< Hesabu 24 >

1 Balaamu alipooa kuwa ilimpendeza BWANA kubariki Israeli, hakwenda, kama hapo awali, kwa kutumia uganga, badala yake akatazama jangwani.
Aa kanao nioni’ i Balame te ninò’ Iehovà ty hitata Israele le tsy nisikilie’e nanahake i lili’ey fe nampitolihe’e mb’ am-patrambey eñe ty lahara’e.
2 Akayainua macho yake na kumwona Isreli akiwa kwenye kambi, kila mmoja kwa kabila yake, na Roho wa Mungu akamjia.
Aa naho niandra t’i Balame le nioni’e t’Israele nimoneñe an-kiboho’e ey nilahatse amo fifokoa’eo; le nivotrak’ ama’e ty arofon’ Andrianañahare;
3 Akapokea huu unabii na kusema, “Balaamu mwana wa Beori anataka kusema, yeye ambaye macho yake yemefunuliwa sana.
vaho nonjone’e ami’ty hoe ty razan-drehake, Hoe ty fetse’ i Balame ana’ i Beore, naho ty lañona’ ondaty am-pihaino misokake.
4 Huongea na kusikia maneno ya Mungu. Huona maono toka kwa Mwenyezi, ambaye mbele zake humwinamia na macho yake yakiwa yamefumbuliwa.
Ty enta’ ondaty mahajanjiñe ty tsaran’Añahare, naho mahaisake ty aroñaro’ i El-Sadai, mibaboke fe am-pihaino mibolanake:
5 Jinsi zilivyo nzuri hema zako, ewe Yakobo, mahali unapoishi, Israeli!
Fanjaka o kiboho’oo ry Iakòbe naho o kivoho’oo ry Israele.
6 Wamesambaa kama bonde, kama bustani zilizo pembezoni mwa mto, Kama miti ya mishubiri iliyopandwa na BWANA, ni kama mfano wa mielezi pembezoni mwa maji.
Mivelatse hoe vavatane, hoe kodobo añ’olon-tsaka, hoe vahoñe nambole’ Iehovà hoe mendoraveñe añ’olon-drano.
7 Maji yanatiririka katika ndoo zao, na mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri. Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi, na ufalme wao utaheshimiwa.
Hidoandoan-drano o sihoa’eo naho ho an-drano maro o tabiri’eo. Mitoabotse ambone’ i Agage ty mpanjaka’e vaho onjoneñe i fifehea’ey.
8 Mungu anamtoa Misri, na nguvu kama za nyati. Atawameza mataifa wanaopigana nao. Ataivunja mifupa yao katika vipande vipande. atawapiga kwa mishale yake.
Manahake ty tsifan-drimo mitiotiotse t’i Andrianañahare nampiavotse aze amy Mitsraime. Hampibotseke ze tane malaiñe aze hampipozapozake o taola’eo, hampitrofahe’e amo ana-pale’eo.
9 Ananyatia kama simba mume, na kamaa simba jike. Ni nani atakayejaribu kumsumbua? Kila mmoja anayembariki na abarikiwe; na kila mmoja anayemlaani na alaaniwe.”
Nitsakononòke re, nanao fandrean-diona naho hoe liona rene’e, ia ty hampitsekak’ aze? Hene soa tata ze mitat’azo Fonga ozoñeñe o mañozoñ’azoo.
10 Hasira za Balaki zikawaka dhidi ya Balaamu naye akaipiga mikono yake kwa pamoja. Balaki akamwambia Balaamu, “Nilkuita ili uwalaani maadui zangu, Lakini tazama, umewabariki mara tatu.
Nisolebotse amy Balame amy zao ty habose’ i Balake, le nifampitrabohe’e o fità’eo, naho hoe t’i Balak’ amy Bala­me, Nikanjiako haño­zoñe o rafelahikoo, vaho hehe te nitsitsihe’o tata in-telo.
11 Kwa hiyo ondoka uende nyumbani uniache sasa hivi. Nilisema ningekupa zawadi kubwa sana, lakini BWANA amekuzuilia kupata zawadi.”
Mibioña arè mb’ an-toe’o añe, ie ho nonjoneko andi­kerañe eñe ty asi’o; te mone kinala’ Iehovà i ho ni-enge’oy.
12 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Niliwaambia wale wajumbe ulionitumia,
Le hoe t’i Balame amy Balake, Tsy vinolako hao o ìra’o nampihitrife’o amakoo ty hoe,
13 'Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitafanya zaidi ya maneno ya BWANA kwa lolote zuri au baya, au kwa chochote ambacho ningetaka kufanya. Ninaweza kusema kile tu ambacho BWANA ananiambia kusema,' Je, sikuwaambia haya?
