< Hesabu 25 >
1 Israeli akakaa Shitimu, na wanaume wakaanza kufanya ukahaba na wanawake wa Moabu,
Ja Israel asui Sittimissä, ja kansa rupesi tekemään huorin Moabilaisten tytärten kanssa,
2 kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu yao. Kwa hiyo watu wakala na kuisujudia miungu ya Moabu.
Jotka kutsuivat kansan epäjumalainsa uhrille: ja kansa söi, ja kumarsi heidän epäjumaliansa.
3 Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
Ja Israel yhdisti itsensä BaalPeorin kanssa: niin Herran viha julmistui Israelia vastaan.
4 BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
Ja Herra sanoi Mosekselle: ota kaikki kansan päämiehet, ja hirtä heidät Herralle aurinkoa vastaan, että Herran vihan julmuus käännettäisiin Israelista pois.
5 Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”
Ja Moses sanoi Israelin tuomareille: jokainen tappakoon väkensä, jotka BaalPeorin kanssa ovat itsensä yhdistäneet.
6 Kisha mtu mmoja wa Israeli akaleta mwanamke mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake. Hili lilitokea mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli, wakati walipokuwa wakilia mbele ya lango la hema ya kukutania.
Ja katso, mies Israelin lapsista tuli ja toi veljeinsä sekaan Midianilaisen vaimon, Moseksen ja kaikkein Israelin lasten joukon nähden, jotka itkivät seurakunnan majan ovessa.
7 Finehasi mwana wa Eliazari, mwana wa Haruni kuhani, alipoona hivyo, akainuka kutoka jamii ya watu akachukua mkuki mkononi mwake.
Kuin Pinehas Eleatsarin poika, papin Aaronin pojanpoika sen näki, nousi hän kansan keskeltä ja otti keihään käteensä,
8 Akamfuata yule mwanaume Muisraeli hemani na kuwachoma kwa mkuki wote wawili kwenye miili yao, wote yule Muisraeli na yule mwanamke. Kwa hiyo ile tauni ambayo Mungu alikuwa ameituma kwa watu wa Israeli ikakoma.
Ja meni Israelin miehen jälkeen makausmajaan, ja pisti heidät molemmat sekä Israelin miehen, että vaimon vatsasta lävitse: niin rangaistus lakkasi jälleen Israelin lapsista.
9 Idadi ya wale waliokufa kwa tauni walikuwa elfu ishirini na nne.
Ja siinä rangaistuksessa surmattiin neljäkolmattakymmentä tuhatta.
10 BWANA akanena na Musa, akasema,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
11 “Finehasi mwana wa Eliazari mwana wa Haruni, kuhani amaigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli kwa sababu alikuwa na wivu kati yao juu ya wivu wangu. Kwa hiyo sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu.
Pinehas Eleatsarin poika, papin Aaronin pojanpoika, on kääntänyt julmuuteni pois Israelin lasten päältä, siinä että hän oli kiivas minun kiivauteni tähden heidän keskellänsä, etten minä kiivaudessani hukuttanut Israelin lapsia.
12 Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, “Tazama, Ninampa Finehasi agano la amani.
Sentähden sano: katso, minä annan hänelle minun rauhani liiton.
13 Kwake na kwa wana wake baada yake, litakuwa agano la kudumu la ukuhani kwa sababu alikuwa na wivu juu yangu, Mungu wake. Amewapatanisha wana wa Israeli.
Ja hänellä ja hänen siemenellänsä hänen jälkeensä pitää oleman ijankaikkisen pappeuden liiton, että hän oli kiivas Jumalallensa ja sovitti Israelin lapset.
14 Sasa yule Muisraeli aliyeuwawa pamoja na Yule mwanamke Mmidiani alikuwa Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa familia ya uzao wa Simeoni.
Ja lyödyn Israelin miehen nimi, joka Midianilaisen vaimon kanssa lyötiin, oli Simri Salun poika, isän Simeonin huoneen päämies.
15 Jina la yule Mmidiani aliyeuwawa lilikuwa Cozibi binti wa Zuri, ambaye alikuwa mkuu wa familia wa kabila huko Midiani.
Mutta Midianilaisen vaimon nimi, joka myös lyötiin, oli Kosbi, Zurin, Midianin kansan huoneen päämiehen, tytär.
16 Kwa hiyo BWANA akanena na Musa na kusema,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
17 “Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
Ahdistakaat Midianilaisia, ja lyökäät heitä.
18 kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”
Sillä he ovat teitä ahdistaneet kavaluuksillansa, joilla he teidät pettäneet ovat Peorin kautta, ja sisarensa Kosbin kautta, Midianilaisten päämiehen tyttären, joka lyötiin rangaistuksen päivänä, Peorin tähden.