< Hesabu 23 >

1 Balaamu akamwabia Balaki, “Jenga madhabahu saba kwa ajili yangu na uandae mafahari saba na kondoo dume saba.”
I rzekł Balaam do Balaka: Zbuduj mi tu siedem ołtarzów, a nagotuj mi tu siedem cielców, i siedem baranów;
2 Kwa hiyo Balaki akafanya kama Balaamu alivyoomba. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume mmoja kwa kila madhabahu.
Uczynił tedy Balak, jako mówił Balaam, i ofiarował Balak z Balaamem cielca, i barana na każdym ołtarzu.
3 Ndipo Balaamu alipomwamiba Balaki, “Simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda. Labda BWANA atakuja kukutana na mimi. Chochote atakachoniambia nitakuambia.” Kwa hiyo akaenda juu ya mlima usiokuwa na miti.
Potem rzekł Balaam do Balaka: Stań przy całopaleniu twojem, a ja odejdę; owa się snać spotka Pan ze mną, a cokolwiek mi objawi, powiem ci; i odszedł sam.
4 Wakati bado akiwa juu ya mlima. Mungu akakutana naye, na Balaamu akamwambia, “Nimejenga madhabahu saba, na nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.”
I spotkał się Pan z Balaamem; i rzekł mu Balaam: Postawiłem siedem ołtarzów, i ofiarowałem cielca i barana na każdym ołtarzu.
5 BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Baalamu akasema, “Rudi kwa Balaki ukamwambie.”
Tedy Pan włożył słowa w usta Balaamowe, i rzekł: Wróć się do Balaka, a mów tak.
6 Kwa hiyo Balaamu akarudi kwa Balaki aliyekuwa amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, na viongozi wote wa Moabu walikuwa pamoja naye.
I wrócił się do niego, a oto stał u ofiary swojej palonej, on i wszystkie książęta Moabskie.
7 Ndipo Balaamu alipoanza kunena unabii wake akisema, “Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki, 'Njoo, nilaanie Yakobo kwa ajili yangu,' alisema, 'Njoo umtie unajisi Israeli,'
A tak zaczął przypowieść swoję, i rzekł: Z Aram przywiódł mię Balak, król Moabski, z gór wschodnich, mówiąc: Przyjdź, przeklinaj mi Jakóba, a przyjdź, złorzecz Izraelowi.
8 Nawezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wale ambao Mungu hawapingi?
Jakoż ja przeklinać mam, kogo Bóg nie przeklina? albo jako złorzeczyć mam, komu Pan nie złorzeczy?
9 Kwa kuwa kutoka juu ya miamba Ninamwona; kutoka kwenye milima ninamtazama. Kuna watu wanaoishi pekee yao na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kawaida.
Bo z wierzchu skał oglądam go, a z pagórków będę nań patrzał; oto, lud ten sam mieszkać będzie, a między narody mieszać się nie będzie.
10 Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au kuhesabu hata robo ya Israeli? Naomba nife kifo cha mtu mwenye haki, na mwisho wa maisha yangu uwe kama wake!”
Któż policzy proch Jakóbów, i liczbę czwartej części Izraela? Niech umrze dusza moja śmiercią sprawiedliwych, i niech będzie dokonanie moje, jako ich.
11 Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nilikuleta ili uwalaani maadui wangu, lakini ona, umewabariki,”
Tedy rzekł Balak do Balaama: Cóżeś mi uczynił? Na przeklinanie nieprzyjaciół moich przyzwałem cię, a oto, błogosławiąc błogosławiłeś im.
12 Balaamu akajibu akasema, “Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA anaweka kinywani mwangu?”
A on odpowiedział i rzekł: Azaż nie mam tego pilnować i mówić, co Pan włożył w usta moje?
13 Basi Balaki akamwambia, “Hebu uje nami kwenye eneo jingine ili uwaone. Utakaowaona ni wale wa karibu tu, huwezi kuwaona wote. Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu.”
I rzekł do niego Balak: Pójdź proszę ze mną na miejsce inne, żebyś go stamtąd widział; (ale tylko część jego ujrzysz, a wszystkiego widzieć nie będziesz; ) przeklinajże mi go stamtąd.
14 Kwa hiyo akampeleka Balaamu kwenye shamba la Zofimu, lililo juu ya Mlima Pisiga, na kule akajenga madhabau zingine saba. Akatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume kwa kila madhabahu.
I zawiódł go na pole Sofim, na wierzch góry Fazga, i zbudował siedem ołtarzów, i ofiarował cielca i barana na każdym ołtarzu.
15 Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Simama hapa karibu na sadaka zako, wakati mimi naenda kukutana na BWANA kule.”