Ndra te hatolo’ i Balak’ ahiko ty volafoty naho volamena mahaatseke i anjomba’ey, tsy ho likoareko ty falie’ Iehovà, hanoako ty soa ndra ty raty boak’ an-troko, fa ze nitsarae’ Iehovà ty ho taroñeko?
14 Kwa hiyo sasa, tazama, nitarudi kwa watu wangu. Lakini kwanza nikuonye kile ambacho hawa watu watawafanyia watu wako katika siku zijazo.”
Aa le himpoliako ondatikoo henaneo, fe adono hey hitoroako ty hanoe’ ondaty reroañe am’ondati’oo amo andro ampara’e añeo.
15 Balaamu alianza unabii huu. Akisema, “Balaamu mwana wa Beori anasema, Mtu yule aliyefumbuliwa macho yake.
Aa le nonjone’e ami’ty hoe i fandrazaña’ey: Ty lañona’ i Balame ana’ i Beore, ty taro’ ondaty am-pihaino nabeake.
16 Huu ni unabii wa mtu alisikiaye neno la Mungu, aliye na maarifa toka kwake Yeye aliye juu, aliye na maono kutoka kwa Mwenyezi, Yeye ambaye humpigia magoti macho yakiwa yamefumbuliwa.
Ty kora’ i mpijanjiñe o tsaran’ Añahareoy, vaho ama’e ty fahafohinañe i Andindimoneñey, Oni’e ty aroñaro’ i El-Sadai mibaboke fe am-pihaino mibeake:
17 Ninamwona, lakini hayuko hapa sasa. Ninamtazama, lakini siyo karibu. Nyota itatokea katika Yakobo, na fimbp ya enzi itatokea katika Israeli. Naye atawapigapiga viongozi wa Moabu na kuwaharibu wa uzao wa Sethi
Treako fa tsy henaneo; misamb’ aze iraho fe tsy mitotoke; hiboak’ am’ Iakòbe ty vasiañe; hionjoñe hirik’am’ Israele ty kobaiñe, ho demohe’e o olon-tane’ i Moabeo le fonga ho rotsahe’e o anam-pifandrakarakañeo.
18 Ndipo Edomu atakapokuwa miliki ya Israeli, na Seiri pia itakuwa milki yao, maadui wa Israeli, ambao Israeli atawashinda kwa nguvu zake.
Ho fanañañe t’i Edome, ho hanaña’ o rafelahi’eo t’i Seire, le hitoloñ’ an-kafatrarañe t’Israele.
19 Kutoka kwa Yakobo atatoka mfalme ambaye utawala wake naye atawaangamiza waliosalia katika mji.”
Hiboak’ am’ Iakòbe ty hifehe, handrotsake ty sehanga’ i Are.
20 Kisha Balaamu akamtazama Amaleki na akaanza kutoa unabii wake. Alisema, “Amaleki alikuwa mkuu katika mataifa, lakini mwisho wake utakuwa uharibifu.”
Ie nitalakese’e t’i Amaleke le nonjone’e ty fetse’e ami’ty hoe: Nilohà’ o kilakila taneo t’i Amaleke, Fe hamongorañe ty ho figadoña’e.
21 Kisha Balaamu akawatazama Wakeni na akaanza kutoa unabii wake. Akasema, “Mahali unapoishi pana usalama, na viiota vyake viko kwenye miamba.
Nisambae’e amy zao o nte-Keineo, vaho nañonjona’e fetse ami’ ty hoe: Fatratse o fimoneña’oo naho mioreñe an-damilamy eo ty akiba’o;
22 Lakini pamoja na hayo, Kaini ataharibiwa na Ashuru atakapowachukua mateka.”
fe ho forototoeñe t’i Kàine; ampara’ mbia te ho tana’ i Asore an-drohy?
23 Kisha Balaamu akanza unabii wake wa mwisho. Akasema, “Ole wake atakayesalia Mungu atakapoyafanya haya?
Le nonjone’e ty fetse’e nanao ty hoe: Hedey! Ia ty ho veloñe naho akipen’ Añahare?
24 Merikebu zitakuja toka pwani ya Kittimu; Zitaivamia Ashuru na kuiharibu Eberi, lakini wao pia wataishia kwenye uharibifu.”
Hitotsak’ eo o lakambey hirik’ añ’olo’ i Ketio, ho silofe’ iareo t’i Asore naho hampiambane’e t’i Aibere, ampara’ t’ie mongotse nainai’e.
25 Kisha Balaamu akainuka na kuondoka. Akarudi nyumbani kwake, na Balaki naye akaondoka.
Aa le niongake t’i Balame, nienga, naho nimpoly mb’an-toe’e añe; vaho nimb’ amy lia’e mb’eo ka t’i Balake.

< Hesabu 24 >