< Hesabu 26 >
1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
Lacik pawng a kâkayaw hoi BAWIPA ni Mosi hoi vaihma Aron capa Eleazar hah a pato teh,
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
Isarel catounnaw pueng hah kum 20 lathueng amamae miphun lahoi Isarel ram dawk e tarantuknae koe kacetthainaw pueng hah be touk loe atipouh.
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
Mosi hoi vaihma Eleazar ni Jeriko avanglah Jordan palang teng Moab tanghling dawk ahnimouh teh a pato teh,
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
BAWIPA ni Mosi hoi Izip ram hoi katâcawtnaw Isarel catounnaw koevah, kâ a poe e patetlah taminaw hah kum 20 hoi a lathueng e pueng touk loe atipouh.
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
Isarel e camin teh Reuben doeh. Reuben capanaw teh, Hanok hoi Hanok imthungkhu, Pallu hoi Pallu imthungkhu.
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
Hezron hoi Hezron imthungkhu, Karmi hoi Karmi imthungkhu,
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
Reuben imthungkhunaw a touk awh teh 43,730 touh a pha.
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
Pallu catoun hoi Eliab,
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
Eliab capanaw teh, Nemuel, Dathan hoi Abiram doeh. Dathan hoi Abiram teh Mosi hoi Aron ka cusin e tamimaya yueng lah doeh ao awh. BAWIPA a taran awh navah Korah hoi kambawng e lahai ao roi.
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
Hotnaw a due navah, talai ni rak a ang teh Korah hah koung a payawp teh, hmai ni tami 250 koung a kak navah, bangnuenae lah a coung awh.
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
Hatei, Korah catounnaw dout awh hoeh.
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
A imthungkhu lahoi Simeon capanaw teh; Nemuel hoi Nemuel imthungkhu, Jamin hoi Jamin imthungkhu, Jakhin hoi Jakhin imthungkhu,
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Zerah hoi Zarah imthungkhu, Saul hoi Saul imthungkhu,
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
Simeon imthungnaw heh 22,200 touh a pha.
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
Gad capanaw hai ama imthungkhu lahoi, Zephon hoi Zephon imthungkhu, Haggi hoi Haggi imthungkhu, Shuni hoi Shuni imthungkhu,
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
Ozni hoi Ozni imthungkhu, Eri hoi Eri imthungkhu,
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
Arod hoi Arodi imthungkhu, Areli hoi Areli imthungkhu,
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
Hetnaw heh Gad imthungkhunaw 40,500 touh a pha.
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
Judah capa roi heh Er hoi Onan ei, Er hoi Onan teh Kanaan kho vah a due.
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Judah capanaw ama imthungkhu lahoi, Shelah hoi Shelah imthungkhu, Perez hoi Perez imthungkhu, Zerah hoi Zarah imthungkhu,
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Perez capanaw teh, Hezron hoi Hezron imthungkhu, Hamul hoi Hamul imthungkhu la ao awh.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
Hetnaw heh Judah imthungkhunaw a touk awh e 76,500 touh a pha.
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
Issakhar capanaw a imthungkhu lahoi, Tola hoi Tola imthungkhu, Puvah hoi Puvah imthungkhu,
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
Jashub hoi Jashub imthungkhu, Shimron hoi Shimron imthungkhu,
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
Hetnaw heh Issakhar imthungkhu a touk awh e 64,300 touh a pha.
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
Zebulun capanaw a imthungkhu lahoi, Sered hoi Sered imthungkhu, Elon hoi Elon imthungkhu, Jahleel hoi Jahleel doeh.
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
Hetnaw heh Zebulun imthungkhu a touk awh e 60,500 touh a pha.
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
Joseph capanaw a imthungkhu lahoi, Manasseh hoi Ephraim.
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
Manasseh capa imthungkhunaw teh, Makhir hoi Makhir imthungkhu. Makhir ni Gilead a sak teh Gilead hoi Gilead imthungkhu lah ao.
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
Gilead capanaw teh, Iezer hoi Iezer imthungkhu, Helek hoi Helek imthungkhu,
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
Asriel hoi Asriel imthungkhu, Shekhem e Shekhem imthungkhu,
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
Shemida e Shemida imthungkhu, Hepher e Hepher imthungkhu,
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
Hepher capa Zelophehad heh a ca tongpa awm hoeh, napuinaw dueng doeh kaawm. Zelophehad canunaw e minnaw teh, Mahlah, Noah, Hoglah, Milkah hoi Tirzah.
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
Hetnaw teh Manasseh imthungkhu a touk awh e 52,700 touh a pha.
