< Hesabu 21 >

1 Aradi mfalme wa Wakanaani, aliyekuwa akiishi Negebu, aliposikia kuwa Israeli alikuwa akisafiri kwa kupitia barabara kuelekea Atharimu, akapigana dhidi ya Israeli na kujitwalia baadhi ya mateka.
Kanaannaw Arad siangpahrang akalae kaawm e niyah, Isarelnaw, Atharim lam koe lah a tho awh ti a thai awh toteh, Isarelnaw hah a tuk awh teh, a tangawn san lah a man awh.
2 Israeli akaapa mbele ya BWANA akasema, “Kama utatupa ushindi dhidi ya hawa watu, ndipo tutakapoingamiza kabisa miji yao,”
Hottelah Isarelnaw ni BAWIPA koevah lawk a kam awh teh, hetnaw heh kaimouh kut dawk na poe pawiteh, a khopui hah peng ka raphoe thai han telah ati awh.
3 BWANA akaisikia sautiya Israeli na kuwapa ushindi dhidi ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao. Mahali pale paliitwa Horima.
BAWIPA ni Isarelnaw e lawk a tarawi pouh teh, Kanaannaw teh a kut dawk poe lah ao. Amamouh hoi a khopuinaw hah he a raphoe teh, hote hmuen teh Hormah telah ati awh.
4 Wakasafiri kutoka Mlima Hori kwa barabara kuelekea bahari ya shamu wakiizunguka nchi ya Edomu. Watu walikufa moyo kwa njia hiyo.
Hor mon koehoi tuipui paling koelah Edom ram lawngven lahoi a cei awh. Lam ekvoi a kâhei awh dawkvah, taminaw pueng teh a lungkuep laipalah,
5 Watu wakamnung'unikia Mungu na Musa: “Kwa nini umetutoa Misiri ili tufa katika jangwa hili? Hapa hakuna mikate, wala maji, na chakula hiki dhaifu kimetukinai.”
Cathut hoi Mosi taranlahoi kahrawngum vah due hanelah bangkongmaw Izip ram hoi na tâcokhai. Vaiyei hai awm hoeh, tui hai awm hoeh, hete vaiyei karawcap e hai ka hringnae ni a panuet toe, telah ati awh.
6 Basi Mungu akatuma nyoka wa sumu kati yao. Wale nyoka wakawauma wale watu; watu wengi walikufa.
Hatdawkvah, BAWIPA ni hmai tahrun a thasin teh, taminaw a khue dawkvah moikapap a due awh.
7 Watu wakaenda kwa Musa wakamwambia, “Tumetenda dhambi kwa sababu tumemnung'unikia Mungu na wewe. Mwombe Mungu atuondolee hawa nyoka.” Kwa hiyo Musa akawaombea watu.
Hatnavah taminaw ni Mosi koe a tho awh teh, BAWIPA hoi nang koe taranlahoi lawk ka dei e hah ka yon awh toe. Tahrunnaw hah kaimouh koehoi takhoe hanlah BAWIPA koe na kâhet pouh leih, telah atipouh.
8 BWANA akamwambia Musa, “Tengeneza nyoka na umweke kwenye nguzo. Na itakuwa kila anayeumwa, akimwangalia huyo nyoka atapona,”
BAWIPA ni Mosi koe hmai tahrun hah sak nah teh khom dawk hoi pathout pouh. Tahrun ni a khue e pueng ni hote hah a khet vaiteh a hring awh han telah atipouh.
9 Kwa hiyo Musa akatengeneza nyoka wa shaba naye akamweka juu ya nguzo. Na kila mtu alipoumwa na nyoka na kumwangalia huyo nyoka alipona.
Hahoi Mosi ni rahum tahrun hah a sak teh, khom dawk a vo. Hahoi teh tahrun ni a khue e pueng rahum tahrun hah a khet awh teh a dam awh.
10 Kisha watu wa Israeli wakasafiri na kisha kuweka kambi Obothi.
Isarel catounnaw teh, pou a kâtahruet awh teh, Oboth vah a roe awh.
11 Kisha wakasafiri kutoka pale na kuweka kambi Iye Abarimu katika jangwa linalokabili Moabu kuelekea upande wa mashariki.
Oboth hoi bout a cei awh teh, Kanîtholah Moab kahrawng teng Iyeabarim vah a roe awh.
12 Kutoka pale wakasafiri na kuweka kambi katika bonde la Zeredi.
Haw hoi a cei awh teh Zered tanghling dawk a roe awh.
