< Hesabu 11 >

1 Sasa watu wakanung'unika juu ya matatizo yao wakati BWANA alipokuwa akiwasikiliza. BWANA akawasikia watu naye akakasirika. Moto kutoka kwa BWANA ukashuka na ukawaka kati yao na kuteketeza baadhi ya kambi kwenye pembe zake.
and to be [the] people like/as to complain bad: evil in/on/with ear: hearing LORD and to hear: hear LORD and to be incensed face: anger his and to burn: burn in/on/with them fire LORD and to eat in/on/with end [the] camp
2 Ndipo watu wakamwita Musa kwa nguvu, Naye Musa akamwomba BWANA, na ule moto ukazimika.
and to cry [the] people to(wards) Moses and to pray Moses to(wards) LORD and to sink [the] fire
3 Mahali pale paliitwa Tabera, kwa sababu moto wa BWANA uliwaka kati yao.
and to call: call by name [the] place [the] he/she/it Taberah for to burn: burn in/on/with them fire LORD
4 Baadhi ya wageni wakaanza kuweka kambi zao pamoja na wana wa wa Israeli. Walitaka kula chakula kizuri. Kisha wana wa Israeli walipoanza kulia wakisema, “Ni nani atakayetupatia nyama za kula?
and [the] rabble which in/on/with entrails: among his to desire desire and to return: again and to weep also son: descendant/people Israel and to say who? to eat us flesh
5 Tunakumbuka samaki tulizokula bure kule Misri, yale matango, na matikiti maji, na mboga na vitunguu na vitunguu saumu.
to remember [obj] [the] fish which to eat in/on/with Egypt for nothing [obj] [the] cucumber and [obj] [the] melon and [obj] [the] leek and [obj] [the] onion and [obj] [the] garlic
6 Na sasa hatuna hamu ya kula, kwa sababu tunaona mana tu.
and now soul: appetite our dry nothing all lest to(wards) [the] manna eye: seeing our
7 Mana ilifanana na punje ya mtama. ilionekana kama bedola.
and [the] manna like/as seed coriander he/she/it and eye: appearance his like/as eye: appearance [the] bdellium
8 watu wakazunguka kisha wakakusanyika. Wakaisaga, wakaitwanga kwa vinu, wakaitokosa nyunguni, na kuitengeneza mikate. radha yake ilikuwa kama mafuta mapya ya mizeituni.
to rove [the] people and to gather and to grind in/on/with millstone or to beat in/on/with mortar and to boil in/on/with pot and to make [obj] him bun and to be taste his like/as taste juicy bit [the] oil
9 Na umande ulipoanguka kambini usiku ule, na mana ilianguka pia.
and in/on/with to go down [the] dew upon [the] camp night to go down [the] manna upon him
10 Musa akawasikia watu wakilia katika familia zao, na kila mtu alikuwa kwenye lango la hema yake. BWANA alikasirika sana, na mbele ya macho ya Musa malalamiko yao yalikuwa mabaya.
and to hear: hear Moses [obj] [the] people to weep to/for family his man: anyone to/for entrance tent his and to be incensed face: anger LORD much and in/on/with eye: appearance Moses be evil
11 Musa akasema na BWANA, “Kwa nini umemtendea mtumishi wako vibaya namna hiyo? kwa nini hujapendezwa na mimi? unanifanya kubeba mizigo ya hawa watu.
and to say Moses to(wards) LORD to/for what? be evil to/for servant/slave your and to/for what? not to find favor in/on/with eye: seeing your to/for to set: put [obj] burden all [the] people [the] this upon me
12 Je, mimi ndiye niliyewatungia mimba hawa watu? Mimi ndiye niliyewazaa kiasi kwamba unaniambia, “wabebe kwa ukaribu vifuani mwako kama baba abebavyo mtoto wake? Je, nitawabeba mpaka kwenye nchi ambayo uliwaahidi mababu zao kuwapa?
