< Hesabu 21 >
1 Aradi mfalme wa Wakanaani, aliyekuwa akiishi Negebu, aliposikia kuwa Israeli alikuwa akisafiri kwa kupitia barabara kuelekea Atharimu, akapigana dhidi ya Israeli na kujitwalia baadhi ya mateka.
A gdy król Aradu, Kananejczyk, który mieszkał na południu, usłyszał, że Izrael nadciąga drogą, którą [przeszli] szpiedzy, stoczył walkę z Izraelem i wziął jeńców.
2 Israeli akaapa mbele ya BWANA akasema, “Kama utatupa ushindi dhidi ya hawa watu, ndipo tutakapoingamiza kabisa miji yao,”
Wtedy Izrael złożył PANU ślub, mówiąc: Jeśli wydasz ten lud w moje ręce, całkowicie zniszczę ich miasta.
3 BWANA akaisikia sautiya Israeli na kuwapa ushindi dhidi ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao. Mahali pale paliitwa Horima.
I PAN wysłuchał głosu Izraela, i wydał mu Kananejczyków. Całkowicie zniszczyli ich oraz ich miasta, a nadano temu miejscu nazwę Chorma.
4 Wakasafiri kutoka Mlima Hori kwa barabara kuelekea bahari ya shamu wakiizunguka nchi ya Edomu. Watu walikufa moyo kwa njia hiyo.
Potem wyruszyli od góry Hor w kierunku Morza Czerwonego, aby obejść ziemię Edom. I lud bardzo się zniechęcił w drodze.
5 Watu wakamnung'unikia Mungu na Musa: “Kwa nini umetutoa Misiri ili tufa katika jangwa hili? Hapa hakuna mikate, wala maji, na chakula hiki dhaifu kimetukinai.”
Lud zaczął więc mówić przeciw Bogu i Mojżeszowi: Dlaczego wyprowadziliście nas z Egiptu, abyśmy pomarli na tej pustyni? Bo nie ma chleba ani wody, a nasza dusza obrzydziła sobie ten cienki chleb.
6 Basi Mungu akatuma nyoka wa sumu kati yao. Wale nyoka wakawauma wale watu; watu wengi walikufa.
Zesłał więc PAN na lud węże jadowite, które go kąsały; i pomarło wiele osób z Izraela.
7 Watu wakaenda kwa Musa wakamwambia, “Tumetenda dhambi kwa sababu tumemnung'unikia Mungu na wewe. Mwombe Mungu atuondolee hawa nyoka.” Kwa hiyo Musa akawaombea watu.
I lud przyszedł do Mojżesza, i powiedział: Zgrzeszyliśmy przez to, że mówiliśmy przeciw PANU i przeciw tobie. Módl się do PANA, aby oddalił od nas te węże. I Mojżesz modlił się za lud.
8 BWANA akamwambia Musa, “Tengeneza nyoka na umweke kwenye nguzo. Na itakuwa kila anayeumwa, akimwangalia huyo nyoka atapona,”
Wtedy PAN powiedział do Mojżesza: Wykonaj jadowitego węża i umieść go na drzewcu. I stanie się tak, że każdy ukąszony, kiedy spojrzy na niego, będzie żył.
9 Kwa hiyo Musa akatengeneza nyoka wa shaba naye akamweka juu ya nguzo. Na kila mtu alipoumwa na nyoka na kumwangalia huyo nyoka alipona.
Mojżesz wykonał więc węża miedzianego i umieścił go na drzewcu; gdy wąż kogoś ukąsił, a ten spojrzał na węża miedzianego, pozostawał przy życiu.
10 Kisha watu wa Israeli wakasafiri na kisha kuweka kambi Obothi.
I wyruszyli synowie Izraela, i rozbili obóz w Obot.
11 Kisha wakasafiri kutoka pale na kuweka kambi Iye Abarimu katika jangwa linalokabili Moabu kuelekea upande wa mashariki.
A z Obot wyruszyli i rozbili obóz w Ijje-Haabarim na pustyni, która leży naprzeciw Moabu ku wschodowi słońca.
12 Kutoka pale wakasafiri na kuweka kambi katika bonde la Zeredi.
Stamtąd wyruszyli i rozbili obóz nad potokiem Zered.
13 Kutoka pale walisafiri na kuweka kambi kwenye upande mwingine wa mto Amoni, ambao ukubwa wake unaanzia kwenye mpaka wa Waamori. Mto wa Amoni ndio unaootengeneza mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
Stamtąd wyruszyli i rozbili obóz po drugiej stronie [rzeki] Arnon, która wypływa na pustyni od granicy Amorytów; Arnon stanowi bowiem granicę Moabu między Moabitami a Amorytami.
14 Ndiyo maana imeandikwa katika gombo la Kitabu cha BWANA, “Wahebu katika Sufa, na bonde la Amoni,
Dlatego jest powiedziane w księdze wojen PANA: Jak uczynił w Morzu Czerwonym i w potokach Arnonu;
15 mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu,”
U ujścia tych potoków, które ciągnie się ku osadzie Ar i przylega do granicy Moabu.
16 Kutoka pale wakasafiri mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho Bwana alimwambia Musa, “Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji,”
Stamtąd udali się do Beer; to jest ta studnia, o której PAN powiedział do Mojżesza: Zgromadź lud, a dam mu wody.
17 Ndipo Israeli waipoimba wimbo huu: “enyi visima, yajazeni maji. Imbeni juu ya kisima hiki.
Wtedy Izrael śpiewał tę pieśń: Wzbierz studnio! Śpiewajcie o niej.
18 Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea.” Kisha kutoka jangwani walitembea mpaka Matanaha.
