Aionian Verses
Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol )
I zeszli się wszyscy jego synowie i wszystkie jego córki, aby go pocieszyć, lecz nie dał się pocieszyć, ale mówił: Naprawdę zstąpię za moim synem do grobu. I opłakiwał go jego ojciec. (Sheol )
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol )
Ale on powiedział: Mój syn nie pójdzie z wami, gdyż jego brat umarł i tylko on jeden został. Jeśli przydarzy mu się nieszczęście na drodze, którą pójdziecie, w żalu doprowadzicie mnie, osiwiałego, do grobu. (Sheol )
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol )
A jeśli zabierzecie mi też tego i spotka go nieszczęście, wtedy w żalu doprowadzicie mnie, osiwiałego, do grobu. (Sheol )
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol )
Stanie się tak, że jak tylko zobaczy, że chłopca nie ma, umrze. A twoi słudzy doprowadzą twego sługę, naszego ojca, osiwiałego, z żalu do grobu. (Sheol )
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol )
Ale jeśli PAN uczyni coś nowego i ziemia otworzy swoją paszczę, i pochłonie ich oraz wszystko, co do nich należy, i żywcem zstąpią do piekła, wtedy poznacie, że ci mężczyźni rozdrażnili PANA. (Sheol )
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol )
I zstąpili oni razem ze wszystkim, co mieli, żywcem do piekła, i ziemia ich okryła; tak zginęli spośród zgromadzenia. (Sheol )
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol )
Zapłonął bowiem ogień mojego gniewu i spłonie aż do głębin piekła, i pożre ziemię i jej plony, i wypali posady gór. (Sheol )
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol )
PAN zabija i ożywia, wprowadza do grobu i wyprowadza. (Sheol )
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol )
Boleści piekła mnie oplotły, pochwyciły mnie sidła śmierci. (Sheol )
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol )
Uczynisz więc według swojej mądrości, jednak nie dopuść, aby w sędziwym wieku zstąpił w pokoju do grobu. (Sheol )
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol )
Teraz jednak nie daruj mu [tego]. Jesteś bowiem człowiekiem mądrym i będziesz wiedział, co masz mu uczynić, by posłać go w sędziwym wieku [zbroczonego] krwią do grobu. (Sheol )
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol )
[Jak] obłok się rozchodzi i przemija, tak ten, kto zstępuje do grobu, nie wraca. (Sheol )
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol )
Są wyżej niż niebiosa, co [możesz z tym] uczynić? Głębsze niż piekło, czy [możesz je] poznać? (Sheol )
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
Obyś mnie w grobie ukrył i schował, aż twój gniew się uciszy, wyznaczył mi czas i wspomniał na mnie. (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
Gdybym czegoś oczekiwał, grób [będzie] moim domem, w ciemności rozłożyłem swoje posłanie. (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
Zstąpią do zasuw grobu, gdy razem odpoczniemy w prochu. (Sheol )
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
Spędzają swoje dni w dobrobycie, a w mgnieniu oka zstępują do grobu. (Sheol )
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol )
[Jak] susza i upał trawią wody śniegu, [tak] grób [trawi] grzeszników. (Sheol )
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol )
Piekło jest odkryte przed nim i zatracenie nie ma przykrycia. (Sheol )
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol )
W śmierci bowiem nie ma pamięci o tobie, a w grobie któż cię będzie wysławiać? (Sheol )
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol )
Niegodziwi zstąpią do piekła, wszystkie narody, które zapominają Boga. (Sheol )
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol )
Nie zostawisz bowiem mojej duszy w piekle ani nie dopuścisz swemu Świętemu doznać zniszczenia. (Sheol )
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol )
Boleści piekła mnie oplotły, pochwyciły mnie sidła śmierci. (Sheol )
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol )
PANIE, wyprowadziłeś moją duszę z piekła, zachowałeś mnie przy życiu, abym nie zstąpił do dołu. (Sheol )
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol )
PANIE, niech nie doznam wstydu, skoro cię wzywam; niech niegodziwi się wstydzą i zamilkną w grobie. (Sheol )
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
Jak owce będą złożeni w grobie, śmierć ich pożre; prawi będą nad nimi panować o poranku, ich postać zostanie zniszczona w grobie, gdy opuszczą swoje mieszkanie. (Sheol )
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
Ale Bóg wykupi moją duszę z mocy grobu, bo mnie przyjmie. (Sela) (Sheol )
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol )
Niech śmierć ich zaskoczy, niech żywcem zstąpią do piekła, bo w ich domach i wśród nich [mieszka] zło. (Sheol )
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol )
Bo wielkie jest twoje miłosierdzie dla mnie; [ty] ocaliłeś moją duszę z najgłębszego piekła. (Sheol )
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol )
Moja dusza bowiem jest nasycona utrapieniem, a moje życie zbliża się do grobu. (Sheol )
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol )
Któż z ludzi może żyć i nie ujrzeć śmierci? [Któż] wyrwie swą duszę z mocy grobu? (Sela) (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
Otoczyły mnie boleści śmierci, utrapienia piekła przeniknęły mnie; przyszły na mnie ucisk i boleść. (Sheol )
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol )
Jeśli wstąpię do nieba, [jesteś] tam; jeśli przygotuję sobie posłanie w piekle, tam też jesteś. (Sheol )
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol )
Jak [gdyby kto] rąbał i łupał [drwa] na ziemi, [tak] nasze kości są rozrzucone przy wejściu do grobu. (Sheol )
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol )
Pożremy ich żywcem jak grób, całych, jak zstępujących do dołu; (Sheol )
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol )
Jej nogi zstępują do śmierci, jej kroki prowadzą do piekła. (Sheol )
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
Jej dom [jest] drogą do piekła, która wiedzie do komnat śmierci. (Sheol )
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )
Ale [on] nie wie, że tam są umarli, że jej zaproszeni [są] w głębinach piekła. (Sheol )
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol )
