Aionian Verses

Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol h7585)
(parallel missing)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol h7585)
(parallel missing)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
(parallel missing)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
(parallel missing)
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
(parallel missing)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol h7585)
(parallel missing)
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol h7585)
(parallel missing)
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
(parallel missing)
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
(parallel missing)
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Ama min maadi: yua beni o pali o ninja po, li buali ki ban gedi yen o ti buudi danbi kani. Nulo ya sugdi o ninja k o tie fanbi, bi bo gedi yen o suif nba buudi danbi kani. Nul ya maadi k o ninja tie yukpienli, bi ba lugu ya mu n kan jundi nni. (Geenna g1067)
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
A nujienu ninbinli ya ye a po ki cedi ka tie biidi, ŋan ñan o ki lu fagm ki dugni bonyenli ya ki ye a gbanandi po, lan n pia ti ñuadi, yen ban ti taa ŋa ki lu a ya mu n kan bangi jundi nni. (Geenna g1067)
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Li ya sua ka nujienu n kuand a ti biidi nni, jiagu ki lu fagma, ki dugni lan n su yeni a gbanandi kuli n ya ye ya mu kan bangi jundi nni. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna g1067)
Daa jie mani yua bo kpa nuli k nan kan fidi kpa o nanligi. Jie mani u tienu wan bo fidi cedi o nuli nanligi yeni o gbanu kuli n bia u muu n i. (Geenna g1067)
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
Fin, Kafarnawuum, a mali k fin yeni a yabnu kuli a ba si tawlgbɔngu i? N n, a ba jiidi hali o tinkpiigun, ki dugni ya yaalidgu bona tieni a siigni k a k lebdi ne ya bo tieni Sodɔm i, mani o da sieni ki ye dinla daali. (Hadēs g86)
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn g165)
U Tienu ba di sugili yaabi n kpagini mi maama po, min o nilo bijua, li yoginu, n maadi ko Tienu kan di sugili yaabi n maadi ti maabiidi ki sugidi o fuoŋanba lan tie mɔlane yeni ya yoginu dua ki baadi kuli. (aiōn g165)
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn g165)
Yinba i konkoni tinga mɔ tie yaabi n kpaani ki tua piada, ba kpaagi bontiali po se i ligike tie yaali n dagidi bi po, bi sundi u tienu po, ba tiendi u tienu n buali, bi tie nani ya tinga gbie i konkoni yeni. (aiōn g165)
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Yibali yua buli i naniidi tie sitaani, li adipela n ba pe i di ya yoginu tie ŋanduna juodima. Adipela mɔ tie malekinba. (aiōn g165)
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn g165)
Nani ban yi loli ti muabiidi ki loli maama ki ju o mu nni, li ba tie yeni li ŋandunli juodima yoginu. (aiōn g165)
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn g165)
Li ba tua yeni ŋanduna juodima, malekinba ba cua u tienu n ja ti buudi naani kani, ki paadi bi nibiadiba. (aiōn g165)
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs g86)
N go ba waani a ke a tie Piari (Tangu), ke li tangu po i ke n ba maa n jaandiegu. Bi tinkpiba diema bulñɔbu kan luodi gu yapo. (Hadēs g86)
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios g166)
A nugu bii a taali ya kuandi a mi tudma nni, ŋan jia ki lu fagma. Li baa tu a po ŋan kua U Tienu diema nni yeni taayenli bii nuuendu ki cei yeni ban lu ŋa ya mu n ki pia gbindma buogu nni yeni taana lie bii nugi lie. (aiōnios g166)
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna g1067)
A nunbu n ya kuandi a mi tudma nni, ŋan kpigdi bu, ki lu fagma. Kelima li baa tu a po ŋan kua U Tienu Diema nni yeni nunfiagu ki cie ba lu ŋa ya mu n ki pia gbindma buogu nni yeni nuni lie kuli. (Geenna g1067)
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios g166)
Ke jka ba cua Yesu kani ki maadi: canbaa n baa tieni ki laa tuadiŋanli ki bàà ya miali ki pia gbenma i. (aiōnios g166)
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
Nilo yua kuli ŋaa o deni, o kpiiba, o baá yeni o naá, yeni o bila, bii o tinga n yeli po baa gaa m ŋanma taalm kobiga ki gɔ bàà li miali yua k pia gbenma. (aiōnios g166)
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
Ke o la bu kankanbu u sankunu, ke o nagni, waa la kankanli se kankanfaadi. K o yedi bu: “luanli ń ji da jɔni a ya po palb.” Lanyognu mɔno, ke bu kankanbu yeni kuodi. (aiōn g165)
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Fala tie i yaali yinbi a gbanbanda yeni falisien nba, ki dugni i caa ya longbana n fagn ki kpaani yaabi n bu kua i jaandi. I ya la nuyendi, o biidi gɔ yi pugni ki kuan o o muu diegu. (Geenna g1067)
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Waalaba, walabiada buolu, i ba fidi ki ciadi ku mubuogu yeni li daajuodkaali buudi jiama aa? (Geenna g1067)
