< Hesabu 11 >
1 Sasa watu wakanung'unika juu ya matatizo yao wakati BWANA alipokuwa akiwasikiliza. BWANA akawasikia watu naye akakasirika. Moto kutoka kwa BWANA ukashuka na ukawaka kati yao na kuteketeza baadhi ya kambi kwenye pembe zake.
Et le peuple murmura comme des gens en détresse, aux oreilles de l'Éternel, et l'Éternel l'entendit, et sa colère s'enflamma, et un feu envoyé par l'Éternel s'alluma parmi eux, et fit des ravages à l'extrémité du camp.
2 Ndipo watu wakamwita Musa kwa nguvu, Naye Musa akamwomba BWANA, na ule moto ukazimika.
Alors le peuple éleva ses cris vers Moïse, et Moïse intercéda auprès de l'Éternel, et le feu s'abattit.
3 Mahali pale paliitwa Tabera, kwa sababu moto wa BWANA uliwaka kati yao.
Et ce lieu reçut le nom de Tabhera (Incendie), parce que le feu de l'Éternel les avait incendiés.
4 Baadhi ya wageni wakaanza kuweka kambi zao pamoja na wana wa wa Israeli. Walitaka kula chakula kizuri. Kisha wana wa Israeli walipoanza kulia wakisema, “Ni nani atakayetupatia nyama za kula?
Et la tourbe qui était parmi eux fut saisie de convoitise, et même les enfants d'Israël se remirent à pleurer et dirent: Qui nous donnera de la chair pour aliment?
5 Tunakumbuka samaki tulizokula bure kule Misri, yale matango, na matikiti maji, na mboga na vitunguu na vitunguu saumu.
Nous avons le souvenir des poissons que nous mangions en Egypte gratis, des concombres et des pastèques et du poireau et des oignons et des aulx,
6 Na sasa hatuna hamu ya kula, kwa sababu tunaona mana tu.
et maintenant nous sommes à jeun, il n'y a rien; nous ne voyons que de la manne.
7 Mana ilifanana na punje ya mtama. ilionekana kama bedola.
Or la manne était comme de la graine de coriandre et avait l'aspect du bdellium.
8 watu wakazunguka kisha wakakusanyika. Wakaisaga, wakaitwanga kwa vinu, wakaitokosa nyunguni, na kuitengeneza mikate. radha yake ilikuwa kama mafuta mapya ya mizeituni.
Le peuple courait ça et là et la recueillait, et la broyait avec les meules, ou la pilait dans des mortiers, et la faisait cuire dans des chaudières, et la façonnait en galettes; et elle avait le goût d'oublies à l'huile.
9 Na umande ulipoanguka kambini usiku ule, na mana ilianguka pia.
Et quand la rosée tombait la nuit dans le camp, la manne y tombait en même temps.
10 Musa akawasikia watu wakilia katika familia zao, na kila mtu alikuwa kwenye lango la hema yake. BWANA alikasirika sana, na mbele ya macho ya Musa malalamiko yao yalikuwa mabaya.
Et Moïse entendit le peuple qui pleurait dans ses familles, chacun à la porte de sa tente; alors la colère de l'Éternel s'enflamma fort ce dont Moïse fut mécontent.
11 Musa akasema na BWANA, “Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna hiyo? kwa nini hujapendezwa na mimi? unanifanya kubeba mizigo ya hawa watu.
Et Moïse dit à l'Éternel: Pourquoi traites-tu si mal ton serviteur, et pourquoi ne trouvé-je pas grâce à tes yeux, que tu m'imposes le fardeau de tout ce peuple?
12 Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia, “wabebe kwa ukaribu vifuani mwako kama baba abebavyo mtoto wake? Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ambayo uliwaahidi mababu zao kuwapa?
Est-ce que j'ai conçu tout ce peuple? l'ai-je enfanté pour que tu me dises: Porte-le dans ton sein, comme le nourricier porte le nourrisson, au pays que j'ai promis par serment à ses pères?
13 Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa? Wanalia mbele zangu na wanasema, 'tupe nyama tule.'
