< Hesabu 13 >
1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
И рече Господь к Моисею, глаголя:
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
посли от себе мужы, и да соглядают землю Ханаанску, юже Аз даю сыном Израилевым во одержание: мужа единаго от племене, по сонмом отечеств их, да послеши их всякаго старейшину от них.
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
И посла я Моисей от пустыни Фарани глаголголом Господним: вси мужи старейшины сынов Израилевых сии, и сия имена их:
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
от племене Рувимля Самуил сын Закхуров:
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
от племене Симеоня Сафат сын Сурин:
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
от племене Иудина Халев сын Иефонниин:
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
от племене Иссахаря Игал сын Иосифль:
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
от племене Ефремля Авсис сын Навин:
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
от племене Вениаминя Фалтий сын Рафуов:
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
от племене Завулоня Гудиил сын Судин:
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
от племене Иосифля сынов Манассииных Гадди сын Сусин:
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
от племене Данова Амиил сын Гамалин:
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
от племене Асирова Сафур сын Михаиль:
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
от племене Неффалимля Навий сын Савинь:
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
от племене Гадова Гудиил сын Махииль.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
Сия имена мужей, ихже посла Моисей соглядати землю: и прозва Моисей Авсиа сына Навина Иисус.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
И посла я Моисей от пустыни Фарани соглядати земли Ханаанския, и рече к ним: взыдите пустынею сею, и взыдете на гору.
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
И узрите землю, какова есть, и люди седящыя на ней, аще сильни суть, или немощни, мало ли их есть, или много?
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
И какова земля, на нейже сии седят, добра ли есть, или зла? И какови гради, в нихже живут сии, ограждени ли суть, или не ограждени?
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
И какова земля, изюбилна ли, или не изюбилна? Суть ли на ней древеса, или ни? И укрепившеся, возмите от плодов земли. Дние же бяху весенни, предваряющии ягоды.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
И шедше соглядаша землю от пустыни Син даже да Роова, до входов Емаф.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
И идоша по пустыни, и приидоша до Хеврона: и тамо (живяше) Ахиман и Сессий и Феламин, роды Енаковы: и Хеврон создася седмию леты прежде Танина (града) Египетскаго.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
И приидоша до дебри Гроздныя, и соглядаша ю: и урезаша оттуду ветвь, и грозд винограда един на ней, и воздвигоша ю на жердь, и от шипков, и от смоквей.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
И место оно назваша дебрь Гроздная, грозда ради, егоже урезаша оттуду сынове Израилтестии.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
И возвратишася оттуду, соглядавше землю по четыредесяти днех.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
И ходивше приидоша к Моисею и Аарону и ко всему сонму сынов Израилевых в пустыню Фараню в Кадис: и поведаша им слово и всему сонму, и показаша им плод земный.,
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
и поведаша ему, и рекоша: ходихом на землю, на нюже посылал еси нас, на землю кипящую млеком и медом, и сий плод ея:
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
кроме яко людие сильни зело, иже на ней живут, и гради утверждени ограждением велицы зело, и род Енаков видехом тамо:
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
и Амалик живет в земли к югу: и Хеттей и Евей, и Иевусей и Аморрей живут в горах: и Хананей живет при мори и при Иордане реце.
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
И утиши Халев люди пред Моисеом, и рече ему: никакоже, на восходя взыдем и приимем ю в наследие, яко сильни есмы преодолети им.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
И человецы ходившии с ним рекоша: не идем, яко не можем изыти противу языку (сему), яко крепльший есть паче нас.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
И изнесоша ужас земли, юже соглядаша, к сыном Израилевым, глаголюще: землю юже проидохом соглядающе, земля есть поядающи живущыя на ней, и вси люди, ихже видехом на ней, мужи превысоцыи:
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
и тамо видехом исполины, сыны Енаковы, и бехом пред ними яко прузи, и тако бехом пред ними.