13 Kutoka pale walisafiri na kuweka kambi kwenye upande mwingine wa mto Amoni, ambao ukubwa wake unaanzia kwenye mpaka wa Waamori. Mto wa Amoni ndio unaootengeneza mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
Haw hoi bout a cei awh teh, Amornaw e ramri hoi pou kâkuen e Arnon namran lah a roe awh. Arnon teh Moab ramri, Moab hoi Amornaw rahak vah kaawm e doeh.
14 Ndiyo maana imeandikwa katika gombo la Kitabu cha BWANA, “Wahebu katika Sufa, na bonde la Amoni,
Hatdawkvah, BAWIPA tarantuknae cauk dawk, Suphat hoi Vaheb Arnon, Arnon sawkcanaw hoi.
15 mtelemko wa bonde linaloelekea katika mji wa Ari na kuelekea kwenye mpaka wa Moabu,”
Ar kho lahoi ka lawng e sawkcanaw hai, Moab ramri lahoi a teng poe ka lawng e telah a dei awh.
16 Kutoka pale wakasafiri mpaka Beeri, hapo ndipo palipo na kisima ambacho Bwana alimwambia Musa, “Wakusanye watu kwa ajili yangu ili uwape maji,”
Hahoi, Beer lah a cei awh. Haw teh BAWIPA ni Mosi koevah, taminaw pueng hah kaw nateh, tui ka poe han ati nae tuikhu koe doeh.
17 Ndipo Israeli waipoimba wimbo huu: “enyi visima, yajazeni maji. Imbeni juu ya kisima hiki.
Hahoi hete la heh Isarelnaw ni a sak awh. Oe tuiphuek tâcawt haw telah la heh a phueng awh
18 Kisima ambacho viongozi wetu walichimba, kisima ambacho wenye hekima walichimba kwa fimbo ya kifalme na kwa fimbo ya kutembelea.” Kisha kutoka jangwani walitembea mpaka Matanaha.
Kahrawikungnaw a bonae tuikhu hah kâlawk kapoekung sonron hoi tai e, miphunnaw kahrawikung ni a tai e, ti hoiyah, hote kahrawng koehoi Mattanah lah a cei awh.
19 Kutoka Matanaha walisafiri mpaka Nathalieli, na kutoka Nathalieli mpaka Bamothi,
Mattanah hoi Nahaliel, Nahaliel hoi Bamoth,
20 na kutoka Bamothi hadi kwenye bonde la Moabu. Hapo ndipo kilele cha Mlima Piska kinapoonekana jangwani.
Bamoth hoi Moab ram kaawm e tanghling, Pisgah som kho ouk khetnae hmuen, hmu thainae koe a kâtahruet awh.
21 Kisha Israeli akatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori akisema,
Isarelnaw ni Amornaw e siangpahrang Sihon koevah, na ram dawk hoi kaimouh na rakan sak haw. Na law dawk thoseh, misur takha dawk thoseh, ka cet awh mahoeh. Na tuikhu dawk e tui hai ka net awh mahoeh.
22 Tunaomba tupite katika nchi yako. hatutapita katika shamba au kwenye shamba la mizabibu. Hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita katika njia kuu ya mfalme mpaka tutakapopita mpaka wako.”
Na ram ka tapoung hoeh roukrak, siangpahrang lamthungpui dawk doeh ka cet awh ti telah patounenaw a patoun.
23 Lakini mfalme Sihoni hakumruhusu Israeli kupita kwenye mpaka wao. Badala yake, Sihoni akakusanya jeshi lake lote na kumvamia Isreli huko jangwani. Akaja kwa Jahazi, ambapo alipigana dhidi ya Israeli.
Hatei, Sihon ni a ram dawk rakan sak hane pasoung hoeh. Hottelah Sihon ni a taminaw pueng a pâkhueng teh, Isarelnaw tuk hanlah kahrawngum a kamthaw awh. Jahaz vah a pha awh teh Isarelnaw hah a tuk awh.
24 Israeli akalivamia jeshi la Sihoni na nchi ya upanga na kuchukua nchi yao kutoka Amon mpaka mto Jabboki, hadi kufikia nchi ya watu wa Amoni. Sasa mpaka wa watu wa Amoni ulikuwa umefungwa.
