< Hesabu 10 >

1 BWANA alinena na Musa, akasema,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “tengenza tarumbeta mbili za fedha. Uzitengeneze kwa kufua hizo fedha. Utazitumia hizo tarumbeta kwa kuwaita watu waje pamoja na kwa kuwaita watu wote wakati wa kuondoka kwenye kambi zao.
“Silifa dabagala: le dalabede aduna hahamoma. Amoga, Isala: ili dunu gilisima: ne amola fisisu muguluma: ne eso olelema.
3 Makuhani watapiga tarumbeta kwa ajili ya kuwaita watu wote mbele yako kwenye lango la hema ya kukutania.
Dalabede aduna dusia, ela ga: da badilia lalaba ahoasea, amo da Isala: ili dunu huluanedafa da dima, Na Abula Diasu logo holeiga gilisima: ne, dawa: digima: ne dusa.
4 Kama makuhani watapiga tarumbeta moja tu, basi viongozi, vichwa koo za Israeli ndipo watakapokutana kwako.
Be dalabede afae fawane dusia, fi ouligisu dunu fawane da gilisima: ne galebeya dawa: ma.
5 Utakapopiga tarumbeta ya sauti kuu, ile kambi ya upande wa mashariki itaanza kusafiri.
Dalabede aduna da dunumugini dusia, fi amo da fisisu eso mabe la: ididili esala da gadili masa: ne sia: ma.
6 Nawe utakapopiga tarumeta kwa sauti kuu mara ya pili, ile kambi ya upande wa kusini wataanza kusafiri. Watapiga tarumbeta kwa sauti kuu ili kuanza safari yao.
Be dalabede da dunumugini aduna agoane dusia, fi amo da ga (south) la: idili esala da gadili masa: ne sia: ma. Amaiba: le, dilia da dalabede da dunumuni agoane dusu nabasea, fisisu mugulumusa: momagema: ma.
7 Watu wote watakapokutana pamoja, piga hizo tarumbeta lakini si kwa sauti kuu.
Be dilia Isala: ili dunu huluane gilisimusa: dawa: sea, sedagiliwane dalabede fulaboma: ma.
8 Wana wa Haruni, makuhani, watapiga hizo tarumbeta. Huu ndio utakaokuwa utaratibu wa watu wako kwa vizazi vyote.
Gobele salasu dunu (Elane ea mano) da dalabede fulaboma: ne sia: ma. Eso huluane, mae fisili, amo hamoma: ne sia: i noga: le ouligima.
9 Nanyi mtakapoenda vitani katika ardhi yenu dhidi ya maadui wenu wanaowakandamiza, ndipo mtakapotoa ishara ya sauti ya tarumbeta. Mimi, BWANA Mungu wako nitawaita kuwakumbuka na kuwaokoa kutoka kwa maadui wenu.
Dilia soge ganodini, gegesu ba: beba: le, ha lai dunu da dilima doagala: sea, dilia gegemusa: gini, dalabede duma. Na, dilia Hina Gode, da dili fidimu amola dilia ha lai dunu dili mae hasalima: ne gaga: mu.
10 Pia, wakati wa kusherehekea, sikukuu zenu za kawaida na katika miandamo ya miezi, mtapiga tarumbeta zenu kwa heshima ya sadaka zenu za kuteketezwa na kwa sadaka zenu za amani. Huu utakuwa ukumbusho wenu kwangu, Mungu wenu. Mimi ndimi BWANA Mungu wenu.”
Amola dilia hahawane eso amoga dilia Oubi Gaheabolo Lolo Nasu amola Hina Godema dawa: ma: ne Lolo Nasu eno amoga, dilia Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu hahamosea, dalabede fulaboma. Amasea, Na da dili fidimu. Bai Na da dilia Hina Gode.”
11 Katika siku ya ishrini, mwezi wa pili, mwaka wa pili, Lile wingu liliinuliwa toka masikani ya amri za maagano.
Eso 20 amola oubi ageyadu amola ode ageyadu ganodini, Hina Gode da mumobi ganumu Ea Abula Diasu gadodili dialu amo gaguia gadole asi.
