Aionian Verses
Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol )
(parallel missing)
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol )
(parallel missing)
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol )
(parallel missing)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol )
(parallel missing)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol )
(parallel missing)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol )
(parallel missing)
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol )
(parallel missing)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol )
(parallel missing)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol )
(parallel missing)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
(parallel missing)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
(parallel missing)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
(parallel missing)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
(parallel missing)
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol )
(parallel missing)
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol )
(parallel missing)
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol )
(parallel missing)
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol )
(parallel missing)
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol )
(parallel missing)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
(parallel missing)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
(parallel missing)
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol )
(parallel missing)
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol )
(parallel missing)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol )
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
(parallel missing)
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol )
(parallel missing)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol )
(parallel missing)
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol )
(parallel missing)
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol )
(parallel missing)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol )
(parallel missing)
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol )
(parallel missing)
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
(parallel missing)
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol )
(parallel missing)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol )
(parallel missing)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol )
(parallel missing)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol )
(parallel missing)
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol )
(parallel missing)
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol )
(parallel missing)
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol )
(parallel missing)
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol )
(parallel missing)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol )
(parallel missing)
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol )
(parallel missing)
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol )
(parallel missing)
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol )
(parallel missing)
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol )
(parallel missing)
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol )
(parallel missing)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
(parallel missing)
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol )
(parallel missing)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol )
(parallel missing)
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol )
(parallel missing)
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna )
Adubu eina nakhoida hairibasini, kanagumba amana magi machin-manaogi mathakta saorabadi, wayen-gi awabada tagani. Aduga amuksu, kanagumbana magi machin manaoda ‘Raca’ haina hairabadi mahakna sanhedrin-gi mamangda pukhatpagi khudongthiba adu nanggani. Amasung kanagumbana mahakki machin manaoda ‘Apang mirem’ hairabadi mahakna norokki meigi awabada tagani. (Geenna )
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
Aduga karigumba nahakki yetthangba mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kothoktuna nangondagi langthok-u; maramdi nahakki hakchang apumba norokta langsinkhigadabagi sarukpudi, nahakki hakchanggi kayat ama mangkhibana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
Aduga nahakki yetthangba khutna nahakpu papta tahallabadi madu kakthattuna langthok-u; maramdi nahakki hakchang apumba norokta chatkadabagi sarukpudi, nahakki hakchang kayat ama mangkhibana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna )
Aduga hakchangbu hatlaga, thawaibudi hatpa ngamdaba makhoising adubu kiganu; adubu thawai amasung hakchang animakpu norokta manghanba ngamba Ibungo mahakpu kiyu. (Geenna )
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs )
Aduga he Capernaum, nangdi swargada ikai khumnaba phanggadra? Natte, nangdi khamnung leibakta kumlagani, maramdi nangonda toukhiba angakpa thabaksing adu Sodom-da touramlabadi, ngasi phaoba Sodom leiramgadabani. (Hadēs )
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn )
Aduga Migi Machanupa adugi mathakta wa ngangba mahak adubu kokpigani, adubu Thawai Asengbagi mathakta ngangba mahak adubu houjikki mirol asidasu aduga lakkadaba miroldasu kokpiroi. (aiōn )
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn )
Aduga tingkhang marakta hunba maru aduna wa adu tariba makhoising aduni. Adubu taibangpan punsi asigi langtaknaba amadi lanthumgi oiba nungaibagi lounamna wa adubu namhatkhibana makhoina mahei yanba ngamde. (aiōn )
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn )
Amasung makhoising adubu hullamba yeknaba aduna Devil-ni. Lokpagi matam aduna taibangpangi aroiba matam aduni, aduga lokpagi thabak suribasing aduna swargadutnisingni. (aiōn )
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn )
Aduga napising adubu khomjillaga meida thajinba aduga chap mannana taibangpangi aroiba matam adudasu oigani. (aiōn )
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn )
Aduga taibangpangi aroiba matam adudasu matou asumna oigani. Swargadutsingna laktuna achumba chatpasingdagi phattaba misingbu tonganna khaidokkani. (aiōn )
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs )
Aduga eina nangonda hairi, madudi nahakti Peter-ni, nungjao asigi mathakta eina eigi singlup sagani, aduga khamnung leibakki panggalna madubu maithiba piba ngamloi. (Hadēs )