Isarelnaw ni, kahran e tahloi hoi a tuk awh van teh a ram teh Arnon hoi Jabbok totouh, Ammon catounnaw ram totouh a la pouh awh. Bangkongtetpawiteh, Ammonnaw e ramri teh pou a patoup awh e doeh.
25 Israeli akachukua miji yote ya Waamori na akaishi ndani yake, pamoja na Heshiboni na vijiji vyake wote.
Isarelnaw ni khonaw pueng koung a la awh. Hottelah Isarelnaw teh, Ammonnaw e khonaw pueng dawk Heshbon hoi khotenaw pueng dawk kho a sak awh.
26 Heshiboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye hapo awali alipigana dhidi ya mfalme wa kwanza wa Moabu. Sihoni alikuwa ameteka ardhi yake yote toka mipaka yake mpaka mto wa Amoni.
Heshbon kho teh Ammornaw e siangpahrang Sihon onae kho doeh. Ahni teh Moab siangpahrang hoi taran a kâtuk teh a kut dawk e a ram naw pueng Arnon palang kalatkung doeh.
27 Hiyo ndiyo sababu wala ambao huongea kwa Mitahali husema, “Njoni Heshboni. Mji wa Sihoni ujengwe na kuimarishwa tena.
Hatdawkvah, la ka phuengkung ni, Heshbon vah tho loe, Sihon khopui teh bout thawng awh sei, bout pathoup awh sei.
28 Moto uliwaka toka Heshiboni, moto kutoka mji wa Sihoni ambao uliiteketeza Ari ya Moabu, na wenyeji wa miji ya juu ya Amoni.
Bangkongtetpawiteh, Heshbon hoi hmai a tâco teh, Sihon khopui hoi hmai a to. Moab khopui Ar kho koung a kak. Arnon hmuenrasang bawinaw hoi,
29 Ole wako, Moabu! umepotea, enyi watu wa Chemoshi. Amewafanya watu wake kuwa wakimbizi na binti zake kuwa wafungwa wa Sihoni mfalme wa Waamori.
Oe Moab na yawthoe, nang teh na kahma toe. Khemosh taminaw, Amornaw e siangpahrang koevah, a capanaw yawngkhai hane hoi, a canunaw a san lah a poe awh.
30 Lakini tumempiga Sihoni. Tumeiangsmiza Heshibon mpaka Diboni. Tumewaharibu wote mpaka Nofa, ambayo inafika mpaka Madeba.”
Hatei, kai ni na tâ awh toe. Heshbon teh Dibon totouh a kahma. Hottelah Nophah kho totouh a raphoe teh, hot ni teh Medeba totouh a pha.
31 Kwa hiyo Israeli akaanza kuishi katika nchi ya Waamori,
Hot patetlah Amornaw e ram koe Isarelnaw teh kho a sak awh.
32 Kisha Musa akatuma watu kwenda kuingalia Yaziri. Waliviteka vijiji vyake na kuwafukuza Waamori waliokuwa wakiishi humo.
Hahoi Mosi ni Jazer tuet hanlah tami a patoun. Hote kho a la teh, haw vah kaawm e Amor taminaw a pâlei awh.
33 Kisha wakageuka na kuelekea njia inayoelekea Bashani. Ogu mfalme wa Bashani akatofautiana nao, yeye na Jeshi lake lote, ili apigane nao kule Ederei.
A ban awh teh, Bashan lam koe lah a takhang awh. Bashan siangpahrang Og teh ahnimouh tuk hanelah ama hoi a taminaw pueng hoi Edrei hoi tuk hanelah a kamthaw awh.
34 Kisha BWANA akasema na Musa, “Msimwogope, kwa sababu nimewapeni ushindi dhidi yake, Jeshi lake lote na nchi yake. Mfanyeni kama mlivyomfanya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akiishi Heshiboni.”
BAWIPA ni Mosi koevah ahni teh taket hanh loe. Ama hoi a taminaw khuehoi a ram totouh na kut dawk na poe toe. Heshbon e kaawm e Amornaw e siangpahrang Sihon koevah na sak e patetlah na sak han telah atipouh.
35 Kwa hiyo wakamuua, na wanawe, na jeshi lake lote, mpaka wote wakaishi na hakubaki hata mmoja aliyebaki hai. Kisha wakaichukua nchi yake.
Hahoi teh ama thoseh, a capanaw thoseh, buet touh boehai pâhlung laipalah a taminaw pueng hoi a thei awh teh a ram teh hmawi a tawn pouh awh.

< Hesabu 21 >