< Hesabu 14 >
1 Usiku huo watu wote walilia kwa sauti.
Therfor al the cumpeny criede, and wepte in that nyyt,
2 Watu wote wa Israeli wakamlalamikia Musa na Haruni. Watu wote wakawaambia, “Ni bora kama tungelifia katika nchi ya Misri, au katika hili!
and alle the sones of Israel grutchiden ayens Moises and Aaron, and seiden,
3 Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watakuwa watumwa wao. Je, si bora kwetu kurudi Misri?”
We wolden that we hadden be deed in Egipt, and not in this waast wildirnesse; we wolden that we perischen, and that the Lord lede vs not in to this lond, lest we fallen bi swerd, and oure wyues and fre children ben led prisoneris; whether it is not betere to turne ayen in to Egipt?
4 Wakasemezana wao kwa wao, “Na tuchague kiongozi mwingine, turudi Misri.”
And thei seiden oon to another, Ordeyne we a duyk to vs, and turne we ayen in to Egipt.
5 Ndipo Musa na Haruni wakalala kifudifudi mbele ya kundi lote la wana wa Israeli.
And whanne this was herd, Moises and Aaron felden lowe to erthe, bifor al the multitude of the sones of Israel.
6 Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa waemtumwa kwenda kuipeleleza nchi wakachana mavazi yao.
And sotheli Josue, the sone of Nun, and Caleph, the sone of Jephone, whiche also cumpassiden the lond, to renten her clothis,
7 Wakawaambia watu wote wa Israeli. Walisema, “Ile nchi tuliyopita katikati yake ni nchi nzuri sana.
and spaken to al the multitude of the sones of Israel, The lond which we cumpassiden is ful good;
8 Kama BWANA amependezwa nasi, basi atatuingiza katika nchi hii na kutupatia. Ile nchi inatiririka maziwa na asali.
if the Lord is merciful to vs, he schal lede vs in to it, and schal yyue `to vs the lond flowynge with mylk and hony.
9 Lakini msimwasi BWANA, na msiwahofie hao wakazi wa nchi hiyo. Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula. Ulinzi wao utaondolewa kutoka kwao, kwa sababu BWANA yuko pamoja nasi. Msiwahofie.”
Nyle ye be rebel ayens the Lord, nether drede ye the puple of this lond, for we moun deuoure hem so as breed; al her help passide awei fro hem, the Lord is with vs, nyle ye drede.
10 Lakini watu wote walitishia kuwapiga kwa mawe mpaka wafe. Kisha utukufuwa BWANA ukaonekana kwenye hema ya kukutania kwa watu wote wa Israeli.
And whanne al the multitude criede, and wolde oppresse hem with stonys, the glorie of the Lord apperide on the roof of the boond of pees, while alle the sones of Israel sien.
11 BWANA akamwambi Musa, “watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? Nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao?
And the Lord seide to Moises, Hou long schal this puple bacbite me? Hou longe schulen thei not bileue to me in alle `signes, whiche Y haue do bifor hem?
12 Nitawapiga kwa mapigo, na kuwaondolea urithi, na kufanya taifa kubwa kutoka kwenye ukoo wako ambalo litakuwa kubwa na lenye nguvu kuliko wao.
Therfor Y schal smyte hem with pestilence, and Y schal waste hem; forsothe Y schal make thee prince on a greet folk, and strongere than is this.
13 Musa akamwambia BWANA, “Kama utafanya hivi, Na Wamisiri wakisikia habari hizi, na kwa sababu uliwaokoa kutoka kwao kwa nguvu zako.
And Moises seide to the Lord, Egipcians `here not, fro whos myddil thou leddist out this puple,
14 Basi watawaambia wakazi wa nchi hii. Wamesikia ya kuwa wewe BWANA u kati ya watu hawa, kwa sababu uso wako waonekana. Wingu lako husimama juu ya watu wetu. Wewe huwatangulia katika nguzo ya wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku.
and the dwelleris of this loond, whiche herden that thou, Lord, art in this puple, and art seyn face to face, and that thi cloude defendith hem, and that thou goist bifore hem in a pilere of cloude bi dai,
15 Sasa kama utawaua hawa watu kama mtu mmoja, basi mataifa ambao wamesikia sifa zako watasema,
and in a piler of fier bi nyyt, that thou hast slayn so greet a multitude as o man,
16 “Kwa Sababu BWANA hana uwezo wa kuwapeleka watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia kuwapa, ndiyo maana amewaua katika jangwa hili.'
