< Hesabu 22 >

1 Watu wa Israeli wakasafiri mpaka wakaweka kambi kwenye uwanda wa Moabu karibu na Yeriko, kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule.
И воздвигшеся сынове Израилтестии, ополчишася на запады Моава у Иордана ко Иерихону.
2 Balaki mwana wa Zippori aliona yote ambayo Israeli aliwafanyia Waamori. Moabu aliogopa sana hao watu kwa sababu walikuwa wengi sana,
И видев Валак сын Сепфоров вся, елика сотвори Израиль Аморрею,
3 na Moabu alIwahofia wana wa Israeli.
и убояся Моав людий зело, яко мнози бяху, и оскорбе Моав от лица сынов Израилевых,
4 Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani, “Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho na maksai hula nyasi za kondeni.” Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu.
и рече Моав старейшинам Мадиамлим: ныне потребит сонм сей всех, иже окрест нас, якоже потребляет телец злак на поли. И Валак, сын Сепфоров, бяше царь Моавль в то время,
5 Akatuma wajumbe kwenda kwa Balamu mwana wa Beori, kule Petho ambayo iko karibu na mto Frati, katika nchi ya taifa lake na watu wake. Akamwita na kumwambia, “Tazama, Kuna taifa ambalo wamekuja hapa tokea Misiri. Wanafunika uso wa dunia na sasa wananifuatia mimi.
и посла послы к Валааму, сыну Веорову, во Фафуру яже есть у реки земли сынов людий его, призвати его, глаголя: се, людие изыдоша из Египта, и се, покрыша лице земли, и сии седят при одержании моем:
6 Tafadhali naomba uje unilaanie hili taifa, kwa sababu wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwavamia na kuwafukuza watoke katika nchi yangu. Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa.”
и ныне прииди, проклени мне люди сия, понеже крепльшии суть паче нас, аше возможем сих избити, и изжену их из земли: яко вем, ихже аще благословиши ты, благословени суть, и ихже аще прокленеши ты, прокляти.
7 Kwa hiyo wazee wa Moabu na wale wa Midiani wakaondoka, pamoja nao wakachukua malipo ya uganga. Wakafika kwa Balaamu wakamwambia maneno ya Balaki.
И идоша старейшины Моавли и старейшины Мадиамли, и волхвования в руках их: и приидоша к Валааму и глаголаша ему словеса Валакова.
8 Balaamu akawaambia, “Bakini hapa usiku wa leo. Kesho nitawaletea atakachoniambia BWANA.” Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakabaki na Balaamu kwa usiku huo.
И рече к ним: препочийте зде нощь (сию), и отвещаю вам деяния, яже аще возглаголет Господь ко мне. И пребыша князи Моавли у Валаама.
9 Mungu akaja kwa Balaamu na kumwambia, “Ni akina nani hawa waliokuja kwako?”
И прииде Бог к Валааму и рече ему: что человецы сии у тебе?
10 Balaamu akamjibu Mungu, “Balaki mwana wa Zippori, Mfalme wa Moabu amewatuma kwangu. Alisema,
И рече Валаам к Богу: Валак сын Сепфоров, царь Моавль, посла их ко мне, глаголя:
11 'Tazama hawa watu waliotoka Misri wanafunika uso wa nchi yangu. Sasa naomba uje unilaanie hawa watu. Labada nitaweza kuwa kuwashinda na kuwafukuza.'”
се, людие изыдоша из Египта и покрыша лице земли, и сии седят при одержании моем: и ныне прииди, проклени ми их, негли возмогу избити их и изгнати я от земли.
12 Mungu akamjiu Balaam, “Usiambatane na hao wanaume. Na usiwalaani hawa wana wa Israeli kwa sababu wamebarikiwa.”
И рече Бог к Валааму: да не идеши с ними, ниже да кленеши людий: суть бо благословени.
13 Balaamu akaamka asubuhi na kuwaambia wale viongozi wa Balaki, “Rudini nchini kwenu kwa sababu BWANA amenikataza kuambatana nanyi.”
И востав Валаам заутра, рече князем Валаковым: возвратитеся к господину своему: не попущает ми Бог ити с вами.
