< Hesabu 14 >
1 Usiku huo watu wote walilia kwa sauti.
Amo gasia, daeya asili hahabe, Isala: ili dunu da se nabawane dinanu.
2 Watu wote wa Israeli wakamlalamikia Musa na Haruni. Watu wote wakawaambia, “Ni bora kama tungelifia katika nchi ya Misri, au katika hili!
Ilia da Mousese amola Elane elama eganewane agoane sia: dasu. Ilia da amane sia: i, “Ninia da Idibidi sogega o guiguda: hafoga: i soge amo ganodini bogomu da defea galu.
3 Kwa nini BWANA alituleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watakuwa watumwa wao. Je, si bora kwetu kurudi Misri?”
Hina Gode da abuliba: le nini Ga: ina: ne sogega oule ahoabela: ? Ninia da gegesu ganodini medole legei dagoi ba: mu amola ninia uda amola mano huluane gagulaligi dagoi ba: mu. Ninia da Idibidi sogega buhagimu da defea.
4 Wakasemezana wao kwa wao, “Na tuchague kiongozi mwingine, turudi Misri.”
Amaiba: le, ilia da gilisili amane sia: dasu, “Defea! Ninia da gaheabolo ouligisu dunu eno ilegele, Idibidi sogega buhagimu.”
5 Ndipo Musa na Haruni wakalala kifudifudi mbele ya kundi lote la wana wa Israeli.
Amalalu, Mousese amola Elane ela da dunu gilisisu ilia midadi osoboga begudui.
6 Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa waemtumwa kwenda kuipeleleza nchi wakachana mavazi yao.
Amola Yosiua (Nane egefe) amola Ga: ilebe (Yifane egefe), desega ahoasu dunu aduna, ela da se nababeba: le, abula gadelale,
7 Wakawaambia watu wote wa Israeli. Walisema, “Ile nchi tuliyopita katikati yake ni nchi nzuri sana.
Isala: ili dunuma amane sia: i, “Soge ninia ba: i amo da soge noga: iwanedafa.
8 Kama BWANA amependezwa nasi, basi atatuingiza katika nchi hii na kutupatia. Ile nchi inatiririka maziwa na asali.
Hina Gode da ninia hou hahawane ba: sea, E da nini amoga oule asili, amola amo soge ida: iwane amola nasegagi ninima imunu.
9 Lakini msimwasi BWANA, na msiwahofie hao wakazi wa nchi hiyo. Tutawateketeza kwa urahisi kama kula chakula. Ulinzi wao utaondolewa kutoka kwao, kwa sababu BWANA yuko pamoja nasi. Msiwahofie.”
Dilia! Hina Godema mae odoga: ma! Amola dunu fi amogawi esala ilima mae beda: ma! Ninia da ilima hedolowane hasalimu. Hina Gode da nini esala. Amola e da ogogosu ‘gode’ liligi amo da ili gagui, E da amo hasali dagoi. Amaiba: le, mae beda: ma!”
10 Lakini watu wote walitishia kuwapiga kwa mawe mpaka wafe. Kisha utukufuwa BWANA ukaonekana kwenye hema ya kukutania kwa watu wote wa Israeli.
Isala: ili dunu huluane da Mousese, Elane, Ga: ilebe amola Yosiua amo ili igiga medole legemusa: , magagisu. Be hedolodafa, Hina Gode Ea sinenemegi hadigi da Abula Diasu gadodili doaga: i. Amola Isala: ili da Gode Ea sinenemegi hadigi ba: i.
11 BWANA akamwambi Musa, “watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kutoniamini mpaka lini? Nijapokuwa nimefanya ishara kwa nguvu zangu kati yao?
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Amo dunu da bu habowali seda Nama higa: ma: bela: ? Na da ilia gilisisu ganodini, gasa bagade degabo ba: i hou bagohame hamosu. Be ilia da Na hou dafawaneyale hame dawa: sa.
12 Nitawapiga kwa mapigo, na kuwaondolea urithi, na kufanya taifa kubwa kutoka kwenye ukoo wako ambalo litakuwa kubwa na lenye nguvu kuliko wao.
Na da ili wadela: lesima: ne, olo bagade ilima iasimu. Be Na da di amo dunu fi da Isala: ili fi ilia idi amola ilia gasa amo bagade baligisa, amo hamomu. Amola di da amo gaheabolo fi ilima ada esalumu.”
