< Hesabu 13 >
1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
Och Herren talade med Mose, och sade:
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
Sänd ut män, de som må bespeja landet Canaan, det jag Israels barn gifva vill; af hvarjo deras fäders slägt en myndig man.
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Mose sände dem ut af den öknene Paran, efter Herrans ord, de som alle voro myndige män ibland Israels barn;
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
Och heto alltså: Sammua, Zaccurs son, af Rubens slägte.
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
Saphat, Hori son, af Simeons slägte.
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
Caleb, Jephunne son, af Juda slägte.
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
Jigeal, Josephs son, af Isaschars slägte.
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
Hosea, Nuns son, af Ephraims slägte.
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
Palti, Raphu son, af BenJamins slägte.
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
Gaddiel, Sodi son, af Sebulons slägte.
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
Gaddi, Susi son, af Josephs slägte af Manasse.
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
Ammiel, Gemalli son, af Dans slägte.
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
Sethur, Michaels son, af Assers slägte.
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
Nahebi, Vaphsi son, af Naphthali slägte.
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
Geuel, Machi son, af Gads slägte.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
Desse äro namnen af männerna, som Mose utsände till att bespeja landet. Och Hosea, Nuns son, kallade Mose Josua.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
Då nu Mose utsände dem till att bespeja landet Canaan, sade han till dem: Farer upp söderut, och går upp på bergen;
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
Och beser landet, huru det är, och folket, som deruti bor, om det är starkt eller svagt, litet eller mycket;
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
Och hurudana land det är, der de uti bo, om det är godt eller ondt; och hurudana städer äro, der de uti bo, om de äro förvarade med murar, eller ej;
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
Och hurudana landet är, fett eller magert, och om trä deruti äro, eller ej; varer vid en god tröst, och tager af landsens frukt. Och det var rätt på den tiden, då första vinbären voro mogne.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
De gingo upp, och bespejade landet, ifrå den öknene Zin allt intill Rehob, der man går till Hamath.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
De gingo också upp söderut, och kommo till Hebron; der var Ahiman, Sesai och Thalmai, Enaks barn. Och Hebron var uppbygdt i sju år förra än Zoan uti Egypten.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Och de kommo intill den bäcken Escol, och skoro der en vinqvist af med en vinklasa, och läto två bära den på en stång, och dertill granatäple och fikon.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
Det rummet kallas Escols bäck, för den vinklasans skull, som Israels barn der afskoro.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
Och de vände om, när de hade bespejat landet, efter fyratio dagar;
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
Gingo och kommo till Mose och Aaron till hela menigheten af Israels barn, uti den öknene Paran till Kades; och sade honom igen, och hela menighetene, huruledes det stod till, och läto dem se landsens frukt;
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
Och förtäljde dem, och sade: Vi vore in uti det land, dit I oss sänden, der mjölk och hannog uti flyter; och detta är dess frukt;
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Förutan att der bor starkt folk uti, och der äro ganska faste och store städer; och vi såge der ock Enaks barn.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
De Amalekiter bo söderut i landena; de Hetheer, och Jebuseer, och Amoreer bo uppå bergen; de Cananeer bo vid hafvet och vid Jordan.
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Men Caleb stillte folket för Mose, och sade till dem: Låt oss draga ditupp, och taga landet in; förty vi kunne väl vara dem öfvermägtige.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
Men de män, som hade varit med honom uppfarne, sade: Vi förmåge icke draga ditupp emot det folk; ty de äro oss för starke.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
Och de förtalade landet, som de skådat hade, för Israels barnom, och sade: Landet, som vi igenomgångit hafve till att bespeja det, uppfräter sina inbyggare; och allt det folk, som vi derinne sågo, är ganska långt folk.
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
Vi såge der ock tyranner, Enaks barn af de tyranner; och vi vorom för vår ögon såsom gräshoppor, och så vorom vi ock för deras ögon.