< Hesabu 23 >

1 Balaamu akamwabia Balaki, “Jenga madhabahu saba kwa ajili yangu na uandae mafahari saba na kondoo dume saba.”
Hahoi, Balaam ni Balak koevah, hivah thuengnae khoungroe sari touh na sak pouh loe. Maitotan sari touh, tutan sari touh kai hanlah na rakueng pouh loe telah a ti.
2 Kwa hiyo Balaki akafanya kama Balaamu alivyoomba. Kisha Balaki na Balaamu wakatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume mmoja kwa kila madhabahu.
Balak ni Balaam dei e patetlah a sak. Balak hoi Balaam ni bawknae khoungroe tangkuem vah, maitotan buet touh hoi tutan buet touh a poe awh.
3 Ndipo Balaamu alipomwamiba Balaki, “Simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda. Labda BWANA atakuja kukutana na mimi. Chochote atakachoniambia nitakuambia.” Kwa hiyo akaenda juu ya mlima usiokuwa na miti.
Balaam ni Balak koevah, nang ni hmaisawi thuengnae teng vah, pou kangdout lah a, kai teh alouk lah yo ka cet eivai, BAWIPA ni kai pato hanlah a tho thai, hahoi na dei pouh e pueng kai ni nang koe na dei pouh han telah atipouh. Hahoi kacailum e hmuenrasang koe a cei.
4 Wakati bado akiwa juu ya mlima. Mungu akakutana naye, na Balaamu akamwambia, “Nimejenga madhabahu saba, na nimetoa sadaka ya fahari na kondoo dume kwa kila madhabahu.”
Cathut ni Balaam a kâhmo teh ahnimouh ni ama koe bawknae khoungroe sari touh ka sak toe. Bawknae khoungroe buet touh dawk maitotan buet touh, tutan buet touh rip ka poe toe telah a ti.
5 BWANA akaweka ujumbe kwenye kinywa cha Baalamu akasema, “Rudi kwa Balaki ukamwambie.”
Hottelah BAWIPA ni Balaam koe pahni dawk lawk hah a ta pouh teh, ahni koe Balak koe ban nateh, hettelah patuen dei pouh telah a ti.
6 Kwa hiyo Balaamu akarudi kwa Balaki aliyekuwa amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, na viongozi wote wa Moabu walikuwa pamoja naye.
Hahoi ahnimouh a ban teh, khenhaw, hmaisawinae a kung koe ama hoi Moab tami kalennaw teh pou a kangdue teh,
7 Ndipo Balaamu alipoanza kunena unabii wake akisema, “Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka katika milima ya mashariki, 'Njoo, nilaanie Yakobo kwa ajili yangu,' alisema, 'Njoo umtie unajisi Israeli,'
ahni ni lawk hah a pâpho pouh teh, a ram lahoi Balak ni a ceikhai teh, Kanîtholae mon Moab siangpahrang ni tho haw, Jakop hah thoebo haw, tho haw, Isarel hah na pathoe pouh haw telah a ti.
8 Nawezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani? Nawezaje kuwapinga wale ambao Mungu hawapingi?
Bangtelamaw, Cathut ni thoebo hoeh e thoe louk ka bo han, bangtelamaw, Cathut ni pathoe hoeh e louk ka pathoe han.
9 Kwa kuwa kutoka juu ya miamba Ninamwona; kutoka kwenye milima ninamtazama. Kuna watu wanaoishi pekee yao na hawajioni wenyewe kama ni taifa la kawaida.
Bangkongtetpawiteh, lungsongpui dawk ahnimouh teh ka hmu teh, monpui dawk hoi ahnimouh teh ka khet. Khenhaw! miphun louk lah doeh ao awh. Jentelnaw koe pareisin hanlah awm hoeh.
10 Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au kuhesabu hata robo ya Israeli? Naomba nife kifo cha mtu mwenye haki, na mwisho wa maisha yangu uwe kama wake!”
Jakop vaiphu teh apinimaw a touk thai han. Isarel pung pali pung touh teh apinimaw a touk thai han. Tamikalan due e patetlah dout van boipawiteh, ka poutnae teh a poutnae lah thoseh, telah a ti.
11 Balaki akamwambia Balaamu, “Umenifanyia nini? Nilikuleta ili uwalaani maadui wangu, lakini ona, umewabariki,”
Balak ni Balaam koevah, na sak e teh bangtelae na maw. Ka tarannaw thoebo hanlah na hrawi teh, yawhawi dai na poe atipouh.
12 Balaamu akajibu akasema, “Kwa nini nisiwe mwangalifu kusema kile ambacho BWANA anaweka kinywani mwangu?”
Ahni ni BAWIPA ni ka pahni dawk a ta e lawk ka dei mahoeh na maw telah atipouh.
13 Basi Balaki akamwambia, “Hebu uje nami kwenye eneo jingine ili uwaone. Utakaowaona ni wale wa karibu tu, huwezi kuwaona wote. Huko sasa unaweza kunilaania hawa watu.”
Balak ni alouklah cet ei, haw hoi teh na hmu thai nahanlah a onae hmuen ram pueng be na hmu han, abuemlahoi teh be na hmawt mahoeh ei, hot hmuen koehoi ahnimouh teh thoe na bo pouh han telah a ti.
14 Kwa hiyo akampeleka Balaamu kwenye shamba la Zofimu, lililo juu ya Mlima Pisiga, na kule akajenga madhabau zingine saba. Akatoa sadaka ya fahari mmoja na kondoo dume kwa kila madhabahu.