Piekło i zatracenie [są] przed PANEM; o ileż bardziej serca synów ludzkich. (Sheol )
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol )
Droga życia dla mądrego [jest] w górze, aby uniknął głębokiego piekła. (Sheol )
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
Będziesz je bił rózgą, a jego duszę ocalisz od piekła. (Sheol )
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
Piekło i zatracenie są nienasycone, tak oczy człowieka są niesyte. (Sheol )
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol )
Grób, niepłodne łono, ziemia niesyta wody i ogień, [który] nie mówi: Dość. (Sheol )
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol )
Wszystko, cokolwiek twoja ręka postanowi czynić, czyń z całej swojej siły; [nie ma] bowiem żadnej pracy ani zamysłu, ani wiedzy, ani mądrości w grobie, do którego zmierzasz. (Sheol )
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
Przyłóż mnie do swego serca jak pieczęć, jak pieczęć na swoim ramieniu. Miłość bowiem jest silna jak śmierć, zawiść twarda jak grób. Jej żar [jak] żar ognia i [jak] żarliwy płomień. (Sheol )
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol )
Dlatego piekło rozszerzyło swą gardziel, rozwarło swoją paszczę bez miary. I do niego zstąpi jego szlachta i pospólstwo, jego zgiełk i weselący się. (Sheol )
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol )
Proś dla siebie o znak od PANA, twego Boga, czy to z głębin, czy wysoko w górze. (Sheol )
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol )
Piekło w dole poruszyło się przez ciebie, by wyjść ci na spotkanie; dla ciebie obudziło umarłych, wszystkich książąt ziemi; rozkazało wszystkim królom narodów powstać ze swoich tronów. (Sheol )
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol )
Strącono do piekła twój przepych i dźwięk twojej lutni. Twoim posłaniem jest robactwo, robactwo też jest twoim przykryciem. (Sheol )
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol )
Lecz zostaniesz strącony aż do piekła, do krańców dołu. (Sheol )
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol )
Ponieważ mówicie: Zawarliśmy przymierze ze śmiercią i z piekłem mamy układ; gdy przejdzie bicz gwałtowny, nie dosięgnie nas, gdyż kłamstwo uczyniliśmy naszą ucieczką i skryliśmy się za fałszem; (Sheol )
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol )
Wasze przymierze ze śmiercią zostanie zerwane, a wasz układ z piekłem nie ostoi się; gdy ten bicz gwałtowny przejdzie, zostaniecie przez niego zdeptani. (Sheol )
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol )
Mówiłem, gdy skrócono moje dni: Zejdę do bram grobu, zostanę pozbawiony reszty swoich lat. (Sheol )
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol )
Grób bowiem nie wysławia cię ani śmierć cię nie chwali. Ci, którzy w dół zstępują, nie oczekują twojej prawdy. (Sheol )
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol )
Chodziłaś także do króla z olejkiem i mnożyłaś swoje wonności; posłałaś daleko swoich posłańców, a poniżałaś się aż do grobu. (Sheol )
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol )
Tak mówi Pan BÓG: W dniu, kiedy zstąpił do grobu, wzbudziłem lament, zamknąłem dla niego głębinę i wstrzymałem jej strumienie, i zastawiłem wielkie wody. Sprawiłem, że Liban okrył się ciemnością z jego powodu i z jego powodu wszystkie drzewa polne zemdlały. (Sheol )
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol )
Na huk jego upadku zadrżały narody, gdy go wrzucałem do piekła z tymi, co do dołu zstępują. Wszystkie drzewa Edenu, najwyborniejsze i najlepsze z Libanu, które piją wodę, doznają pociechy w najgłębszych stronach ziemi. (Sheol )
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol )
One także zstąpiły z nim do piekła, do zabitych mieczem, którzy byli jego ramieniem i którzy mieszkali w jego cieniu wśród narodów. (Sheol )
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol )
Najmocniejsi z mocarzy będą do niego mówić spośród piekła wraz z jego pomocnikami. Zstąpili [tam], leżą z nieobrzezanymi pobitymi mieczem. (Sheol )
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol )
Oni jednak nie będą leżeć z mocarzami, którzy spośród nieobrzezanych upadli i zstąpili do grobu ze swym orężem wojennym i położono im miecze pod głowy. Ich nieprawości zaś zostaną na ich kościach, chociaż byli postrachem dla mocarzy w ziemi żyjących. (Sheol )
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
Wybawię ich z mocy grobu, wykupię ich od śmierci. O śmierci, będę twoją śmiercią! O grobie, będę twoim zniszczeniem! Żal się ukryje przed moimi oczami. (Sheol )
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol )
Choćby się zakopali [aż] do piekła, moja ręka wyciągnie ich stamtąd; choćby wstąpili aż do nieba i stamtąd ich ściągnę. (Sheol )
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol )
I powiedział: Wołałem do PANA w swoim ucisku i wysłuchał mnie; z głębi piekła wołałem i wysłuchałeś mego głosu. (Sheol )
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol )
Owszem, ponieważ upija się, jest on hardym człowiekiem i nie pozostaje w [swoim] domu; pomnaża swoją żądzę jak piekło i jak śmierć nie może się nasycić, choć zgromadził u siebie wszystkie narody i zebrał u siebie wszystkich ludzi. (Sheol )
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna )
Lecz ja wam mówię: Każdy, kto się gniewa na swego brata bez przyczyny, podlega sądowi, a kto powie swemu bratu: Raka, podlega Radzie, a kto powie: Głupcze, podlega [karze] ognia piekielnego. (Geenna )
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
Jeśli więc twoje prawe oko jest ci powodem upadku, wyłup je i odrzuć od siebie. Pożyteczniej bowiem jest dla ciebie, aby zginął jeden z twoich członków, niż żeby całe twoje ciało było wrzucone do ognia piekielnego. (Geenna )
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
A jeśli twoja prawa ręka jest ci powodem upadku, odetnij ją i odrzuć od siebie. Pożyteczniej bowiem jest dla ciebie, aby zginął jeden z twoich członków, niż żeby całe twoje ciało było wrzucone do ognia piekielnego. (Geenna )
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna )
Nie bójcie się tych, którzy zabijają ciało, lecz nie mogą zabić duszy. Bójcie się raczej tego, który może i duszę, i ciało zatracić w piekielnym ogniu. (Geenna )