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
Ephraim capanaw a imthungkhu lahoi, Shuthela hoi Shuthela imthungkhu, Bekher hoi Bekher imthungkhu, Tahan hoi Tahan imthungkhu lah ao.
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Shuthela capanaw teh, Eran hoi Eran imthungkhu lah ao.
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
Hetnaw teh Ephraim imthungkhu a touk awh e 32,500 touh a pha awh. Hetnaw heh Joseph capa imthungkhunaw doeh.
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
Benjamin capanaw a imthungkhu lahoi, Bela hoi Bela imthungkhu, Ashbel hoi Ashbel imthungkhu, Ahiram hoi Ahiram imthungkhu,
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
Shupham hoi Shupham imthungkhu, Hupham hoi Humpham imthungkhu lah ao.
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
Bela capa roi teh Ard hoi Naaman doeh. Ard imthungkhu hoi Naaman hoi Naaman imthungkhunaw doeh.
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
hetnaw heh Benjamin imthungkhunaw a touk awh e 45,600 touh a pha.
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
Dan capanaw a imthungkhu lahoi, Shuham hoi Shuham imthung lah ao. Hetnaw heh doeh ahnimae imthungkhu dawk hoi Dan imthungkhu lah kaawm.
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
Hetnaw heh Shuham imthungkhunaw a touk awh e 64,400 touh a pha.
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
Asher capanaw a imthungkhu lahoi, Imnah hoi Imnah imthungkhu, Ishvi hoi Ishvi imthungkhu, Beriah hoi Beriah imthungkhu,
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
Beriah ca roi, Heber hoi Heber imthungkhu, Malkhiel hoi Makhiel imthung lah ao.
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
Asher e canu min teh Serah doeh.
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
Hetnaw teh Asher capanaw imthungkhu lahoi a touk awh e 53,400 touh a pha.
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
Naphtali capanaw a imthung lahoi, Jahzeel hoi Jahzeel imthung, Guni hoi Guni imthungkhu,
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
Jezer hoi Jezer imthungkhu, Shillem hoi Shillem imthungkhu lah ao.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
Hetnaw heh Naphtali imthungkhu a touk awh e 45,400 touh a pha.
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
Hetnaw heh Isarel catounnaw a touk awh e 601,730 touh a pha.
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
BAWIPA ni Mosi a pato teh,
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
Hete ramnaw heh apap e lahoi a kârei awh han e naw doeh.
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
Bet kapap e teh ram bet kapap lah na poe awh vaiteh, kayoun e teh ram bet kayoun lah na poe awh han. Miphun lahoi râw teh a coe awh han.
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
Hatei cungpam rayu e lahoi ram teh rei lah ao han, a na mintoenaw hoi miphun min kâbang lahoi rem teh a coe awh han.
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
Cungpam rayu e lahoi apap hai ayoun hai a rei awh han.
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Hetnaw heh Levihnaw e imthungkhu touk e lah ao. Gershon hoi Gershon imthungkhu, Kohath hoi Kohath imthungkhu, Merari hoi Merari imthungkhunaw doeh.
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
Hetnaw heh Levih imthungkhunaw doeh. Libni imthungkhu, Hebron imthungkhu, Mahli imthungkhu, Mushi imthungkhu, Korah imthungkhu lah ao. Kohath ni Amram a khe.
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
Amram e a yu min teh Jokhebed Levih canu, Izip ram hoi Levih koehoi ka tâcawt e doeh. Ahni ni Amram koehoi Aron hoi Mosi, hoi a tawncanu Miriam a khe.
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
Aron ni Nadab hoi Abihu, Eleazar hoi Ithamar a sak.
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
Hatei Nadab hoi Abihu teh BAWIPA hmalah hno hoeh kawi e hmai a hni dawk a due roi.
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
Ahnimae tami tongpa thapa yung touh lathueng touk e pueng teh, 23,000 touh a pha. Isarelnaw thung dawk kârei e ram ka coe hoeh hanlah ao dawkvah, Isarelnaw koe mektouksin e lah awm hoeh.
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
Hetnaw heh Jeriko namran, Jordan palang teng Moab tanghling dawk Isarel catounnaw touk nah Mosi hoi vaihma Eleazar ni touk e doeh.
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
Hatei, Sinai kahrawng e Isarelnaw Mosi hoi vaihma Aron ni a touk e naw hah tami buet touh hai awm hoeh toe.
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni kahrawngum vah a due awh roeroe han ati toe. Jephunneh capa Kalep hoi Nun capa Joshua laipalah teh apihai kahring e awm hoeh toe.