< Hesabu 1 >
1 Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
Ja Herra puhui Mosekselle Sinain korvessa, seurakunnan majassa, ensimäisenä päivänä toisena kuukautena, toisena vuonna jälkeen, sittekuin he olivat lähteneet Egyptin maalta, ja sanoi:
2 'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
Lukekaat koko Israelin lasten joukko, heidän sukunsa, ja heidän isäinsä huonetten jälkeen, ja heidän nimeinsä luvun jälkeen, kaikki miehenpuoli, mies mieheltä,
3 kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
Kahdenkymmenen vuotiset ja sen ylitse, kaikki jotka kelpaavat lähtemään sotaan Israelissa: lukekaat heitä heidän joukkonsa jälkeen, sinä ja Aaron.
4 Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
Ja teidän kanssanne pitää oleman yksi mies jokaisesta sukukunnasta, joka on isänsä huoneen päämies.
5 Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
Ja nämät ovat niiden päämiesten nimet, jotka teidän kanssanne seisoman pitää: Rubenista, Elitsur Zedeurin poika;
6 kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
Simeonista, Selumiel Suri-Saddain poika;
7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
Juudasta, Nahesson Amminadabin poika;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
Isaskarista, Netaneel Suarin poika;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
Sebulonista, Eliab Helonin poika;
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
Josephin pojista: Ephraimista, Elisama Ammihudin poika; Manassesta, Gamliel Pedatsurin poika;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
BenJaminista, Abidan Gideonin poika;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
Danista, Ahieser Ammi Saddain poika;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
Asserista, Pagiel Okranin poika;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
Gadista, Eliasaph Deguelin poika;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
Naphtalista, Ahira Enan poika.
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
Nämät olivat kutsutut kansan seasta, isäinsä sukuin esimiehet, jotka olivat Israelin tuhanten päät.
17 Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
Niin Moses ja Aaron ottivat miehet tykönsä, jotka nimeltänsä nimitetyt olivat,
18 na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
Ja he kokosivat kaiken kansan, ensimäisenä päivänä toisella kuulla, jotka luettelivat polvilukunsa, sukukuntainsa, ja isäinsä huonetten jälkeen: nimenomattain, kahdenkymmenen vuotisesta ja sen ylitse, mies mieheltä.
19 Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
Niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle, niin luki hän heitä Sinain korvessa.
20 Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
Rubenin Israelin esikoisen lapset olivat heidän polviluvuissansa, sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain, mies mieheltä kaikki miehenpuoli, kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki kelvolliset sotaan menemään,
21 Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
Luetut Rubenin sukukuntaan, kuusiviidettäkymmentä tuhatta ja viisisataa.
22 Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
Simeonin lapset ja heidän polvilukunsa, sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, luetut nimenomattain mies mieheltä, kaikki miehenpuoli kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
23 Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
Luetut Simeonin sukukuntaan, yhdeksänkuudettakymmentä tuhatta ja kolmesataa.
24 Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Gadin lapset ja heidän polvilukunsa, sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
25 Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
Luetut Gadin sukukuntaan, viisiviidettäkymmentä tuhatta, kuusisataa ja viisikymmentä.
26 Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Juudan lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
27 walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
Luetut Juudan sukukuntaan, neljäkahdeksattakymmentä tuhatta ja kuusisataa.
28 Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Isaskarin lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
29 Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
Luetut Isaskarin sukukuntaan, neljäkuudettakymmentä tuhatta ja neljäsataa.
30 Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Sebulonin lasten polviluku, heidän sukuinsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
31 Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
Luetut Sebulonin sukukuntaan, seitsemänkuudettakymmentä tuhatta ja neljäsataa.
32 Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Josephin lapset: Ephraimin lapsista polvilukunsa, sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki sotaan menemään kelvolliset,
33 Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
Luetut Ephraimin sukukuntaan olivat neljäkymmentätuhatta ja viisisataa.
34 Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Manassen lapset polvilukunsa, sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki jotka sotaan menemään kelpasivat,
35 Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
Luetut Manassen sukukuntaan, kaksineljättäkymmentä tuhatta ja kaksisataa.
36 Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
BenJaminin lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki jotka sotaan menemään kelpasivat,
37 Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
Luetut BenJaminin sukukuntaan, viisineljättäkymmentä tuhatta ja neljäsataa.
38 Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Danin lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki ne jotka sotaan menemään kelpasivat,
39 Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
Luetut Danin sukukuntaan, kaksiseitsemättäkymmentä tuhatta ja seitsemänsataa.
40 Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
Asserin lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki jotka sotaan kelpasivat,
41 Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
Luetut Asserin sukukuntaan, yksiviidettäkymmentä tuhatta ja viisisataa.
42 Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
Naphtalin lasten polviluku, heidän sukunsa ja isäinsä huonetten jälkeen, nimenomattain kahdenkymmenen vuotisista ja sen ylitse, kaikki jotka sotaan kelpasivat,
43 Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
Luetut Naphtalin sukukuntaan, kolmekuudettakymmentä tuhatta ja neljäsataa.
44 Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
Nämät ovat ne luetut, jotka Moses ja Aaron ja kaksitoistakymmentä Israelin päämiestä lukivat, joista aina yksi oli jokaisen heidän isänsä huoneen ylitse.
45 Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
Ja olivat kaikki yhteen luetut Israelin lapset, heidän isäinsä huonetten jälkeen, kahdestakymmenestä vuodesta ja sen ylitse, kaikki jotka olivat sotaan kelvolliset Israelissa,
46 Walihesabu wanaume 603, 550.
Ja olivat kaikki luetut, kuusi kertaa satatuhatta ja kolmetuhatta ja viisisataa ja viisikymmentä.
47 Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
Mutta Leviläiset heidän isäinsä sukukunnan jälkeen ei olleet heidän lukuunsa luetut.
48 Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
49 “usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
Ei kuitenkaan pidä sinun lukeman Levin sukukuntaa, eli ottaman heistä päälukua, Israelin lasten seassa;
50 Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
Mutta sinun pitää asettaman Leviläiset todistuksen majan palvelukseen, ja kaikkein sen astiain päälle, ja kaikkein mitkä sen omat ovat. Heidän pitää kantaman majan, ja kaikki sen astiat, ja heidän pitää ottaman vaarin siitä, ja sioittaman itsensä majan ympärille.
51 Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
Ja kuin matkustetaan, silloin pitää Leviläisten ottaman majan alas, ja koska joukko itsensä sioittaa, pitää heidän paneman sen ylös. Jos joku muukalainen lähestyy sitä, sen pitää kuoleman.
52 Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
Israelin lapset pitää sioittaman itsensä kukin leirinsä ja joukkonsa lipun tykö.
53 Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
Mutta Leviläiset pitää sioittaman itsensä todistuksen majan ympärille, ettei viha tulisi Israelin lasten joukon päälle. Sentähden pitää Leviläisten pitämän vaarin todistuksen majan vartiosta.
54 Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.
Ja Israelin lapset tekivät sen: kaikki mitä Herra Mosekselle käskenyt oli, niin he tekivät.