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios )
“Aduga nahakki nakhut nattraga nakhongna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthattuna langthokkho. Maramdi nakhut ani amadi nakhong ani pallaga lomba naidaba meinungda langsinbabudi, nakhut soinaina amadi khong tekna hingbada changbana nahakidamak henna phei. (aiōnios )
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna )
Aduga nahakki mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kotthoktuna langthokkho. Maramdi namit ani pallaga norokki meinungda langsinbabudi, namit namatang pallaga hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios )
Nongma nupa amana Jisugi nakta laktuna asumna hangjarammi, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba hingba phangnanaba eina kari aphaba thabak toujagadage?” (aiōnios )
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios )
Aduga eigi maramgidamak mayum makei, machin-manao, machan-mache, mama mapa, macha-masu, lou-sing thadokpa mi khudingmakna madugi saruk chama henna amasung lomba naidaba hingba phangjagani. (aiōnios )
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn )
Aduga Ibungona lambi mapanda heiyit pambi ama houba ubada pambidugi manakta changlammi adubu manakhak nattana mahei amata panba thengnaramde. Maduda Ibungona heiyit pambi aduda hairak-i, “Matam pumnamakta nahak mahei pandaba oirasanu!” Aduga khudak aduda heiyit pambi adu kangsillaklammi. (aiōn )
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
“Aphasasinaba, he Wayel Yathanggi ojasing amasung Pharisee-sing nakhoidi awabanida! Maramdi nakhoina mi amabu nakhoigi lainingda olhannabagidamak ipak kaya amasung lamdam kaya koina chatli. Aduga mahakna ollaklabada mahakpu nakhoina oiba adudagi saruk ani henna norokki macha oihalli.” (Geenna )
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
He lilsa, he lindugi machasa, norokki wayen adudagi nakhoina karamna nanthokkadage? (Geenna )
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn )
Aduga Jisuna chorphon chingthakta phamlingeida tung-inbasing aduna Ibungogi nakta makhoi khaktamak lakladuna hairak-i, “Pumnamaksing asi karamba matamda thokkadage? Ibungona amuk lengbirakkadaba amasung taibangpan-gi aroiba matamgi khudam adu karino haiba eikhoida takpiyu.” (aiōn )
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios )
“Adudagi Ibungona mahakki oiromda leibasing aduda haigani, ‘He sirap phangbasa, eingondagi chatthoktuna Satan amasung mahakki dutsingidamak thourang toukhraba mutpa naidaba mei aduda chatkhro! (aiōnios )
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios )
Adudagi makhoina lomba naidaba cheirak phanggadaba maphamda chatkani, adubu achumba chatpasingna lomba naidaba hingbada chatkani.” (aiōnios )
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn )
Eina nakhoida pikhiba yathang pumnamak adu ngaknaba makhoibu tambiyu. Aduga yeng-u, taibangpangi aroiba matam adu phaoba nakhoibu matam pumnamakta eina loinabigani.” (aiōn )
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn , aiōnios )
Adubu Thawai Asengbagi maiyokta thina ngangba mahakpudi keidoungeidasu kokpiroi maramdi mahakna lomba naidaba pap ama langsillabani.” (aiōn , aiōnios )
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn )
adubu taibangpan punsi asigi langtaknaba, lanthumgi oiba nungaibagi lounam amadi makhal kayagi apambasingna makhoida changkhiduna Mapu Ibungogi wahei adu namhatkhi aduga mahei yalhande. (aiōn )
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna )
Maram aduna nahakki khutna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthatkho. Maramdi nakhut ani pallaga norokki mutnaidaba meida langsinbabudi, nakhut namata panduna hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna )
Nahakki khongna nahakpu papta tahallabadi, madu kakthatkho. Maramdi nakhong ani pallaga norokta langsinbabudi, nakhong nama yaodana hingbada changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna )
Nahakki mitna nahakpu papta tahallabadi, madu kotthokkho. Maramdi namit ani pallaga norokta langsinbabudi, namit namatang pallaga Tengban Mapugi leibakta changbana nahakkidamak henna phei. (Geenna )
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios )
Adudagi Jisuna maphamdu thadoklamlaga lambida asum lakpada nupa amana chellaklaga Ibungogi mangda khuru khudak kunladuna Ibungoda hangjarak-i, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangjanaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn , aiōnios )
taibangpanda leiringei matamda mayum-makei, machin-manao, machan-mache, mama, macha, amadi lou-singgi saruk chama chama henna phangjagani aduga loinana otpi neibiba amasung lakkadaba matam aduda lomba naidaba punsi phangjagani. (aiōn , aiōnios )
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn )
Adudagi Jisuna heiyit pambi aduda hairak-i, “Kana amatana nangondagi mahei amuk hanna chadasanu.” Aduga Ibungona haiba adu tung-inbasing aduna tare. (aiōn )
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn )
Aduga mahakna Jacob-ki chada-naodasinggi ningthou oina matam pumbagi oina pan-gani, amadi mahakki leibak adu lomba nairoi.” (aiōn )
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn )
Ningsingbikhi mahakna, matam pumnamakta chanbiba utpigani haibadu, Abraham amadi mahakki charon suronsingda!” (aiōn )
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn )
Mahakna mamangngeida mahakki wa phongdokpiba asengba maichousingi mapanna washakpikhi, (aiōn )
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos )
Adudagi lai phattabasing aduna Ibungoda makhoibu makha naidaba komda chatnanaba yathang pibidanaba hanna hanna haijarammi. (Abyssos )
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs )
Aduga he Capernaum! Nangbu swargada thanggatpigadra? Natte, nangdi khamnung leibakta hunthagani.” (Hadēs )
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios )
Nongma wayel yathanggi oja amana hougatlaga Jisubu chang yengladuna wahang ama hanglak-i, “Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangnaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna )
Adubu nakhoina kanabu kigadabano haibadu eina nakhoida haige. Madudi hatlaba matungda norokta langsingnaba matik leiba Tengban Mapu mahakpu kiyu. Eina nakhoida hairibasini, nakhoina kigadaba adu mahak asini. (Geenna )
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn )
Madugi mahei oina mapu aduna pukchel sengdaba thabak asin arang touba nupa adubu asigumba heisingba thabak asigidamak thagatlammi. Maramdi taibangpan asigi machasingna makhoigi mirol asida mangalgi machasingdagi henna sing-i.” (aiōn )