13 Musa akamwambia BWANA, “Kama utafanya hivi, Na Wamisiri wakisikia habari hizi, na kwa sababu uliwaokoa kutoka kwao kwa nguvu zako.
Be Mousese da Hina Godema bu adole i, “Di da Dia gasaga amo dunu Idibidi fisili masa: ne, goeguda: oule misi. Idibidi dunu da Dia hou waha sia: i amo Dia dunu fi ilima hamoi amo nabasea,
14 Basi watawaambia wakazi wa nchi hii. Wamesikia ya kuwa wewe BWANA u kati ya watu hawa, kwa sababu uso wako waonekana. Wingu lako husimama juu ya watu wetu. Wewe huwatangulia katika nguzo ya wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku.
ilia da dunu amo da Ga: ina: ne soge ganodini esala, ilima olelemu. Ga: ina: ne dunu da Dia hou nabi dagoi. Di, Hina Gode, da nini esala. Dia mobi ganumu da ninima gadodili aligisia, Di, Hina Gode da esalebe amo ba: beba: le, dunu huluane dawa: Ilia da ba: i dagoi. Di da esoga mu mobi ganumu ganodini bisili ahoa amola gasia, lalu ganumu ganodini bisili ahoa.
15 Sasa kama utawaua hawa watu kama mtu mmoja, basi mataifa ambao wamesikia sifa zako watasema,
Be Di da wali Dia fi dunu huluane medole legesea, dunu fi amo da Dia gasa bagade hou nabi dagoi, amo ilia da amane sia: mu,
16 “Kwa Sababu BWANA hana uwezo wa kuwapeleka watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia kuwapa, ndiyo maana amewaua katika jangwa hili.'
‘Di da hafoga: i soge ganodini Dia fi dunu medole legei. Bai Di da soge amo Di ilima ima: ne ilegei, amoga oule masunu hamedei ba: i.
17 Sasa, nakusihi, utumie uweza wako. Kwa kuwa umesema kuwa,
Amaiba: le, wali Hina Gode, na da Dima edegesa. Dia gasa bagade hou ninima olelema. Dia musa: ilegele sia: i defele hamoma.
18 'BWANA si mwepesi wa hasira na ni mwingi wa uaminifu katika agano. Yeye husamehe uovu na uasi. Kwa vyovyote vile atafutilia hatia atakapoleta hukumu ya dhambi za mababu juu ya wazao wao, kwa kizazi cha tatu na cha nne.'
Bai Di amane sia: i, ‘Na, Hina Gode, da hedolo hame ougisa. Na da asigi hou bagade olelesa. Amola wadela: i hou amola lelesu hou amo gogolema: ne olofosa. Be ada amola ame da wadela: le hamosea, Na da mano amola elagaga fifi ahoabe osoda amola amo baligi biyadu fifi ahoabe ilima se dabe imunu.’
19 Ninakusihi uwasameha watu hawa dhambi zao kwa sababu ya ukuu wa uaminifu wa agano lako, kama vile ambavyo umekuwa ukiwasamehe watu hawa tokea wakati wakiwa Misri mpaka sasa.”
Wali, Hina Gode, Dia noga: iwane gasa bagade hou amola Dia afadenemusa: hame dawa: asigi hou defele, amo dunu ilia wadela: i hou gogolema: ne olofoma. Ilia da Idibidi fisili, asili, goeguda: doaga: le, Di da ilia hou gogolema: ne olofoi. Amo defele, ilia wali hou hamoi amo gogolema: ne olofoma.”
20 BWANA akasema, Nimewasamehe kwa kama ulivyoomba,
Hina Gode da bu adole i, “Dia adole ba: su defele, Na da ilia hou gogolema: ne olofomu.
21 bali kama Niishivyo, na kama vile dunia yote itakavyojazwa na utukufu wangu,
Be Na da dafawane ilegele sia: sa. Na da esala amola Na da osobo bagade nabasa, amo da dafawane. Amo defele,
22 watu wote walioona utukufu wangu na ishara za nguvu zangu nilizotenda kule Misri na kule jangwani - Lakini bado wamenijaribu mara kumi sasa na hawakuisikiliza sauti yangu.
Isala: ili dunu huluanedafa da Ga: ina: ne soge ganodini mae golili sa: ili, bogomu. Ilia da Na sinenemegi hadigi ba: i dagoi. Ilia da Na degabo ba: i gasa bagade hou Na da Idibidi amola hafoga: i soge ganodini hamoi, amo huluane ba: i dagoi. Be ilia da Na ilima ougima: ne, hame nabasu hou bagade hamonanu.