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs )
A ty, Kafarnaum, które jesteś wywyższone aż do nieba, aż do piekła będziesz strącone. Bo gdyby w Sodomie działy się cuda, które się w tobie dokonały, przetrwałaby aż do dziś. (Hadēs )
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn )
I ktokolwiek powie słowo przeciwko Synowi Człowieczemu, będzie mu przebaczone, ale kto mówi przeciwko Duchowi Świętemu, nie będzie mu przebaczone ani w tym świecie, ani w przyszłym. (aiōn )
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn )
A posiany między ciernie to ten, który słucha słowa, ale troski tego świata i ułuda bogactwa zagłuszają słowo i staje się [on] bezowocny. (aiōn )
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn )
Nieprzyjacielem, który go posiał, jest diabeł, żniwem jest koniec świata, a żniwiarzami są aniołowie. (aiōn )
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn )
Jak więc zbiera się kąkol i spala w ogniu, tak będzie przy końcu tego świata. (aiōn )
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn )
Tak będzie przy końcu świata: wyjdą aniołowie i wyłączą złych spośród sprawiedliwych; (aiōn )
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs )
Ja ci też mówię, że ty jesteś Piotr, a na tej skale zbuduję mój kościół, a bramy piekła go nie przemogą. (Hadēs )
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios )
Dlatego jeśli twoja ręka albo noga jest ci powodem upadku, odetnij ją i odrzuć od siebie. Lepiej jest dla ciebie wejść do życia chromym albo ułomnym, niż mając dwie ręce albo dwie nogi, być wrzuconym do ognia wiecznego. (aiōnios )
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna )
A jeśli twoje oko jest ci powodem upadku, wyłup je i odrzuć od siebie. Lepiej jest dla ciebie jednookim wejść do życia, niż mając dwoje oczu, być wrzuconym do ognia piekielnego. (Geenna )
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios )
A oto pewien człowiek podszedł i zapytał go: Nauczycielu dobry, co dobrego mam czynić, aby mieć życie wieczne? (aiōnios )
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios )
I każdy, kto opuści domy, braci lub siostry, ojca lub matkę, żonę, dzieci lub pole dla mego imienia, stokroć więcej otrzyma i odziedziczy życie wieczne. (aiōnios )
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn )
I widząc przy drodze drzewo figowe, podszedł do niego, ale nie znalazł na nim nic oprócz samych liści. I powiedział do niego: Niech się już nigdy nie rodzi z ciebie owoc. I drzewo figowe natychmiast uschło. (aiōn )
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
Biada wam, uczeni w Piśmie i faryzeusze, obłudnicy, bo obchodzicie morza i lądy, aby pozyskać jednego współwyznawcę, a gdy się nim stanie, czynicie go synem piekła dwa razy takim jak wy sami. (Geenna )
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
Węże, plemię żmijowe! Jakże będziecie mogli uniknąć potępienia ognia piekielnego? (Geenna )
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn )
A gdy siedział na Górze Oliwnej, podeszli do niego uczniowie i pytali na osobności: Powiedz nam, kiedy się to stanie i jaki będzie znak twego przyjścia i końca świata? (aiōn )
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios )
Potem powie i do tych, którzy [będą] po lewej stronie: Idźcie ode mnie, przeklęci, w ogień wieczny, przygotowany dla diabła i jego aniołów. (aiōnios )
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios )
I pójdą ci na męki wieczne, sprawiedliwi zaś do życia wiecznego. (aiōnios )
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn )
Ucząc je przestrzegać wszystkiego, co wam przykazałem. A oto ja jestem z wami przez wszystkie dni aż do końca świata. Amen. (aiōn )
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn , aiōnios )
Kto jednak bluźni przeciwko Duchowi Świętemu, nigdy nie dostąpi przebaczenia, ale podlega [karze] wiecznego potępienia. (aiōn , aiōnios )
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn )
Lecz troski tego świata, ułuda bogactwa i żądze innych rzeczy wchodzą i zagłuszają słowo, i staje się bezowocne. (aiōn )
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna )
Jeśli twoja ręka jest ci powodem upadku, odetnij ją. Lepiej bowiem jest dla ciebie ułomnym wejść do życia, niż mając dwie ręce, pójść do piekła, w ogień nieugaszony; (Geenna )
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna )
A jeśli twoja noga jest ci powodem upadku, odetnij ją. Lepiej bowiem [jest] dla ciebie chromym wejść do życia, niż mając dwie nogi, zostać wrzuconym do piekła, w ogień nieugaszony; (Geenna )
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna )
Jeśli zaś twoje oko jest ci powodem upadku, wyłup je. Lepiej bowiem [jest] dla ciebie jednookim wejść do królestwa Bożego, niż mając dwoje oczu, zostać wrzuconym do ognia piekielnego; (Geenna )
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios )
A gdy wyruszał w drogę, przybiegł pewien [człowiek], upadł przed nim na kolana i zapytał: Nauczycielu dobry, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios )
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn , aiōnios )
A kto by nie otrzymał stokrotnie [więcej] teraz, w tym czasie, domów, braci, sióstr, matek, dzieci i pól, wśród prześladowań, a w przyszłym świecie życia wiecznego. (aiōn , aiōnios )
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn )
Wtedy Jezus powiedział do niego: Niech już nikt nigdy nie je z ciebie owocu. A słyszeli to jego uczniowie. (aiōn )
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn )
I będzie królował nad domem Jakuba na wieki, a jego królestwu nie będzie końca. (aiōn )
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn )
Jak mówił do naszych ojców, [do] Abrahama i jego potomstwa na wieki. (aiōn )
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn )
Jak mówił przez usta swoich świętych proroków, którzy byli od wieków; (aiōn )
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos )
Wtedy prosiły go, aby nie kazał im odejść [stamtąd] w otchłań. (Abyssos )
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs )
A ty, Kafarnaum, które jesteś aż do nieba wywyższone, aż do piekła będziesz strącone. (Hadēs )
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios )
A oto powstał pewien znawca prawa i wystawiając go na próbę, zapytał: Nauczycielu, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios )
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna )
Ale pokażę wam, kogo macie się bać. Bójcie się tego, który, gdy zabije, ma moc wrzucić do ognia piekielnego. Doprawdy, mówię wam, tego się bójcie. (Geenna )
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn )
I pochwalił pan niesprawiedliwego szafarza, że roztropnie postąpił. Bo synowie tego świata w swoim pokoleniu są roztropniejsi od synów światłości. (aiōn )
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios )
I ja wam mówię: Zyskujcie sobie przyjaciół mamoną niesprawiedliwości, aby, gdy ustaniecie, przyjęto was do wiecznych przybytków. (aiōnios )
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs )
A [będąc] w piekle i cierpiąc męki, podniósł oczy i ujrzał z daleka Abrahama i Łazarza na jego łonie. (Hadēs )
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios )
I zapytał go pewien dostojnik: Nauczycielu dobry, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios )
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn , aiōnios )
I nie otrzymał o wiele więcej w tym czasie, a w przyszłym świecie życia wiecznego. (aiōn , aiōnios )
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn )
Wtedy Jezus im odpowiedział: Dzieci tego świata żenią się i za mąż wychodzą. (aiōn )
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
Lecz ci, którzy są [uznani za] godnych dostąpienia tamtego świata i powstania z martwych, ani się żenić nie będą, ani za mąż wychodzić. (aiōn )
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios )
Aby każdy, kto w niego wierzy, nie zginął, ale miał życie wieczne. (aiōnios )
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
Tak bowiem Bóg umiłował świat, że dał swego jednorodzonego Syna, aby każdy, kto w niego wierzy, nie zginął, ale miał życie wieczne. (aiōnios )
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios )
Kto wierzy w Syna, ma życie wieczne, ale kto nie wierzy Synowi, nie ujrzy życia, lecz gniew Boży zostaje na nim. (aiōnios )
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn , aiōnios )
Lecz kto by pił wodę, którą ja mu dam, nigdy nie będzie pragnął, ale woda, którą ja mu dam, stanie się w nim źródłem wody wytryskującej ku życiu wiecznemu. (aiōn , aiōnios )
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
A kto żnie, otrzymuje zapłatę i zbiera owoc na życie wieczne, aby i ten, kto sieje, i ten, kto żnie, razem się radowali. (aiōnios )
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios )
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Kto słucha mego słowa i wierzy temu, który mnie posłał, ma życie wieczne i nie będzie potępiony, ale przeszedł ze śmierci do życia. (aiōnios )
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios )
Badajcie Pisma; sądzicie bowiem, że w nich macie życie wieczne, a one dają świadectwo o mnie. (aiōnios )
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios )
Zabiegajcie nie o pokarm, który ginie, ale o pokarm, który trwa ku życiu wiecznemu, który wam da Syn Człowieczy. Jego bowiem zapieczętował Bóg Ojciec. (aiōnios )
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
I to jest wola tego, który mnie posłał, aby każdy, kto widzi Syna i wierzy w niego, miał życie wieczne, a ja go wskrzeszę [w] dniu ostatecznym. (aiōnios )
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios )
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Kto wierzy we mnie, ma życie wieczne. (aiōnios )
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
Ja jestem chlebem żywym, który zstąpił z nieba. Jeśli ktoś będzie jadł z tego chleba, będzie żył na wieki. A chleb, który ja dam, to moje ciało, które ja dam za życie świata. (aiōn )
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Kto je moje ciało i pije moją krew, ma życie wieczne, a ja go wskrzeszę w dniu ostatecznym. (aiōnios )
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn )
To jest ten chleb, który zstąpił z nieba. Nie jak wasi ojcowie jedli mannę, a pomarli. Kto je ten chleb, będzie żył na wieki. (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios )
I odpowiedział mu Szymon Piotr: Panie, do kogo pójdziemy? [Ty] masz słowa życia wiecznego. (aiōnios )
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn )
A sługa nie mieszka w domu na wieki, [lecz] Syn mieszka na wieki. (aiōn )
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn )
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Jeśli ktoś będzie zachowywał moje słowa, nigdy nie ujrzy śmierci. (aiōn )
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn )
Wtedy Żydzi powiedzieli do niego: Teraz wiemy, że masz demona. Abraham umarł i prorocy, a ty mówisz: Jeśli ktoś będzie zachowywał moje słowa, nigdy nie skosztuje śmierci. (aiōn )
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Od wieków nie słyszano, aby ktoś otworzył oczy ślepego od urodzenia. (aiōn )
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn , aiōnios )
A ja daję im życie wieczne i nigdy nie zginą ani nikt nie wydrze ich z mojej ręki. (aiōn , aiōnios )
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn )
A każdy, kto żyje i wierzy we mnie, nigdy nie umrze. Czy wierzysz w to? (aiōn )
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios )
Kto miłuje swoje życie, utraci je, a kto nienawidzi swego życia na tym świecie, zachowa je na życie wieczne. (aiōnios )
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn )
Ludzie mu odpowiedzieli: Dowiedzieliśmy się z prawa, że Chrystus trwa na wieki. Jakże więc ty [możesz] mówić, że Syn Człowieczy musi być wywyższony? Któż to jest Syn Człowieczy? (aiōn )
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios )
I wiem, że jego nakaz jest życiem wiecznym. Dlatego to, co ja wam mówię, mówię tak, jak mi powiedział Ojciec. (aiōnios )
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn )
Piotr mu powiedział: Nigdy nie będziesz mył moich nóg. Jezus mu odpowiedział: Jeśli cię nie umyję, nie będziesz miał działu ze mną. (aiōn )
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn )
A ja będę prosił Ojca i da wam innego Pocieszyciela, aby z wami był na wieki; (aiōn )
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios )
Jak mu dałeś władzę nad wszelkim ciałem, aby dał życie wieczne tym wszystkim, których mu dałeś. (aiōnios )
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios )
A to jest życie wieczne, aby poznali ciebie, jedynego prawdziwego Boga i tego, którego posłałeś, Jezusa Chrystusa. (aiōnios )
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs )
Nie zostawisz bowiem mojej duszy w piekle i nie dasz swojemu Świętemu doznać zniszczenia. (Hadēs )
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs )
Przepowiadał [to] i mówił o zmartwychwstaniu Chrystusa, że jego dusza nie pozostanie w piekle, a jego ciało nie dozna zniszczenia. (Hadēs )
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn )
Którego niebo musi przyjąć aż do czasu odnowienia wszystkich rzeczy, jak Bóg od wieków przepowiadał przez usta wszystkich swoich świętych proroków. (aiōn )
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios )
A Paweł i Barnaba powiedzieli odważnie: Wam najpierw miało być zwiastowane słowo Boże. Skoro jednak je odrzucacie i uważacie się za niegodnych życia wiecznego, zwracamy się do pogan. (aiōnios )
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios )
Kiedy poganie to usłyszeli, radowali się i wielbili słowo Pańskie, a uwierzyli wszyscy, którzy byli przeznaczeni do życia wiecznego. (aiōnios )
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn )
Znane są Bogu od wieków wszystkie jego sprawy. (aiōn )
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios )
[To bowiem, co] niewidzialne, to znaczy jego wieczna moc i bóstwo, są widzialne od stworzenia świata przez to, co stworzone, po to, aby oni byli bez wymówki. (aïdios )
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn )
[Oni to] zamienili prawdę Bożą w kłamstwo i czcili stworzenie, i służyli [jemu] raczej niż Stwórcy, który jest błogosławiony na wieki. Amen. (aiōn )
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
Tym, którzy przez wytrwanie w dobrym uczynku szukają chwały, czci i nieśmiertelności, [odda] życie wieczne; (aiōnios )
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
Aby, jak grzech królował ku śmierci, tak też łaska królowała przez sprawiedliwość ku życiu wiecznemu przez Jezusa Chrystusa, naszego Pana. (aiōnios )
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios )
Lecz teraz, uwolnieni od grzechu, gdy staliście się sługami Boga, macie swój pożytek ku uświęceniu, a na końcu życie wieczne. (aiōnios )
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Zapłatą bowiem za grzech [jest] śmierć, ale darem łaski Boga jest życie wieczne w Jezusie Chrystusie, naszym Panu. (aiōnios )
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
Do których należą ojcowie i z których według ciała [pochodzi] Chrystus, który jest nad wszystkimi, Bóg błogosławiony na wieki. Amen. (aiōn )
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos )
Albo: Kto zstąpi do otchłani? – to znaczy, [aby] Chrystusa od umarłych wyprowadzić. (Abyssos )
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē )
Bóg bowiem zamknął ich wszystkich w niewierze, aby się nad wszystkimi zmiłować. (eleēsē )
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn )
Z niego bowiem, przez niego i w nim jest wszystko. Jemu chwała na wieki. Amen. (aiōn )
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn )
A nie dostosowujcie się do tego świata, ale przemieńcie się przez odnowienie waszego umysłu, abyście [mogli] rozeznać, co jest dobrą, przyjemną i doskonałą wolą Boga. (aiōn )
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios )
A temu, który was może utwierdzić według mojej ewangelii i głoszenia Jezusa Chrystusa, według objawienia tajemnicy od wieków okrytej milczeniem; (aiōnios )
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios )
Lecz teraz objawionej i przez Pisma proroków według postanowienia wiecznego Boga oznajmionej wszystkim narodom, [by przywieść je] do posłuszeństwa wierze; (aiōnios )
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn )
[Temu], jedynemu mądremu Bogu, [niech będzie] chwała przez Jezusa Chrystusa na wieki. Amen. [List do Rzymian został napisany z Koryntu, i wysłany przez Febę, służebnicę kościoła w Kenchrach]. (aiōn )
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn )
Gdzie [jest] mądry? Gdzie uczony w Piśmie? Gdzie badacz tego świata? Czyż Bóg nie obrócił w głupstwo mądrości tego świata? (aiōn )
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn )
Głosimy jednak mądrość wśród doskonałych, ale nie mądrość tego świata ani władców tego świata, którzy przemijają; (aiōn )
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn )
Lecz głosimy mądrość Boga w tajemnicy, zakrytą [mądrość], którą przed wiekami Bóg przeznaczył ku naszej chwale; (aiōn )
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
Której nie poznał żaden z władców tego świata. Gdyby [ją] bowiem poznali, nigdy nie ukrzyżowaliby Pana chwały; (aiōn )
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn )
Niech nikt nie oszukuje samego siebie. Jeśli komuś spośród was wydaje się, że jest mądry na tym świecie, niech się stanie głupim, aby stał się mądrym. (aiōn )
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn )
Dlatego, jeśli pokarm gorszy mego brata, przenigdy nie będę jadł mięsa, aby nie gorszyć mego brata. (aiōn )
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn )
A to wszystko przydarzyło się im dla przykładu i zostało napisane dla napomnienia nas, których dosięgnął kres czasów. (aiōn )
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs )
Gdzież [jest], o śmierci, twoje żądło? Gdzież jest, o piekło, twoje zwycięstwo? (Hadēs )
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn )
W których bóg tego świata zaślepił umysły, w niewierzących, aby nie świeciła im światłość chwalebnej ewangelii Chrystusa, który jest obrazem Boga. (aiōn )
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios )
Ten bowiem nasz chwilowy i lekki ucisk przynosi nam przeogromną i wieczną wagę chwały; (aiōnios )
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios )
Gdy nie patrzymy na to, co widzialne, lecz na to, co niewidzialne. To bowiem, co widzialne, jest doczesne, to zaś, co niewidzialne, jest wieczne. (aiōnios )
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios )
Wiemy bowiem, że jeśli zostanie zniszczony ten namiot naszego ziemskiego mieszkania, to mamy budowlę od Boga, dom nie ręką uczyniony, wieczny w niebiosach. (aiōnios )
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn )
Jak jest napisane: Rozrzucił, dał ubogim, jego sprawiedliwość trwa na wieki. (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn )
Bóg i Ojciec naszego Pana Jezusa Chrystusa, który jest błogosławiony na wieki, wie, że nie kłamię. (aiōn )
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn )
Który wydał samego siebie za nasze grzechy, aby nas wyrwać z obecnego złego świata według woli Boga i Ojca naszego; (aiōn )
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn )
Któremu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios )
Bo kto sieje dla swego ciała, z ciała żąć będzie zniszczenie. Kto zaś sieje dla Ducha, z Ducha żąć będzie życie wieczne. (aiōnios )
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn )
Wysoko ponad wszelką zwierzchnością i władzą, mocą, panowaniem i [ponad] wszelkim imieniem wypowiadanym nie tylko w tym świecie, ale i w przyszłym. (aiōn )
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn )
W których niegdyś postępowaliście według zwyczaju tego świata [i] według władcy, który rządzi w powietrzu, ducha, który teraz działa w synach nieposłuszeństwa. (aiōn )
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
Aby okazać w przyszłych wiekach przemożne bogactwo [swojej] łaski przez swoją dobroć względem nas w Chrystusie Jezusie. (aiōn )
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
I żebym ujawnił wszystkim, jaka jest wspólnota tej tajemnicy ukrytej od wieków w Bogu, który wszystko stworzył przez Jezusa Chrystusa; (aiōn )
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Zgodnie z wiecznym postanowieniem, które powziął w Chrystusie Jezusie, naszym Panu. (aiōn )
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )
Jemu [niech będzie] chwała w kościele przez Chrystusa Jezusa po wszystkie pokolenia na wieki wieków. Amen. (aiōn )
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn )
Nie toczymy bowiem walki przeciw krwi i ciału, ale przeciw zwierzchnościom, przeciw władzom, przeciw rządcom ciemności tego świata, przeciw duchowemu złu na wyżynach niebieskich. (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
A Bogu i Ojcu naszemu [niech będzie] chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn )
Tajemnicę, która była ukryta od wieków i pokoleń, ale teraz została objawiona jego świętym; (aiōn )
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios )
Poniosą oni karę, wieczne zatracenie od oblicza Pana i od chwały jego mocy; (aiōnios )
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios )
A sam nasz Pan Jezus Chrystus i Bóg, nasz Ojciec, który nas umiłował i dał wieczną pociechę i dobrą nadzieję przez łaskę; (aiōnios )
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
Lecz dostąpiłem miłosierdzia po to, aby we mnie pierwszym Jezus Chrystus okazał wszelką cierpliwość jako przykład dla tych, którzy mają w niego uwierzyć ku życiu wiecznemu. (aiōnios )
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
A Królowi wieków, nieśmiertelnemu, niewidzialnemu, jedynemu mądremu Bogu [niech będzie] cześć i chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
Staczaj dobrą walkę wiary, uchwyć się życia wiecznego, do którego też zostałeś powołany i o którym złożyłeś dobre wyznanie wobec wielu świadków. (aiōnios )
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
Jedyny mający nieśmiertelność [i] mieszkający w światłości niedostępnej, którego żaden z ludzi nie widział ani widzieć nie może; jemu [niech będzie] cześć i moc wieczna. Amen. (aiōnios )
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
Bogaczom tego świata nakazuj, aby się nie wynosili i nie pokładali nadziei w niepewnym bogactwie, lecz w Bogu żywym, który nam wszystkiego obficie udziela, abyśmy z tego korzystali. (aiōn )
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios )
Który nas zbawił i powołał świętym powołaniem nie na podstawie naszych uczynków, ale na podstawie swojego postanowienia i łaski, która została nam dana w Chrystusie Jezusie przed wiecznymi czasy. (aiōnios )
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Dlatego wszystko znoszę przez wzgląd na wybranych, aby i oni dostąpili zbawienia, które jest w Chrystusie Jezusie wraz z wieczną chwałą. (aiōnios )
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn )
Demas bowiem mnie opuścił, umiłowawszy ten świat, i udał się do Tesaloniki, Krescens do Galacji, Tytus do Dalmacji; (aiōn )
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn )
Wyrwie mnie też Pan ze wszelkiego złego uczynku i zachowa dla swojego królestwa niebieskiego. Jemu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios )
W nadziei życia wiecznego, które obiecał przed dawnymi wiekami ten, który nie kłamie, Bóg; (aiōnios )
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn )
Pouczająca nas, abyśmy wyrzekłszy się bezbożności i światowych pożądliwości, trzeźwo, sprawiedliwie i pobożnie żyli na tym świecie; (aiōn )
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios )
Abyśmy, usprawiedliwieni jego łaską, stali się dziedzicami zgodnie z nadzieją życia wiecznego. (aiōnios )
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios )
Może bowiem dlatego oddalił się na chwilę [od ciebie], abyś go odzyskał na zawsze; (aiōnios )
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn )
W tych ostatecznych dniach przemówił do nas przez [swego] Syna, którego ustanowił dziedzicem wszystkiego, przez którego też stworzył światy; (aiōn )
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn )
Lecz do Syna [mówi]: Twój tron, o Boże, na wieki wieków, berłem sprawiedliwości [jest] berło twego królestwa. (aiōn )
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
Tak jak i w innym [miejscu] mówi: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn )
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
A uczyniony doskonałym, stał się sprawcą wiecznego zbawienia dla wszystkich, którzy są mu posłuszni; (aiōnios )
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
Nauka o chrztach i nakładaniu rąk, o zmartwychwstaniu umarłych i sądzie wiecznym. (aiōnios )
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
