< Hesabu 22 >

1 Watu wa Israeli wakasafiri mpaka wakaweka kambi kwenye uwanda wa Moabu karibu na Yeriko, kwenye upande mwingine wa mto Yorodani kutoka mji ule.
Isala: ili dunu da bu asili, Moua: be umi soge amo Yodane Hano ea eso mabe la: idi, Yeligou moilai bai bagade la: idila la: idilale diala, amogawi ilia fisisu hamoi.
2 Balaki mwana wa Zippori aliona yote ambayo Israeli aliwafanyia Waamori. Moabu aliogopa sana hao watu kwa sababu walikuwa wengi sana,
Moua: be hina bagade Ba: ila: ge (Sibo egefe), e da Isala: ili ilia hou amo A: moulaide dunuma hamoi amola ilia idi bagade nababeba: le,
3 na Moabu alIwahofia wana wa Israeli.
e amola ea fi dunu huluane da bagadewane beda: i galu.
4 Mfalme wa Moabu akawaambia wazee wa Midiani, “Huu umati utakula kila kitu tulicho nacho na maksai hula nyasi za kondeni.” Sasa Balaki mwana wa Zippori alikuwa mfalme wa Moabu.
Moua: be dunu da Midia: ne fi dunu ilima amane sia: i, “Bulamagau gawali da gisi bugi ganodini gisi na ebelesa, amo defele Isala: ili fi bagade da ninia liligi huluane wadela: lesimu.”
5 Akatuma wajumbe kwenda kwa Balamu mwana wa Beori, kule Petho ambayo iko karibu na mto Frati, katika nchi ya taifa lake na watu wake. Akamwita na kumwambia, “Tazama, Kuna taifa ambalo wamekuja hapa tokea Misiri. Wanafunika uso wa dunia na sasa wananifuatia mimi.
Amaiba: le, hina bagade Ba: ila: ge da sia: ne iasu dunu ilia Ba: ila: me (Bio egefe, e da Bidio moilai Amoue soge Iufala: idisi Hano gadenene esalu), amo dunu ema misa: ne sia: si. Sia: ne iasu dunu da Ba: ila: ge ea sia: amane sia: si, “Di da amo liligi dawa: ma: ne na da sia: sisa. Dunu fi bagade da Idibidi sogega goeguda: misi dagoi. Amo dunu da soge huluane amoga a: i ahoa, amola ilia da ninia soge huluane lamusa: magagisa.
6 Tafadhali naomba uje unilaanie hili taifa, kwa sababu wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwavamia na kuwafukuza watoke katika nchi yangu. Najua kuwa yeyote unayembariki hubarikiwa na yeyote unayemlaani atalaaniwa.”
Ilia idi da ninia idi baligi dagoi. Amaiba: le, di goeguda: misini, na fidima: ne ilima gagabusu aligima: ne ilegema. Amasea, amabela: ? ninia da ilima hasalimu amola ninia soge fisimusa: ili sefasimu. Na dawa: ! Di da dunu hahawane esaloma: ne sia: sea, ilia da hahawane esalumu, amola di da ilima gagabusu aligima: ne ilegesea, amo gagabusu da ilima aligi dialumu.”
7 Kwa hiyo wazee wa Moabu na wale wa Midiani wakaondoka, pamoja nao wakachukua malipo ya uganga. Wakafika kwa Balaamu wakamwambia maneno ya Balaki.
Amaiba: le, Moua: be amola Midia: ne ouligisu dunu da amo gagabusu ilegesu dabe sia: amo gaguli asili, Ba: ila: mema doaga: le, Ba: ila: ge ea sia: ema sia: ne i.
8 Balaamu akawaambia, “Bakini hapa usiku wa leo. Kesho nitawaletea atakachoniambia BWANA.” Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakabaki na Balaamu kwa usiku huo.
Ba: ila: me da ilima amane sia: i, “Wali guiguda: golale, aya na da Hina Gode Ea nama sia: mu, amo dilima olelemu.” Amaiba: le, Moua: be ouligisu dunu da Ba: ila: me ili esalu.
9 Mungu akaja kwa Balaamu na kumwambia, “Ni akina nani hawa waliokuja kwako?”
Gode da Ba: ila: mema misini, amane sia: i, “Amo dunu dili esalebe da nowa dunula: ?”