I to conceive [obj] all [the] people [the] this if: surely no I to beget him for to say to(wards) me to lift: bear him in/on/with bosom: embrace your like/as as which to lift: bear [the] be faithful [obj] [the] to suckle upon [the] land: soil which to swear to/for father his
13 Naweza kupata wapi nyama za kuwapa watu wote hawa? Wanalia mbele zangu na wanasema, 'tupe nyama tule.'
from where? to/for me flesh to/for to give: give to/for all [the] people [the] this for to weep upon me to/for to say to give: give [emph?] to/for us flesh and to eat
14 Mimi peke yangu siwezi kuwabeba watu wote hawa. Ni wengi sana kwangu.
not be able I to/for alone me to/for to lift: bear [obj] all [the] people [the] this for heavy from me
15 Kwa vile unanitendea hivi, basi uniue, na kama wewe ni mpole kwangu, basi niondolee mzigo huu.”
and if thus you(f. s.) to make: do to/for me to kill me please to kill if to find favor in/on/with eye: seeing your and not to see: see in/on/with distress: harm my
16 BWANA akamwambia Musa, “Niletee wazee sabini miongoni mwa Waisraeli. Hakikisha ni wazee na viongozi wa watu. Uwalete kwenye hema ya kukutania wasimame pamoja na wewe.
and to say LORD to(wards) Moses to gather [emph?] to/for me seventy man from old: elder Israel which to know for they(masc.) old: elder [the] people and official his and to take: bring [obj] them to(wards) tent meeting and to stand there with you
17 Nami nitashuka niseme nawe mahali pale. Nitatoa sehemu ya roho iliyo ndani yako na kuwapatia wao. Nao watabeba mzigo wa watu pamoja nawe. na hautaubeba peke yako.
and to go down and to speak: speak with you there and to reserve from [the] spirit which upon you and to set: put upon them and to lift: bear with you in/on/with burden [the] people and not to lift: bear you(m. s.) to/for alone you
18 Waambie watu, 'Jitakaseni ninyi wenyewe, kwa kuwa kesho mtakuala nyama, kwa kuwa mmelia na BWANA amesikia, “Mlipokuwa mkisema kuwa nani atakayetupa nyama tule? Kule Misri tulikula chakula kizuri!” Kwa hiyo BWANA atawapeni nyama, nanyi mtakula nyama.
and to(wards) [the] people to say to consecrate: consecate to/for tomorrow and to eat flesh for to weep in/on/with ear: hearing LORD to/for to say who? to eat us flesh for be pleasing to/for us in/on/with Egypt and to give: give LORD to/for you flesh and to eat
19 Hamtakula nyama kwa siku moja tu, au siku mbili, au siku tano, au siku kumi, au siku ishirini,
not day one to eat [emph?] and not day and not five day and not ten day and not twenty day
20 Lakini mtakula nyama kwa mwezi mmoja mpaka zitakapowatokea puani. Mpaka zitawakinai kwa sababu mmemkataa BWANA ambaye yuko kati yenu. Mmelia mbele yake. mmesema, “Kwa nini tulitoka Misri?””
till month day till which to come out: issue from face: nose your and to be to/for you to/for loathsome because for to reject [obj] LORD which in/on/with entrails: among your and to weep to/for face: before his to/for to say to/for what? this to come out: issue from Egypt
21 Kisha Musa akasema, “Mimi nina watu 600, 000, na wewe umesema, “Nitawapa nyama mle kwa mwezi mmoja,'
and to say Moses six hundred thousand on foot [the] people which I in/on/with entrails: among his and you(m. s.) to say flesh to give: give to/for them and to eat month day
22 Je, tutayachinja haya makundi ya ng'ombe na kondoo ili kuwatosheleza?”
flock and cattle to slaughter to/for them and to find to/for them if [obj] all fish [the] sea to gather to/for them and to find to/for them
23 BWANA akasema na Musa, “Je mkono wangu ni mfupi? Sasa utaona kama maneno yangu ni ya kweli ama sivyo.
and to say LORD to(wards) Moses hand: power LORD be short now to see: see to meet you word my if not
24 Musa alitoka nje kwenda kuwaambia watu maneno ya BWANA. Aliwakusanya wazee sabini wa watu na kuwaweka kuizunguka hema.
