< Hesabu 14 >
1 Usiku huo watu wote walilia kwa sauti.
Toute l'assemblée éleva la voix et poussa des cris, et le peuple pleura cette nuit-là.
2 Watu wote wa Israeli wakamlalamikia Musa na Haruni. Watu wote wakawaambia, “Ni bora kama tungelifia katika nchi ya Misri, au katika hili!
Tous les enfants d'Israël murmurèrent contre Moïse et contre Aaron. Toute l'assemblée leur dit: « Nous aurions voulu mourir au pays d'Égypte, ou mourir dans ce désert!
3 Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watakuwa watumwa wao. Je, si bora kwetu kurudi Misri?”
Pourquoi Yahvé nous fait-il venir dans ce pays, pour que nous tombions par l'épée? Nos femmes et nos petits enfants seront capturés ou tués! Ne vaudrait-il pas mieux pour nous de retourner en Égypte? »
4 Wakasemezana wao kwa wao, “Na tuchague kiongozi mwingine, turudi Misri.”
Ils se dirent les uns aux autres: « Choisissons un chef et retournons en Égypte. »
5 Ndipo Musa na Haruni wakalala kifudifudi mbele ya kundi lote la wana wa Israeli.
Et Moïse et Aaron tombèrent sur leur visage devant toute l'assemblée des enfants d'Israël.
6 Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa waemtumwa kwenda kuipeleleza nchi wakachana mavazi yao.
Josué, fils de Nun, et Caleb, fils de Jephunné, qui étaient de ceux qui avaient exploré le pays, déchirèrent leurs vêtements.
7 Wakawaambia watu wote wa Israeli. Walisema, “Ile nchi tuliyopita katikati yake ni nchi nzuri sana.
Ils parlèrent à toute l'assemblée des enfants d'Israël, en disant: « Le pays que nous avons traversé pour l'explorer est un pays extrêmement bon.
8 Kama BWANA amependezwa nasi, basi atatuingiza katika nchi hii na kutupatia. Ile nchi inatiririka maziwa na asali.
Si Yahvé se plaît en nous, il nous fera entrer dans ce pays et nous le donnera: un pays où coulent le lait et le miel.
9 Lakini msimwasi BWANA, na msiwahofie hao wakazi wa nchi hiyo. Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula. Ulinzi wao utaondolewa kutoka kwao, kwa sababu BWANA yuko pamoja nasi. Msiwahofie.”
Seulement, ne vous révoltez pas contre Yahvé, et ne craignez pas les habitants du pays, car ils sont notre pain. Leur défense s'est retirée au-dessus d'eux, et Yahvé est avec nous. Ne les craignez pas. »
10 Lakini watu wote walitishia kuwapiga kwa mawe mpaka wafe. Kisha utukufuwa BWANA ukaonekana kwenye hema ya kukutania kwa watu wote wa Israeli.
Mais toute la congrégation menaçait de les lapider. La gloire de Yahvé apparut dans la Tente de la Rencontre à tous les enfants d'Israël.
11 BWANA akamwambi Musa, “watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? Nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao?
Yahvé dit à Moïse: « Jusques à quand ce peuple me méprisera-t-il? Jusques à quand ne croiront-ils pas en moi, à cause de tous les signes que j'ai accomplis au milieu d'eux?
12 Nitawapiga kwa mapigo, na kuwaondolea urithi, na kufanya taifa kubwa kutoka kwenye ukoo wako ambalo litakuwa kubwa na lenye nguvu kuliko wao.
Je les frapperai de la peste, je les déshériterai et je ferai de vous une nation plus grande et plus puissante qu'eux. »
13 Musa akamwambia BWANA, “Kama utafanya hivi, Na Wamisiri wakisikia habari hizi, na kwa sababu uliwaokoa kutoka kwao kwa nguvu zako.
Moïse dit à Yahvé: « Les Égyptiens l'entendront, car c'est par ta puissance que tu as fait sortir ce peuple du milieu d'eux.
14 Basi watawaambia wakazi wa nchi hii. Wamesikia ya kuwa wewe BWANA u kati ya watu hawa, kwa sababu uso wako waonekana. Wingu lako husimama juu ya watu wetu. Wewe huwatangulia katika nguzo ya wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku.
Ils le diront aux habitants de ce pays. Ils ont appris que toi, Yahvé, tu es au milieu de ce peuple, car on te voit face à face, et ta nuée se tient au-dessus d'eux, et tu marches devant eux, dans une colonne de nuée le jour, et dans une colonne de feu la nuit.