D'où puis-je tirer de la chair pour en nourrir tout ce peuple? Car ils s'adressent à moi en pleurant: Donne-nous de la chair à manger!
14 Mimi peke yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa. Ni wengi sana kwangu.
Je ne saurais à moi seul être chargé de tout ce peuple, car c'est au-dessus de mes forces.
15 Kwa vile unanitendea hivi, basi uniue, na kama wewe ni mpole kwangu, basi niondolee mzigo huu.”
Que si tu veux me traiter ainsi, ah! si j'ai trouvé grâce à tes yeux, fais-moi périr, afin que je ne voie pas ma misère.
16 BWANA akamwambia Musa, “Niletee wazee sabini miongoni mwa Waisraeli. Hakikisha ni wazee na viongozi wa watu. Uwalete kwenye hema ya kukutania wasimame pamoja na wewe.
Alors l'Éternel dit à Moïse: Choisis-moi soixante-dix hommes parmi les Anciens d'Israël que tu connais pour être Anciens du peuple et préposés sur lui, et amène-les à la Tente du Rendez-vous, et qu'ils s'y présentent avec toi.
17 Nami nitashuka niseme nawe mahali pale. Nitatoa sehemu ya roho iliyo ndani yako na kuwapatia wao. Nao watabeba mzigo wa watu pamoja nawe. na hautaubeba peke yako.
Et je descendrai et parlerai là avec toi, et je prendrai de l'esprit qui repose sur toi, et en mettrai sur eux, afin qu'ils portent avec toi le fardeau du peuple, et que tu n'en sois plus chargé seul.
18 Waambie watu, 'Jitakaseni ninyi wenyewe, kwa kuwa kesho mtakuala nyama, kwa kuwa mmelia na BWANA amesikia, “Mlipokuwa mkisema kuwa nani atakayetupa nyama tule? Kule Misri tulikula chakula kizuri!” Kwa hiyo BWANA atawapeni nyama, nanyi mtakula nyama.
Et tu diras au peuple: Sanctifiez-vous pour demain et vous aurez de la chair à manger; car vous avez pleuré aux oreilles de l'Éternel et dit: Qui nous donnera de la chair à manger, car nous étions bien en Egypte? et l'Éternel vous donnera de la chair à manger.
19 Hamtakula nyama kwa siku moja tu, au siku mbili, au siku tano, au siku kumi, au siku ishirini,
Ce ne sera ni un jour ni deux que vous en mangerez, ni cinq, ni dix, ni vingt jours,
20 Lakini mtakula nyama kwa mwezi mmoja mpaka zitakapowatokea puani. Mpaka zitawakinai kwa sababu mmemkataa BWANA ambaye yuko kati yenu. Mmelia mbele yake. mmesema, “Kwa nini tulitoka Misri?””
mais un mois de temps, jusqu'à ce qu'elle s'exhale par vos narines, et qu'elle vous dégoûte, parce que vous avez répudié l'Éternel qui est au milieu de vous, et pleuré devant lui et dit: Pourquoi donc avons-nous quitté l'Egypte?
21 Kisha Musa akasema, “Mimi nina watu 600, 000, na wewe umesema, “Nitawapa nyama mle kwa mwezi mmoja,'
Et Moïse dit: Il y a six cent mille hommes de pied dans ce peuple au milieu duquel je suis, et Tu dis: Je leur donnerai de la chair, de quoi manger un mois de temps.
22 Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuwatosheleza?”
Égorgera-t-on pour eux du gros et du menu bétail jusqu'à leur suffisance? réunira-t-on tous les poissons de la mer pour qu'ils aient assez?
23 BWANA akasema na Musa, “Je mkono wangu ni mfupi? Sasa utaona kama maneno yangu ni ya kweli ama sivyo.
Et l'Éternel dit à Moïse: La main de l'Éternel se raccourcit-elle? Tu vas voir si ma parole s'exécutera ou non.
24 Musa alitoka nje kwenda kuwaambia watu maneno ya BWANA. Aliwakusanya wazee sabini wa watu na kuwaweka kuizunguka hema.
