< Hesabu 2 >
1 BWANA akasema na Musa na Haruni tena. Akamwambia,
Und Jehovah redete zu Mose und zu Aharon und sprach:
2 Kila mtu atapanga kulingana na mahali pake, pamoja na mabango ya baba zao. Watapanga kuzunguka hema ya kukutania kila upande.
Jeder Mann bei seinem Banner, bei den Zeichen des Hauses seiner Väter, sollen sich die Söhne Israels lagern; gegenüber dem Versammlungszelte sollen sie sich ringsum lagern.
3 Wale watakaopanga mashariki mwa hema ya kukutania, mahali ambapo juu huonekana wakati wa jua kuchomoza, ni makambi ya Yuda nao watakuwa katika kundi lao. Nashoni mwana wa Aminadabu ni kiongozi wa watu wa Yuda.
Nach vorn, dem Aufgang zu, soll sich lagern das Banner des Lagers Judahs nach seinen Heerscharen, und Fürst der Söhne Judahs ist Nachschon, der Sohn Amminadabs.
4 Idadi ya watu wa Yuda ni 74, 600.
Und sein Heer und seine Gemusterten vierundsiebzigtausendsechshundert.
5 Kabila la Isakari litapanga mbele ya Yuda. Nethaneli mwana wa Zuari ataliongoza jeshi la Isakari.
Und bei ihm lagere sich der Stamm Issaschars, und Fürst der Söhne Issaschars ist Nathaneel, der Sohn Zuars.
6 Idadi ya kikosi chake ni wanaume 54, 000.
Und sein Heer und seine Gemusterten vierundfünfzigtausendvierhundert.
7 Kabila la Zabuloni litapanga mbele ya Isakari. Eliabu mwana wa Heloni ndiye atakayeliongoza jeshi la Zabuloni.
Der Stamm Sebulons, und Fürst der Söhne Sebulons ist Eliab, der Sohn Chelons.
8 Idadi ya kikosi chake ni 57, 400.
Und sein Heer und seine Gemusterten siebenundfünfzigtausendvierhundert.
9 Idadi yote ya kambi y a Yuda ni 186, 400. Watakuwa wa kwanza kuondoka.
Alle Gemusterten des Lagers Jehudahs sind hunderttausend und achtzigtausend und sechstausend und vierhundert nach ihren Heerscharen. Sie sollen zuerst aufbrechen.
10 Upande wa kusini kutakuwa na kambi ya Reubeni katika kundi lao. Kiongozi wa kundi la Reubeni ni Elizuri mwana wa Shedeuri.
Das Banner von Rubens Lager zur Rechten nach seinen Heerscharen, und Fürst ist für die Söhne Rubens Elizur, Schedeurs Sohn.
11 Idadi ya kikosi chake ni 46, 500.
Und sein Heer und seine Gemusterten sind sechsundvierzigtausendfünfhundert.
12 Simeoni atapanga mbele ya Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Zurishadai.
Und bei ihm lagere der Stamm Simeons. Und Fürst der Söhne Simeons ist Schelumiel, der Sohn des Zurischaddai;
13 Waliohesabiwa kwenye kikosi chake ni 59, 300.
Und sein Heer und seine Gemusterten sind neunundfünfzigtausenddreihundert.
14 Kabila la Gadi litafuatia. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deuli.
Und der Stamm Gads. Und Fürst der Söhne Gads ist Eljasaph, Reguels Sohn.
15 Idadi ya kikosi chake ni 45, 650.
Und sein Heer und seine Gemusterten fünfundvierzigtausendsechshundertfünfzig.
16 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Reubeni, kulingana na kikosi chake, ni 151, 450. Watakuwa wa pili kuondoka.
Alle Gemusterten von Rubens Lager sind hunderttausend und einundfünfzigtausend und vierhundert und fünfzig in ihren Heerscharen. Und sie sollen als zweite aufbrechen.
17 Kifuatacho, ni hema la kukutania kuondoka kambini pamoja na Walawi likiwa katikati ya kambi zote. Lazima waondoke hapo kambini kwa mpangilio huo kama walivyoingia kwenye kambi. Kila mwanamume lazima awe mahali pake kwa kufuata bango lake.
Und es breche das Versammlungszelt, das Lager der Leviten inmitten der Lager, auf; so wie sie lagerten, so brechen sie auf, jeder Mann zur Hand nach seinem Banner.