10 Balaamu akamjibu Mungu, “Balaki mwana wa Zippori, Mfalme wa Moabu amewatuma kwangu. Alisema,
Ba: ila: me da bu adole i, “Moua: be hina bagade Ba: ila: ge da ili nama amane olelema: ne asunasi,
11 'Tazama hawa watu waliotoka Misri wanafunika uso wa nchi yangu. Sasa naomba uje unilaanie hawa watu. Labada nitaweza kuwa kuwashinda na kuwafukuza.'”
‘Dunu fi amo da Idibidi sogega misi da soge huluane amoga a: i ahoa. E da agoane hanai gala, amo na da gagubusu ilima aligima: ne ilegemu. Amasea, e da ilima doagala: le, gadili sefasimusa: dawa: mu.”
12 Mungu akamjiu Balaam, “Usiambatane na hao wanaume. Na usiwalaani hawa wana wa Israeli kwa sababu wamebarikiwa.”
Gode da Ba: ila: mema amane sia: i, “Amo dunu mae sigi masa! Amola Isala: ili fi dunu ilima gagabui aligima: ne mae ilegema! Bai Na da ilima hahawane dogolegele hou ilegele i dagoi.”
13 Balaamu akaamka asubuhi na kuwaambia wale viongozi wa Balaki, “Rudini nchini kwenu kwa sababu BWANA amenikataza kuambatana nanyi.”
Golale, hahabe, Ba: ila: me da Ba: ila: ge ea sia: ne iasu dunuma asili, amane sia: i, “Dilia diasuga buhagima! Hina Gode da, na dili mae sigi masa: ne sia: i dagoi.”
14 Kwa hiyo wale viongozi wa Moabu wakaondoka na kurudi kwa Balaki. Wakamwambia, “Balaamu amekataa kuambatana nasi.”
Amaiba: le, ilia da Ba: ila: ge ema buhagili, Ba: ila: me da ili mae sigi misa: ne sia: i amo ema olelei.
15 Balaki akatuma viongozi wengine waliokuwa wanaheshimiwa zaidi kuliko kundi lile la awali.
Amalalu, Ba: ila: ge da sia: ne iasu dunu ilia idi da musa: asi dagoi, amo ilia hou da musa: asi hou ilia baligi, amo asunasi.
16 Wakaja kwa Balaamu na kumwambia, “Balaki mwana wa Zippori anasema hivi, 'Tafadhali hebu kitu chochote kisikuzuie kuja kwangu,
Ilia da Ba: ila: mema asili, Ba: ila: ge ea sia: ema amane alofele i, “Na dima ha: giwane edegesa. Misa! Logo ga: su liligi mae dawa: ma!
17 kwa sababu nitakulipa malipo mazuri sana na kukupa heshima kubwa, nami nitakufanyia chochote utakachoniambia. Tafadhali sana uje unilaanie hawa watu.'”
Na da bidi bagadewane dima imunu, amola dia hanai adole ba: su huluane hamomu. Na dima ha: giwane edegesa. Misa! Amola na fidima: ne amo Isala: ili dunu fi ilima gagabui aligima: ne ilegema.”
18 Balaamu akawajibu watu wa Balaki akawaambia, “Hata kama Balaki atanipa ikulu yake ikiwa imejaa fedha na dhahabu, sitaweza kufanya dhidi ya maneno ya BWANA, Mungu wangu na kufanya pungufu au zaidi ya kile anachoniambia.
Be Ba: ila: me da bu adole i, “Ba: ila: ge da silifa amola gouli ea hina bagade diasu ganodini amo huluanedafa nama ianoba, na da Hina Gode Ea sia: fonobahadi afae fawane giadofamu da nama hamedei gala: loba.
19 Sasa basi, tafadhali subirini hapa usiku wa leo pia, ili kwamba nipate kujifunza kitu zaidi ambacho BWANA ananiambia.”
Be dilia musa: misi dunu defele, wali gasia goeguda: esaloma. Bai na da Hina Godema bu adole ba: mu. Amabela: ? E da nama sia: eno ganabela: ?”
20 BWANA akaja kwa Balaamu usiku ule na kumwambia, “kwa kuwa hawa watu wamekuja kukuita, inuka uende nao. Lakini utafanya tu kile nitakachokuambia kufanya.”
Amo gasia, Gode da Ba: ila: mema misini, amane sia: i, “Amo dunu da dia ili sigi masa: ne sia: musa: misi galea, defea, dia liligi momagele, ili sigi masa. Be Na hamoma: ne sia: i defele amo fawane hamoma.”