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios )
Eina nakhoida hairibasini, asumna nakhoina taibangpanbagi lan thum sijinnaduna nakhoi nasagidamak marup semmu aduga langi kanapham leitraba matam aduda makhoina nakhoibu lomba naidaba yumda lousinbigani. (aiōnios )
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs )
Amasung khamnung leibakta mahakna awaba khangduna mathakta yengkhatpa matamda thapna Abraham amasung mahakki nakanda Lazarus leiba urammi. (Hadēs )
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios )
Nongma Jihudigi luchingba amana Jisuda asumna hanglammi, “Aphaba Oja Ibungo, lomba naidaba punsi phangjanaba eina kari toujagadage?” (aiōnios )
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn , aiōnios )
mahakna taibangpanda leiringei matamda madudagi saruk yamna henna phangloidaba amasung lakkadaba matam aduda lomba naidaba punsi phangloidaba mi kana amata leite.” (aiōn , aiōnios )
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn )
Maduda Jisuna makhoida khumlak-i, “Chak asidadi misingna luhong-i, aduga machasingbu luhongnaba thajei-yonjei. (aiōn )
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
Adubu sibadagi hinggatpada amadi lakkadaba matam aduda leibada matik chaba nupa nupising adunadi maduda luhonglaroi. (aiōn )
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios )
madu mahakpu thajaba mi khudingna lomba naidaba punsi phangnanabani. (aiōnios )
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
Tengban Mapuna taibangpanbabu asukki matik nungsibire aduna mahakki amatta ngairaba Machanupa adu pibire, maram aduna Machanupa adubu thajaba mi khudingna mangdaduna lomba naidaba hingba phangjananabani. (aiōnios )
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios )
Machanupa adubu thajaba mi aduna lomba naidaba hingba adu phangle; Machanupa adugi wa indaba mahak aduna hingba phangloi adubu Mapu Ibungogi asaoba mahakki mathakta leigani. (aiōnios )
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn , aiōnios )
adubu eina piba ising adu thakpa mi khudingmak adudi makhoida khourangba amuk hanna leiraroi. Eina pigadaba ising aduna makhoida hingba piba iphut oiraktuna makhoida lomba naidaba hingba pibigani.” (aiōn , aiōnios )
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
Maru hunba mahakka akhaoba mahakka punna haraominnanaba, akhaoba mahak adu khutsuman phang-i amasung lomba naidaba hingbagi mahei khomjilli. (aiōnios )
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios )
“Eina nakhoida tasengnamak hairiba asini, eigi wa taba amadi eibu thabirakpa Ibungo mahakpu thajaba makhoi adu lomba naidaba hingba phangle. Makhoigi mathakta wayenba leiraroi; makhoidi sibadagi hingbada hannana lanthokkhre. (aiōnios )
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios )
Nakhoina Mapugi puyabu thawai yaona neinei maramdi puyaduda nakhoina lomba naidana hingba adu phanggani haina khalli. Adubu Mapugi puya adumakna eigi maramda hairi! (aiōnios )
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios )
Manggadaba chinjakkidamak thabak suganu adubu lomba naidaba hingba phaoba leiba chinjak adugidamak thabaksu. Masigi chinjak asidi Migi Machanupa aduna nakhoida pibigani maramdi Tengban Mapu Mapa Ibungo aduna mangonda yabibagi khudam nambire.” (aiōnios )
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Eigi Ipagi aningba adudi Machanupa adubu ujaba amadi Ibungo mahakpu thajaba makhoi pumnamakna lomba naidaba hingba phangbani aduga eina makhoibu aroiba numitta hinggat-hanbigani.” (aiōnios )
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios )
Eina nakhoida tasengnamak hairibasini, eibu thajaba mahak aduna lomba naidaba hingba phangle. (aiōnios )
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
Swargadagi kumtharakpa ahingba tal adu eini. Kanagumbana tal asi charabadi mahak lomba naidana hinggani. Taibangpan asina hingjanaba eina pigadouriba tal adu eigi hakchangni.” (aiōn )
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Adubu eigi hakchang charaba amadi eigi ee thaklaba mi aduna lomba naidana hingba phangle aduga eina mahakpu aroiba numitta hinggat-hanbigani. (aiōnios )
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn )
Masini swargadagi kumtharaklaba tal adu. Nakhoigi napa napusingna manna chakhi aduga sikhi adubu tal asi chaba mahak adudi lomba naidana hinggani.” (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios )
Maduda Simon Peter-na khumlak-i, “Ibungo, eikhoina kanada chatlugani? Ibungoda lomba naidaba hingba pibiba waheising adu lei. (aiōnios )
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn )
Minaidi imung aduda matam pumbagi oina leite adubu machanupa adudi matam pumbagi oina lei. (aiōn )
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn )
Eina nakhoida tasengnamak hairibasini, kanagumbana eigi wa illabadi mahak keidoungeidasu siraroi.” (aiōn )
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn )
Maduda makhoina Ibungoda hairak-i, “Nangonda lai phattaba sungsoi soidana changle haibasi houjikti eikhoi khangle. Abraham sikhi aduga Mapu Ibungogi wa phongdokpa maichousingsu sikhi adubu nahaknadi ‘Kanagumbana eigi wa illabadi mahak keidoungeidasu siraroi’ haina hairi. (aiōn )
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
Pokpadagi mit tanglakpa mi amabu uhanbiba haibasi taibangpan houbadagi kana amatana tadri. (aiōn )
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn , aiōnios )
Eina makhoida lomba naidaba hingba pibi aduga makhoi keidoungeidasu siraroi. Kana amatana makhoibu eigi khuttagi munba ngamloi. (aiōn , aiōnios )
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn )
Eingonda leiba aduga eibu thajaba mi khudingna keidoungeidasu siraroi. Nahak masi thajabra?” (aiōn )
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios )
Mahakki thawaibu nungsiba aduna madu mangjagani adubu taibangpan asida leiringeida mahakki thawaibu tukkachaba mahak aduna lomba naidana hingba phaoba madu thamgani (aiōnios )
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn )
Miyamsing aduna khumlak-i, “Wayel Yathangdagi eikhoina khangle adudi Christtadi matam pumnamakta hingduna leigani. Aduga ‘Migi Machanupa adu thanggatpa tai’ haina nahakna kamdouna hairibano? Migi Machanupa hairibasi kanano?” (aiōn )
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios )
Ibungo mahakki yathangdi lomba naidana hingba aduda chingbi haiba eina khang-i. Maram aduna eina haiba khudingmak adu Ipana eingonda hainanaba haibibasingni.” (aiōnios )
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn )
Peter-na hairak-i, “Ibungo, Ibungona keidoungeidasu eigi khong hambiroidabani.” Maduda Jisuna khumlak-i, “Eina nahakki khong hambidrabadi nahak eihakka karisu mari leinade.” (aiōn )
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn )
Eina Ipada haijagani aduga Ipana nakhoida atoppa Pangbiba ama thabirakkani aduga mahakna nakhoiga matam pumbada loinabigani. (aiōn )
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios )
Ibungona mangonda mi pumnamakki mathakta matik pibire madu Ibungona mangonda pibiba makhoi pumnamakta mahakna lomba naidaba hingba pinanabani. (aiōnios )
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios )
Amatta ngairaba achumba Tengban Mapu nahakpu khangba amadi Ibungona thabirakpa Jisu Christtabu khangba asi lomba naidana hingba aduni. (aiōnios )
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs )
Maramdi Ibungona eibu khamnung leibakta hundokpiroi; Nahakna nahakki Asengba Mahak adubu mongphamda pattha-pumthanhanbiroi, (Hadēs )
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs )
Tengban Mapuna tungda tourakkadaba adu David-na ukhi maram aduna mahakna Christtana sibadagi hinggatpagi maramda asumna haikhi, ‘Ibungobu khamnung leibakta hundokpide; Ibungogi hakchang mongphamda pattha-pumthahanbide.’ (Hadēs )
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn )
Tengban Mapugi asengba maichousinggi mapanna kuirabagi mamangda khanghanbikhibagumna, Tengban Mapuna pot pumnamakpu hanjinhanbibagi matam adu laktriba phaoba Jisudi swargada leiba tai. (aiōn )
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios )
Adubu Paul amadi Barnabas-na thouna phana paokhum pirak-i, “Eikhoina Tengban Mapugi wa adu nakhoida hanna haiba tabani adubu nakhoina madu loudrabanina nakhoi lomba naidana hingba phangba matik chade haina nasana khanjare. Houjikti eikhoi nakhoibu thadoktuna Jihudi nattaba phurupsingda chatlagani. (aiōnios )
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios )
Jihudi nattaba mising aduna madu tabada makhoi haraorammi amadi Mapu Ibungogi wa adu thagatcharammi aduga lomba naidana hingba phangnaba khandokpirabasingna thajare. (aiōnios )
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn )
Matam kuirabagi mamangda khanghanbiraba Mapu Ibungona masi haibire.’” (aiōn )
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios )
Maramdi taibangpan asi semba matamdagi houna uba ngamdaba Ibungo mahakki magunsing haibadi Ibungo mahakki lomba naidaba panggal amadi Tengban Mapugi oiba magun adu Tengban Mapuna sembikhrabasing adudagi mayek sengna ujei amadi khangba ngammi, maram asina makhoigi ngakpipham leite. (aïdios )
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn )
Makhoina Tengban Mapugi achumba adubu minambaga onthoknare aduga matam pumnamakta thagatkadaba Sembiba Mapubu khurumjabagi mahutta Tengban Mapuna sembikhraba khutsemsingda makhoina khurumduna thougal toure. Amen. (aiōn )
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
Khaangheibaga loinana aphaba touriba, matik mangal, ikai khumnaba amasung mangba naidaba hingba thiriba makhoida Tengban Mapuna lomba naidaba hingba pibigani. (aiōnios )
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
masi papna sibagi mapanna panbagumna eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi mapanna lomba naidaba hingba puraknaba thoujalnasu achumba chatpagi mapanna pannabani. (aiōnios )
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios )
Adubu houjikti nakhoi paptagi naning tamhanduna Tengban Mapugi minaising oire, madugi tongjabadi nakhoigi punsi adu mapung phana Tengban Mapuda katchare, madugi maheidi lomba naidaba hingbani. (aiōnios )
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Maramdi papki atoumandi sibani, adubu Tengban Mapugi khudoldi eikhoigi Ibungo Christta Jisuda lomba naidaba hingbani. (aiōnios )
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
makhoising asi masak nairaba Hebrew ipa ipusinggi chada naodani; mioiba ama oina Christtasu makhoigi phuruptagini. Pumnamakki mathakta panbiriba Tengban Mapu mangonda lomba naidana thagatpa oisanu! Amen. (aiōn )
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos )
“nattraga, Kanana makha naidaba komda kumthagani?” (Madudi Christtabu asibasinggi maraktagi pukhatpani). (Abyssos )
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē )
Maramdi Tengban Mapuna mioi pumnamakta chanbiba utnaba mahakna mioi pumnamakpu haiba indabadagi phadok oihalle. (eleēsē )
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn )
Maramdi pot pumnamak Ibungona semkhibani aduga pot pumnamak Ibungogi mapanna amadi Ibungogidamak leibani. Matik mangal matam pumnamakki oina Tengban Mapugi oirasanu! Amen. (aiōn )
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn )
Aduga taibangpan asigi sakwong louganu, adubu nakhoigi pukning nouhanduna sakwong onthok-u. Maduna Tengban Mapugi aphaba, Ibungo mahakpu pelhanba amadi mapung phaba aningba adu nakhoina khangba ngamgani. (aiōn )
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios )
Eikhoina Tengban Mapuda matik mangal pirasi! Jisu Christtagi maramda eina sandokpa Aphaba Paogi matung inna amadi mamangeida matam kuina lottuna thamlaklaba athuppa achumba adubu phongdokpiba adugi matung inna, Ibungo mahakna nakhoigi thajabada nakhoibu chetna lep-hanba ngam-i. (aiōnios )
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios )
Adubu houjikti Tengban Mapugi wa phongdokpiba maichousingna ibirambasing adugi mapanna phongdokpire; aduga lomba naidaba Tengban Mapu mahakki yathangna phurup pumnamakta khanghanbire, maduna makhoi pumnamakna thajaraktuna haiba innanabani. (aiōnios )
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn )
Amatta ngaiba ikhang khangba Tengban Mapuda Jisu Christtagi mapanna matam pumnamakta thagatpa oisanu. Amen. (aiōn )
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn )
Adu oirabadi, asingba mi kadaida leibage? Wayel yathanggi oja kadaida leibage? Taibangpan asigi yetnaba heiba akhang aheising kadaida leibage? Tengban Mapuna taibanpan asigi lousing adu apangbani haina utpikhraba nattra? (aiōn )
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn )
Adumakpu thawaida mapungpharaba makhoising aduda eina lousinggi wa ngangngi. Adubu madu taibangpan asigi lousing natte aduga aremba oiragadaba, taibangpan asida pallibasing adugi lousingsu natte. (aiōn )
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn )
Adubu eikhoina ngangthokliba lousing asidi Tengban Mapuna mioibasingdagi lottuna thambiramba adubu taibangpan leisemdringei mamangdagi eikhoigi matik mangalgidamak hanna langduna thambiramlaba Tengban Mapugi athuppa lousing aduni. (aiōn )