Zakosztowali też dobrego słowa Bożego i mocy przyszłego wieku; (aiōn )
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
Gdzie [jako] poprzednik wszedł dla nas Jezus, stawszy się najwyższym kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn )
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
Tak bowiem świadczy: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn )
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn )
Tamci bowiem zostali kapłanami bez przysięgi, ten zaś na podstawie przysięgi tego, który powiedział do niego: Przysiągł Pan i nie będzie żałował: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka; (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn )
Ten zaś, ponieważ trwa na wieki, ma kapłaństwo nieprzemijające. (aiōn )
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
Prawo bowiem ustanawiało najwyższymi kapłanami ludzi, którzy podlegają słabościom, słowo zaś przysięgi, która nastąpiła po prawie, [ustanowiło] Syna doskonałego na wieki. (aiōn )
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios )
Ani nie przez krew kozłów i cieląt, ale przez własną krew wszedł raz do Miejsca Najświętszego, zdobywszy wieczne odkupienie. (aiōnios )
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios )
To o ileż bardziej krew Chrystusa, który przez Ducha wiecznego ofiarował Bogu samego siebie bez skazy, oczyści wasze sumienie z martwych uczynków, by służyć Bogu żywemu? (aiōnios )
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios )
I dlatego jest pośrednikiem nowego testamentu, ażeby przez śmierć poniesioną dla odkupienia występków, popełnionych za pierwszego testamentu, ci, którzy zostali powołani, otrzymali obietnicę wiecznego dziedzictwa. (aiōnios )
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn )
Bo inaczej musiałby cierpieć wiele razy od początku świata. Lecz teraz na końcu wieków pojawił się raz dla zgładzenia grzechu przez ofiarowanie samego siebie. (aiōn )
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn )
Przez wiarę rozumiemy, że światy zostały ukształtowane słowem Boga, tak że to, co widzimy, nie powstało z tego, co widzialne. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn )
Jezus Chrystus wczoraj i dziś, ten sam i na wieki. (aiōn )
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios )
A Bóg pokoju, który przez krew wiecznego przymierza wyprowadził spośród umarłych wielkiego pasterza owiec, naszego Pana Jezusa; (aiōnios )
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
Niech was uczyni doskonałymi w każdym dobrym uczynku, abyście spełniali jego wolę, dokonując w was tego, co miłe w jego oczach, przez Jezusa Chrystusa, któremu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
Język też [jest] ogniem i światem nieprawości. Język jest tak ułożony wśród naszych członków, że kala całe ciało i rozpala bieg życia, i jest zapalony przez ogień piekielny. (Geenna )
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn )
Będąc odrodzeni nie z nasienia zniszczalnego, ale z niezniszczalnego, przez słowo Boże, które jest żywe i trwa na wieki. (aiōn )
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn )
Lecz słowo Pana trwa na wieki. A jest to słowo, które zostało wam zwiastowane. (aiōn )
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn )
Jeśli ktoś przemawia, [niech mówi] jak wyroki Boga, jeśli ktoś usługuje, [niech to czyni] z mocy, której Bóg udziela, aby we wszystkim był uwielbiony Bóg przez Jezusa Chrystusa. Jemu chwała i panowanie na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios )
A Bóg wszelkiej łaski, ten, który nas powołał do swojej wiecznej chwały w Chrystusie Jezusie, po krótkotrwałych cierpieniach waszych niech uczyni was doskonałymi, utwierdzi, umocni i ugruntuje. (aiōnios )
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn )
Jemu chwała i moc na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios )
W ten sposób hojnie będzie wam dane wejście do wiecznego królestwa naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. (aiōnios )
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō )
Jeśli bowiem Bóg nie oszczędził aniołów, którzy zgrzeszyli, ale strąciwszy ich do piekła, wydał więzom ciemności, aby byli zachowani na sąd; (Tartaroō )
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn )
Wzrastajcie zaś w łasce i poznaniu naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. Jemu chwała i teraz, i na wieczne czasy. Amen. (aiōn )
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios )
(Bo życie zostało objawione, a my [je] widzieliśmy i świadczymy [o nim], i zwiastujemy wam to życie wieczne, które było u Ojca, a nam zostało objawione). (aiōnios )
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn )
A świat przemija wraz ze swoją pożądliwością, ale kto wypełnia wolę Boga, trwa na wieki. (aiōn )
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios )
A to jest obietnica, którą on nam dał – życie wieczne. (aiōnios )
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios )
Każdy, kto nienawidzi swego brata, jest mordercą, a wiecie, że żaden morderca nie ma życia wiecznego zostającego w sobie. (aiōnios )
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios )
A [to] świadectwo jest takie, że Bóg dał nam życie wieczne, a to życie jest w jego Synu. (aiōnios )
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios )
To napisałem wam, którzy wierzycie w imię Syna Bożego, abyście wiedzieli, że macie życie wieczne i abyście wierzyli w imię Syna Bożego. (aiōnios )
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
A wiemy, że Syn Boży przyszedł i dał nam rozum, abyśmy poznali prawdziwego Boga, i jesteśmy w tym prawdziwym, [to jest] w jego Synu, Jezusie Chrystusie. On jest prawdziwym Bogiem i życiem wiecznym. (aiōnios )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
Ze względu na prawdę, która pozostaje w nas i będzie z nami na wieki. (aiōn )
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
Także aniołów, którzy nie zachowali swego pierwotnego stanu, lecz opuścili własne mieszkanie, zatrzymał w wiecznych pętach w ciemnościach na sąd wielkiego dnia. (aïdios )
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
Tak samo Sodoma i Gomora oraz okoliczne miasta, które w podobny sposób jak i one oddały się nierządowi i podążały za cudzym ciałem, służą za przykład, ponosząc karę wiecznego ognia. (aiōnios )
