< Hesabu 10 >
1 BWANA alinena na Musa, akasema,
Yahweh also told Moses/me,
2 “tengenza tarumbeta mbili za fedha. Uzitengeneze kwa kufua hizo fedha. Utazitumia hizo tarumbeta kwa kuwaita watu waje pamoja na kwa kuwaita watu wote wakati wa kuondoka kwenye kambi zao.
“[Tell someone to] make two trumpets by hammering each one from [one lump of] silver. Blow the trumpets to summon the people to come together and also to signal that they must move their tents [to a new location].
3 Makuhani watapiga tarumbeta kwa ajili ya kuwaita watu wote mbele yako kwenye lango la hema ya kukutania.
If both trumpets are blown, it means that everyone must gather together at the entrance of the Sacred Tent.
4 Kama makuhani watapiga tarumbeta moja tu, basi viongozi, vichwa koo za Israeli ndipo watakapokutana kwako.
If only one trumpet is blown, it means that only the [twelve] leaders of the tribes must gather together.
5 Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu, ile kambi ya upande wa mashariki itaanza kusafiri.
If the trumpets are blown loudly, the tribes that are to the east [of the Sacred Tent] should start to travel.
6 Nawe utakapopiga tarumeta kwa sauti kuu mara ya pili, ile kambi ya upande wa kusini wataanza kusafiri. Watapiga tarumbeta kwa sauti kuu ili kuanza safari yao.
When the trumpets are blown loudly the second time, the tribes that are to the south should start to travel. The loud blasts on the trumpet will signal that they should start to travel.
7 Watu wote watakapokutana pamoja, piga hizo tarumbeta lakini si kwa sauti kuu.
When you want only to gather the people together, blow the trumpets, but do not blow them as loudly.
8 Wana wa Haruni, makuhani, watapiga hizo tarumbeta. Huu ndio utakaokuwa utaratibu wa watu wako kwa vizazi vyote.
“The priests who are descended from Aaron are the ones who should blow the trumpets. That is a regulation that will never be changed.
9 Nanyi mtakapoenda vitani katika ardhi yenu dhidi ya maadui wenu wanaowakandamiza, ndipo mtakapotoa ishara ya sauti ya tarumbeta. Mimi, BWANA Mungu wako nitawaita kuwakumbuka na kuwaokoa kutoka kwa maadui wenu.
When you fight against enemies who attack you in your own land, tell the priests to blow the trumpets loudly. I, Yahweh, your God, will hear that, and I will rescue you from your enemies.
10 Pia, wakati wa kusherehekea, sikukuu zenu za kawaida na katika miandamo ya miezi, mtapiga tarumbeta zenu kwa heshima ya sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani. Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu, Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”
Also tell the priests to blow the trumpets when the people are happy, and at the festivals [each year], and at the times when they celebrate the new moon each month. Tell them to blow the trumpets when the people bring offerings that will be completely burned, and when they bring offerings to maintain fellowship with me. If they do that, it will help you to remember that I, Yahweh your God, [will help you].”
11 Katika siku ya ishrini, mwezi wa pili, mwaka wa pili, Lile wingu liliinuliwa toka masikani ya amri za maagano.
On the twentieth day of May in the second year [after the/we Israelis left Egypt], the cloud rose up from above the Sacred Tent.
12 Wana wa Israeli wakaendelea na safari yao toka jangwa la Sinai. Lile wingu likasimama kwenye jangwa la Parani.
So we/the Israelis traveled from the Sinai Desert, and we/they continued traveling [north] until the cloud stopped in the Paran Desert.
13 Walifanya safari yao ya kwanza, kufuatia amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa.
That was the first time we/they moved, obeying the instructions that Yahweh had given to Moses/me to tell them.
14 Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda iliondoka ya kanza, wakiondoa majeshi yao binafsi. Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyeongoza jeshi la Yuda.
The group that went first, carrying their flag/banner, was the group from the tribe of Judah. Nahshon, the son of Amminadab, was their leader.
15 Nethaneli mwana wa Zuari aliongoza jeshi la kabila la uzao wa Isakari.
The group from the tribe of Issachar [followed them]. Nethanel, the son of Zuar, was their leader.
16 Eliabu mwana wa Heloni aliongoza jeshi la kabila la Zabuloni.
The group from the tribe of Zebulun went next. Eliab, the son of Helon, was their leader.
17 Uzao wa Gerishoni na Merari, ambao walitunza masikani, na kuanza kusafiri.
Then they dismantled the Sacred Tent, and the descendants of Gershon and Merari carried it, and they went next.
18 Baadaye Walifuata jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni walianza safari yao. Elizuri mwana wa Shedeuri alliongoza jeshi la Reubebni.