Hottelah, Zophimnaw onae Pisgah monsom dawk a luenkhai. Thuengnae khoungroe sari touh a sak teh, hote thuengnae khoungroe tangkuem dawk maitotan buet touh hoi tutan buet touh rip a poe.
15 Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Simama hapa karibu na sadaka zako, wakati mimi naenda kukutana na BWANA kule.”
Balak koevah, hawvah, BAWIPA ka kâhmo navah, hmaisawi thuengnae a kung koe pou ka kangdout loe telah atipouh.
16 Kwa hiyo BWANA akakutana na Balaamu na kumwekea ujumbe kinywani mwake. Alimwambia, “Rudi kwa Balaki ukamwambie huu ujumbe toka kwangu.”
BAWIPA ni Balaam a kâhmo teh a pahni dawk lawk a ta pouh. Balak koe ban nateh hettelah patuen dei pouh telah a ti.
17 Balaamu akamrudia, na tazama, alikuwa amesimama karibu na sadaka zake za kuteketezwa, na vionigozi wa Moabu walikuwa pamoja naye. Balaki akamwuliza, “BWANA amekwambiaje?”
Ahni koe a cei sin teh, khenhaw! hmaisawi thuengnae akung koevah, a kangdue teh, Moab tami kalennaw hai ahni koe ao. Balak ni BAWIPA ni bangtelamaw a dei telah a ti.
18 Balaamu akaanza kutoa unabii. Akasema, “Inuka, Balaki na usikilize. Nisikilize mimi wewe mwana wa Zippori.
Hahoi teh ahni ni lawk hah a pâpho teh, thaw haw, Balak ka lawk thai haw, Zippor capa ka lawk hah thai haw.
19 Mungu siyo mtu, kwamba umdanganye, au mwanadamu awezaye kubadili mawazo. Je, alishawahi kuahidi kitu pasipo kukitekeleza? Je, alishawahi kusema kuwa atafanya kitu bila kufanya kama alivyosema?
Cathut teh laithoe ka dei e tami nahoeh. Pankângai e tami capa lahai tho hoeh. A dei e teh sak mahoeh na maw. A dei tangcoung e hah kuep sak mahoeh na maw.
20 Tazama, Mimi nimeamriwa kuwabariki. Mungu ametoa baraka, nami siwezi kuibadilisha.
Khenhaw! yawhawi poe hanelah kâlawk ka hmu teh, a yaw ahawi sak toung dawkvah, kâthung thai mahoeh toe.
21 Hajawahi kuona magumu katika Yakobo au tabu katika Israeli. BWANA Mungu wao yuko pamoja nao, na kelele za wafalme wao ziko pamoja nao.
Jakop koe payonpakainae hmawt hoeh niteh, Isarel hawihoehnae hmawt hoeh. Jehovah a Cathut ni a okhai teh, siangpahrang hramnae lawk ahnimouh koe ao.
22 Mungu aliwatoa Misri kwa nguvu kama za nyati.
Izip ram hoi a tâcokhai teh, sakraktan patetlah a thaonae a tawn.
23 Hakuna uganga utakaofanikiwa dhidi ya Yakobo, na hakuna uchawi utakaomwumiza Israeli. Badala yake, itasemwa juu ya Yakobo na Israeli, 'Tazama kile ambacho Mungu amefanya!'
Bangkongtetpawiteh, taân ni Jakop teh tâ thai hoeh, hmaui ni Isarel teh tâ thai hoeh. Jakop hoi Isarel koevah, Cathut hno sak e hah dei lah kaawm roeroe han.
24 Tazama, watu wanainuka kama simba jike, kama vile simba ainukavyo na kuvamia. Halali chini mpaka ale windo lake na kunywa damu ya windo lake,”
Khenhaw! taminaw teh sendekmanu patetlah a thaw teh, sendek patetlah a dawkcawk teh, a kei awh e moi a ca hoehroukrak teh, a kei awh e moi thi a nei hoehroukrak teh duem awm awh mahoeh, telah a ti.
25 Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Kamwe usiwalaani wala kuwabariki.”
Balak ni Balaam koevah thoebo hanh leih. Yawhawi hai poe hanh leih, telah a ti.
26 Lakini Balaamu akamjibu Balaki, “Sijakuambia kuwa nitasema yote ambayo BWANA ananiambia kusema?
Hatei Balaam ni a pathung, BAWIPA ni a dei e naw pueng teh ka sak roeroe hane doeh, telah ka dei nahoehmaw telah a ti.
27 Balaki akamwambia Balaamu, “Njoo sasa, Nami nitakupeleka mahali pengine. Labda kule itampendeza Mungu kunilaania hawa hawa watu.”
Hahoi Balak ni Balaam koevah, tho haw, alouklah na ceikhai han, awi haw kangna teh Cathut ni thoe na bo sak hanelah ahawi ati ta panue maw, telah a ti.
28 Kwa hiyo Balaki akampeleka Balaamu juu ya Mlima Peori, ambao unalitazama chini lile jangwa,
Hottelah Balak ni Balaam teh kahrawng khetnae Peor mon som a luenkhai.
29 Balaamu akamwambia Balaki, “Nijengee madhabahu saba hapa na uniandalie mafahari saba na kondoo duume saba.
Balaam ni Balak koevah, hivah thuengnae khoungroe sari touh na rakueng pouh loe, telah atipouh.
30 “Kwa hiyo Balaki akafanya kama alivyoambiwa; akatoa sadaka ya fahari na kondoo mume kwenye kila madhabahu.
Balak ni Balaam dei e patetlah a sak pouh teh thuengnae khoungroe tangkuem maitotan buet touh hoi tutan buet touh rip a poe.

< Hesabu 23 >