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
Taibangpan asigi leingakpa kananasu lousing asibu khangkhide. Karigumba makhoina masibu khanglamlabadi makhoina matik mangalgi Ibungobu cross-ta hatlamloidabani. (aiōn )
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn )
Mi kana amatana masana masabu minamdasanu. Aduga nakhoigi naraktagi kanagumbana taibangpan asigi machat matung-inna masa mathantabu asingbani khanjarabadi mahakna tasengna asingba oiraknaba mahakna apangba oiraksanu. (aiōn )
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn )
Maram aduna eina chariba pot aduna eigi ichil inaobu papta tahallabadi, eina mahakpu papta tahandanaba ei keidounungdasu sa sukcha chararoi. (aiōn )
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn )
Masi pumnamaksing asi atoppasingda pandam oinaba makhoida thokkhibani aduga makhoina aroiba matam asida hingliba eikhoida cheksin-wa oinaba irambani. (aiōn )
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs )
“Siba, nahakki lanngamba adu kadaidano? Siba, nahakki mamu adu kadaida leibage?” (Hadēs )
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn )
Makhoina thajade maramdi Tengban Mapugi sak-ong oiriba Christtagi matik mangalgi Aphaba Pao adubu makhoina uba ngamdananaba makhoigi pukningbu taibangpanba asigi phattaba lai aduna mamit tanghalle. (aiōn )
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios )
Maramdi ngaihakki oiba karisu nattaba eikhoigi awa anangsing asina makhoidagi yamna henba lomba naidaba matik mangal adu eikhoida pubirakkani. (aiōnios )
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios )
Maram aduna eikhoina uba ngamba potsing aduda yengdaduna uba ngamdaba aduda mityeng chetna thamjei. Maramdi eikhoina uribasing asidi matam kharakhaktanggini adubu uba ngamdaba adudi lomba naidabagini. (aiōnios )
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios )
Maramdi eikhoina leiriba phiyum haibadi eikhoigi taibang hakchang asina mangkhrabada mioibagi khutna saba nattaba, Tengban Mapugi oiba, lomba naidana leigadaba yum eikhoigi lei haiba eikhoina khang-i. (aiōnios )
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn )
Masi Mapugi Puyada ikhibagumbani, “Awatpa leibasingda mahakna marang kaina pinabi; Mahakki chanbi-heiba adu matam pumnamakta lengdana lei.” (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn )
Ibungo Jisugi Tengban Mapusu, Mapasu oiriba lomba naidana thagatchagadaba Ibungo mahakna eina minamba ngangde haibasi khangbi. (aiōn )
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn )
Eikhoibu houjikki phattraba chak asidagi kanbinaba eikhoigi Tengban Mapu amadi Ipa adugi aningba adubu injaduna eikhoigi papkidamak Christtana masamakpu katthokpire. (aiōn )
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn )
Lomba naida naidana Tengban Mapuda matik mangal oisanu. Amen! (aiōn )
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios )
Maramdi masagi hakchangbu pelhannaba hunba mahak aduna hachangdagi amangba lokchagani; adubu Thawai adubu pelhannaba hunba mahak aduna Thawai adudagi lomba naidana hingba lokchagani. (aiōnios )
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn )
Christtana swargagi leingakpasing, matiksing, pangalsing amasung mapusing pumnamakki mathakta palle; amadi taibangpan asidata nattana lakkadaba adudasu Christtagi mingna matik pumnamakki minggi mathakta lei. (aiōn )
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn )
Matam aduda nakhoina taibangpangi oiba phattaba machat adugi matung illammi; malangda leiriba thawaigi panggalsinggi mapu adugi, haibadi Tengban Mapuna haiba indaba mising adubu houjik makhada thamliba thawai aduna haiba induna leirammi. (aiōn )
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
Masi mahakna Christta Jisuda, eikhoida utpikhiba nungsiba aduda phongdokpiriba changdamningai leitana marang kairaba mahakki thoujal adu lakkadaba matam pumnamakta utpinanabani. (aiōn )
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
Amasung Tengban Mapugi athuppa thourang adu kamdouna mahei yalhan-gadage haibadu mipum khudingmakta uhannaba khudongchaba adu iphamda pinabire. Athupa asi pot pumnamakpu sembiba Mapu, Tengban Mapuna houkhraba miron pumnamakta thuptuna thamlammi. (aiōn )
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Tengban Mapuna masi eikhoigi Ibungo Christta Jisugi mapanna thunghanbikhraba mahakki lomba naidraba thourang adugi matung inna toubani. (aiōn )
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )
Singlupta amadi Christta Jisuda, matam pumnamakta lomba naida naidana Tengban Mapugi matik mangal oirasanu! Amen. (aiōn )
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn )
Maramdi eikhoina mioibagi maiyokta lanthengnaba natte adubu swargagi maphamsingda leiriba phattaba thawaisinggi oiba panggalsing, leingakpasing, matiksing, amadi amamba taibanpan asigi panggalsing aduga lanthengnabani. (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
Eikhoigi Tengban Mapu amasung Ipa Ibungoda lomba naidana matik mangal oisanu. Amen. (aiōn )
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn )
athuppa adu houkhraba chahi kaya kaya amadi mirol kaya kaya lottuna thamlakpani adubu houjikti Mapu Ibungogi misinggi maphamda phongdokpire. (aiōn )
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios )
Makhoi adu Ibungogi mangdagi amasung Ibungogi matik mangal panggalgi adudagi khaidoktuna lomba naidaba amang-atagi cheirak khaanggani. (aiōnios )
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios )
Houjik, eikhoigi Ibungo Jisu Christta masamakna amasung eikhoibu nungsibiba eikhoigi Ipa Ibungo Tengban Mapu amadi mahakki thoujalna eikhoida lomba naidana thougatpiba amadi aphaba asha pinabisanu. (aiōnios )
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
Adum oinamak maram asigidamak haibadi pap chenbasinggi marakta khwaidagi pap chenba eingonda Tengban Mapuna chanbiba adu utpire, madu Ibungo mahakpu tungda thajagababa amadi lomba naidaba punsi phanggadaba mi pumnamakta Christta Jisuna mahakki kuina khaangheiba adu pandam oina utpinanabani. (aiōnios )
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
Lomba naidaba Ningthou, siba naidraba, uba ngamdaba, amatta ngairaba Tengban Mapu Ibungo mangonda matam pumnamakta ikai khumnaba amasung matik mangal leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
Thajabagi akanba laan adu soknou. Lomba naidaba hingba adu chetna paiyu masida nahakpu koubire amasung sakhi kayagi mamangda nahakna phongdokle. (aiōnios )
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