15 Sasa kama utawaua hawa watu kama mtu mmoja, basi mataifa ambao wamesikia sifa zako watasema,
Si tu as tué ce peuple comme un seul homme, les nations qui ont entendu parler de toi diront:
16 “Kwa Sababu BWANA hana uwezo wa kuwapeleka watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia kuwapa, ndiyo maana amewaua katika jangwa hili.'
« Parce que l'Éternel n'a pas pu faire entrer ce peuple dans le pays qu'il lui avait promis, il l'a tué dans le désert ».
17 Sasa, nakusihi, utumie uweza wako. Kwa kuwa umesema kuwa,
Maintenant, que la puissance de l'Éternel soit grande, comme vous l'avez dit, en disant:
18 'BWANA si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa uaminifu katika agano. Yeye husamehe uovu na uasi. Kwa vyovyote vile atafutilia hatia atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao, kwa kizazi cha tatu na cha nne.'
« L'Éternel est lent à la colère et riche en bonté, il pardonne l'iniquité et la désobéissance; il ne pardonne pas les coupables, il fait retomber l'iniquité des pères sur les enfants, sur la troisième et la quatrième génération.
19 Ninakusihi uwasameha watu hawa dhambi zao kwa sababu ya ukuu wa uaminifu wa agano lako, kama vile ambavyo umekuwa ukiwasamehe watu hawa tokea wakati wakiwa Misri mpaka sasa.”
Pardonne, je te prie, l'iniquité de ce peuple, selon la grandeur de ta bonté, et comme tu as pardonné à ce peuple, depuis l'Égypte jusqu'à maintenant. »
20 BWANA akasema, Nimewasamehe kwa kama ulivyoomba,
L'Éternel dit: J'ai pardonné selon ta parole;
21 bali kama Niishivyo, na kama vile dunia yote itakavyojazwa na utukufu wangu,
mais, en vérité, comme je suis vivant et que toute la terre sera remplie de la gloire de l'Éternel,
22 watu wote walioona utukufu wangu na ishara za nguvu zangu nilizotenda kule Misri na kule jangwani - Lakini bado wamenijaribu mara kumi sasa na hawakuisikiliza sauti yangu.
parce que tous ces hommes qui ont vu ma gloire et les signes que j'ai opérés en Égypte et dans le désert, m'ont tenté dix fois et n'ont pas écouté ma voix,
23 Kwa hiyo nasema kwamba hakika hawataiona nchi ile ambayo niliwaahdi kuwapa mababu zao. Hakuna hata mmoja wao ambao wamenidharau watakaoiona,
ils ne verront pas le pays que j'ai juré à leurs pères, et aucun de ceux qui m'ont méprisé ne le verra.
24 isipokuwa mtumishi wangu Kalebu, kwa sababu alikuwa na roho nyingine. Yeye amenifuata kwa ukamilifu; Yeye nitampeleka katika nchi hiyo ambayo alienda kuipeleleza. Wazao wake wataimilki.
Mais mon serviteur Caleb, parce qu'il avait avec lui un autre esprit et qu'il m'a entièrement suivi, lui, je le ferai entrer dans le pays où il est allé. Sa descendance le possédera.
25 (Sasa Waamaleki na Wakanani waliishi katika bonde.) Kesho mtageuka na kwenda katika jangwa kwa njia ya bahari ya Shamu.”
Puisque l'Amalécite et le Cananéen habitent dans la vallée, demain, tournez-vous et allez dans le désert par le chemin de la mer Rouge. »
26 BWANA akanena na Musa na Haruni, akasema,
Yahvé parla à Moïse et à Aaron, et dit:
27 “Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu ambao wananinung'unikia mpaka lini? Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu.
« Jusqu'à quand supporterai-je cette méchante assemblée qui se plaint de moi? J'ai entendu les plaintes des enfants d'Israël, qui se plaignent de moi.
28 Waambie, 'Kama niishivyo,' asema BWANA, 'kama vile mlivyosema katika masikio yake, nitawafanyia jambo hili:
Dis-leur: Je suis vivant, dit l'Éternel, et je vous ferai ce que vous avez dit à mes oreilles.
29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili, Ninyi nyote mliolalamika dhidi yangu, ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa, idadi yote ya watu kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea.
Vos cadavres tomberont dans ce désert; et tous ceux d'entre vous qui ont été comptés, selon votre nombre total, depuis l'âge de vingt ans et au-dessus, et qui se sont plaints de moi,
30 Kwa hakika hamtaingia kwenye ile nchi ambayo niliahidi kuwapa kuwa makazi yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
vous n'entrerez pas dans le pays que j'ai juré de vous faire habiter, excepté Caleb, fils de Jephunné, et Josué, fils de Nun.
31 Bali watoto wenu ambao mlisema kuwa watakuwa watumwa, wao ndio nitakaowapeleka katika nchi hiyo. Wao wataifurahia nchi ambayo nInyi mmeikataa!
