< Hesabu 15 >

1 Kisha BWANA akanena na Musa, akasema,
Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i. E da amo sema Isala: ili dunu da soge E da ilima imunu amo ganodini noga: le fa: no bobogema: ne sia: i. Hamoma: ne sia: i da agoane,
2 “Sema na wana wa Israeli uwaambie, 'Mtakapoingia katka nchi ambayo mtaishi, ambayo BWANA atawapa,
3 mtatakiwa kuandaa sadaka kwa moto kwa BWANA, sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kukamilisha kiapo au sadaka ya hiari, au sadaka katika sikukuu zenu, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA ya ng'ombe au ya kondoo.
“Bulamagau gawali, sibi gawali sibi o goudi da Hina Godema Gobei Iasu (Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu) o dafawane ilegele sia: i hahamoma: ne gobele salasu o udigili iasu o Godema nodoma: ne lolo Nasu iasu amo Hina Godema imunu da defea. Hina Gode da amo ha: i manu iasu gabusiga: agoane hahawane naba.
4 Utamtolea BWANA sadaka ya kuteketezwa pamoja na sehemu ya kumi ya efa ya sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta.
Nowa da sibi o goudi Hina Godema Gobei Iasu hamoma: ne gaguli masea, e da ohe afae gaguli masea, gilisili gilogala: me afae falaua amola olife susuligi lida afae amola waini hano lida afae gaguli misa: ne sia: ma.
5 Na tena mtatoa pamoja na sadaka ya kuteketezwa, au kwa sadaka ya divai robo ya hini ya sadaka ya vinywaji kwa kila mwanakondoo.
6 Kama unatoa sadaka ya kondoo dume, utaandaa sadaka ya unga ya sehemu za kumi mbili za efa ya unga mwembamba uliochanganywa na sehemu ya tatu ya hini ya divai.
Sibi gawali iasea, falaua gilogala: me aduna amola olife susuligi 1 1/2 lida (gala: ine iasu) amola waini hano 1 1/2 lida gaguli misa: ne sia: ma. Hina Gode da amo iasu ea gabusiga: hahawane naba.
7 Kwa sadaka ya kinywaji, mtatoa sehemu ya tatu ya hini ya divai ambayo itatoa harufu nzuri kwa BWANA.
8 Utakapoandaa fahari kwa ajiliy a sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya kutimiza kiapo, au sadaka ya amani kwa BWANA,
Dilia bulamagau gawali gobei iasu o dafawane ilegei sia: hahamoma: ne o Hahawane Gilisili Olofole Iasu Hina Godema iasea,
9 Ndipo utakapotoa sadaka ya fahari pamoja na sadaka ya unga ya sehemu za kumi tatu za unga mwembamba uliochanganywa na nusu ya hini ya mafuta.
gala: ine iasu amo falaua3 gilogala: me amola olife susuligi 2 lida amola waini hano 2 lida gilisili ima. Amo gobele salasu ea gabusiga: amo Hina Gode da hahawane naba.
10 Mtatoa sadaka ya kinywaji nusu ya hini ya divai, sadaka iloyotengenezwa kwa moto ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
11 Itafanyika hivi kwa kila fahari, kwa kila kondoo dume, na kila mwanakondoo dume au mbuzi mchanga.
Amola bulamagau gawali o sibi gawali o sibi o goudi iasea, amo liligi gilisili ima.
12 Kila sdaka utakayoindaa na kuitoa itafanyika kama ilivyoanishwa hapa.
Ohe afae iasu baligisia, gilisili iasu amola amo defele baligili ima.
13 Wazawa wote wa Israeli watafanya mambo haya kwa utaratibu huu, yeyote atakayeleta sadaka iliyotengenezwa kwa moto, ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA.
Isala: ili dunudafa da ha: i manu iasu Hina Gode ea gabusiga: hahawane nabima: ne amo iasea, agoane ima: ne sia: ma.
14 Na kama kuna mgeni anayeishi kati yenu, au yeyote atakayeishi na watu wa vizazi vyenu vyote, lazima atengeneze sadaka iliytoengenezwa kwa moto, ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Atafanya kama mnavyofanya.
Amola ga fi dunu dilia fi amo ganodini esala (eso huluane esaloma: ne o sofe misi fawane), e da Hina Godema gabusiga: hahawane nabima: ne ha: i manu iasu iasea, e amola da amo hamoma: ne sia: i defele hamomu.
15 Kutakuwa na sheria hiyo hiyo kwa watu wote na kwa mgeni anayeishi kati yenu, sheria ya kudumu kwa watu wote wa uzao wako. Ninyi mlivyo, ndivyo atakavyokuwa mgeni aliyeishi kati yenu. Atafanya kama mnavyofanya mbele ya BWANA.
