulite
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
these family [the] Simeon two and twenty thousand and hundred
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
son: descendant/people Gad to/for family their to/for Zephon family [the] Zephonite to/for Haggi family [the] Haggi to/for Shuni family [the] Shunite
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
to/for Ozni family [the] Oznite to/for Eri family [the] Erite
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
to/for Arod family [the] Arodi to/for Areli family [the] Areli
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
these family son: descendant/people Gad to/for to reckon: list their forty thousand and five hundred
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
son: descendant/people Judah Er and Onan and to die Er and Onan in/on/with land: country/planet Canaan
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
and to be son: descendant/people Judah to/for family their to/for Shelah family [the] Shelanite to/for Perez family [the] Perezite to/for Zerah family [the] Zerahite
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
and to be son: descendant/people Perez to/for Hezron family [the] Hezronite to/for Hamul family [the] Hamulite
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
these family Judah to/for to reckon: list their six and seventy thousand and five hundred
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
son: descendant/people Issachar to/for family their Tola family [the] Tolaite to/for Puah family [the] Punite
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
to/for Jashub family [the] Jashubite to/for Shimron family [the] Shimronite
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
these family Issachar to/for to reckon: list their four and sixty thousand and three hundred
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
son: descendant/people Zebulun to/for family their to/for Sered family [the] Seredite to/for Elon family [the] Elonite to/for Jahleel family [the] Jahleelite
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
these family [the] Zebulunite to/for to reckon: list their sixty thousand and five hundred
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
son: descendant/people Joseph to/for family their Manasseh and Ephraim
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
son: descendant/people Manasseh to/for Machir family [the] Machirite and Machir to beget [obj] Gilead to/for Gilead family [the] Gileadite
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
these son: descendant/people Gilead Iezer family [the] Iezerite to/for Helek family [the] Helekite
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
and Asriel family [the] Asrielite and Shechem family [the] Shechemite
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
and Shemida family [the] Shemidaite and Hepher family [the] Hepherite
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
and Zelophehad son: child Hepher not to be to/for him son: child that if: except if: except daughter and name daughter Zelophehad Mahlah and Noah Hoglah Milcah and Tirzah
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
these family Manasseh and to reckon: list their two and fifty thousand and seven hundred
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
these son: descendant/people Ephraim to/for family their to/for Shuthelah family [the] Shuthelahite to/for Becher family [the] Becherite to/for Tahan family [the] Tahanite
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
and these son: descendant/people Shuthelah to/for Eran family [the] Eranite
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
these family son: descendant/people Ephraim to/for to reckon: list their two and thirty thousand and five hundred these son: descendant/people Joseph to/for family their
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
son: child Benjamin to/for family their to/for Bela family [the] Belaite to/for Ashbel family [the] Ashbelite to/for Ahiram family [the] Ahiramite
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
to/for Shephupham family [the] Shuphamite to/for Hupham family [the] Huphamite
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
and to be son: descendant/people Bela Ard and Naaman (to/for Ard *X*) family [the] Ardite to/for Naaman family [the] Naamite
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
these son: descendant/people Benjamin to/for family their and to reckon: list their five and forty thousand and six hundred
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
these son: descendant/people Dan to/for family their to/for Shuham family [the] Shuhamite these family Dan to/for family their
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
all family [the] Shuhamite to/for to reckon: list their four and sixty thousand and four hundred
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
son: descendant/people Asher to/for family their to/for Imnah family [the] Imnah to/for Ishvi family [the] Ishvite to/for Beriah family [the] Beriite
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
to/for son: descendant/people Beriah to/for Heber family [the] Heberite to/for Malchiel family [the] Malchielite
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
and name daughter Asher Serah
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
these family son: descendant/people Asher to/for to reckon: list their three and fifty thousand and four hundred
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
son: descendant/people Naphtali to/for family their to/for Jahzeel family [the] Jahzeelite to/for Guni family [the] Gunite
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
to/for Jezer family [the] Jezerite to/for Shillem family [the] Shillemite
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
these family Naphtali to/for family their and to reckon: list their five and forty thousand and four hundred
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
these to reckon: list son: descendant/people Israel six hundred thousand and thousand seven hundred and thirty
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
to/for these to divide [the] land: country/planet in/on/with inheritance in/on/with number name
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
to/for many to multiply inheritance his and to/for little to diminish inheritance his man: anyone to/for lip: according to reckon: list his to give: give inheritance his
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
surely in/on/with allotted to divide [obj] [the] land: country/planet to/for name tribe father their to inherit
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
upon lip: according [the] allotted to divide inheritance his between many to/for little
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
and these to reckon: list [the] Levi to/for family their to/for Gershon family [the] Gershonite to/for Kohath family [the] Kohathite to/for Merari family [the] Merari
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
these family Levi family [the] Libnite family [the] Hebronite family [the] Mahlite family [the] Mushite family [the] Korahite and Kohath to beget [obj] Amram
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
and name woman: wife Amram Jochebed daughter Levi which to beget [obj] her to/for Levi in/on/with Egypt and to beget to/for Amram [obj] Aaron and [obj] Moses and [obj] Miriam sister their
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
and to beget to/for Aaron [obj] Nadab and [obj] Abihu [obj] Eleazar and [obj] Ithamar
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
and to die Nadab and Abihu in/on/with to present: bring they fire be a stranger to/for face: before LORD
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
and to be to reckon: list their three and twenty thousand all male from son: aged month and above [to] for not to reckon: list in/on/with midst son: descendant/people Israel for not to give: give to/for them inheritance in/on/with midst son: descendant/people Israel
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
these to reckon: list Moses and Eleazar [the] priest which to reckon: list [obj] son: descendant/people Israel in/on/with Plains (of Moab) (Plains of) Moab upon Jordan Jericho
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
and in/on/with these not to be man: anyone from to reckon: list Moses and Aaron [the] priest which to reckon: list [obj] son: descendant/people Israel in/on/with wilderness (Wilderness of) Sinai
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
for to say LORD to/for them to die to die in/on/with wilderness and not to remain from them man: anyone that if: except if: except Caleb son: child Jephunneh and Joshua son: child Nun