Et Moïse sortit et redit au peuple les paroles de l'Éternel, et il choisit soixante-dix hommes parmi les Anciens du peuple et les plaça autour de la Tente.
25 BWANA akashuka chini katika wingu akaongea na Musa. BWANA akachukua sehemu ya roho iliyokuwa kwa Musa na kuiweka kwa wale wazee sabini. Roho alipowashukia, wakaanza kutoa unabii, lakini ilitokea kwenye tukio hilo tu na haikujirudia tena.
Et l'Éternel descendit dans la nue et lui parla, et Il prit de l'esprit qui reposait sur lui, et Il en mit sur les soixante-dix Anciens. Et lorsque l'esprit reposa sur eux, ils prophétisèrent; mais ils ne le firent plus de nouveau.
26 Watu wawili waitwao Elidadi na Medadi walibaki kambini. Lakini Roho aliwashukia pia. Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha lakini walikuwa hawajaenda hemani. Hata hivyo nao walitoa unabii wakiwa kambini.
Or deux hommes étaient restés dans le camp, l'un nommé Eldad, l'autre Medad; et l'esprit vint reposer sur eux (ils étaient parmi les [soixante-dix] inscrits, quoiqu'ils n'eussent point paru à la Tente) et ils prophétisaient dans le camp.
27 Kijana mmoja huko kambini alikimbia akaenda kumwambia Musa, “Elidadi na Medadi wanatoa unabii kambini.”
Aussitôt le jeune garçon courut en informer Moïse et lui dit: Eldad et Medad prophétisent dans le camp.
28 Joshua mwana wa Nuni, msaidizi wa Musa, ambaye ni miongoni mwa wale aliowachagua akamwambia Musa, “Bwana wangu Musa, wazuie.”
Et Josué, fils de Nun, serviteur de Moïse depuis sa jeunesse, prit la parole et dit: Mon seigneur, Moïse, empêche-les.
29 Musa akamwambia, “una wivu kwa niaba yangu? Natamani kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kwamba angeweka Roho yake juu yao wote!”
Mais Moïse lui dit: Veux-tu montrer du zèle pour moi? Je voudrais que dans le peuple de l'Éternel tous fussent des prophètes, que l'Éternel mît son esprit sur eux.
30 Kisha Musa na wale wazee wakarudi kambini.
Et Moïse se retira dans le camp, lui et les Anciens d'Israël.
31 Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA ukaja na kware kutokea baharini. Wakaanguka karibu na kambi, kiasi cha umbali wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine. Wale kware wakaizunguka kambi kiasi cha mita moja toka uso wa dunia.
Et un vent envoyé par l'Éternel amena des cailles à travers la mer et les abattit dans le camp sur un espace d'environ une journée de marche d'un côté et d'environ une journée de marche de l'autre autour du camp, à deux coudées environ au-dessus du sol.
32 Watu wakawakusanya hao kware kwa bidii mchana huo wote na usiku huo wote, na mchana wote uliofuatia. Hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili za uajazo. Wakawaanika kweye ardhi yote hapo kambini.
Et le peuple se mit en mouvement pendant tout ce jour-là, toute la nuit et tout le lendemain, et ramassa les cailles; le moins qu'un homme en ramassât était dix homers; et ils les étendirent pour leur usage aux alentours du camp.
33 Wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno yao, wakiwa bado wanatafuna, BWANA akawakasirikia. Akwapiga watu wale kwa gonjwa kubwa sana.
La chair était encore entre leurs dents, et n'était pas encore consommée, que la colère de l'Éternel s'enflamma contre le peuple et l'Éternel frappa le peuple d'une mortalité très grande.
34 Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava, kwa sababu pale walizika watu waliotamani nyama.
Et ce lieu reçut le nom de Kibroth-Haththava (tombeaux de la convoitise), parce que là le peuple inhuma ceux que la convoitise avait saisis.
35 Kutoka Kibroti Hataava watu wakasafiri hadi Hazeroti, ambapo walipumzika.
De Kibroth-Haththava le peuple se mit en marche pour Hathseroth, et il s'arrêta à Hathseroth.