12 Wana wa Israeli wakaendelea na safari yao toka jangwa la Sinai. Lile wingu likasimama kwenye jangwa la Parani.
Isala: ili fi dunu da Sainai hafoga: i soge amo fisili asi. Mumobi ganumu da ahoanu, Ba: ila: ne hafoga: i sogega oulelu.
13 Walifanya safari yao ya kwanza, kufuatia amri ya BWANA iliyotolewa kupitia kwa Musa.
Amaiba: le, ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, degabo agoane asi.
14 Kambi ya mahali pa uzao wa Yuda iliondoka ya kanza, wakiondoa majeshi yao binafsi. Nashoni mwana wa Aminadabu ndiye aliyeongoza jeshi la Yuda.
Amola eso huluane ahoabeba: le, ilia da hou ilegei defele ahoasu. Dunu fi amo da Yuda fi ilima gilisi da eso gosagisu fa: no, fi eno fi eno ahoasu. Na: iasione (Aminida: be ea egefe) da amo gilisisu ouligisu.
15 Nethaneli mwana wa Zuari aliongoza jeshi la kabila la uzao wa Isakari.
Nida: niele (Sua ea egefe) da Isaga fi amo ouligisu.
16 Eliabu mwana wa Heloni aliongoza jeshi la kabila la Zabuloni.
Ilia: be (Hilone ea mano) da Sebiulane fi amo ouligisu.
17 Uzao wa Gerishoni na Merari, ambao walitunza masikani, na kuanza kusafiri.
Amalalu, ilia da Gode Ea Abula Diasu mugululi, Gesione amola Milalai fi dunu da amo gaguli ahoasu.
18 Baadaye Walifuata jeshi la mahali pa kambi ya Reubeni walianza safari yao. Elizuri mwana wa Shedeuri alliongoza jeshi la Reubebni.
Amalalu, fi amo da Liubene fi ilima fa: no bobogesu, ilia da gilisisu eno eno agoane ahoasu. Elaise (Siediua egefe) da ili ouligisu.
19 Shelumieli mwana wa Zurishadai aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Simeoni.
Sieliumiele (Siulisia: dai egefe) da Simione fi amo ouligisu.
20 Eliasafu mwana Deuli aliliongoza jeshi la kabila la uzao wa Gadi.
Ilaiasa: fe (Diuele egefe) da Ga: de fi ouligisu.
21 Kabila la Kohathi nalo lilianza safari. Wao walibebba vyombo vya mahali patakatifu. Wengine waliisimamisha masikani kabla ya Wakohathi kufika kambi inayofuata.
Amalalu, Lifai fi amo Gouha: de da sema liligi gaguli ahoasu. Ilia da asili, fisisu sogebi eno amoga doaga: loba, Gode Ea Abula Diasu bu hiougili dagoi ba: su.
22 Majeshi ya kabila la uzao wa Efraimu ndio waliofuata. Elishama mwana wa Amihudi ndiye aliyeongoza jeshi la Efraimu.
Lifai fi da asi dagoi ba: loba, fi gilisisu amo da Ifala: ime fi da ouligisu da logoga ahoanebe ba: su. Ilia ouligisu dunu da Ilisiama (Amihade egefe) ba: i.
23 Gamalieli mwana wa Pedazuri aliongoza jeshi la uzao wa Manase.
Amo gilisisu ganodini, Gama: iliele (Bedase egefe) da Ma: na: se fi amo ouligisu.
24 Abidani mwana wa Gidioni aliongoza jeshi la uzao wa kabila la Benjamini.
Amola Abaida: ne (Gidioni egefe) da Bediamini fi amo ouligisu.
25 Lile jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la uzao wa Dani lilikuwa la mwisho kuondoka. Ahizeri mwana wa Amishadai ndiye aliyeongoza jeshi la Dani.
Fa: nodafa, fi amo da Da: ne fi gilisili fi da ilia eso gosa: gisu fa: no bobogele ahoasu. Ilia da fi huluane ilia fa: no sosodo ouligisu dunu agoane ba: i. Amo gilisisu ilia ouligisu dunu da Ahaisa (Amisia: dai egefe).