and to come out: come Moses and to speak: speak to(wards) [the] people [obj] word LORD and to gather seventy man from old: elder [the] people and to stand: put [obj] them around [the] tent
25 BWANA akashuka chini katika wingu akaongea na Musa. BWANA akachukua sehemu ya roho iliyokuwa kwa Musa na kuiweka kwa wale wazee sabini. Roho alipowashukia, wakaanza kutoa unabii, lakini ilitokea kwenye tukio hilo tu na haikujirudia tena.
and to go down LORD in/on/with cloud and to speak: speak to(wards) him and to reserve from [the] spirit which upon him and to give: put upon seventy man [the] old: elder and to be like/as to rest upon them [the] spirit and to prophesy and not to add: again
26 Watu wawili waitwao Elidadi na Medadi walibaki kambini. Lakini Roho aliwashukia pia. Majina yao yalikuwa yameandikwa kwenye orodha lakini walikuwa hawajaenda hemani. Hata hivyo nao walitoa unabii wakiwa kambini.
and to remain two human in/on/with camp name [the] one Eldad and name [the] second Medad and to rest upon them [the] spirit and they(masc.) in/on/with to write and not to come out: come [the] tent [to] and to prophesy in/on/with camp
27 Kijana mmoja huko kambini alikimbia akaenda kumwambia Musa, “Elidadi na Medadi wanatoa unabii kambini.”
and to run: run [the] youth and to tell to/for Moses and to say Eldad and Medad to prophesy in/on/with camp
28 Joshua mwana wa Nuni, msaidizi wa Musa, ambaye ni miongoni mwa wale aliowachagua akamwambia Musa, “Bwana wangu Musa, wazuie.”
and to answer Joshua son: child Nun to minister Moses from youth his and to say lord my Moses to restrain them
29 Musa akamwambia, “una wivu kwa niaba yangu? Natamani kama watu wote wa BWANA wangekuwa manabii na kwamba angeweka Roho yake juu yao wote!”
and to say to/for him Moses be jealous you(m. s.) to/for me and who? to give: put all people LORD prophet for to give: put LORD [obj] spirit his upon them
30 Kisha Musa na wale wazee wakarudi kambini.
and to gather Moses to(wards) [the] camp he/she/it and old: elder Israel
31 Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA ukaja na kware kutokea baharini. Wakaanguka karibu na kambi, kiasi cha umbali wa safari ya siku moja upande huu na umbali wa siku moja upande mwingine. Wale kware wakaizunguka kambi kiasi cha mita moja toka uso wa dunia.
and spirit: breath to set out from with LORD and to cut off quail from [the] sea and to leave upon [the] camp like/as way: journey day thus and like/as way: journey day thus around [the] camp and like/as cubit upon face: surface [the] land: soil
32 Watu wakawakusanya hao kware kwa bidii mchana huo wote na usiku huo wote, na mchana wote uliofuatia. Hakuna aliyekusanya pungufu ya mita mbili za uajazo. Wakawaanika kweye ardhi yote hapo kambini.
and to arise: rise [the] people all [the] day [the] he/she/it and all [the] night and all day [the] morrow and to gather [obj] [the] quail [the] to diminish to gather ten homer and to spread to/for them to spread around [the] camp
33 Wakati ile nyama ikiwa bado iko kwenye meno yao, wakiwa bado wanatafuna, BWANA akawakasirikia. Akwapiga watu wale kwa gonjwa kubwa sana.
[the] flesh still he between tooth their before to cut: eliminate and face: anger LORD to be incensed in/on/with people and to smite LORD in/on/with people wound many much
34 Mahali pale paliitwa Kibroti Hataava, kwa sababu pale walizika watu waliotamani nyama.
and to call: call by [obj] name [the] place [the] he/she/it Kibroth-hattaavah Kibroth-hattaavah for there to bury [obj] [the] people [the] to desire
35 Kutoka Kibroti Hataava watu wakasafiri hadi Hazeroti, ambapo walipumzika.
from Kibroth-hattaavah Kibroth-hattaavah to set out [the] people Hazeroth and to be in/on/with Hazeroth

< Hesabu 11 >