23 Kwa hiyo nasema kwamba hakika hawataiona nchi ile ambayo niliwaahdi kuwapa mababu zao. Hakuna hata mmoja wao ambao wamenidharau watakaoiona,
Ilia da soge amo Na da ilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo ganodini hamedafa golili sa: imu. Dunu huluane Nama higasu, ilia da ganodini hamedafa masunu.
24 isipokuwa mtumishi wangu Kalebu, kwa sababu alikuwa na roho nyingine. Yeye amenifuata kwa ukamilifu; Yeye nitampeleka katika nchi hiyo ambayo alienda kuipeleleza. Wazao wake wataimilki.
25 (Sasa Waamaleki na Wakanani waliishi katika bonde.) Kesho mtageuka na kwenda katika jangwa kwa njia ya bahari ya Shamu.”
Be Na hawa: hamosu dunu Ga: ilebe, amo ea hou da hisu. E da Nama fuligala: su hou hame yolesi. Na da soge amo e da hogola asi, amo ganodini oule masunu. Egaga fi da Ga: ina: ne soge (amo ganodini wali A: malege dunu amola Ga: ina: ne dunu esala) amo noga: le gagumu. Be dilia huluane, sinidigili, hafoga: i soge Agaba Gogomai la: idiga gala, amoga masa.”
26 BWANA akanena na Musa na Haruni, akasema,
Hina Gode da Mousese amola Elane elama amane sia: i,
27 “Nitaivumilia jamii ya watu hawa waovu ambao wananinung'unikia mpaka lini? Nimeyasikia malalamiko ya wana wa Israeli dhidi yangu.
“Amo wadela: i dunu da habowali seda Nama egane sia: sia: nanoma: bela: ? Na da ilia egane sia: bagade nabala helebe.
28 Waambie, 'Kama niishivyo,' asema BWANA, 'kama vile mlivyosema katika masikio yake, nitawafanyia jambo hili:
Wali, ilima agoane adole ima, ‘Na da esalebe amo defele, dima dafawane agoane sia: sa. Na da dilia adole ba: su defele dilima hamomu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.
29 Maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili, Ninyi nyote mliolalamika dhidi yangu, ninyi mliohesabiwa kwenye ile sensa, idadi yote ya watu kuanzia umri wa mika ishirini na kuendelea.
Dilia da bogomu amola dilia da: i hodo da amo hafoga: i sogega afagogoi dagoi ba: mu. Dunu huluane amo da lalelegele, ode20 baligi da Ga: ina: ne soge ganodini hame golili sai: mu. Bai dilia da Nama egane sia: dalu.
30 Kwa hakika hamtaingia kwenye ile nchi ambayo niliahidi kuwapa kuwa makazi yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
Na da dili amo soge ganodini hahawane esaloma: ne sia: i. Be dilia afaega da hamedafa agoai hamomu. Ga: ilebe amola Yosiua, ela fawane da ganodini masunu.
31 Bali watoto wenu ambao mlisema kuwa watakuwa watumwa, wao ndio nitakaowapeleka katika nchi hiyo. Wao wataifurahia nchi ambayo nInyi mmeikataa!
Dilia da dilia mano da ha lai dunuga gagulaligi dagoi ba: mu, amane sia: i. Be Na da dilia mano amo soge dilia higasu amo ganodini oule masunu. Amola ilia da amo ganodini hahawane fimu.
32 Lakini ninyi, maiti zenu zitaanguka katika jangwa hili.
Be dilia da guiguda: amo hafoga: i soge ganodini bogomu.
33 Watoto wenu watakuwa wachungaji katika jangwa hili kwa muda wa miaka arobaini. Lazima watabeba madhara ya matendo yenu ya kutokuamini mpaka mwisho wa maiti ya mwisho jangwani.
Dilia mano da wadela: i hafoga: i soge ganodini ode 40 amoga udigili lalumu. Ilia da dilia dafawaneyale hame dawa: su houba: le, se nabimu. Dilia huluane da bogoi dagoiba: le fawane, amo hou fisi dagoi ba: mu.
34 Kama vile ilivyo hesabu ya siku ambayo mliipeleleza nchi—siku arobaini, vivyo hivyo mtabeba madhara ya dhambi zenu kwa muda wa miaka arobaini—mwaka mmoja kwa kila siku moja, na mtajua kuwa ni sawa na kuwa adui yangu.