and seie thei, He myyte not brynge this puple in to the lond for whiche he swoor, therfor he killide hem in wildirnesse;
17 Sasa, nakusihi, utumie uweza wako. Kwa kuwa umesema kuwa,
therfor the strengthe of the Lord be magnified, as thou hast swore. And Moises seide,
18 'BWANA si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa uaminifu katika agano. Yeye husamehe uovu na uasi. Kwa vyovyote vile atafutilia hatia atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao, kwa kizazi cha tatu na cha nne.'
Lord pacient, and of myche mercy, doynge awei wickidnesse and trespassis, and leeuynge no man vngilti, which visitist the synnes of fadris in to sones in to the thridde and fourthe generacioun, Y biseche,
19 Ninakusihi uwasameha watu hawa dhambi zao kwa sababu ya ukuu wa uaminifu wa agano lako, kama vile ambavyo umekuwa ukiwasamehe watu hawa tokea wakati wakiwa Misri mpaka sasa.”
foryyue thou the synne of this thi puple, aftir the greetnesse of thi merci, as thou were merciful to men goynge out of Egipt `til to this place.
20 BWANA akasema, Nimewasamehe kwa kama ulivyoomba,
And the Lord seide, Y haue foryouun to hem, bi thi word.
21 bali kama Niishivyo, na kama vile dunia yote itakavyojazwa na utukufu wangu,
Y lyue; and the glorie of the Lord schal be fillid in al erthe;
22 watu wote walioona utukufu wangu na ishara za nguvu zangu nilizotenda kule Misri na kule jangwani - Lakini bado wamenijaribu mara kumi sasa na hawakuisikiliza sauti yangu.
netheles alle men that sien my mageste, and my signes, whiche Y dide in Egipt and in the wildirnesse, and temptiden me now bi ten sithis, and obeieden not to my vois,
23 Kwa hiyo nasema kwamba hakika hawataiona nchi ile ambayo niliwaahdi kuwapa mababu zao. Hakuna hata mmoja wao ambao wamenidharau watakaoiona,
schulen not se the lond for which Y swore to her fadris, nethir ony of hem that bacbitide me, schal se it.
24 isipokuwa mtumishi wangu Kalebu, kwa sababu alikuwa na roho nyingine. Yeye amenifuata kwa ukamilifu; Yeye nitampeleka katika nchi hiyo ambayo alienda kuipeleleza. Wazao wake wataimilki.
Y schal lede my seruaunt Caleph, that was ful of anothir spirit, and suede me, in to this lond, which he cumpasside, and his seed schal welde it.
25 (Sasa Waamaleki na Wakanani waliishi katika bonde.) Kesho mtageuka na kwenda katika jangwa kwa njia ya bahari ya Shamu.”
For Amalech and Cananei dwellen in the valeis, to morewe moue ye tentis, and turne ye ayen in to wildirnesse bi the weie of the reed see.
26 BWANA akanena na Musa na Haruni, akasema,
And the Lord spak to Moises and to Aaron, and seide,
27 “Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu ambao wananinung'unikia mpaka lini? Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu.
Hou long grutchith this werste multitude ayens me? Y haue herd the pleyntis of the sones of Israel.
28 Waambie, 'Kama niishivyo,' asema BWANA, 'kama vile mlivyosema katika masikio yake, nitawafanyia jambo hili:
Therfor seie thou to hem, Y lyue, seith the Lord; as ye spaken while Y herde, so Y schal do to you;
29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili, Ninyi nyote mliolalamika dhidi yangu, ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa, idadi yote ya watu kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea.
youre careyns schulen ligge in this wildirnesse. Alle ye that ben noumbrid, fro twenti yeer and aboue, and grutchiden ayens me,
30 Kwa hakika hamtaingia kwenye ile nchi ambayo niliahidi kuwapa kuwa makazi yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
schulen not entre in to the lond, on which Y reiside myn hond, that Y schulde make you to dwelle outakun Caleph, the sone of Jephone, and Josue, the sone of Nun.
31 Bali watoto wenu ambao mlisema kuwa watakuwa watumwa, wao ndio nitakaowapeleka katika nchi hiyo. Wao wataifurahia nchi ambayo nInyi mmeikataa!