Isala: ili dunu amola ga fi dilia fi amo ganodini esala dilia amo hamoma: ne sia: i mae fisili, eso huluane hamonanoma: mu. Dilia Isala: ili dunu amola ga fi dunu da hisu hame - Hina Gode da dilia huluane defele ba: sa.
16 Sheria na amri hiyohiyo ndiyo itakayotumika kwa mgeni anayeishi kati yenu.”
Hamoma: ne sia: i amola malasu da dili huluane defele agoane dialumu.
17 Tena BWANA akanena na Musa, akasema,
Hina Gode da Mousesema eno hamoma: ne sia: i. E da amo hamoma: ne sia: i Isala: ili dunu da soge E da ilima imunu amo ganodini noga: le fa: no bobogema: ne sia: i. Hamoma: ne sia: i da agoane.
18 “Nena wana wa Israeli uwaambie, 'mtakapofika katika nchi ninayowapeleka,
19 mtakapokula chakula kinachozalishwa katika nchi hiyo, mtatoa sadaka ya kunipendeza mimi.
Ha: i manu Ga: ina: ne sogega heda: i amo nasea, mogili amo Hina Godema imunusa: la: ididili ligisima.
20 Kutoka kwenye mikate yenu ya kwanza mtatoa mkate wa kuinuliwa kama sadaka iliyoinuliwa kutoka mahali pa kupuria nafaka. Mtaiinua kwa jinsi hii.
Dilia agi gobesea, bisili ga: gi gagoma gaheabolo amoga hamoi, amo Hina Godema iasudafa hamoma: ne ima. Amo Ema iasea, gagoma dilia faili daba sali, amo iasu defele Ema ima.
21 Watu wa uzao wako wote wtanitolea sadaka ya kuinuliwa kutoka kwenye unga wenu wa kwanza.
Dilia amo agi gobei iasu amo eso huluane mae fisili sema agoane hamonanoma: mu.
22 Wakati mwingine mtafanya dhambi pasipo kukusudia, Kama hamtatii amri zote hizi ambazo nimemwambia Musa
Be dunu da mae hanane amola mae dawa: le, sema amo Hina Gode da Mousesema i, amo mogili hame hamosea,
23 -kila kitu ambacho nimewaamuru kupitia Musa kuanzia siku ambayo nilianza kuwaamuru na kuendelea kwa watu wote wa uzao wako.
amola eso enoga hobea, Isala: ili dunu fi da Hina Gode Ea Mousesema sia: i liligi amo hame hamosea,
24 Kwa swala la dhambi isiyokusudiwa ambayo watu wote hawaijui, basi watu wote watatoa fahari mchanga sadaka ya kuteketezwa ili kufanya harufu nzuri kwa BWANA. Pamoja na haya yote, lazima itengenezwe sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji, kama ilivyoagaizwa katika amri, na beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
ilia hame dawa: beba: le, giadofale hamoi galea, agoane hamoma. Ilia da bulamagau gawali gobei iasu (Hina Gode da gabusiga: agoane hahawane nabima: ne) gobele salima: ne sia: ma. Amoga ilia da gala: ine iasu amola waini iasu sema defele imunu. Amola amoga ilia da goudi gawali Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gilisimu.
25 Kuhani atafanya sadaka upatanisho kwa watu wote wa Israeli. Watasemehewa kwa sababu dhambi haikukusudiwa. Wametoa sadaka yao, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili yangu. Wameleta sadaka yao kwangu iliyotengenezwa kwa moto. Wameleta sadaka yao ya uovu mbele yangu kwa ajili ya kosa lao.
Gobele salasu dunu da Isala: ili fi dodofema: ne hou hamonanu, ilia wadela: i hou da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu. Bai ilia da mae dawa: le giadofai amola ilia Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu ilia da Ha: i Manu iasu agoane Hina Godema i.
26 Ndipo watu wote wa Israeli watasamehewa, pia wageni wote wanaoishi kati yao, kwa sababu watu wote walitenda dhambi pasipo kukusudia.
Isala: ili fi dunu huluane amola ga fi ilia gilisisu ganodini esala da gogolema: ne olofosu ba: mu. Bai dunu huluanedafa da amo giadofasu hamoi dagoi.
27 Kama mtu atatenda dhambi bila kukusudia, atatoa mbuzi jike wa umri wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
Dunu afae fawane da mae dawa: le giadofasea, e da ode afae lalelegei goudi aseme amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu amo ima: mu.
28 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa BWANA kwa ajili ya mtu yule aliyefanya dhambi pasipo kukusudia. Yule mtu atasamehewa baada ya upatanisho kufanyika.
