< Hesabu 17 >
1 BWANA akanena na Musa, akasema,
Potem rzekł Pan do Mojżesza, mówiąc:
2 “Waambie wana wa Israeli wakuletee fimbo za kutembelea moja kwa kila jamaa, fimbo kumi na mbili. Uandika jina la kila mmoja kwenye hizo fimbo.
Mów do synów Izraelskich, a weźmij od nich po lasce według domów ojców ich, to jest, od wszystkich książąt ich według domów ojców ich, dwanaście lasek, a każdego imię napiszesz na lasce jego;
3 Utaandika jina la Haruni kwenye jina la Lawi. Kutakuwa na fimbo moja kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zake.
Ale imię Aaronowe napiszesz na lasce Lewiego; bo każda laska będzie od każdego książęcia z domu ojców ich.
4 Utaziweka hizo fimbo kwenye hema ya kukutania mbele ya amri za agano, ambapo Mimi hukutana na wewe. Itakuwa hivi,
I zostawisz je w namiocie zgromadzenia przed świadectwem, gdzie się z wami schodzę.
5 fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua. Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao wanaongea kinyume na wewe.”
I stanie się, kogo obiorę, tego laska zakwitnie; i uśmierzę przed sobą szemrania synów Izraelskich, któremi szemrzą przeciwko wam.
6 Kwa hiyo Musa akawaambia wana wa Israeli. Viongozi wote wa kabila wakampatia fimbo, fimbo moja kutoka kwa kila kiongozi, aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila ya babu zao, jumla yake fimbo kumi na mbili. Fimbo ya Haruni ilikuwa miongoni mwa fimbo hizo.
To gdy Mojżesz mówił do synów Izraelskich, oddali mu wszyscy książęta ich laski swoje, każdy książę laskę z domu ojca swego, dwanaście lasek; a laska Aaronowa była między laskami ich.
7 Ndipo Musa alipoziweka zile fimbo mbele ya BWANA katika hema ya amri ya agano.
I postawił mojżesz laski one przed Panem w namiocie świadectwa.
8 Siku iliyofuata Musa aliingia kwenye hema ya amri ya agano, na tazama, fimbo ya Haruni kwa ajili ya Kabila la Lawi ilikuwa imetoa machipukizi. Machipukizi yalikuwa hadi kuchanua maua na kuzaa malozi mabivu!
A gdy nazajutrz przyszedł Mojżesz do namiotu świadectwa, oto się zazieleniła laska Aaronowa z domu Lewiego, i wypuściła listki i wydała kwiat, i zrodziła dojrzałe migdały.
9 Musa akazitoa fimbo zote kutoka kwa BWANA kwa watu wote wa Israeli, na kila mtu akachukua fimbo yake.
I wyniósł Mojżesz one wszystkie laski od obliczności Pańskiej do wszystkich synów Izraelskich; które gdy ujrzeli, wziął każdy laskę swą.
10 BWANA akamwambua Musa, “Iweke fimbo ya Haruni mbele ya amri za agano. Iweke iwe ishara ya hatia mbele ya watu waliopinga ili ukomeshe malalamiko dhidi yangu, vinginevyo watakufa.”
I rzekł Pan do Mojżesza: Odnieś laskę Aaronową przed świadectwo, aby była zachowana na znak synom odpornym, a zahamujesz szemranie ich przeciwko mnie, aby nie pomarli.
11 Musa akafanya kama BWANA alivyoagiza.
I uczynił Mojżesz; jako mu Pan rozkazał, tak uczynił.
12 Wana wa Israeli wakanena na Musa wakisema, “tutakufa hapa! Wote tutaangamia!
I rzekli synowie Izraelscy do Mojżesza, mówiąc: Oto umieramy, niszczejemy, wszyscy giniemy;
13 Kila mmoja anayekuja hapa, anayekaribia masikani ya BWANA, atakufa. Je, ni lazima wote tuangamie?”
Każdy, ktokolwiek przystępuje do przybytku Pańskiego, umiera; izali do szczętu wytraceni być mamy?