< Hesabu 25 >

1 Israeli akakaa Shitimu, na wanaume wakaanza kufanya ukahaba na wanawake wa Moabu,
Cuando Israel vivía en Sitim, y el pueblo empezó a fornicar con las hijas de Moab:
2 kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu yao. Kwa hiyo watu wakala na kuisujudia miungu ya Moabu.
Porque enviaron para que la gente estuviera presente en las ofrendas hechas a sus dioses; y la gente tomó parte en sus fiestas y honró a sus dioses.
3 Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
Así que Israel tuvo relaciones con las mujeres de Moab en honor del Baal-Peor. Y el Señor se enfureció contra Israel.
4 BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
Entonces el Señor le dijo a Moisés: Toma a todos los jefes del pueblo, ahorcarlos y ponlos en el sol delante del Señor, para que la ira del Señor se aparte de Israel.
5 Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”
Entonces Moisés dijo a los jueces de Israel: Maten a todos aquellos de sus hombres que han tenido relaciones con las mujeres de Moab en honor al Baal de Peor.
6 Kisha mtu mmoja wa Israeli akaleta mwanamke mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake. Hili lilitokea mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli, wakati walipokuwa wakilia mbele ya lango la hema ya kukutania.
Entonces uno de los hijos de Israel se acercó a sus hermanos, llevando consigo a una mujer de Madián, ante los ojos de Moisés y de toda la reunión del pueblo, mientras lloraban a la puerta de la Tienda de reunión.
7 Finehasi mwana wa Eliazari, mwana wa Haruni kuhani, alipoona hivyo, akainuka kutoka jamii ya watu akachukua mkuki mkononi mwake.
Y al ver Finees, hijo de Eleazar, hijo de Aarón el sacerdote, se levantó de entre el pueblo y tomó una lanza en su mano.
8 Akamfuata yule mwanaume Muisraeli hemani na kuwachoma kwa mkuki wote wawili kwenye miili yao, wote yule Muisraeli na yule mwanamke. Kwa hiyo ile tauni ambayo Mungu alikuwa ameituma kwa watu wa Israeli ikakoma.
Y fue tras el hombre de Israel a la tienda, conduciendo la lanza a través de los dos, a través del hombre de Israel y a través del estómago de la mujer. Así se detuvo la enfermedad entre los hijos de Israel.
9 Idadi ya wale waliokufa kwa tauni walikuwa elfu ishirini na nne.
Pero veinticuatro mil de ellos habían muerto por la enfermedad.
10 BWANA akanena na Musa, akasema,
Y él Señor dijo a Moisés:
11 “Finehasi mwana wa Eliazari mwana wa Haruni, kuhani amaigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli kwa sababu alikuwa na wivu kati yao juu ya wivu wangu. Kwa hiyo sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu.
A través de Finees, y debido a su pasión por mi honor, mi ira ha sido apartada de los hijos de Israel, por lo que no he enviado destrucción sobre ellos en mi ira.
12 Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, “Tazama, Ninampa Finehasi agano la amani.
Entonces diles a ellos que les doy un acuerdo de paz.
13 Kwake na kwa wana wake baada yake, litakuwa agano la kudumu la ukuhani kwa sababu alikuwa na wivu juu yangu, Mungu wake. Amewapatanisha wana wa Israeli.
Y por este acuerdo, él y sus hijos después de él tienen el derecho de ser sacerdotes para siempre; porque, por su cuidado por el honor de su Dios, quitó el pecado de los hijos de Israel.
14 Sasa yule Muisraeli aliyeuwawa pamoja na Yule mwanamke Mmidiani alikuwa Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa familia ya uzao wa Simeoni.
Ahora bien, el hombre de Israel que fue condenado a muerte con la mujer de Madián fue Zimri, el hijo de Salu, el jefe de una de las familias de Simeón.
15 Jina la yule Mmidiani aliyeuwawa lilikuwa Cozibi binti wa Zuri, ambaye alikuwa mkuu wa familia wa kabila huko Midiani.
Y la mujer de Madián que fue condenada a muerte fue Cozbi, la hija de Zur; Él era el jefe de una familia en Madián.
16 Kwa hiyo BWANA akanena na Musa na kusema,
Entonces el SEÑOR dijo a Moisés:
17 “Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
Hostiguen a los madianitas y atácalos;
18 kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”
Porque así como los afligieron con sus engaños, con los que los engañaron a ustedes al adorar a Baal-Peor, y en él caso de Cozbi, su hermana, la hija del jefe de Midian, quien fue ejecutada en el momento de la enfermedad que vino sobre ustedes por causa de Baal-Peor.

< Hesabu 25 >