Gobele salasu dunu da oloda amoga asili, amo dunu ea wadela: i hou fadegama: ne, wadela: i hou dodofesu hou hamomu. Amasea, amo dunu da gogolema: ne olofoi dagoi ba: mu.
29 Mtakuwa na sheria hiyohiyo kwa mtu yeyote anayefanya dhambi hiyo pasipo kukusudia, sheria hiyohiyo hata kwa mzawa wa Isreli na kwa wageni wanaoishi kati yao.
Dunu huluanedafa, Isala: ili dunudafa o ga fi Isala: ili ganodini misi esala, e da mae dawa: le giadofasea, da amo sema hamomu.
30 Lakini mtu afanyaye chochote kwa KUkusudia, awe mzawa au mgeni, ananikufuru mimi. Huyo mtu ataondolewa kati ya watu wake.
Be nowa dunu, Isala: ili dunudafa o ga fi Isala: ili fi ganodini misi esala, da hi dawa: i amoane wadela: i hou hamosea, e da Hina Gode Ea hou higabeba: le, medole legei dagoi ba: ma: mu.
31 Kwa sababu atakuwa amedharau neno langu na amevunja neno amri yangu, mtu huyo ataondolewa kabisa. Dhambi yake itakuwa juu yake.'”
Bai e da Hina Gode Ea sia: i liligi higale, Ea sema afae hame hamoi. E da hi giadofale hamobeba: le, bogosu ba: mu.
32 Wakati wana wa Israeli walipokuwa katika jangwa, wakamuona mwanamume akikusanya kuni sikiu ya Sabato.
Eso afaega, Isala: ili dunu fi da wadela: i hafoga: i sogega esaloba, dunu afae da Sa: bade esoga lalu habelalebe ba: i.
33 Wale waliomwona wakamleta kwa Musa, Haruni na kwa watu wote.
Ilia da amo dunu Mousese, Elane amola Isala: ili fi gilisisu amoga oule misi.
34 Wakamweka kifungoni kwa sababu ilikuwa haijaamuliwa atakachotendewa.
Ilia da amo dunu mae hobeama: ne, sosodo ouligisu dunuga ouligima: ne sia: i. Bai ilia da amo dunuma adi hou hamoma: bela: le gogolei.
35 Kisha BWANA akanena na Musa, “Yule mwanamume lazima auawe. Watu wote lazima wampige kwa mawe nje ya kambi.”
Amalalu, Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Amo dunu medole legema! Isala: ili fi dunu huluanedafa da amo dunu fisisu gadili oule asili igiga gala: le, medole legema: ne sia: ma.”
36 Kwa hiyo watu wote wakamtoa nje ya kambi nao wakampiga kwa mawe mpaka akafa kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
Amaiba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele, Isala: ili fi dunu huluane da amo dunu fisisu gadili oule asili, igiga gala: le, medole legei.
37 BWANA akanena na Musa tena, akasema,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
38 “Waambie wana wa Israeli na uwaamuru wajifanyie vishada wavining'inize katika mapindo ya mavazi yao, wavining'ineze katika ncha zote kwa nyuzi za rangi ya samawi. Watu wote watafanya hivi kwa watu wote wa kizazi chote.
“Isala: ili dunuma amane sia: ma, ‘Dilia abula hegomai fe amoga sosofe nodomema. Sosofe huluane amoga haisewe efe la: gima. Eso huluane mae fisili, amo hou hamonanoma: ma.
39 Huu utakuwa ukumbusho maalumu kwenu, kila mtakapovitazama, mtakumbuka amri zangu, na kuzishika ili kwamba msije mkatangatanga katika mioyo na macho yenu na kuwa waasherati wa hayo.
Amo sosofe ilia bai da Na sema bu dawa: ma: ne dialumu. Amo ba: sea, dilia da Na sema bu dawa: le, nabawane hamomu. Amasea, dilia da Nama fa: no bobogesu fisili, dilia hanai amoga fa: no bobogesu amo hamedafa hamomu.
40 Fanyeni hivi ili kwamba mweze kukumbuka na kutii amri zangu zote, na ili kwamba mpate kuwa watakatifu, waliotunzwa kwa ajili yangu, Mungu wenu.
Sosofe ba: sea, dilia da Na sia: i liligi huluane noga: le hamoma: ne bu dawa: mu. Amola, dilia da dafawane Na: fi dunu fawane esalumu.
41 Mimi ndimi BWANA Mungu wenu niliyekutoa toka nchi ya Misri, ili niwe Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”
Na da dilia Hina Gode! Na da dilia Gode esaloma: ne, dili Idibidi sogega fisili masa: ne, ga oule asi. Na da Hina Gode!”

< Hesabu 15 >