Rzekł tedy Balaam do Balaka: Zostań tu przy całopaleniu twojem, a ja zabieżę tam Panu.
16 Kwa hiyo BWANA akakutana na Balaamu na kumwekea ujumbe kinywani mwake. Alimwambia, “Rudi kwa Balaki ukamwambie huu ujumbe toka kwangu.”
I zaszedł Pan Balaamowi, który włożył słowa w usta jego, i rzekł:
17 Balaamu akamrudia, na tazama, alikuwa amesimama karibu na sadaka zake za kuteketezwa, na vionigozi wa Moabu walikuwa pamoja naye. Balaki akamwuliza, “BWANA amekwambiaje?”
Wróć się do Balaka, a tak mów. Przyszedł tedy do niego, a oto on stał przy całopaleniu swojem, i książęta Moabskie z nim; i rzekł mu Balak: Cóż ci powiedział Pan?
18 Balaamu akaanza kutoa unabii. Akasema, “Inuka, Balaki na usikilize. Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori.
I zaczął rzecz swą temi słowy: Wstań Balaku, a słuchaj: przyjmij w uszy swe słowa moje, synu Seforów.
19 Mungu siyo mtu, kwamba umdanganye, au mwanadamu awezaye kubadili mawazo. Je, alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanya kitu bila kufanya kama alivyosema?
Nie jestci Bóg jako człowiek, aby kłamał, ani jako syn człowieczy, ażeby żałował; azaż on rzecze, a nie uczyni? wymówi, a nie wypełni?
20 Tazama, Mimi nimeamriwa kuwabariki. Mungu ametoa baraka, nami siwezi kuibadilisha.
Otom wziął rozkazanie, abym błogosławił; on błogosławieństwo dał a ja go nie odwrócę.
21 Hajawahi kuona magumu katika Yakobo au tabu katika Israeli. BWANA Mungu wao yuko pamoja nao, na kelele za wafalme wao ziko pamoja nao.
Nie baczy nieprawości w Jakóbie; ani widzi przestępstwa w Izraelu; Pan, Bóg jego, jest z nim, a trąbienie zwycięstwa królewskiego przy nim.
22 Mungu aliwatoa Misri kwa nguvu kama za nyati.
Bóg wywiódł je z Egiptu, mocą jednorożcową był mu.
23 Hakuna uganga utakaofanikiwa dhidi ya Yakobo, na hakuna uchawi utakaomwumiza Israeli. Badala yake, itasemwa juu ya Yakobo na Israeli, 'Tazama kile ambacho Mungu amefanya!'
Albowiem nie masz wieszczby przeciw Jakóbowi, ani wróżki przeciw Izraelowi; od tego czasu mówiono będzie o Jakóbie i o Izraelu, co z nimi uczynił Bóg.
24 Tazama, watu wanainuka kama simba jike, kama vile simba ainukavyo na kuvamia. Halali chini mpaka ale windo lake na kunywa damu ya windo lake,”
Oto lud ten jako lew silny powstanie, jako lwię młode podniesie się, aż pożre łupy, i krew pobitych wypije.
25 Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Kamwe usiwalaani wala kuwabariki.”
Tedy rzekł Balak do Balaama: Ani ich przeklinaj więcej, ani im też błogosław więcej.
26 Lakini Balaamu akamjibu Balaki, “Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema?
I odpowiedział Balaam, a rzekł do Balaka: Azażem ci nie powiadał, mówiąc, że cokolwiek mówić będzie Pan, to uczynię?
27 Balaki akamwambia Balaamu, “Njoo sasa, Nami nitakupeleka mahali pengine. Labda kule itampendeza Mungu kunilaania hawa hawa watu.”
I rzekł Balak do Balaama: Pójdź, proszę, zawiodę cię na insze miejsce, jeźli snać podoba się Bogu, żebyś je stamtąd przeklinał.
28 Kwa hiyo Balaki akampeleka Balaamu juu ya Mlima Peori, ambao unalitazama chini lile jangwa,
Tedy wiódł Balak Balaama na wierzch góry Fegor, która patrzy ku puszczy.
29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa na uniandalie mafahari saba na kondoo duume saba.
I rzekł Balaam do Balaka: Zbuduj mi siedem ołtarzów, a nagotuj mi tu siedem cielców i siedem baranów.
30 “Kwa hiyo Balaki akafanya kama alivyoambiwa; akatoa sadaka ya fahari na kondoo mume kwenye kila madhabahu.
I uczynił Balak, jako mu rozkazał Balaam, i ofiarował cielca i barana na każdym ołtarzu.

< Hesabu 23 >