To studnia, którą wykopali naczelnicy; wykopali ją dostojnicy ludu wraz z prawodawcą swoimi laskami. A z tej pustyni [poszli] do Mattany;
19 Kutoka Matanaha walisafiri mpaka Nathalieli, na kutoka Nathalieli mpaka Bamothi,
A z Mattany do Nahalielu, a z Nahalielu do Bamot;
20 na kutoka Bamothi hadi kwenye bonde la Moabu. Hapo ndipo kilele cha Mlima Piska kinapoonekana jangwani.
A z Bamot do kotliny, która [jest] w ziemi Moabu, i do szczytu Pizga wznoszącego się nad Jeszimonem.
21 Kisha Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori akisema,
I Izrael wysłał posłańców do Sichona, króla Amorytów, mówiąc:
22 Tunaomba tupite katika nchi yako. hatutapita katika shamba au kwenye shamba la mizabibu. Hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita katika njia kuu ya mfalme mpaka tutakapopita mpaka wako.”
Pozwól nam przejść przez twoją ziemię; nie pójdziemy ani przez pola, ani przez winnice; nie będziemy pić wód ze studni. Pójdziemy drogą królewską, dopóki nie przejdziemy twoich granic.
23 Lakini mfalme Sihoni hakumruhusu Israeli kupita kwenye mpaka wao. Badala yake, Sihoni akakusanya jeshi lake lote na kumvamia Isreli huko jangwani. Akaja kwa Jahazi, ambapo alipigana dhidi ya Israeli.
Sichon jednak nie pozwolił Izraelowi przejść przez swoją granicę; Sichon zebrał cały swój lud i wyszedł przeciw Izraelowi na pustynię, a gdy przyszedł do Jahazy, stoczył bitwę z Izraelem.
24 Israeli akalivamia jeshi la Sihoni na nchi ya upanga na kuchukua nchi yao kutoka Amon mpaka mto Jabboki, hadi kufikia nchi ya watu wa Amoni. Sasa mpaka wa watu wa Amoni ulikuwa umefungwa.
I Izrael pobił go ostrzem miecza, i wziął w posiadanie jego ziemię od Arnonu do Jabboku, aż do [ziemi] synów Ammona, gdyż granica Ammonitów była silna.
25 Israeli akachukua miji yote ya Waamori na akaishi ndani yake, pamoja na Heshiboni na vijiji vyake wote.
Wtedy Izrael zdobył wszystkie te miasta i zamieszkał we wszystkich miastach Amorytów, w Cheszbonie i we wszystkich przylegających do niego wsiach.
26 Heshiboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye hapo awali alipigana dhidi ya mfalme wa kwanza wa Moabu. Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote toka mipaka yake mpaka mto wa Amoni.
Cheszbon był miastem Sichona, króla Amorytów, który walczył z królem Moabu i zabrał mu z rąk całą jego ziemię aż po Arnon.
27 Hiyo ndiyo sababu wala ambao huongea kwa Mitahali husema, “Njoni Heshboni. Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena.
Dlatego mówią w przypowieści: Wejdźcie do Cheszbonu i niech się odbuduje, i umocni miasto Sichona.
28 Moto uliwaka toka Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni ambao uliiteketeza Ari ya Moabu, na wenyeji wa miji ya juu ya Amoni.
Ponieważ ogień wyszedł z Cheszbonu, płomień z miasta Sichona; i pochłonął Ar moabskie oraz wzgórza Arnonu.
29 Ole wako, Moabu! umepotea, enyi watu wa Chemoshi. Amewafanya watu wake kuwa wakimbizi na binti zake kuwa wafungwa wa Sihoni mfalme wa Waamori.
Biada tobie, Moabie! Zginąłeś, ludu Kemosza! Wydał swoich synów na tułaczkę i swoje córki w niewolę Sichonowi, królowi Amorytów.
30 Lakini tumempiga Sihoni. Tumeiangsmiza Heshibon mpaka Diboni. Tumewaharibu wote mpaka Nofa, ambayo inafika mpaka Madeba.”
Strzelaliśmy do nich, zginął Cheszbon aż po Dibon; a zburzyliśmy [je] aż do Nofach, które [idzie] aż do Medeby.
31 Kwa hiyo Israeli akaanza kuishi katika nchi ya Waamori,
Tak to Izrael zamieszkał w ziemi Amorytów.
32 Kisha Musa akatuma watu kwenda kuingalia Yaziri. Waliviteka vijiji vyake na kuwafukuza Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Wtedy Mojżesz wysłał [wywiadowców] do Jazer na wyszpiegowanie, a oni zdobyli jego wsie i wypędzili Amorytów, którzy tam [byli].
33 Kisha wakageuka na kuelekea njia inayoelekea Bashani. Ogu mfalme wa Bashani akatofautiana nao, yeye na Jeshi lake lote, ili apigane nao kule Ederei.
Potem zawrócili i poszli w kierunku Baszanu; tam Og, król Baszanu, wyszedł przeciwko nim, on i cały jego lud, do walki w Edre.
34 Kisha BWANA akasema na Musa, “Msimwogope, kwa sababu nimewapeni ushindi dhidi yake, Jeshi lake lote na nchi yake. Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akiishi Heshiboni.”
Wtedy PAN powiedział do Mojżesza: Nie bój się go, gdyż wydałem go w twoje ręce wraz z całym jego ludem i ziemią i uczynisz z nim tak, jak uczyniłeś z Sichonem, królem Amorytów, który mieszkał w Cheszbonie.
35 Kwa hiyo wakamuua, na wanawe, na jeshi lake lote, mpaka wote wakaishi na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai. Kisha wakaichukua nchi yake.
I pobili go i jego synów oraz cały jego lud, tak że nikogo z niego nie pozostawili przy życiu, i wzięli w posiadanie jego ziemię.