< Hesabu 13 >
1 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia, “tuma watu waende kuipeleleza nchi ya Kanani, ambayo nimewapa wana wa Israeli.
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
2 Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
“Namah kah hlang rhoek te tueih lamtah Kanaan kho te yaam uh saeh. Te te Israel ca rhoek taengah ka paek coeng. A napa rhoek koca lamloh hlang pakhat, hlang pakhat tah amamih kah lamkah khoboei la boeih tueih,” a ti nah.
3 Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
Te dongah BOEIPA kah olka bangla Moses loh amih te Paran khosoek lamloh a tueih. Amih tah Israel ca rhoek kah a lu hlang boeih ni.
4 Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
Te rhoek khuiah a ming la Reuben koca lamloh kah Zakkuur capa Shammua,
5 Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
Simeon koca lamloh Khori capa Shaphat,
6 Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
Judah koca lamloh Jephunneh capa Kaleb,
7 Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
Issakhar koca lamloh Joseph capa Igal,
8 Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
Ephraim koca lamloh Nun capa Hosea,
9 Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
Benjamin koca lamloh Raphu capa Palti,
10 kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
Zebulun koca lamloh Sodi capa Gaddi,
11 kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
Joseph koca lamloh Manasseh koca, Susi capa Gaddiel,
12 kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
Dan koca lamloh Gemalli capa Ammiel,
13 kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;
Asher koca lamloh Michael capa Sethur,
14 kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Vofisi;
Naphtali koca lamloh Vophsi capa Nahbi,
15 kutoka kabila la Gadi, Geuli mwana wa Machi.
Gad koca lamloh Makhi capa Geuel,
16 Haya ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma kwenda kuipelelza ile nchi. Musa akamwita Hoshea mwana wa Nuni kwa jina la Joshua.
Te kah hlang rhoek te a ming Moses loh khohmuen yaam ham a tueih. Te vaengah Moses loh Nun capa Hosea te Joshua la a khue.
17 Musa akawatuma kwenda kuipeleleza ile nchi ya Kanani. Naye akawaambia, “Mkaanzie Negebu hadi mahali pa milima.
Moses loh amih te Kanaan khohmuen yaam ham a tueih. Te vaengah amih te tuithim lamloh pahoi cet uh lamtah tlang la yoeng uh.
18 Kaipelelezeni nchi kujua ni nchi ya namna gani. Wachunguzeni watu wake, kama ni watu wenye nguvu au dhaifu, kama ni wachache au ni wengi.
Khohmuen neh a khuikah khosa pilnam te so uh. Aka tlungluen nim, aka kha nim, yol nim, yet nim?
19 Chunguzeni nchi hiyo wanayoishi ni nchi ya namna gani. Ni nzuri au mbaya? Miji yao ikoje? Je iko kama kambi au ni miji yenye ngome?
A khuiah kho a sak te mebang khohmuen nim? Then nim, thae nim? A khuiah kho a sak khopuei rhoek te rhaehhmuen nen nim, hmuencak nen nim?
20 Chunguzeni ni nchi ya namna gani, kama ni njema kwa mazao au la kama kuna miti au hapana. Mwe hodari mkalete sampuli za mazao ya nchi,” Sasa ni muda wa msimu wa malimbuko ya mizabibu.
Diklai te ul nim, caep nim? A khuiah thing om nim, om pawt nim? Moem uh thae lamtah khohmuen thaihtae te hang khuen uh. A tue khaw misur thaihcuek tue coeng ni,” a ti nah.
21 Kwa hiyo wale wanaume wakaenda kuipeleleza ile nchi kutoka jangwa la Sini mpaka Rehobi, karibu na Lebo Hamati.
Te dongah cet uh tih khohmuen te Zin khosoek lamloh Lebokhamath Rehob duela a yaam uh.
22 Walienda kutoka Negebu nao wakafika Hebroni. Ahimani, Sheshai, na Talmai, Uzao wa Anaki nao walikuweko, Sasa Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba iliyokuwa imepita kabla ya Zoani wa Misri.
Te dongah tuithim longah cet uh tih Hebron la pawk uh. Te vaengah Anakim cahlah Sheshai Ahiman neh Talmai ana om coeng. Hebron he Egypt Zoan mikhmuh ah kum rhih khuiah a thoh.
