< Hesabu 23 >

1 Balaamu akamwabia Balaki, “Jenga madhabahu saba kwa ajili yangu na uandae mafahari saba na kondoo dume saba.”
Balamu'a anage huno kini ne' Balakina asmi'ne, amare 7ni'a kresramnama vu ita tro hunentenka, 7ni'a bulimakao afu'ene 7ni'a ve' sipisipi afutamine uvrenka eno.
2 Kwa hiyo Balaki akafanya kama Balaamu alivyoomba. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume mmoja kwa kila madhabahu.
Higeno Balaki'a Balamu'ma asamiaza hu'ne. Higeke Balaki'ene Balamukea magoke magoke kresramna vu itarera mago bulimakaone mago ve sipisipine kresramna vutere hu'na'e.
3 Ndipo Balaamu alipomwamiba Balaki, “Simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda. Labda BWANA atakuja kukutana na mimi. Chochote atakachoniambia nitakuambia.” Kwa hiyo akaenda juu ya mlima usiokuwa na miti.
Hagi Balamu'a anante Balakina asamino, ofaka'ama kresramna vunante otinka mani'nege'na, mago'a kaziga nagrake umani'nanenkeno Ra Anumzamo'a kea nasamigahifi emeriama hu'na anankea tamasami'neno. Anage huteno anantetira Balamu'a zamatreno mago'za omane agonarega marerine.
4 Wakati bado akiwa juu ya mlima. Mungu akakutana naye, na Balaamu akamwambia, “Nimejenga madhabahu saba, na nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.”
Hagi Anumzamo'a Balamuna tutagiha huntegeno, Balamu'a anage huno asami'ne, nagra 7ni'a kresramna vu itarera mago'mago kresramna vu itarera mago bulimakaone, mago ve sipisipine ahe'na kresramna vu'noe.
5 BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Baalamu akasema, “Rudi kwa Balaki ukamwambie.”
Anante Ra Anumzamo'a Balamuna nanekea asamino, Ete vunka Balakina amama kasamu kea ome asamio.
6 Kwa hiyo Balaamu akarudi kwa Balaki aliyekuwa amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, na viongozi wote wa Moabu walikuwa pamoja naye.
Higeno Balamu'a rukrahe huno vuno, ome keana Balaki'a miko Moapu kva vahetamine kresramnama vu itare oti'negeno vu'ne.
7 Ndipo Balaamu alipoanza kunena unabii wake akisema, “Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki, 'Njoo, nilaanie Yakobo kwa ajili yangu,' alisema, 'Njoo umtie unajisi Israeli,'
Anante Balamu'a amanage huno kasnampa kea huama huno zamasami'ne, Aramu zage hanati kaziga agonafi mani'nogeno Moapu kini ne' Balaki'a Israeli vahe'mokizmi kazusi ke eme hunezmantenka, Jekopu nagara huhaviza huzmantogu kea hige'na e'noe.
8 Nawezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wale ambao Mungu hawapingi?
Hagi nagra inankna hu'na Anumzamo'ma kazusima huontoma huno hu'nenia vahera, kazusinkea hunentena, Ra Anumzamo'ma huhaviza huonto huno'ma hu'nenia vahera, inankna hu'na huhaviza huntegahue?
9 Kwa kuwa kutoka juu ya miamba Ninamwona; kutoka kwenye milima ninamtazama. Kuna watu wanaoishi pekee yao na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kawaida.
Nagra have agonareti kefenkamu atre'na Israeli vahera zamage'noe. Zamagra mani ruotage hu'za Anumzamofo vahe mani'ne'za zamarimpa frune mani'naze.
10 Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au kuhesabu hata robo ya Israeli? Naomba nife kifo cha mtu mwenye haki, na mwisho wa maisha yangu uwe kama wake!”
Israeli agehe'za hagera hu'za kahepankna hu'za rama'a vahe nemanisage'za, 4'afi refko hanage'za mago kevu manigahazanagi zamagrira hamprigara osugahaze. Hagi ama mopafima nasimu'ma eri'na mani'nenurera, nagra Anumzamofo agorga nemanina, zamagrikna hu'na narimpa frune frizankura nave'nesie.
11 Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nilikuleta ili uwalaani maadui wangu, lakini ona, umewabariki,”
Anante Balaki'a amanage huno Balamuna antahige'ne. Kagra na'a hunenantane? Nagra ha' vahe'ni'a kazusi huzmantogu kavrena amafina e'noe. Hagi ko! Kagra mani soe'ma hu'zama manisagu asomu ke hunezmantane!
12 Balaamu akajibu akasema, “Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA anaweka kinywani mwangu?”
Hianagi Balamu'a kenona hunteno, Ra Anumzamo'ma huoma huno hunantesia ke'age nagra hugahue hu'ne.
13 Basi Balaki akamwambia, “Hebu uje nami kwenye eneo jingine ili uwaone. Utakaowaona ni wale wa karibu tu, huwezi kuwaona wote. Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu.”
Anante kini ne Balaki'a Balamuna anage huno asmi'ne, Nagrane egeta Pisga agonare umanineta rama'a Israeli vahera ozmagegahane. Hianagi osi'a nezmagenka anama zamagesanama'a kazusi kea huzmanto,
14 Kwa hiyo akampeleka Balaamu kwenye shamba la Zofimu, lililo juu ya Mlima Pisiga, na kule akajenga madhabau zingine saba. Akatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume kwa kila madhabahu.
Huteno anantetira Balamuna avreno Zofim agupofi me'nea Piska agonare, 7ni'a kresramna vu ita ome tro huno, ve bulimakaone ve sipisipinena mago'mago kresramna vu itarera ofa hu'ne.