Forsothe Y schal lede in youre litle children, of whiche ye seiden that thei schulden be preyes `ethir raueyns to enemyes, that thei se the lond which displeside you.
32 Lakini ninyi, maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili.
Forsothe youre careyns schulen ligge in the wildirnesse;
33 Watoto wenu watakuwa wachungaji katika jangwa hili kwa muda wa miaka arobaini. Lazima watabeba madhara ya matendo yenu ya kutokuamini mpaka mwisho wa maiti ya mwisho jangwani.
youre sones schulen be walkeris aboute in the deseert bi fourti yeer, and thei schulen bere youre fornycacioun, til the careyns of the fadris ben wastid in the deseert,
34 Kama vile ilivyo hesabu ya siku ambayo mliipeleleza nchi—siku arobaini, vivyo hivyo mtabeba madhara ya dhambi zenu kwa muda wa miaka arobaini—mwaka mmoja kwa kila siku moja, na mtajua kuwa ni sawa na kuwa adui yangu.
by the noumbre of fourti daies, in whiche ye bihelden the loond; a yeer schal be arettid for a dai, and bi fourti yeer ye schulen resseyue youre wickidnesse, and ye schulen knowe my veniaunce.
35 Mimi BWANA nimesema. Hakika nitafanya hivi kwa kizazi hiki chote kiovu ambacho kimekusanyika kinyume na Mimi. Wao watakatwa kabisa, na watafia hapa.'”
For as Y spak, so Y schal do to al this werste multitude, that roos to gidere ayens me; it schal faile, and schal die in this wildirnesse.
36 Kwa hiyo wale wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuingalia ile nchi wote walikufa kwa tauni mbele ya BWANA.
Therfor alle the men whyche Moises hadde sent to see the lond, and whiche turniden ayen, and maden al the multitude to grutche ayens hym, and depraueden the lond, that it was yuel,
37 Hawa ni wale ambao waliorudi na kutoa taarifa mbaya juu ya nchi. Hii iliwafanya watu wote wamlalamikie Musa.
weren deed, and smytun in the siyt of the Lord.
38 Kati ya watu wale waliokuwa wameenda kuiangalia nchi ile, ni Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune tu ndio waliobaki hai.
Sotheli Josue, the sone of Nun, and Caleph, the sone of Jephone, lyueden, of alle men that yeden to se the lond.
39 Musa alipowataarifu mambo haya watu wote wa Israeli waliomboleza sana.
And Moises spak alle these wordis to alle the sones of Israel, and the puple mourenyde gretli.
40 Waliamka asubuhi na mapema wakaenda juu ya mlima na kisha wakasema, “Tazama, tuko hapa, na tutaenda mahali pale ambapo BWANA ametuahidi, kwa kuwa tumetenda dhambi.”
And, lo! thei riseden in the morewtid first, and `stieden in to the cop of the hil, and seiden, We ben redi to stie to the place, of which the Lord spak, for we synneden.
41 Lakini Musa akasema, “Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA? hamtafanikiwa.
To whiche Moises seide, Whi passen ye the word of the Lord, that schal not bifalle to you in to prosperite?
42 Msiende, kwa sababu BWANA hayuko pamoja nanyi kuwalinda dhidi ya maadui zenu.
Nyle ye stie, for the Lord is not with you, lest ye fallen bifor youre enemyes.
43 Waamaleki na Wakanaani wako kule, na mtakufa kwa upanga kwa sababu mliumtegea mgongo BWANA na hamkumfuata. Kwa hiyo hatakuwa pamoja nanyi.
Amalech and Cananei ben bifor you, bi the swerd of whiche ye schulen falle, for ye nolden assente to the Lord, nether the Lord schal be with you.
44 Lakini walithubutu kukwea mlimani; lakini si Musa wala Sanduku la agano la BWANA walioondoka kambini.
And thei weren maad derk, and stieden in to the cop of the hil; forsothe the ark of the testament of the Lord and Moises yeden not awey fro the tentis.
45 Kisha Waamaleki walikuja chini, pia wale Wakanaani walioshi kwenye hiyo milima. Wakawavamia Waisreli wakawapiga na kuwaangusha mpaka Horima.
And Amalech cam doun, and Chananei, that dwelliden in the hil, and he smoot hem, and kittide doun, and pursuede hem til Horma.