23 Nao walipofika katika bonde la Eshikoli, walikata matawi ya mizabibu lenye kishada cha zabibu. Na makundi mawili ya wapelelezi wakakibeba kwenye mti. Pia wakaleta makomamanga na mtini.
Eshkol soklong la a pawk uh vaengah thingluei te a saih uh tih misur a su pakhat te panit loh cunghloeng dongah a koh. Te vaengah tale thaih neh thaibu thaih te a khuenuh.
24 Mahali pale paliitwa Eshikoli, kwa sababu ya kishada cha mizabibu ambacho wana wa Israeli walikata kule.
Israel ca rhoek loh te lamkah thaihsu te a haih uh kawng dongah te hmuen te Eshkol soklong a sui.
25 Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
Khohnin likip a thok vaengah khohmuen aka yaam lamloh mael uh.
26 Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.
Cet tih Moses taeng neh Aaron taengah khaw, Kadesh Paran khosoek kah Israel ca rhaengpuei boeih taengla pawk. Amih taengah olka a khuen uh tih rhaengpuei boeih taengah khohmuen thingthaih te a tueng uh.
27 Wakamwambia Musa, “Tulifika katika ile nchi uliyotutuma. Kwa hakika ni nchi ya kutiririka maziwa na asali. Na baadhi ya matunda yake ni haya hapa.
A taengla a puen uh vaengah, “Kaimih nan tueih nah khohmuen la ka pawk uh, suktui neh khoitui khaw long ngawn tih he he a thaih ni.
28 Hata hivyo, watu wanaoishi huko ni wenye nguvu. Miji yao ni mikubwa tena ina maboma. Pia tuliwaona wana wa Anaki huko.
Lungli lungla la, khohmuen kah khosa pilnam khaw tlung tih khopuei vong cak khaw, bahoeng khangmai. Te phoeiah Anakim cahlah rhoek pataeng hnap ka hmuh uh.
29 Waamaleki wanaishi Negebu. Wahiti, Wayebusi, na Waamori nao wanaishi katika milima ya hiyo nchi. Wakanaani wanaishi kando ya bahari na mto Yorodani.”
Amalek loh tuithim khohmuen ah kho a sak, Khitti neh Jebusi neh Amori loh tlang ah kho a sak, Kanaan loh tuipuei taeng neh Jordan tuikaeng ah kho a sak,” a ti uh.
30 Kisha Kalebu akawatuliza watu waliokuwa mbele ya Musa, akasema, “Twendeni tukaiteke nyara hiyo nchi, kwa kuwa tuna uhakika wa kuikamata.”
Tedae Kaleb loh pilnam te Moses mikhmuh ah a sim tih, “Cet rhoe cet uh sih lamtah te te pang uh sih, te te coeng rhoe coeng ta,” a ti.
31 Lakini wale watu waliokuwa wameenda naye walisema, “Hatutaweza kuwashinda hao watu kwa kuwa wao ni hodari kuliko sisi.”
Te vaengah amah neh aka cet hlang rhoek loh, “Mamihs lakah tlungluen coeng tih pilnam te paan ham coeng pawh,” a ti uh.
32 Kwa hiyo wakasambaza taarifa za kukatisha tamaa kwa Wana wa Israeli juu ya nchi ile waliyoipeleleza. Walisema, “Ile nchi tuliyoiona ni nchi inayowala watu wake. Watu wote tuliowaona ni watu warefu.
Khohmuen a yaam uh te theetnah la a khuen uh tih Israel ca rhoek taengah, “Khohmuen te yaam ham te longah ka paan uh, khohmuen tah amah khosa rhoek loh a yoop tih a khui kah pilnam te cungkui hlang la boeih ka hmuh uh.
33 Kule tuliiona majitu, wana wa uzao wa Anaki, ambao nii uzao wa majitu. Sisi tulionekana kama panzi machoni mwao tulipojilingsnisha nao, hivyo ndivyo tulivyoonekana machoni mwao pia.”
Teah te Anakim koca Nephilim te ka hmuh uh. Nephilim lamkah phoeiah tah kaimih mik ah tangku bangla kai om uh coeng tih amih mik ah khaw ka om van,” a ti uh.