21 Balaamu akainuka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na viongozi wa Moabu.
Amaiba: le, hahabe, Ba: ila: me da ea dougi amo da: iya fa: le fisu amo lala: gilalu, fila heda: le, Moua: be ouligisu dunu amola sigi asi.
22 Lakini kwa sababu alienda, hasira za Mungu zikawaka. Malaika wa BWANA akasimama barabarani kama adui wa Balaamu, aliyekuwa akimpanda yule punda. Watumishi wawili wa Balaamu walikuwa pamoja naye.
Ba: ila: me da ahoabeba: le, Gode da ougi ba: i. Amaiba: le, Ba: ila: me da ea dougi da: iya fila heda: le, ea hawa: hamosu dunu aduna amola gilisili: logoga ahoanoba, Hina Gode Ea a: igele dunu da ea logo hedofamusa: , logo dogoa lelu.
23 Yule punda alimwona yule malaika wa BWANA akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Yule punda akageuka na kwenda shambani. Balaamu akampiga yule punda ili arudi barabarani.
Dougi da a: igele dunu gegesu gobihei bagade gaguliwane lelebe ba: beba: le, e da logo fisili, bu la: ididili sega sa: i. Ba: ila: me da ea dougi fananu, bu logoga logei.
24 Sasa malaika wa BWANA akasimama kwenye njia nyembamba katikati ya mashamba ya mizabibu, na kushoto kwake kulikuwa na ukuta.
Amalalu, a:igele dunu da logo donoboi amo da waini efe sagai amo da igiga gagoi, amo dibiga asili, lelu.
25 Yule punda akamwona yule malaika wa BWANA tena. Akasogea zaidi ukutani na kuubana mguu wa Balaamu ukutani. Balaamu akampiga tena yule punda.
Dougi da a: igele ba: beba: le, logo la: idi amoga bobogala: le, Ba: ila: me ea emo da igiga gagoi amo damana fanasili gigidinai. Ba: ila: me da bu enowane dougi fai.
26 Yule malaika wa BWANA akasogea mbele zaidi kwenye eneo jingine jembamba zaidi ambalo haikuwezekana kugeuka upande mwingine.
A: igele da eno ba: le gaidi asili, donoboidafa logo sogebi, la: ididili amola la: ididili baligimu hamedei sogebi, amoga lelu.
27 Yule Punda akamwona tena yule malaika wa BWANA, akalala chini ya Balaamu. Hasira za Balaamu zikawaka, akampiga yule punda kwa fimbo yake.
Dougi da bu a: igele dunu ba: beba: le, osoboga diagudui. Ba: ila: me ea ougi bagade heda: le, e da dougi amo ea galiamoga fananu.
28 Kisha BWANA akafungua kinywa cha punda na akaongea. Akamwambia Balaamu, “Nimekukosea nini kiasi kwamba umenipiga mara tatu?”
Amalalu, Hina Gode da dougi amoma, dunuga sia: be agoane sia: ma: ne, gasa i. Dougi da Ba: ila: mema amane sia: i, “Na da dima adi hamobela: ? Di da abuliba: le, na udiana agoane udigili fabela: ?”
29 Balaamu akamjibu yule punda, “Ni kwa sababu umenitendea kwa ujinga. Natamani kama ningekuwa na upanga mkononi mwangu, kama ningekuwa nao, sasa hivi ningekuwa nimekuua.”
Ba: ila: me da bu adole i, “Bai di da na gagaoui dunu agoane ba: ma: ne, hamoi dagoi! Na da gegesu gobihei bagade gagui ganiaba, na da di medole legela: loba.”
30 Yule punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako ambaye umenipanda maishani mwako mwote mpaka hivi sasa? Je, nimewahi kuwa na tabia ya kukufanyia hivi hapo awali?” Balaamu akasema “hapana.”
Dougi da bu adole i, “Na da dia dougi amola dia esalusu ganodini di da eso huluane nama fila heda: le ahoanusu. Na da amo hou musa: dima hamobela: ?” Ba: ila: me da bu adole i, “Hame mabu!”
31 Basi BWANA akafungua macho ya Balaamu, na akamwona malaika wa BWANA amesimama barabarani akiwa na upanga mkononi mwake. Balaamu akainamisha kichwa chake chini.
