< Hesabu 25 >

1 Israeli akakaa Shitimu, na wanaume wakaanza kufanya ukahaba na wanawake wa Moabu,
Isarel teh shittim kho a sak navah, taminaw pueng teh Moab napui koe kâyo hanlah a kamtawng awh.
2 kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu yao. Kwa hiyo watu wakala na kuisujudia miungu ya Moabu.
A cathut koe thuengnae a sak navah, ouk a coun awh. Taminaw pueng ni a canei awh teh, a cathut koe ouk a tabo awh.
3 Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
Isarel teh, Peor e hmuen koe Baal hoi a kâkuet awh teh, Isarel koe BAWIPA lungkhueknae teh a kâan.
4 BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
BAWIPA ni Mosi koevah takikatho poung e BAWIPA lungkhueknae teh, Isarel koe lahoi a roum thai nahanlah tamimaya kahrawinaw pueng hah a ceikhai awh teh, kanîthun vah, kâtapoenaw pueng hah BAWIPA hmalah kamcengcalah kaithi sak haw telah a ti.
5 Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”
Hatdawkvah, Mosi ni Isarel lawkcengkungnaw koevah, Peor hmuen koe Baal kabawknaw pueng koung thet awh telah a ti.
6 Kisha mtu mmoja wa Israeli akaleta mwanamke mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake. Hili lilitokea mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli, wakati walipokuwa wakilia mbele ya lango la hema ya kukutania.
Khenhaw! Isarel catounnaw thung dawk tami buet touh ni kamkhuengnae lukkareiim takhang koe a khuika navah, Mosi mithmu hoi Isarel catoun tamimaya mithmu vah, Midian napui buet touh a hmaunawnghanaw koe a thokhai.
7 Finehasi mwana wa Eliazari, mwana wa Haruni kuhani, alipoona hivyo, akainuka kutoka jamii ya watu akachukua mkuki mkononi mwake.
Vaihma Aron e capa Eleazar capa Phinahas ni a hmu toteh, tamimaya koehoi a thaw teh tahroe hah a la.
8 Akamfuata yule mwanaume Muisraeli hemani na kuwachoma kwa mkuki wote wawili kwenye miili yao, wote yule Muisraeli na yule mwanamke. Kwa hiyo ile tauni ambayo Mungu alikuwa ameituma kwa watu wa Israeli ikakoma.
Isarelnaw teh lukkareiim thung vah a pâlei teh kahni touh roi hoi pawkkayawng lah a thut. Isarel tami hoi napui teh a vawn dawk a thut teh, Isarel catounnaw koe lacik hah a roum.
9 Idadi ya wale waliokufa kwa tauni walikuwa elfu ishirini na nne.
Hote lacik hoi kadoutnaw teh 24000 touh a pha.
10 BWANA akanena na Musa, akasema,
BAWIPA ni Mosi hah a pato teh,
11 “Finehasi mwana wa Eliazari mwana wa Haruni, kuhani amaigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli kwa sababu alikuwa na wivu kati yao juu ya wivu wangu. Kwa hiyo sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu.
vaihma Aron capa Eleazar capa Phinehas ni Isarel catounnaw koe ka lungkhueknae ka roum sak toe. Bangkongtetpawiteh, ka lungkhueknae ni Isarel catounnaw a raphoe hoeh nahanelah, ahnimouh rahak ka dipmanae patetlah a kâdipma awh van han.
12 Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, “Tazama, Ninampa Finehasi agano la amani.
Hatdawkvah, khenhaw! roumnae ka lawkkam teh, ama koevah ka poe.
13 Kwake na kwa wana wake baada yake, litakuwa agano la kudumu la ukuhani kwa sababu alikuwa na wivu juu yangu, Mungu wake. Amewapatanisha wana wa Israeli.
Ama hoi a catounnaw hanlah, a yungyoe vaihma lah a onae lawkkam lah ao han. Bangkongtetpawiteh, dipma Cathut teh, Isarel catounnaw hanlah yonthanae a sak tet awh telah a ti.
14 Sasa yule Muisraeli aliyeuwawa pamoja na Yule mwanamke Mmidiani alikuwa Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa familia ya uzao wa Simeoni.
Isarelnaw Midian napui hoi a thei awh e min teh Simeonnaw thung dawk imthungkhu kahrawikung Salu capa Zimri doeh.
15 Jina la yule Mmidiani aliyeuwawa lilikuwa Cozibi binti wa Zuri, ambaye alikuwa mkuu wa familia wa kabila huko Midiani.
Midian napui a thei awh e min teh Midian imthungkhu kahrawikung Zur canu Kozbi doeh.
16 Kwa hiyo BWANA akanena na Musa na kusema,
BAWIPA ni Mosi a pato teh,
17 “Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
Midiannaw teh reksaueng nateh tuk awh.
18 kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”
Bangkongtetpawiteh, Peor kecu dawk lacik a tho navah, a tawncanu, Midiannaw kahrawikung canu Kozbi a thei awh e kong dawkvah, nangmouh lathueng kalanhoehe hno sak hoi na tarawk awh toe telah ati.

< Hesabu 25 >