14 Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakaondoka na kurudi kwa Balaki. Wakamwambia, “Balaamu amekataa kuambatana nasi.”
И воставше князи Моавли приидоша к Валаку и рекоша ему: не хощет Валаам приити с нами.
15 Balaki akatuma viongozi wengine waliokuwa wanaheshimiwa zaidi kuliko kundi lile la awali.
И приложи Валак еще послати князи множайшии и честнейшии сих.
16 Wakaja kwa Balaamu na kumwambia, “Balaki mwana wa Zippori anasema hivi, 'Tafadhali hebu kitu chochote kisikuzuie kuja kwangu,
И приидоша к Валааму и глаголаша ему: сия глаголет Валак, сын Сепфоров: молю тя, не обленися приити ко мне:
17 kwa sababu nitakulipa malipo mazuri sana na kukupa heshima kubwa, nami nitakufanyia chochote utakachoniambia. Tafadhali sana uje unilaanie hawa watu.'”
честне бо тя почту, и вся, елика аще речеши ми, сотворю тебе: и прииди, и проклени ми люди сия.
18 Balaamu akawajibu watu wa Balaki akawaambia, “Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA, Mungu wangu na kufanya pungufu au zaidi ya kile anachoniambia.
И отвеща Валаам и рече князем Валаковым: аще ми даст Валак полну храмину свою злата и сребра, не могу преступити слова Господа Бога, еже сотворити то мало или велико в разуме моем:
19 Sasa basi, tafadhali subirini hapa usiku wa leo pia, ili kwamba nipate kujifunza kitu zaidi ambacho BWANA ananiambia.”
и ныне потерпите зде и вы нощь сию, и увем, что приложит Господь глаголати ко мне.
20 BWANA akaja kwa Balaamu usiku ule na kumwambia, “kwa kuwa hawa watu wamekuja kukuita, inuka uende nao. Lakini utafanya tu kile nitakachokuambia kufanya.”
И прииде Бог к Валааму нощию и рече ему: аще звати тя приидоша человецы сии, востав иди вслед их, но слово, еже аше реку тебе, то да сотвориши.
21 Balaamu akainuka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na viongozi wa Moabu.
И востав Валаам заутра, оседла осля свое и иде со князи Моавли.
22 Lakini kwa sababu alienda, hasira za Mungu zikawaka. Malaika wa BWANA akasimama barabarani kama adui wa Balaamu, aliyekuwa akimpanda yule punda. Watumishi wawili wa Balaamu walikuwa pamoja naye.
И разгневася яростию Бог, яко иде сей: и воста Ангел Божий препяти ему на пути. Сей же седяше на осляти своем и два раба его с ним.
23 Yule punda alimwona yule malaika wa BWANA akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Yule punda akageuka na kwenda shambani. Balaamu akampiga yule punda ili arudi barabarani.
И узрев осел Ангела Божия супротив стояща на пути, и мечь извлечен в руце его, и совратися осел с пути и идяше на поле: и бияше (Валаам) осля жезлом своим, еже направити е на путь:
24 Sasa malaika wa BWANA akasimama kwenye njia nyembamba katikati ya mashamba ya mizabibu, na kushoto kwake kulikuwa na ukuta.
и ста Ангел Божий на броздах виноградных: ограждение отсюду, и ограждение отюнуду:
25 Yule punda akamwona yule malaika wa BWANA tena. Akasogea zaidi ukutani na kuubana mguu wa Balaamu ukutani. Balaamu akampiga tena yule punda.
и узрев осел Ангела Божия, приложися ко ограде и прижме ногу Валааму ко ограде, и приложи еще бити его:
26 Yule malaika wa BWANA akasogea mbele zaidi kwenye eneo jingine jembamba zaidi ambalo haikuwezekana kugeuka upande mwingine.
и приложи Ангел Божии, и шед свята в месте узком, в немже не бяше уклонитися ни на десно, ни на лево:
27 Yule Punda akamwona tena yule malaika wa BWANA, akalala chini ya Balaamu. Hasira za Balaamu zikawaka, akampiga yule punda kwa fimbo yake.
