< Hesabu 17 >

1 BWANA akanena na Musa, akasema,
Jahve reče Mojsiju:
2 “Waambie wana wa Israeli wakuletee fimbo za kutembelea moja kwa kila jamaa, fimbo kumi na mbili. Uandika jina la kila mmoja kwenye hizo fimbo.
“Razloži Izraelcima te od njih uzmi po jedan štap za svaki predjedovski dom; uzmi od svih njihovih starješina za njihove pradjedovske domove dvanaest štapova. Ime svakoga napiši na njegovu štapu.
3 Utaandika jina la Haruni kwenye jina la Lawi. Kutakuwa na fimbo moja kwa kila kiongozi kutoka kwenye kabila la mababu zake.
A kako ima po jedan štap za svakoga starješinu pradjedovskih domova, Aronovo ime napiši na Levijevu štapu.
4 Utaziweka hizo fimbo kwenye hema ya kukutania mbele ya amri za agano, ambapo Mimi hukutana na wewe. Itakuwa hivi,
Onda ih pohrani u Šator sastanka pred Svjedočanstvo; ondje gdje se s tobom sastajem.
5 fimbo ya mtu yule ninayemchagua itachipua. Nitazuia watu wa Israeli walalamikao, ambao wanaongea kinyume na wewe.”
Štap onoga čovjeka koga izaberem propupat će. Tako ću maknuti od sebe rogoborenje Izraelaca kojim prigovaraju vama.”
6 Kwa hiyo Musa akawaambia wana wa Israeli. Viongozi wote wa kabila wakampatia fimbo, fimbo moja kutoka kwa kila kiongozi, aliyechaguliwa kutoka kwenye kila kabila ya babu zao, jumla yake fimbo kumi na mbili. Fimbo ya Haruni ilikuwa miongoni mwa fimbo hizo.
Mojsije tako kaza Izraelcima. Sve njihove starješine dadoše mu štap, po jedan štap za svakoga starješinu - dakle, dvanaest štapova za njihove pradjedovske domove. Među njihovim štapovima bio je i štap Aronov.
7 Ndipo Musa alipoziweka zile fimbo mbele ya BWANA katika hema ya amri ya agano.
Mojsije pohrani štapove pred Jahvu u Šatoru svjedočanstva.
8 Siku iliyofuata Musa aliingia kwenye hema ya amri ya agano, na tazama, fimbo ya Haruni kwa ajili ya Kabila la Lawi ilikuwa imetoa machipukizi. Machipukizi yalikuwa hadi kuchanua maua na kuzaa malozi mabivu!
Kad sutradan Mojsije uđe u Šator svjedočanstva, gle: štap Arona iz doma Levijeva propupao! Potjerala mladica, procvjetao cvijet i sazreli bademi.
9 Musa akazitoa fimbo zote kutoka kwa BWANA kwa watu wote wa Israeli, na kila mtu akachukua fimbo yake.
Tada iznese Mojsije ispred Jahve sve štapove sinovima Izraelovim. Oni ih razgledaše, a onda svatko uze svoj štap.
10 BWANA akamwambua Musa, “Iweke fimbo ya Haruni mbele ya amri za agano. Iweke iwe ishara ya hatia mbele ya watu waliopinga ili ukomeshe malalamiko dhidi yangu, vinginevyo watakufa.”
Jahve reče Mojsiju: “Opet stavi Aronov štap pred Svjedočanstvo, neka se čuva za znak buntovnim sinovima. Dokončaj tako njihovo rogoborenje protiv mene da ne izginu.”
11 Musa akafanya kama BWANA alivyoagiza.
I učini Mojsije: kako mu je Jahve zapovjedio, tako učini.
12 Wana wa Israeli wakanena na Musa wakisema, “tutakufa hapa! Wote tutaangamia!
“Izgibosmo!” - rekoše Izraelci Mojsiju. “Propadosmo! Svi odreda propadosmo!
13 Kila mmoja anayekuja hapa, anayekaribia masikani ya BWANA, atakufa. Je, ni lazima wote tuangamie?”
Tko god priđe Jahvinu prebivalištu, umire ... Zar ćemo svi izginuti?”

< Hesabu 17 >