The group from the tribe of Reuben went next, carrying their flag. Elizur, the son of Shedeur, was their leader.
19 Shelumieli mwana wa Zurishadai aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Simeoni.
The group from the tribe of Simeon was next. Shelumiel, the son of Zurishaddai, was their leader.
20 Eliasafu mwana Deuli aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Gadi.
The group from the tribe of Gad was next. Eliasaph, the son of Deuel, was their leader.
21 Kabila la Kohathi nalo lilianza safari. Wao walibebba vyombo vya mahali patakatifu. Wengine waliisimamisha masikani kabla ya Wakohathi kufika kambi inayofuata.
The group descended from Kohath was next. They carried the sacred items from the Sacred Tent. The Sacred Tent itself was set up at the new location before they arrived there.
22 Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu ndio waliofuata. Elishama mwana wa Amihudi ndiye aliyeongoza jeshi la Efraimu.
The group from the tribe of Ephraim was next, carrying their flag. Elishama, the son of Ammihud, was their leader.
23 Gamalieli mwana wa Pedazuri aliongoza jeshi la uzao wa Manase.
The group from the tribe of Manasseh went next. Gamaliel, the son of Pedahzur, was their leader.
24 Abidani mwana wa Gidioni aliongoza jeshi la uzao wa kabila la Benjamini.
The group from the tribe of Benjamin, went next. Abidan, the son of Gideoni, was their leader.
25 Lile jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la uzao wa Dani lilikuwa la mwisho kuondoka. Ahizeri mwana wa Amishadai ndiye aliyeongoza jeshi la Dani.
The ones who went last were the group from the tribe of Dan, carrying their flag. Ahiezer, the son of Ammishaddai, was their leader.
26 Pagieli mwana wa Okirani aliongoza jeshi la wana wa uzao wa Asheri.
The group from the tribe of Asher went next. Pagiel, the son of Ocran, was their leader.
27 Ahira mwana wa Enani aliongoza jeshi la uzao wa kabila ya Naftali.
The group from the tribe of Naphtali went last. Ahira, the son of Enan, was their leader.
28 Hivi ndivyo majeshi ya wana wa Israeli yalivyosafiri.
That was the order in which the groups of Israeli tribes traveled.
29 Musa alinena na Hobibu mwana wa Reueli wa Kabila la Midiani. Reueli alikuwa baba mke wa Musa. Musa akanena na Hobibu akasema, “Tunasafiri kuelekea mahali ambapo BWANA ametuahidi. BWANA alisema kuwa, “Nitawapeni ninyi hilo eneo, 'Njoni pamoja nasi na tutawatendea mema. BWANA ameahidi kuwafanyia mema Waisraeli.”
One day Moses/I said to his/my brother-in-law Hobab, the son of Reuel from the Midian people-group, “We are on the way to the place that Yahweh promised to give to us. Come with us, and we will take good care of you, because Yahweh has promised [to do] good things for us Israeli people.”
30 Lakini Hobibu akmwambia Musa, “Sitaambatana nanyi.”
But Hobab replied, “No, I will not go with you. I want to return to my own land and to my own family.”
31 Naye Musa akamjibu, “Tafadhali msituache. Mnajua jinsi ilivyo kuweka kambi jangwani. Tunaomba mtujali.
But Moses/I said, “Please do not leave us. You know the places where we can set up our tents in this desert, and you can guide us.
32 Kama mtaambatana nasi tutawatendea mema sawa na jinsi BWANA anavyotutendea.”
Come with us. We will share with you all the good things that Yahweh gives to us.”
33 Walisafiri kutoka mlima wa BWANA kwa siku tatu. Sanduku la agano la BWANA liliwatangulia kwa siku tatu ili kupata mahali pa kupumzika.
[So Hobab agreed to go with them]. The Israelis left Sinai Mountain, [which they called] Yahweh’s Mountain, and they walked for three days. The [men carrying the] sacred chest went in front of the other people for those three days, and they kept looking for a place to set up their tents.
34 Wingu la BWANA lilikuwa juu yao muda wote wa mchana walipokuwa safarini.
The cloud sent by Yahweh was over them every day.
35 Kila hilo sanduku liliposafiri kwenda mbele, Musa alisema, “Inuka BWANA, Uwatawanye maadui wako. Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia.”
Each morning when the men who were carrying the sacred chest started to walk, Moses/I said, “Yahweh, arise! Scatter your enemies! Cause those who hate you to run away from you!”
36 Na kila lile sanduku liliposimama, Musa alisema, “BWANA uwarudie, hawa Waisraeli makumi elfu.”
And each time the men [stopped to] set down the sacred chest, Moses/I said, “Yahweh, stay close to the thousands of us Israelis!”