< Hesabu 20 >

1 Kwa hiyo wana wa Israeli, na jamii yote ya watu, wakaenda katika jangwa la Sini katika mwezi wa kwanza; wakaa Kadeshi. Hapo ndipo Miriamu alipofia na kuzikwa.
Hahoi Isarel catounnaw pueng teh, thapa yung pasuek dawkvah, Zin kahrawngum dawkvah a kâen awh. Taminaw pueng teh, Kadesh vah a hnin ao awh. Hawvah, Miriam a due teh hawvah a pakawp awh.
2 Huko hapakuwa na maji kwa ajili ya watu, kwa hiyo wakakusanyika kinyume na Musa na Haruni huko.
Hahoi taminaw pueng hanlah tui nei han awm hoeh toe. Hat toteh, haw vah Mosi hoi Aron taran lahoi a kamkhuengsin awh.
3 Watu wakamlalamikia Musa. Wakasema, “Ilikuwa ni bora kama tungelikufa wakati Waisraeli wenzetu walipokufa mbele za BWANA.
Taminaw pueng ni BAWIPA hmalah hmaunawnghanaw a due nah dout ngala boipawiteh,
4 Kwa nini umewaleta watu wa BWANA kufia katika jangwa hili, sisi na wanyama wetu?
bangkongmaw BAWIPA e taminaw hete kahrawngum vah kamamanaw hoi saringnaw abuemlah due hanlah na ceikhai.
5 Kwa nini ulitutoa Misri na kutuleta katika eneo hili baya? Hapa hakuna nafaka, wala mitini, wala mizabibu, wala makomamanga. Na hakuna maji ya kunywa.”
Bangkongmaw het patet kahawihoehe ram dawkvah kâenkhai hanlah Izip ram hoi na tâcokhai. Tâsong, thaibunglung kung, misurkung, tale paw hai o hoeh nah koe, tui boehai nei hane ao hoeh nah koe, telah ati awh.
6 Basi Musa na Haruni wakatoweka mbele ya mkutano huo. Wakaenda kwenye hema ya kukutania wakalala kifudifudi. Ndipo pale utukufu wa Busara wa BWANA ukaonekana kwao.
Mosi hoi Aron teh tamimaya koehoi kamkhuengnae lukkareiim takhang koe a cei roi teh, a tabo roi. Hahoi ahnimouh roi koe BAWIPA bawilennae a kamnue.
7 BWANA akanena na Musa, akamwambia,
BAWIPA ni Mosi a pato teh,
8 “Chukua fimbo yako na uwakusanye watu, wewe na Haruni ndugu yako. Uumbie huu mwamba mbele ya macho yao, na uumuru utoe maji. Nawe utawapa maji kutoka kwenye huu mwamba, nawe utawapa maji ya kunywa hao watu na wanyama wao.”
sonron lat nateh, nang hoi na hmau Aron ni taminaw pâkhueng awh. Ahnimae mithmu vah lungsongpui koe lawk dei pouh. Tui a tâcosak han. Hot patetlah hoiyah, lungsongpui dawk hoi tui na tâcosak vaiteh, taminaw pueng hoi saringnaw hah na nei sak han telah ati.
9 Musa akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA, kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Hot patetlah Mosi ni BAWIPA hmalah sonron hah kâ a poe e patetlah a la.
10 Kisha Musa na Haruni wakawakusanya watu pamoja mbele ya ule mwamba. Ndipo Musa akawaambia, “Sasa sikilizeni, enyi wapinzani. Lazima tuwape maji kutoka kwenye huu mwamba?”
Mosi hoi Aron ni taminaw pueng hah lungsongpui teng a pâkhueng teh, ahnimouh koe, taran ouk ka thaw e taminaw, atu thai awh haw! hete lungsong dawk hoi nangmouh han tui ka tâcosak roeroe han maw telah atipouh.
11 Ndipo Musa akanyosha mkono wake na kuupiga ule mwamba mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakatoka. Wale watu wakanywa pamoja na wanyama wao.
Hahoi teh Mosi ni a kut a dâw teh, a sonron hoi lungsongpui hah vai hni touh a hem, hat toteh, tui kapap poung lah a tâco. Taminaw pueng hoi saringnaw ni a nei awh.
12 Kisha BWANA akamwambia Musa na Haruni, “Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya watu wa Israeli, hamtawaingiza hawa watu katika nchi niliyowaahidi.
BAWIPA ni Mosi hoi Aron koe kai na yuem hoeh teh, Isarel catounnaw mithmu vah, kai na barilawa hoeh dawkvah, hete taminaw pueng teh kai ni na poe awh e ram dawk na kâenkhai mahoeh, telah atipouh.
13 Mahali hapa paliitwa maji ya Meriba kwa sababu wana wa Israeli walitofautiana na BWANA pale, na akajionyesha kwao kuwa mtakatifu.
Isarel catounnaw ni BAWIPA rek a cusin awh teh ahnimouh thung vah ama barilawa hanlah ao dawk hote tui teh Meribah ati awh.
14 Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi kwa mfalme wa Edom: Ndugu yako Israeli anasema hivi: “Wewe unajua magumu yote ambayo yametupata.
Hahoi Mosi ni Kadesh hoi Edom siangpahrang koevah, patounenaw a patoun. Na hmaunawngha Isarel ni hettelah a dei. Maimouh koe ka phat e runae kathonaw pueng,
15 Na unajua kuwa babu zetu walienda Misri na waliishi Misri kwa muda mrefu. Wamisri walitutendea vibaya pamoja na babu zetu.
mintoenaw Izip ram a cei awh teh, moikasaw lah Izip ram vah ka o awh teh, Izipnaw ni kai koe hoi mintoenaw totouh rucatnae na poe e hah na panue.