Sinaidaba asi Ibungo Mahak khaktani amadi kananasu changsinba ngamdaba mangal aduda Ibungo mahak lei. Aduga kana amatana Ibungo mahakpu ukhidri amasung ubasu ngamde. Ibungo mangonda ikai khumnaba amasung lomba naidana panggal leiba oirasanu! Amen. (aiōnios )
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
Houjikki taibangpanba asida inakkhullibasing makhoina pukning nawangdanaba amadi areppa leitaba landa asa thamdanaba adubu eikhoibu nungainanaba pot pumnamak marang kaina pibiba Tengban Mapuda makhoigi asa thamjanaba yangthang piyu. (aiōn )
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios )
Ibungona eikhoibu kanbire amasung Ibungo mahakmakki mi oinaba eikhoibu koubire, masi eikhoina toukhiba karigumba thabak amagidamak natte adubu Ibungo mahakki ningba amasung thoujalgi matung innani. Thoujal asi taibang leisemdringei mamangda Christta Jisugi mapanna eikhoida pibire, (aiōnios )
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Maram aduna lomba naidaba matik mangalga loinana Christta Jisuda leiba aran-khubham adu Tengban Mapuna khandoklaba makhoinasu phangnanaba eina makhoigidamak pumnamak khaang-i. (aiōnios )
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn )
maramdi Demas-na houjikki taibangpan asibu nungsibadagi eibu thadoklamlaga Thessalonica-da chatkhre. Crescens-su Galatia-da, aduga Titus-na Dalmatia-da chatkhre. (aiōn )
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn )
Eingonda phattaba landarakpa pumnamaktagi Mapu Ibungona kanbigani aduga Ibungo mahakki swarga Leibakta eibu asoi angam yaodana pubigani. Ibungoda matam pumnamakta matik mangal leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios )
Minamba ngangdaba Tengban Mapuna leisemdringei mamangdagi eikhoida hingba asigidamak wasakpibani, (aiōnios )
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn )
Tengban Mapu ningdaba amasung taibangpan-gi oiba apamba adu thadoktuna, isa khudum chanjaba, pukchel tingba, amadi ngasigi taibangpan asida laining chetpa punsi ama hingnaba thoujal asina eikhoibu tambi, (aiōn )
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios )
masi Ibungo mahakki thoujalna eikhoibu chumhanbinabani aduga eikhoina asa toujaba lomba naidaba hingba adu phangnanabani. (aiōnios )
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios )
Matam khara mahak nangondagi khainaramba asi nahakna mahakpu matam pumbagi oina phangjaba yananaba oiramba yai. (aiōnios )
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn )
adubu aroiba numitsing asidadi Ibungo mahakna mahakki Machanupagi mapanna eikhoida wa ngangbire. Ibungo mahakki mapanna Tengban Mapuna taibangpan pumba sembi aduga aroibada Tengban Mapuna Ibungo mahakpu pot pumnamakki mapu oinanaba khandokpire. (aiōn )
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn )
Adubu Machanupa adugi maramda Tengban Mapuna hairak-i, “He Tengban Mapu, nahakki leibakti loiba naidana matam pumnamakki oina leigani! Nahakna nahakki misinggi mathakta achumba wayen-ga loinana pan-gani. (aiōn )
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
Asengba puyagi atoppa mapham amadasu Tengban Mapuna asumna haikhi, “Melchizedek-ki matougumna nahakti lomba naidana purohitni.” (aiōn )
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
Mahakpu mapung phahallabada, mahakna haiba inba makhoi pumnamakkidamak mahak asi lomba naidaba aran-khubham phangjapham oirakkhi. (aiōnios )
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
baptize toubagi, amadi khut thambagi maramda tambiba; sibadagi hinggatpa amadi lomba naidaba wayenba hairiba hiramsing asigi yumpham amuk hanjinna tholloidabani. (aiōnios )
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
Tengban Mapugi waheidi aphabani haiba amadi lakkadaba matam adugi panggalsing adu makhoina mahao tangkhre. (aiōn )
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
Mapham aduda Jisuna Melchizedek-ki matougumna lomba naidaba purohitlen oiduna eikhoigidamak eikhoidagi mang thana changle. (aiōn )
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
Maramdi Mapugi puyana hai, “Nahakti Melchizedek-ki matougumna matam pumbagi oina purohit ama oigani.” (aiōn )
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn )
Adubu Jisuna purohit oiba matamda wasakpa yao-i masi Tengban Mapuna Ibungoda haikhi, “MAPU IBUNGO-na achetpa wasak ama leple aduga madu amuk handokloi: ‘Nahak matam pumbagi oina purohit oigani.’” (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn )
Adubu Jisudi lomba naidana hingba maramna mahakki purohitki thabak adu atoppa kanagumba amada sinnaba toude. (aiōn )
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
Moses-ki Wayel Yathangna asonba leiraba misingbu purohitlen oina khalli. Adubu Wayel Yathanggi matungda lakpa Tengban Mapuna wasakpiba amaga yaoba wasakpiba adunadi matam pumbagi oina mapung phahallaba Machanupabu purohitlen oina khanbi. (aiōn )
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios )
Hameng amadi sallabagi ee-gi mapanna Ibungona changkhide; adubu Ibungona Khwaidagi Asengba Mapham aduda amuktanggi oina mahak masamakki ee-gi mapanna changle aduga eikhoigidamak lomba naidaba aran-khubham pubirakle. (aiōnios )
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios )
Masina achumba oibanina Christtagi ee-nadi kayagi matik amukka henna thabak pangthokkani! Lomba naidaba Thawaigi mapanna Ibungona masamakpu mapungphaba iratpot oina Tengban Mapuda katpire. Eikhoina ahingba Tengban Mapubu thougal touba yananaba Ibungogi ee-na eikhoigi achum aran khangba pukningbu kanadaba laininggi oiba chatnabisingdagi sengdokpigani. (aiōnios )
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios )
Tengban Mapuna koubikhraba makhoina Tengban Mapuna wasakpikhiba lomnaidaba yaipha thoujalsing adu phangnabagidamak Christtana anouba walepnabagi sillangbiba adu oibire. Masi touba yabagi maramdi ahanba walepnabagi makhada leiringei matamda misingna toukhiba aranbasing adudagi ningtamhanbinaba sibikhiba ama leikhiba adunani. (aiōnios )
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn )
Madu oirabadi mahakna taibangpan semngeidagi kayarak hanna awa khaanglamgadabani. Adubu houjikti aroiba matam naksillaklaba asida masamakpu iratpagi mapanna pap louthoknaba matam pumnamakki oina amuktang masamak phongdokpire. (aiōn )
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn )
Tengban Mapugi waheigi mapanna taibangpan apumba sembikhi haibasi thajabagi mapanna eikhoina khang-i, maram aduna uriba pot adu uba ngamdaba pottagi sembani. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn )
Jisu Christtadi ngarangsu ngasisu, amadi matam pumnamakta hongba leite. (aiōn )
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios )
Houjikti ingthabagi Tengban Mapu, haibadi lomba naidaba walepnabagi ee adugi mapanna yaosinggidamak athoiba Yaosenba oiriba, eikhoigi Mapu Ibungo Jisubu asibadagi hinggat-hanbiba, (aiōnios )
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
mahakna mahakki aningba touhannaba nakhoida aphaba pumnamakna sem sabinaba amasung Jisu Christtagi mapanna Ibungo mahakki apenba oiba adu eikhoida toubisanu. Christtada matam pumnamakki oina matik mangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
Leidi meigumbani, ayol arangi taibangpanbani; leina eikhoigi hakchang kayatsinggi marakta kayat ama oiduna hakchang apumbada phattaba sandok-i, amasung mahakki punsigi khongchat pumnamak norok-maktagi lakpa meina chak-halli. (Geenna )
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn )
Maramdi mangba yaba marudagi nattaduna mangba yadaba marudagi hingba amasung matam pumbada lengdana leiba Tengban Mapugi waheigi mapanna nakhoibu amuk hanna pokpire. (aiōn )
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn )
adubu Mapu Ibungogi waheidi matam pumnamakta lengdana lei.” Nakhoida sandokpa Aphaba Pao adu wahei asini. (aiōn )
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn )
Kanagumba amana wa nganglabadi, makhoina Tengban Mapugi wa ngangba amagumna nganggadabani; kanagumba amana thougal tourabadi, Tengban Mapuna pibiba panggalga loinana makhoina thougal tougadabani, masina Tengban Mapubu maram khudingmakta Jisu Christtagi mapanna thagatnabani. Matik mangal amasung panggal lomba naidana Ibungo mahakkini. Amen. (aiōn )
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios )
Adubu nakhoina matam khara awaba khaanglaba matungda thoujal pumnamakki Tengban Mapuna mahakki lomba naidaba matik mangalda Christta Jisugi mapanna eikhoibu koubiraba Ibungo mahakna, nakhoibu mapung phahanbigani amasung achetpa, panggal amadi lengdraba yumpham nakhoida pibigani. (aiōnios )
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn )
Matam pumbagi oina panggal adu Ibungo mangonda leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios )
Asumna oirabadi eikhoigi Mapu Ibungo amasung Kanbiba Mapu Jisu Christtagi lomba naidaba leibak aduda nakhoibu taramna okpigani. (aiōnios )
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō )
Maramdi Tengban Mapuna pap touba swarga dutsingbu kanbidaduna norokta langthakhi, amasung mapham aduda wayennabagidamak amambada yot-hingna punduna thamle. (Tartaroō )
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn )
Adubu thoujalda amadi eikhoigi Mapu Ibungo amasung Kanbiba Mapu Jisu Christtabu khangbada mathang mathang chaokhatpa oiyu. Houjik amasung lomba naidana Ibungoda matik mangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios )
Hingba adu uhanbire; eikhoina madu ujare amadi madugi maramda eikhoina sakhi pi amasung eikhoida uhanbiba amadi Mapa Ibungoga leiminnaramba lomba naidaba hingba adu eikhoina nakhoida laothok-i. (aiōnios )
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn )
Taibangpan amasung masigi apamba adu mangsillakli; adubu Tengban Mapugi aningba touba mahak adudi matam pumnamakta hingduna lei. (aiōn )
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios )
Christtana eikhoida pibigani wasakpikhiba adu asini madudi lomba naidaba hingba aduni. (aiōnios )
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios )
Machin manaobu tukkachaba mahak adu mihatpani, mihatpa mi amatada lomba naidaba hingba leite haiba nakhoina khang-i. (aiōnios )
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios )
Sakhi adu asini, Tengban Mapuna eikhoida lomba naidaba hingba pibire, aduga hingba adu mahakki Machanupa aduda lei. (aiōnios )
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios )
Tengban Mapugi Machanupagi mingda thajaba nakhoida lomba naidaba hingba lei haibasi nakhoina khangnanaba waramsing asi eina nakhoida i-bani. (aiōnios )
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
Eikhoina achumba Tengban Mapu adubu khangnanaba Tengban Mapugi Machanupa adu lengbiraktuna eikhoida wakhal taba pibire haibasu eikhoina khang-i. Tengban Mapugi Machanupa Jisu Christtada leijaduna eikhoina Tengban Mapuda lei. (aiōnios )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
eikhoida leiba amasung eikhoiga matam pumnamakta leiminnagadaba achumba adugi maramdani. (aiōn )
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
Aduga masagi angambagi pham adu ngaktaduna makhoina leigadaba mapham adu thadokkhiba swarga dutsing adubu Ibungo mahakna achouba Numit aduda wayennabagidamak makhoibu lomba naidaba yot-hling phalangna punduna amambada thamle. (aïdios )
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
Masiga manana Sodom amasung Gomorrah, aduga madugi akoibada leiba saharsing adugi misingnasu nupa nupigi oiba lamchat kamba sajatsingda makhoi masasing pithoklammi. Makhoibu lomba naidaba meigi cheirak pigadabasing adugi pandam oina thamle. (aiōnios )
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
Makhoidi masagi ikaibabu konggolgum kahalliba ipakki akanba ithaksingni; koipai paiba thawanmichaksingni, makhoigidamak khwaidagi mamba mapham ama khaaktuna thamle. (aiōn )
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
nakhoibu lomba naidaba hingbada chingbinaba eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi chanbiba adu ngairingeida, nakhoi nasabu Tengban Mapugi nungsibada leiyu. (aiōnios )
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )
eikhoigi Kanbiba Mapu amatta ngairaba Tengban Mapua, eikhoigi Mapu Ibungo Jisu Christtagi mapanna matik mangal, chinglemba, panggal amasung matik houjik amadi matam pumnamakki oina leiba oirasanu! Amen. (aiōn )
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn )
amasung Ibungogi Mapa Tengban Mapubu thougal toujanaba eikhoibu purohitsinggi ningthouleibak ama oihanbire. Jisu Christtagi maphamda matam pumnamakta matik mangal amadi pangal leiba oisanu! Amen. (aiōn )
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
aduga eidi ahingba aduni, eihak sirure, adubu yeng-u houjikti ei lomba naida naidana hingle. Aduga eina asibagi amasung khamnung leibakki so adu pairi. (aiōn , Hadēs )
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn )
Thawaipanba mari aduna phambal adugi mathakta phamliba lomba naidana hingliba Ibungo adugi matik mangalgi, ikai khumnabagi amadi thagatpagi isei saklammi. Amasung makhoina asumna touba matamda, (aiōn )
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn )
Ahal laman kunmari aduna phambaldugi mathakta phamliba Ibungo mahakki maangda tuthajaduna lomba naidana hingliba Ibungo mahakpu khurumjarammi. Makhoigi luhupsing adu phambaldugi mangda louthoktuna thamjaraga hai, (aiōn )
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn )
Aduga swargada, malemda, malemgi leironungda amadi samudrada leiba thawai panba khudingmakna isei sakpa eina tare: Phambal aduda phamliba Ibungo mangonda amasung Yaomacha aduda, thagatpa, ikai khumnaba, matik mangal amasung touba ngamba matik adu, lomba naida naidana leiba oisanu. (aiōn )
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs )
Aduga eina yengbada, maksinba machugi sagol ama eina ure. Madugi mathakta tongliba mahak adugi maming adu asiba kou-i aduga khamnung leibakna mahakki tung nakna illammi. Malemgi saruk mari thokpagi amagi mathakta lalna, chaktangbana, laina laichatna, amadi lamsasingna hatnaba makhoigi mathakta matik pire. (Hadēs )
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn )
Hairak-i, “Amen! Thagat-khurumjaba, matik mangal, lousing, thagatchaba, ikai khumnaba, panggal, touba ngamba matik, lomba naidana naidana eikhoigi Tengban Mapugi oisanu! Amen!” (aiōn )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
Adudagi mangasuba swargadut aduna mahakki peresingga adu khongle amasung atiyadagi thawanmichak ama malemda tarakpa eina ure. Aduga mangonda makha naidaba komgi sow pire. (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
Thawanmichak aduna makha naidaba kom adu hangdokle amasung achouba meiphamdagi meikhu thorakpagum madudagi meikhu thorakle, aduga makha naidaba komdagi thorakliba meikhu aduna numit amadi atiyabu mamhalle. (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
Makha naidaba kombu pannaba swargadut aduna makhoigi mathakta ningthou oina palli. Mahakki mamingdi Hebrew londa Abaddon kou-i; aduga Greek-tana Apollyon kou-i (wahandokti “Manghan takhanba mi” haibani). (Abyssos )
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn )
Aduga swarga, malem, samudra amasung maduda leiriba pumnamakpu sembiba, lomba naidana hingliba Tengban Mapugi mingda wasakladuna hairak-i, “Amuk Panthararoi.” (aiōn )
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
Makhoina makhoigi sakhi piba loirabada, makha naidaba komdagi thorakpa sa aduna makhoigi maiyokta landagani. Amasung mahakna makhoibu maithiba piduna makhoibu hatkani. (Abyssos )
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn )
Adudagi taretsuba swargadut aduna mahakki peresingga adu khongle, aduga swargada ahouba khonjelsingda hairak-i, “Taibangpanbagi ningthouleibak adu eikhoigi Ibungogi amadi mahakki Messiah-gi oirakle, aduga mahakna lomba naida naidana pangani” (aiōn )
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios )
Adudagi eina malemda leiriba misingda, mi kanglup khuding, salai khuding, lol khuding amadi phurup khudingda laothoknaba aphaba paogi lomnaidaba paojelga loinana awangba atiyada pairiba atoppa swargadut ama eina ure. (aiōnios )
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn )
Makhoida awaba piriba meigi meikhu adu lomba naida naidana mathakta kakhatkani. Aduga sa adubu amadi magi murti adubu khurumbasing amasung mahakki minggi khudam phangba makhoising adugi awaba adu ahing nungthil anida leppa nairoi.” (aiōn )
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn )
Thawaipanba mari adudagi amana swargadut taret aduda lomba naidana hingduna leiriba Tengban Mapugi meihouna saobana thallaba sanagi tenggot taret adu pirammi. (aiōn )
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos )
Nangna uriba sa asi matam amada leirammi, adubu mahak houjikti leitre; adumakpu mahak makha naidaba kom adudagi amuk kakhatlakkadouri aduga mahakki mang-takphamda chatkani. Taibangpan semdringei mamangdagi hingbagi lairikta makhoigi ming isinkhidaba malemda leibasingna sa adubu uba matamda ngakkani, maramdi mahakna matam amada leirammi, houjikna leitre adumakpu amuk lakkadouri. (Abyssos )
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn )
Aduga makhoina amuk hanna laorak-i: “Halleluya! Achouba sahar adu chakthekpagi meiridagi thorakpa meikhuna lomba naida naidana ka-khatli.” (aiōn )
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
Adubu sa aduga loinana mahakki mamangda angakpa thabak toukhiba Tengban Mapugi wa takthoksinaba mi aduga punna phare. (Mahakna sa adugi khudam leiba amadi sa adugi murtibu khurumba makhoising adubu minamkhiba adu angakpa thabaksing asigi mapannani.) Sa amadi Tengban Mapugi wa takthoksinnaba animakpu kantrukna chakliba meigi pat aduda hingna hunthare. (Limnē Pyr )
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Adudagi swargadut amana makha naidaba komgi so amasung chaoraba yotling phalang paiduna swargadagi kumtharakpa eina ure. (Abyssos )
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
Chahi lising amadu loidriba phaoba phurupsingbu amuk hanna minamba ngamdanaba swargadut aduna mahakpu makha naidaba komda hunjille aduga so lonsinduna chum namduna thamkhi. Madugi matungda mahakpu matam khradanggi oina thadokpa tai. (Abyssos )
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Adudagi makhoibu minamkhiba Devil adubu sa amadi Tengban Mapugi wa takthoksinaba adubu hanna hunthakhraba mei amadi kantrukki pat aduda hunthare; aduga makhoibu ahing nungthil lomba naida naidana awa meichak khanghangani. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
Adudagi samudrana magi manungda leiriba asibasingbu pithokle. Aduga siba amadi khamnung leibaknasu makhoigi manungda leiriba asibasingbu pithokle. Amasung makhoi pumnamakpu makhoi makhoina toukhiba thabakki matung-inna wayelle. (Hadēs )
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Adudagi siba amadi khamnung leibakpu meigi pat manungda langsille. Meigi pat asi anisuba siba aduni. (Hadēs , Limnē Pyr )
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Hingbagi lairikta makhoigi ming isinba phangdaba makhoising adubu meigi pat aduda hunjille. (Limnē Pyr )
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
Adubu pangdabasing, thajadabasing, tukkachaningai oibasing, mihatpasing, nupa nupi lannabasing, hidam yaidambagi thabak toubasing, lai murti latpasing amasung chinthiba pumnamakki panthungdi achakpa kantrukki meigi pat aduda oigani. Masi anisuba siba aduni.” (Limnē Pyr )
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Mapham aduda ahing amuk leiraroi, aduga makhoina thaomei amasung numitki mangalsu mathou tararoi, maramdi Ibungo Tengban Mapuna makhoigi mangal oigani; aduga makhoina ningthougumna lomba naida naidana pangani. (aiōn )