и видя осля Ангела Божия, паде под Валаамом: и разгневася Валаам, и бияше осля жезлом.
28 Kisha BWANA akafungua kinywa cha punda na akaongea. Akamwambia Balaamu, “Nimekukosea nini kiasi kwamba umenipiga mara tatu?”
И отверзе Бог уста осляти, и рече Валааму: что сотворих тебе, яко се, в третие биеши мя?
29 Balaamu akamjibu yule punda, “Ni kwa sababu umenitendea kwa ujinga. Natamani kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, kama ningekuwa nao, sasa hivi ningekuwa nimekuua.”
И рече Валаам осляти: яко поругалося ми еси: и аще бых мечь имел в руку моею, пробол бых тя.
30 Yule punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa? Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?” Balaamu akasema “hapana.”
И рече осля Валааму: не аз ли ослица твоя, на нейже ты ездиши от юности своея до днешняго дне? Еда презорством презревши сотворих тебе сие? Он же рече: ни.
31 Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Balaamu akainamisha kichwa chake chini.
Отверзе же Бог очи Валааму, и узре Ангела Божия противостояща на пути, и мечь извлечен в руце его: и приклонився поклонися ему лицем своим.
32 Yule malaika wa BWANA akamwambia, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu? Tazama, Nimekuja kama adui yako kwa sababu matendo yako kwangu yamekuwa maovu.
И рече ему Ангел Божий: почто биеши осля твое сие в третие? И се, Аз приидох на препятие твое, яко неприятен путь твой предо Мною: и видя мя ослица, совратися от Мене се третие:
33 Yule punda aliniona na akageuka kutoka kwangu mara tatu. Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu, hakika ningekuwa nimekua na yeye kumwacha hai.
и аще бы не уклонилася от Мене, ныне тя убо убил бых, сию же сохранил бых.
34 Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, nimetenda dhambi. Sikujua kuwa ulisimama kinyume na mimi barabarani. Kwa hiyo sasa, kama haikupendezi, Nitageuka.”
И рече Валаам ко Ангелу Господню: согреших, не ведех бо, яко Ты мне противостоял еси на пути: и ныне аще Тебе не угодно, возвращуся.
35 Lakini yule malaika wa BWANA akamwambia Balaamu, “endelea na wale watu. Lakini utasema maneno nitakayokwambia tu.”Kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale vioingozi wa Balaki.
И рече Ангел Божий к Валааму: иди ты с человеки: обаче слово, еже аще реку тебе, сие сохрани глаголати. И иде Валаам со князи Валаковы.
36 Balaki aliposikia kuwa Balaamu alikuwa amekuja, alienda kukutana naye kule mjini Moabu pale Amoni, ambao uko mpakani.
И услышав Валак, яко приходит Валаам, изыде во сретение ему во град Моавль, иже есть в пределех Арноних, иже есть на краи пределов.
37 Balaki akamwambia Balaamu, “Je, mimi sikutuma watu kukuita? Basi kwa nini hukuja kwangu? Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimike?”
И рече Валак к Валааму: не послах ли к тебе звати тя? Почто не пришел еси ко мне? Или не возмогу почтити тебе?
38 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Tazama, mimi nimekuja kwako. Je mimi sina mamlaka ya kusema chochote? Mimi ninaweza kusema maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu.”
И рече Валаам к Валаку: се, прихожду к тебе ныне: мощен ли буду глаголати что? Слово, еже аще вложить Бог во уста моя, сие реку.
39 Balaamu akaenda na Balaki, na Wakafika Kiriathi Huzothi.
И иде Валаам с Валаком, и внидоша во Грады Селныя.
40 Kisha Balaki akatoa sadaka ya maksai na kondoo na kumpatia Balaamu baadhi ya hiyo nyama na wale viongozi waliokuwa pamoja naye.
И закла Валак телцы и овцы, и посла Валааму и князем иже с ним.
41 Kesho yake asubuhi, Balaki akampeleka Balaamu mpaka juu mahali pa Baali. Kule juu Balaamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.
И бысть заутра, и взяв Валак Валаама, возведе его на столп Ваалов, и показа ему оттуду часть некую людий.

< Hesabu 22 >