< Hesabu 13 >

1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
Là l'Éternel parla à Moïse en ces termes:
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
Envoie des hommes pour reconnaître le pays de Canaan que je donne aux enfants d'Israël: vous enverrez un homme par Tribu, chacun pour celle de ses pères, et pris parmi leurs Princes.
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Alors Moïse les envoya du désert de Paran sur l'ordre de l'Éternel: il n'y avait que des hommes, chefs des enfants d'Israël.
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
Or voici leurs noms: pour la Tribu de Ruben, Sammua, fils de Zaccur;
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
pour la Tribu de Siméon, Saphat, fils de Hori;
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
pour la Tribu de Juda, Caleb, fils de Jephunneh;
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
pour la Tribu de Issaschar, Jighal, fils de Joseph;
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
pour la Tribu d'Éphraïm, Hosée, fils de Nun;
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
pour la Tribu de Benjamin, Palti, fils de Raphu;
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
pour la Tribu de Zabulon, Gaddiel, fils de Sodi;
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
pour la Tribu de Joseph, la Tribu de Manassé, Gaddi, fils de Susi; pour la Tribu de Dan, Ammiel, fils de Gmalli;
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
pour la Tribu d'Asser, Sthur, fils de Michaël;
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
pour la Tribu de Nephthali, Nachbi, fils de Vophsi;
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
pour la Tribu de Gad, Ghuel, fils de Machi.
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
Tels, sont les noms des hommes envoyés par Moïse pour reconnaître le pays.
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
Or Moïse donna à Hosée, fils de Nun, le nom de Josué.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
En les envoyant reconnaître le pays de Canaan, Moïse leur dit: Gagnez-en par ici le Midi, puis montez aux montagnes,
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
et voyez ce qu'est le pays et le peuple qui l'habite, s'il est fort ou faible, peu nombreux ou considérable,
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
et ce qu'est le pays où il habite, s'il est bon ou mauvais, et ce que sont les villes où ils habitent, s'ils ont des camps ou des forteresses,
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
et ce qu'est le sol, s'il est gras ou maigre, boisé ou non. Et ayez bon courage et rapportez des fruits du pays. Or c'était l'époque des primeurs du raisin.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
Ils allèrent donc et reconnurent le pays depuis le désert de Tsin jusqu'à Rechob du côté de Hamath.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
Et ils gagnèrent le Midi et pénétrèrent jusqu'à Hébron, et là étaient Ahiman, Sesaï et Thalmaï, enfants de Anak. Or Hébron avait été bâtie sept ans avant Tsoan en Egypte.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Et ils pénétrèrent jusque dans la vallée d'Escol et ils y coupèrent un pampre avec une grappe de raisin qu'ils portèrent à deux au moyen d'une gaule; ils prirent aussi des grenades et des figues.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
Ce lieu reçut le nom de Vallée d'Escol (vallée de la grappe) à cause de la grappe qu'y avaient cueillie les enfants d'Israël.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
Et ayant reconnu le pays ils furent de retour au bout de quarante jours.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
Étant donc arrivés ils se rendirent auprès de Moïse et d'Aaron et de toute l'Assemblée des enfants d'Israël au désert de Paran vers Cadès, et ils leur rendirent compte ainsi qu'à toute l'Assemblée et leur montrèrent les fruits du pays.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
Et ils lui firent leur récit et dirent: Nous avons pénétré dans le pays où tu nous as envoyés: oui, c'est une terre découlante de lait et de miel, et en voici les fruits.
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Seulement le peuple qui habite le pays est vigoureux, et les villes, fortes et très grandes, et nous y avons vu aussi les enfants d'Anak.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
Amalek habite le Midi du pays, et les Héthiens et les Jébusites et les Amoréens la montagne, et les Cananéens vers la mer et le long du Jourdain.
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Alors Caleb imposa silence au peuple à l'égard de Moïse et dit: Marchons, marchons! faisons-en la conquête, car nous en serons maîtres.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
Mais les hommes qui l'avaient accompagné dirent: Nous ne saurions marcher contre ce peuple, car il est plus fort que nous.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
Et ils décrièrent le pays qu'ils avaient reconnu, en répandant chez les enfants d'Israël ces propos: Le pays que nous avons parcouru pour le reconnaître, est un pays qui dévore ses habitants, et tout le peuple que nous y avons vu, est de taille élevée.
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
Et là nous avons vu des géants, enfants d'Anak, de la race des géants; et nous nous semblions des sauterelles, et nous leur semblions tels.

< Hesabu 13 >