Mais je ferai venir vos petits enfants que vous avez dit devoir être capturés ou tués, et ils connaîtront le pays que vous avez rejeté.
32 Lakini ninyi, maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili.
Mais quant à vous, vos cadavres tomberont dans ce désert.
33 Watoto wenu watakuwa wachungaji katika jangwa hili kwa muda wa miaka arobaini. Lazima watabeba madhara ya matendo yenu ya kutokuamini mpaka mwisho wa maiti ya mwisho jangwani.
Vos enfants seront errants dans le désert pendant quarante ans, et porteront votre prostitution, jusqu'à ce que vos cadavres soient consumés dans le désert.
34 Kama vile ilivyo hesabu ya siku ambayo mliipeleleza nchi—siku arobaini, vivyo hivyo mtabeba madhara ya dhambi zenu kwa muda wa miaka arobaini—mwaka mmoja kwa kila siku moja, na mtajua kuwa ni sawa na kuwa adui yangu.
Après le nombre de jours pendant lesquels vous avez exploré le pays, quarante jours, car chaque jour est une année, vous porterez vos fautes, quarante ans, et vous connaîtrez mon aliénation'.
35 Mimi BWANA nimesema. Hakika nitafanya hivi kwa kizazi hiki chote kiovu ambacho kimekusanyika kinyume na Mimi. Wao watakatwa kabisa, na watafia hapa.'”
Moi, Yahvé, j'ai parlé. Je vais faire cela à toute cette méchante assemblée qui s'est réunie contre moi. Dans ce désert, ils seront consumés, et c'est là qu'ils mourront. »
36 Kwa hiyo wale wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuingalia ile nchi wote walikufa kwa tauni mbele ya BWANA.
Les hommes que Moïse avait envoyés pour explorer le pays et qui, à leur retour, avaient poussé toute l'assemblée à murmurer contre lui en rapportant un mauvais rapport sur le pays,
37 Hawa ni wale ambao waliorudi na kutoa taarifa mbaya juu ya nchi. Hii iliwafanya watu wote wamlalamikie Musa.
ces hommes qui avaient rapporté un mauvais rapport sur le pays, moururent par la peste devant Yahvé.
38 Kati ya watu wale waliokuwa wameenda kuiangalia nchi ile, ni Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune tu ndio waliobaki hai.
Mais Josué, fils de Nun, et Caleb, fils de Jephunné, restèrent en vie parmi les hommes qui étaient allés explorer le pays.
39 Musa alipowataarifu mambo haya watu wote wa Israeli waliomboleza sana.
Moïse rapporta ces paroles à tous les enfants d'Israël, et le peuple se lamenta beaucoup.
40 Waliamka asubuhi na mapema wakaenda juu ya mlima na kisha wakasema, “Tazama, tuko hapa, na tutaenda mahali pale ambapo BWANA ametuahidi, kwa kuwa tumetenda dhambi.”
Ils se levèrent de bon matin et montèrent au sommet de la montagne, en disant: « Voici, nous sommes ici, et nous monterons au lieu que l'Éternel a promis, car nous avons péché. »
41 Lakini Musa akasema, “Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA? hamtafanikiwa.
Moïse dit: « Pourquoi désobéissez-vous maintenant au commandement de l'Éternel, puisqu'il ne prospérera pas?
42 Msiende, kwa sababu BWANA hayuko pamoja nanyi kuwalinda dhidi ya maadui zenu.
Ne montez pas, car l'Éternel n'est pas au milieu de vous; ainsi, vous ne serez pas terrassés devant vos ennemis.
43 Waamaleki na Wakanaani wako kule, na mtakufa kwa upanga kwa sababu mliumtegea mgongo BWANA na hamkumfuata. Kwa hiyo hatakuwa pamoja nanyi.
Car là, l'Amalécite et le Cananéen sont devant toi, et tu tomberas par l'épée parce que tu t'es détourné de suivre l'Yahvé; c'est pourquoi l'Yahvé ne sera pas avec toi. »
44 Lakini walithubutu kukwea mlimani; lakini si Musa wala Sanduku la agano la BWANA walioondoka kambini.
Mais ils s'enhardirent à monter au sommet de la montagne. Néanmoins, l'arche de l'alliance de Yahvé et Moïse ne sortirent pas du camp.
45 Kisha Waamaleki walikuja chini, pia wale Wakanaani walioshi kwenye hiyo milima. Wakawavamia Waisreli wakawapiga na kuwaangusha mpaka Horima.
Alors les Amalécites descendirent, ainsi que les Cananéens qui habitaient cette montagne, et ils les frappèrent et les battirent jusqu'à Horma.