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
Rozhukane fale morskie wypluwające swoją hańbę; błąkające się gwiazdy, dla których mroki ciemności zachowane są na wieki. (aiōn )
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
Zachowajcie samych siebie w miłości Boga, oczekując miłosierdzia naszego Pana Jezusa Chrystusa ku życiu wiecznemu. (aiōnios )
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )
Jedynemu mądremu Bogu, naszemu Zbawicielowi, [niech będzie] chwała i majestat, moc i władza, teraz i po wszystkie wieki. Amen. (aiōn )
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn )
I uczynił nas królami i kapłanami dla Boga, swego Ojca, jemu chwała i moc na wieki wieków. Amen. (aiōn )
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
I żyjący, a byłem umarły. A oto żyję na wieki wieków i mam klucze piekła i śmierci. (aiōn , Hadēs )
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn )
A gdy stworzenia oddawały chwałę i cześć, i dziękczynienie zasiadającemu na tronie, żyjącemu na wieki wieków; (aiōn )
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn )
Upadło dwudziestu czterech starszych przed zasiadającym na tronie i oddało pokłon żyjącemu na wieki wieków, i rzucało swoje korony przed tronem, mówiąc: (aiōn )
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn )
A wszelkie stworzenie, które jest w niebie i na ziemi, i pod ziemią, i w morzu, i wszystko, co w nich jest, słyszałem, jak mówiło: Zasiadającemu na tronie i Barankowi błogosławieństwo i cześć, i chwała, i moc na wieki wieków. (aiōn )
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs )
I zobaczyłem, oto koń płowy, a temu, który na nim siedział, było na imię Śmierć, a Piekło szło za nim. I dano im władzę nad czwartą częścią ziemi, aby zabijali mieczem i głodem, i zarazą, i przez zwierzęta ziemi. (Hadēs )
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn )
Mówiąc: Amen. Błogosławieństwo i chwała, i mądrość, i dziękczynienie, i cześć, i moc, i siła naszemu Bogu na wieki wieków. Amen. (aiōn )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
I zatrąbił piąty anioł, i zobaczyłem gwiazdę, która spadła z nieba na ziemię i dano jej klucz do studni otchłani. (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
I otworzyła studnię otchłani, i wzbił się dym ze studni, jakby dym wielkiego pieca, a słońce i powietrze zaćmiły się od dymu studni. (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
Mają nad sobą króla, anioła otchłani, którego imię po hebrajsku brzmi Abaddon, a po grecku Apollyon. (Abyssos )
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn )
I przysiągł na tego, który żyje na wieki wieków, który stworzył niebo i to, co w nim jest, i ziemię i to, co na niej, i morze, i to, co w nim, że czasu już nie będzie; (aiōn )
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
A gdy dopełnią swojego świadectwa, bestia, która wychodzi z otchłani, stoczy z nimi walkę i zwycięży ich, i zabije ich. (Abyssos )
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn )
I zatrąbił siódmy anioł, i odezwały się donośne głosy w niebie mówiące: Królestwa świata stały się [królestwami] naszego Pana i jego Chrystusa i będzie królować na wieki wieków. (aiōn )
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios )
I zobaczyłem innego anioła lecącego środkiem nieba, który miał ewangelię wieczną, aby ją zwiastować mieszkańcom ziemi, wszystkim narodom, plemionom, językom i ludom; (aiōnios )
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn )
A dym ich męki wznosi się na wieki wieków i nie zaznają odpoczynku we dnie i w nocy ci, którzy oddają pokłon bestii i jej wizerunkowi, i ten, kto przyjmuje znamię jej imienia. (aiōn )
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn )
A jedno z czterech stworzeń dało siedmiu aniołom siedem złotych czasz pełnych gniewu Boga, który żyje na wieki wieków. (aiōn )
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos )
Bestia, którą widziałeś, była, a nie ma jej i ma wyjść z otchłani, i iść na zatracenie. I zdziwią się mieszkańcy ziemi, których imiona nie są zapisane w księdze życia od założenia świata, widząc bestię, która była i nie ma jej, a jednak jest. (Abyssos )
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn )
I powtórnie powiedzieli: Alleluja! A jej dym wznosi się na wieki wieków. (aiōn )
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
I schwytana została bestia, a z nią fałszywy prorok, który czynił przed nią cuda, jakimi zwiódł tych, którzy przyjęli znamię bestii i oddawali pokłon jej wizerunkowi. Oboje zostali żywcem wrzuceni do jeziora ognia, płonącego siarką. (Limnē Pyr )
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
I zobaczyłem anioła zstępującego z nieba, mającego klucz do otchłani i wielki łańcuch w ręce. (Abyssos )
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
I wrzucił go do otchłani, zamknął go i opieczętował, aby już nie zwodził narodów, aż się dopełni tysiąc lat. A potem musi być wypuszczony na krótki czas. (Abyssos )
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
A diabeł, który ich zwodził, został wrzucony do jeziora ognia i siarki, gdzie [jest] bestia i fałszywy prorok. I będą męczeni we dnie i w nocy na wieki wieków. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
I wydało morze umarłych, którzy w nim byli, również śmierć i piekło wydały umarłych, którzy w nich byli. I zostali osądzeni, każdy według swoich uczynków. (Hadēs )
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
A śmierć i piekło zostały wrzucone do jeziora ognia. To jest druga śmierć. (Hadēs , Limnē Pyr )
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )
I jeśli się ktoś nie znalazł zapisany w księdze życia, został wrzucony do jeziora ognia. (Limnē Pyr )
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Ale bojaźliwi, niewierzący, obrzydliwi, mordercy, rozpustnicy, czarownicy, bałwochwalcy i wszyscy kłamcy [będą mieli] udział w jeziorze płonącym ogniem i siarką. To jest druga śmierć. (Limnē Pyr )
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn )
I nocy tam nie będzie, i nie będzie im potrzeba lampy ani światła słońca, bo Pan Bóg będzie im świecił i będą królować na wieki wieków. (aiōn )