Dilia da ode 40 amoga, dilia wadela: i hou dabe se nabasu ba: mu. Dilia da eso40 amoga, Ga: ina: ne soge ea hou ba: i. Amo eso idi defele, dilia da ode 40 se nabimu. Na da dilima ha lai hamoi dagoi, amola dilia da amo hou dawa: mu.
35 Mimi BWANA nimesema. Hakika nitafanya hivi kwa kizazi hiki chote kiovu ambacho kimekusanyika kinyume na Mimi. Wao watakatwa kabisa, na watafia hapa.'”
Na da dafawane sia: sa! Dilia da wadela: i hamosu dunu amola Nama ha lamusa: gilisi. Amaiba: le, Na da amo hou dilima hamomu. Goeguda: hafoga: i soge ganodini, dilia huluane da bogogia: mu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi!”
36 Kwa hiyo wale wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuingalia ile nchi wote walikufa kwa tauni mbele ya BWANA.
Desega ahoasu dunu amo Mousese da Ga: ina: ne soge ea hou ba: lamasa: ne asunasi, ilia da bu misini ogogole ba: i amane sia: ne i dagoiba: le, Isala: ili dunu da Hina Godema egane sia: i. Amaiba: le, Hina Gode da ilima olo bagade iabeba: le, ilia da bogogia: i.
37 Hawa ni wale ambao waliorudi na kutoa taarifa mbaya juu ya nchi. Hii iliwafanya watu wote wamlalamikie Musa.
38 Kati ya watu wale waliokuwa wameenda kuiangalia nchi ile, ni Joshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune tu ndio waliobaki hai.
Desega ahoasu dunu fagoyale gala da musa: asi. Be Yosiua amola Ga: ilebe ela fawane hame bogoi.
39 Musa alipowataarifu mambo haya watu wote wa Israeli waliomboleza sana.
Mousese da Hina Gode Ea sia: i amo Isala: ili dunuma olelebeba: le, ilia da ha: giwane didigia: i.
40 Waliamka asubuhi na mapema wakaenda juu ya mlima na kisha wakasema, “Tazama, tuko hapa, na tutaenda mahali pale ambapo BWANA ametuahidi, kwa kuwa tumetenda dhambi.”
Golale hahabedafa, ilia da Ga: ina: ne agolo soge amoga doagala: le golili sa: imusa: asi. Ilia da amane sia: i, “Dafawane! Ninia da wali soge amo Hina Gode da ninima olelei, amoga masunu. Ninia da wadela: le hamoi dagoi.”
41 Lakini Musa akasema, “Kwa nini sasa mnapinga amri ya BWANA? hamtafanikiwa.
Be Mousese da amane sia: i, “Amaiba: le, dilia da abuliba: le wali bu Hina Godema hame nabasu hou hamosala: ? Dilia da hame didili hamoi ba: mu.
42 Msiende, kwa sababu BWANA hayuko pamoja nanyi kuwalinda dhidi ya maadui zenu.
Mae masa! Hina Gode da dilia gilisili hame esala. Dilia ha lai da dili hasalimu.
43 Waamaleki na Wakanaani wako kule, na mtakufa kwa upanga kwa sababu mliumtegea mgongo BWANA na hamkumfuata. Kwa hiyo hatakuwa pamoja nanyi.
Dilia da A: malege amola Ga: ina: ne dunu gegesu ganodini ba: le ganosea, dilia amo gegesu ganodini bogogia: mu. Hina Gode da dili hame fidimu. Bai dilia Ema fa: no bobogemu higasu.”
44 Lakini walithubutu kukwea mlimani; lakini si Musa wala Sanduku la agano la BWANA walioondoka kambini.
Be ilia da Mousese ea sia: mae nabawane, gasa fili, Ga: ina: ne agolo sogega asi. Be Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amola Mousese da mae asili, fisisu ganodini dialebe ba: i.
45 Kisha Waamaleki walikuja chini, pia wale Wakanaani walioshi kwenye hiyo milima. Wakawavamia Waisreli wakawapiga na kuwaangusha mpaka Horima.
Amalalu, A:malege dunu amola Ga: ina: ne dunu amogawi esalu da ilima doagala: le, ili hasali dagoi. Ilia da Isala: ili dunu sefasili, fa: no bobogele, Homa moilai bai bagade amoga doaga: beba: le fawane fisiagai.