Amalalu, Hina Gode da Ba: ila: mema amo a: igele dunu gegesu gobihei bagade gaguiwane lelebe amo ba: ma: ne, e si doasi. Amalalu, Ba: ila: me da hina: odagi osoba guduli gala: lasa: i.
32 Yule malaika wa BWANA akamwambia, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu? Tazama, Nimekuja kama adui yako kwa sababu matendo yako kwangu yamekuwa maovu.
A: igele da ema amane sia: i, “Dia abuliba: le udiana agoane dia dougi fabela: ? Na da dia logo hedofamusa: misi dagoi! Bai di da amodili masunu da defea hame galebe.
33 Yule punda aliniona na akageuka kutoka kwangu mara tatu. Kama asingekuwa amegeuka kutoka kwangu, hakika ningekuwa nimekua na yeye kumwacha hai.
Be dia dougi da na ba: lalu udiana agoane sinidigi. E da agoai hame hamosa ganiaba, na da di fane legela: loba, amola dougi hame fane legela: loba.”
34 Balaamu akamwambia malaika wa BWANA, nimetenda dhambi. Sikujua kuwa ulisimama kinyume na mimi barabarani. Kwa hiyo sasa, kama haikupendezi, Nitageuka.”
Ba: ila: me da bu adole i, “Na da wadela: le hamoi dagoi. Di da na logo hedofamusa: logoga lelu, na da hame dawa: i galu. Be di da na bu masunu da defea hame dawa: sea, na da na diasuga buhagimu.”
35 Lakini yule malaika wa BWANA akamwambia Balaamu, “endelea na wale watu. Lakini utasema maneno nitakayokwambia tu.”Kwa hiyo Balaamu akaendelea na wale vioingozi wa Balaki.
Be a: igele da ema amane sia: i, “Di mae buhagili, amo dunu sigi masa. Be na dima adomu liligi fawane sia: ma!” Amaiba: le, Ba: ila: me da Moua: be ouligisu dunu amola bu sigi asi.
36 Balaki aliposikia kuwa Balaamu alikuwa amekuja, alienda kukutana naye kule mjini Moabu pale Amoni, ambao uko mpakani.
Ba: ila: ge da Ba: ila: me ea manebe sia: nababeba: le, e da A moilai bai bagade (Anone Hano bega: amola Moua: be soge alalo amoga dialu) amoga Ba: ila: me yosia: musa: asi.
37 Balaki akamwambia Balaamu, “Je, mimi sikutuma watu kukuita? Basi kwa nini hukuja kwangu? Je, mimi sina uwezo wa kukufanya uheshimike?”
Ba: ila: ge da Ba: ila: mema amane sia: i, “Dia abuliba: le na da musa: misa: ne sia: i amoga hame misibala: ? Dia adi dawa: bela: ? Na da dima bidi defele imunu hamedebela: ?”
38 Ndipo Balaamu alipomjibu Balaki, “Tazama, mimi nimekuja kwako. Je mimi sina mamlaka ya kusema chochote? Mimi ninaweza kusema maneno ambayo Mungu ameweka kinywani mwangu.”
Ba: ila: me da bu adole i, “Na da wali misi dagoi! Dafawanela: ? Be na da gasa hamedei. Na da Gode Ea nama sia: i liligi fawane sia: mu, amo fawane gasa gala.”
39 Balaamu akaenda na Balaki, na Wakafika Kiriathi Huzothi.
Amalalu, Ba: ila: me amola Ba: ila: ge da Gilia: de Husode moilai amoga asili,
40 Kisha Balaki akatoa sadaka ya maksai na kondoo na kumpatia Balaamu baadhi ya hiyo nyama na wale viongozi waliokuwa pamoja naye.
Ba: ila: ge da bulamagau amola sibi medole legele, amo ea hu mogili Ba: ila: me amola ouligisu dunu amo ili gilisili moma: ne ema i.
41 Kesho yake asubuhi, Balaki akampeleka Balaamu mpaka juu mahali pa Baali. Kule juu Balaamu aliweza kuona sehemu tu ya kambi za Waisraeli.
Golale, hahabe, Ba: ila: ge da Ba: ila: me amo Ba: imode Ba: ile (gado sogebi) amoga oule asi. Amoga, Ba: ila: me da Isala: ili fi dunu mogili ba: musa: dawa: i.

< Hesabu 22 >