26 Pagieli mwana wa Okirani aliongoza jeshi la wana wa uzao wa Asheri.
Ba: idiele (Ogela: ne egefe) da A: sie fi amo ouligisu.
27 Ahira mwana wa Enani aliongoza jeshi la uzao wa kabila ya Naftali.
Amola Ahaila (Ina: ne egefe) da Na: fadalai fi amo ouligisu.
28 Hivi ndivyo majeshi ya wana wa Israeli yalivyosafiri.
Isala: ili dunu da ilia fisisu yolesili, logoga ahoanoba, agoane fi eno fi eno agoane mogodigili ahoasu.
29 Musa alinena na Hobibu mwana wa Reueli wa Kabila la Midiani. Reueli alikuwa baba mke wa Musa. Musa akanena na Hobibu akasema, “Tunasafiri kuelekea mahali ambapo BWANA ametuahidi. BWANA alisema kuwa, “Nitawapeni ninyi hilo eneo, 'Njoni pamoja nasi na tutawatendea mema. BWANA ameahidi kuwafanyia mema Waisraeli.”
Mousese da ea bae amo Houba: be (Midiane dunu Yedelou egefe) ema amane sia: i, “Ninia da soge amo Hina Gode da ninima imunusa: ilegei, amoga doaga: musa: masunu. E da Isala: ili dunu hahawane bagade gaguiwane esalumusa: ilegele sia: i. Amaiba: le, di ani masunu. Ninia da di amola gilisili hahawane bagade gaguiwane hou ba: mu.”
30 Lakini Hobibu akmwambia Musa, “Sitaambatana nanyi.”
Be Houba: be da bu adole i, “Hame mabu! Na da ni sogega buhagimu.”
31 Naye Musa akamjibu, “Tafadhali msituache. Mnajua jinsi ilivyo kuweka kambi jangwani. Tunaomba mtujali.
Be Mousese da ema ha: giwane edegei, “Dia nini mae yolesima! Di da hafoga: i soge ganodini nini hahawane fima: ne, sogebi huluane dawa: Dia ninima logo olelema: ne misa. Hina Gode da ninima hahawane bagade imunusa: sia: i.
32 Kama mtaambatana nasi tutawatendea mema sawa na jinsi BWANA anavyotutendea.”
Di amola ninia gilisili ahoasea, ninia da gilisili Gode Ea hahawane dogolegele iabe hou amo ba: mu.”
33 Walisafiri kutoka mlima wa BWANA kwa siku tatu. Sanduku la agano la BWANA liliwatangulia kwa siku tatu ili kupata mahali pa kupumzika.
Isala: ili dunu da hadigi goumi Sainai amo fisili asili, eso udiana agoane logoga asi. Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ilima fisisu sogebi hogomusa: , bisili ahoanebe ba: su.
34 Wingu la BWANA lilikuwa juu yao muda wote wa mchana walipokuwa safarini.
Hou da eso huluane agoane ba: i. Ilia da fisisu fisili ahoabeba: le, Hina Gode Ea mu mobi ganumu da esoga ili gadodili lelebe ba: i.
35 Kila hilo sanduku liliposafiri kwenda mbele, Musa alisema, “Inuka BWANA, Uwatawanye maadui wako. Uwafanye wale wanaokuchukia kukukimbia.”
Eso huluane ilia da Sema Gagili amo gaguli ahoabeba: le, Mousese da amane sia: su, ‘Hina Gode! Di wa: legadoma! Dia ha lai dunu amo afagogolisima! Dima higa: i dunu hobeama: ne, sefasima!”
36 Na kila lile sanduku liliposimama, Musa alisema, “BWANA uwarudie, hawa Waisraeli makumi elfu.”
Amola Sema Gagili da oulelea, e da amane sia: su, “Hina Gode! Dia Isala: ili dunu sosogo fi osea: i, ilima buhagima!”

< Hesabu 10 >