16 Tulipomlilia BWANA, akatusikia na kututumia malaika ambaye alitutoa toka Misri. Tazama, sasa tuko Kadeshi, mji unaopakana na nchi yako.
BAWIPA koe ka hram awh e lawk hah a thai teh, kalvantaminaw a patoun teh, Izip ram hoi na tâco sak. Khenhaw, na ram hoi ka hnai poung lah, Kadesh khopui dawkvah ka o awh.
17 Tunakuomba uturuhusu kupita katika nchi yako. Hatutapita mashambani wala kwenye mashamba ya mizabibu, wala hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita kwenye njia kuu ya mfalme. Hatutageuka upande wa kulia wala upande wa kushoto mpaka tutakapopita mpaka wako.”
Pahren lahoi na ram thung pou na rakan sak haw. Law thoseh, misur takha thoseh, ka coungroe awh mahoeh. tuikhu dawk e tui hai ka net mahoeh. Siangpahrang lamthungpui dawk doeh ka cei awh han, na ram ka tapoung hoeh roukrak avoilah aranglah hai kampuen awh mahoeh, telah ati.
18 Lakini mfalme wa Edomu akamjibu, “Msipite hapa. Kama mtafanya hivyo, Nitakuja na upanga kukuvamia.”
Edom ni kai ka ram dawk na cet awh mahoeh, telah hoehpawiteh, nangmouh tuk hanelah tahloi hoi kamthaw awh han, telah ati.
19 Ndipo wana wa Israeli wakamwambia,”tutapitia njia kuu. Kama sisi au wanyama wetu watakunywa maji yako, basi tutalipa. Tunaomba uturuhusu tupite tukitembea kwa miguu yetu, bila kufanya jambo lolote lile.”
Isarel catounnaw ni lamthungpui dawk hoi ka cei awh vaiteh kamamouh hoi ka saringnaw ni na tui ka net awh pawiteh, aphu na poe awh han, hno alouke banghai sak laipalah, raka lah doeh pou ka raka awh ti telah atipouh awh.
20 Lakini mfalme wa Edomu akajibu, “Usipite hapa.” Kwa hiyo nfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.
Ahni ni na raka awh mahoeh atipouh. Hahoi teh, Edom teh tami moikapap hoi tami athakaawme taminaw hoi ahnimouh tuk hanlah a kamthaw awh.
21 Mfame wa Edomu akawazuia wana wa Israeli kupita kwenye mipaka yake. Kwa sababu ya hili, Israeli akageuka kuiacha nchi ya Edomu.
Hot patetlah Isarel catounnaw teh Edom ni a ram dawk dei hanlah pasoung awh hoeh. Hahoi Isarel teh ahnimouh koehoi a kamlang takhai awh.
22 Kwa hiyo watu wakasafiri kutoka Kadeshi. Wana wa Israeli, watu wote, wakafika Mlima Hori.
Hothloilah Isarelnaw pueng teh Kadesh hoi a kamthaw awh teh, Hor mon koe a pha awh.
23 BWANA akanena na Musa na Haruni hapo kwenye Mlima Hori, kwenye mpaka wa Edomu. Akasema,
BAWIPA ni Mosi hoi Aron teh Edom khori koe Hor mon hoi a pato teh,
24 “Sasa ni wakati wa Haruni kukusanyika na watu wake, hataingia katika nchi ile niliyowaahidi wana wa Israeli. Hii ni kwa sababu ninyi wawili hamkuitii sauti yangu pale kwenye maji ya Meriba.
Aron teh a taminaw koe ceikhai han toe. Bangtelah tetpawiteh, Isarel catounnaw koe ka poe e ram dawk kâen mahoeh. Bangkongtetpawiteh, Meribah tui koe ka lawk taran lahoi taran a thaw awh.
25 Mchukue Haruni na Eliazari mwanaye, na uwalete juu ya Mlima Hori.
Aron hoi a capa Eleazar hah Hor mon koe a luenkhai awh.
26 Umvulishi HarunI yale mavazi ya kikuhani na umvalishe Eliazari mwanaye. Haruni atakufa na kulazwa pamoja na watu wake.”
Aron e khohna rading awh nateh, a capa Eleazar kâkhu sak awh. Bangkongtetpawiteh, Aron teh a taminaw koe ceikhai vaiteh, haw vah a due han telah ati.
27 Musa akafanya kama BWANA alivyomwamuru. Wakaenda juu y a Mlima Hori na watu wote wakiona.
Mosi ni BAWIPA kâ poe e patetlah a sak teh, taminaw pueng e mithmu vah Hor mon vah a luen awh.
28 Musa akamvulisha Haruni yale mavazi ya kikuhani na kumvalisha Mwanaye Eliazari. Haruni akafa pale juu ya Mlima Hori. Kisha Musa na Eliazari wakashuka.
Mosi ni Aron e khohna a rading pouh teh, Eleazar a kho sak teh, Aron teh monsom vah a due. Hottelah Mosi hoi Eleazar teh monsom hoi a kum roi.
29 Watu walipoona kuwa Haruni amekufa, taifa lote wakamlilia Haruni kwa siku arobaini.
Taminaw pueng ni Aron a due tie a thai awh toteh, Isarelnaw pueng ni Aron teh hnin 30 touh a khui awh.

< Hesabu 20 >