15 Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Simama hapa karibu na sadaka zako, wakati mimi naenda kukutana na BWANA kule.”
Hagi Balamu'a Balakina asamino, ama kresramna vu itare mani'nege'na Ra Anumzamofona anturega vu'na ome tutagiha huntaneno.
16 Kwa hiyo BWANA akakutana na Balaamu na kumwekea ujumbe kinywani mwake. Alimwambia, “Rudi kwa Balaki ukamwambie huu ujumbe toka kwangu.”
Anante Ra Anumzamo'a Balamuna tutagiha hunteno amanage huno nanekea asami'ne, Ete vunka Balakina ama ana naneke ome asamio.
17 Balaamu akamrudia, na tazama, alikuwa amesimama karibu na sadaka zake za kuteketezwa, na vionigozi wa Moabu walikuwa pamoja naye. Balaki akamwuliza, “BWANA amekwambiaje?”
Higeno Balaki'a anama ofama hu'nere Moapu kva vahe'mo'zane otino mani'neno, na'ane huno Ra Anumzamo'a kasami'ne huno Balamuna antahige'ne?
18 Balaamu akaanza kutoa unabii. Akasema, “Inuka, Balaki na usikilize. Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori.
Ra Anumzamo'ma asami'nea kasnampa nanekea Balamu'a amanage huno asami'ne, Zipori nemofoga kama antahio,
19 Mungu siyo mtu, kwamba umdanganye, au mwanadamu awezaye kubadili mawazo. Je, alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanya kitu bila kufanya kama alivyosema?
Anumzamo'a tagrikna vahera omani'neankino, havigea osugahie. Agra kema hia kere amage anteno anaza nehia ne' mani'ne. Agrama kema nehuno'a, ana kemofo amage anteno eri so'e nehia ne' mani'ne.
20 Tazama, Mimi nimeamriwa kuwabariki. Mungu ametoa baraka, nami siwezi kuibadilisha.
Hagi Ra Anumzamo'a ana vahera asomu ke huzamanto huno nasami'neanki'na, nagra ana kea eritrena ru kea osugahue.
21 Hajawahi kuona magumu katika Yakobo au tabu katika Israeli. BWANA Mungu wao yuko pamoja nao, na kelele za wafalme wao ziko pamoja nao.
Israeli nagapina koana mago havizana kena eriforera osugeno, mago zamazeri haviza hu'zana omanene. Hagi Ra Anumzamo'a zamagrane mani'nege'za, zamagra hu'za Ra Anumzana tagri kinie hu'za nehaze.
22 Mungu aliwatoa Misri kwa nguvu kama za nyati.
Ra Anumzamo Isipitira zamavareno atirami'neankino zamagripina afi' ve bulimakaomofo hanavegna hanave me'ne.
23 Hakuna uganga utakaofanikiwa dhidi ya Yakobo, na hakuna uchawi utakaomwumiza Israeli. Badala yake, itasemwa juu ya Yakobo na Israeli, 'Tazama kile ambacho Mungu amefanya!'
Ha' vahe'mo'zama Israeli vahe avuatga hu'zo, sankuma hu'za zamaheku'ma hanazana, anazamo'a amne'za segahie. Hanige'za menina Israeli vahe'mokizmi nezmage'za maka veamo'za, Anumzamo'a zamahoke neheno ruzahu'za erifore nehianki, keho hu'za hugahaze.
24 Tazama, watu wanainuka kama simba jike, kama vile simba ainukavyo na kuvamia. Halali chini mpaka ale windo lake na kunywa damu ya windo lake,”
Hagi keho, Israeli vahe'mo'za laionimo eaza hu'za ne-eza, laionimo ahenaku hia zagama otre ronato huvava huno aheno asgahu nevazino korama'a neankna hute'za, manigsa hugahaze.
25 Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Kamwe usiwalaani wala kuwabariki.”
Hagi anante Balaki'a anage huno Balamuna asmi'ne, Kazusi kema huozamante'nunka asomu kea huozamanto.
26 Lakini Balaamu akamjibu Balaki, “Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema?
Hianagi Balamu'a amanage huno Balakina asami'ne, Ra Anumzamo'ma huoma huno hunante'nia zana hugahue hu'na kasami'nofi onkasami'noe?
27 Balaki akamwambia Balaamu, “Njoo sasa, Nami nitakupeleka mahali pengine. Labda kule itampendeza Mungu kunilaania hawa hawa watu.”
Hagi Balaki'a anage huno Balamunkura hu'ne, Antureti'ma Ra Anumzamo'a musema huno'ma kazusima huzamantenigu ege'na kavre'na vaneno.
28 Kwa hiyo Balaki akampeleka Balaamu juu ya Mlima Peori, ambao unalitazama chini lile jangwa,
Hagi Balamuna avreno Peori agonare vigeno, ka'ma kokana ke'ne
29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa na uniandalie mafahari saba na kondoo duume saba.
Balamu'a anage huno Balakina asmi'ne, amare 7ni'a kresramna vu ita tro hunentenka, 7ni'a bulimakao afu'ene 7ni'a ve sipisipi afutamine uvrenka eno.
30 “Kwa hiyo Balaki akafanya kama alivyoambiwa; akatoa sadaka ya fahari na kondoo mume kwenye kila madhabahu.
Higeno Balamu'ma asmiaza huno Balaki'a, Ana 7ni'a itarera mago mago ve bulimakaone, mago mago ve sipisipine aheno kresramna vutere hu'ne.

< Hesabu 23 >