18 Migawanyiko ya kambi y Efraimu kufuata mahali pake. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.
Das Banner von Ephraims Lager nach seinen Heerscharen dem Meere zu. Und Fürst der Söhne Ephraims ist Elischama, der Sohn Ammihuds.
19 Hesabu ya kikosi hiki ni 40, 500.
Und sein Heer und seine Gemusterten vierzigtausendfünfhundert.
20 Baada ya hao lilifuata kabila la Manase. Kiongozi wa Manase ni Gamaliel mwana wa Pedazuri.
Und bei ihm Menaschehs Stamm, und Fürst von Menaschehs Söhnen ist Gamliel, Pedahzurs Sohn.
21 Hesabu ya kikosi hiki ni 32, 200.
Und sein Heer und ihre Gemusterten sind zweiunddreißigtausendzweihundert;
22 Kabila litakalofuata ni la Benjamini. Kiongozi wa Benjamini n Abidani mwana wa Gidioni.
Und der Stamm Benjamins, und Fürst der Söhne Benjamins ist Abidan, Gideonis Sohn.
23 Hesabu ya kikosi hiki ni 35, 000
Und sein Heer und ihre Gemusterten sind fünfunddreißigtausendvierhundert.
24 Wote waliohesabiwa katika kambi ya Efraimu ni 108, 100. Watakuwa wa tatu kuondoka.
Alle Gemusterten nach dem Lager Ephraims waren einhunderttausend und achttausend und einhundert nach ihren Heerscharen, und sollen die dritten im Aufbrechen sein.
25 Upande wa kaskazini kutakuwa na kambi ya kikosi cha Dani. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.
Das Banner des Lagers Dans nach seinen Heerscharen sei nach Mitternacht, und Fürst für die Söhne Dans Achieser, Ammischaddais Sohn.
26 Hesabu ya kikosi hiki ni 62, 700.
Und sein Heer und ihre Gemusterten zweiundsechzigtausendsiebenhundert.
27 Watu wa kabila ya Asheri watapanga mbele ya Dani. Kiongozi wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okirani.
Und bei ihm lagere Aschers Stamm, und Fürst für die Söhne Aschers Pagiel, Ochrans Sohn.
28 Hesabu ya Kikosi hiki ni 41, 500.
Und sein Heer und ihre Gemusterten einundvierzigtausendfünfhundert.
29 Kabila la Naftali ndilo litakalofuatia. Kiongozi wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.
Und der Stamm Naphthalis, und Fürst für die Söhne Naphthalis Achira, Enans Sohn.
30 Hesabu ya kikosi hiki ni 53, 400.
Und sein Heer und ihre Gemusterten dreiundfünfzigtausendvierhundert.
31 Wote waliohesabiwa kwenye kambi ya Dani ni 157, 600. Hawa watakuwa wa mwisho kuondoka kambini, wakifuata bango lao.
Alle Gemusterten für das Lager Dans waren hunderttausend und siebenundfünfzigtausend und sechshundert. Sie sollen nach ihren Bannern zuletzt aufbrechen.
32 Hawa ndio Waisraeli, waliohesabiwa kufuata familia zao. Wote waliohesabiwa kwenye kambi zao, kwa kufuata vikosi vyao ni 603, 550.
Das sind die Gemusterten der Söhne Israels nach dem Haus ihrer Väter, alle Gemusterten der Lager nach ihren Heerscharen: Sechshunderttausend und dreitausend und fünfhundert und fünfzig.
33 Lakini Musa na Haruni hawakujumuisha Walawi kwenye Hesabu ya Waisrael. Ilikuwa kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa.
Und die Leviten wurden nicht inmitten der Söhne Israels gemustert; wie Jehovah dem Mose geboten hatte.
34 Watu wa Israel walifanya yote ambayo BWANA alimwagiza Musa. Walipanga kwa kufuata mabango yao. Walisafiri kutoka kambini kwa kufuata jamaa zao, kwa mpangilio wa familia za koo zao.
Und die Söhne Israels taten nach allem, das Jehovah dem Mose geboten hatte, so lagerten sie nach ihren Bannern und so brachen sie auf, jeder Mann nach seiner Familie, bei dem Hause seines Vaters.