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn g165)
lani k jesu doni k kali oliif tiidi juali po. ku ŋuadikaabi baa k la'ɔg, k bual'o k wan waani ya yogu k l bona bu tieni yeni ya bona bu waani k u baami yeni ŋanduna juodnmi ji ki fagi. (aiōn g165)
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios g166)
Li yaa puoli po u baa gadi ki yedi yaaba n ye u ganu po, fagidimani n kani, yin bia mani i kuli, gadi mani u fantanbuogu nni yagu n den ke n den tuodi ki bobini sitaani yeni o malekinba po. (aiōnios g166)
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
Bi kuli baa gadi mi fantanma buogu nni, yaaba n tiegi n baa yaa miala kan gbeni. (aiōnios g166)
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Yin tundi ba ban cɔlni min waani yi yaali kuli. Lani n yeni, n ye yeni yi daali kuli hali ŋanduna juodma. (aiōn g165)
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
Ama yua sugi u Tienu fuoŋanba wani kan bàà sugili hali a bada. Ama lan daano kan fidi ya ye hali o hjuodima ki kan tieni tuonbiidi». (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn g165)
Ama n yema yanyandi yeni, ŋaimanbuadi, yeni bonbuakaatiana li kuli yi taani ki di o Tienu maama yeni li ji kan fidi sɔni tuonli. (aiōn g165)
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna g1067)
A nuugu ya cedi ke a tie t tuonbiidi ŋan jia'o. Aya kua u Tienu deni ki pia nuuyendu (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna g1067)
A taali mo ya cedi ke a tie t tuonbiidi ŋan jia'o. (Geenna g1067)
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna g1067)
A nuubila mo ya tie a po tingbali bonla ŋan lɔgidi ba. A ya pia nuubiyenli ki baa kua u Tienu deni li baa ŋani a po ki cie ŋan ya pia nuubila lie ban nan la ŋa u muubuogu nni. (Geenna g1067)
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios g166)
wan den fii ki ba gadi liiga, ke o nilo sani ki cua o kani, ki gbaani o nintuali, ki bualo: «canba mɔno n baa tieni ledi ki baa ki kua U Tienu diema nni ki baa yaa miadi kan gbeni?» (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn g165, aiōnios g166)
kan baa baliga mɔla ne li yaa pan tie li ŋanduni panli nni yaaka. (aiōn g165, aiōnios g166)
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn g165)
Ki Jesu maadi bu kankanbu: A ba kuli kango ŋmani a ya laana ki o ŋaadikaaba gbadi wan yendi yaala. (aiōn g165)
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
O ba diedi ya buolu n ñani Jakobo kani hali ya yogu n ki pia juodma. (aiōn g165)
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
(Nani wan bo niani ti yajanba) Abalahama leni o puolŋuani hali ya yogu n ki pia gbenma. (aiōn g165)
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Wan den sɔni o sawalpuaba yaaba n gbie leni U Tienu foŋanma, ke bi niani ti yajanba yaala hali mi cilma, tieni ki dudi. (aiōn g165)
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Li fuobiidi den miadi jesu sugili k wan da kuan ba naani tie fala kangbediguni. (Abyssos g12)
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
Ke fini, Kapenawuma, a maali ke a ba duoni a yuli ŋaljanli nni bii? N n bi ba jiini a hali ku tinkpibuogu nni. (Hadēs g86)
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
Diidi mani, jufinba yoko tundkaaba yendo ń fii, ki bua bigni Jesu, ki maadi, “Canbáa, N ba tieni ledi i, ki baa ya miali n ki pia gbenma? (aiōnios g166)
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna g1067)
Ama, n ba tuodi ki waani yi yin ba ya jie yua. Yin jie yua kpa, ki go pia ya paalu n ba lu ŋa ku mubuogu nni. Nn, n maadi yi, jie mani o. (Geenna g1067)
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Canbaa den pagi ya ŋalmankublo n den ki tiegi yeni kelima o den tieni bu nunfanbu. Kelima ŋanduna ne bila fani yeni bi lieba ki cie mi yenyenma nni ya bila (aiōn g165)
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
N maadi yi, Taa mani i ŋanduna janbi ŋalmani ki kpaani danlinba, li ya ti gben, yin baa yaaba n ba ga i cangu naani ke li ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Wan den ye o mubuogu nni ki laadi fala, ki ti yaadi ki diidi, ki la Abalahama hali fagma ke o wobi Lasari ki tabni o pali. (Hadēs g86)
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
Yeni k Kpaagl ba tieni i buali: ... canbaa mɔn, mi baa tieni ledi k la ya miali ki pia gbema? (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
O bu la ti ñuadi yaali n yabi, mɔlane yen ya dana baadi, ya miali ki pia gbema. (aiōn g165, aiōnios g166)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
Jesu ŋmiani ba: ... Tin dá ye ya ŋanduna ne nni, bi jaba kuandi bi puoba ki bi puoba kuni bi jaba. (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
Ama yaaba ke U Tienu diidi ki sua ke bi ŋani ki dagdi yeni ban fii ku kaagu nni ki kua li ŋandunpanli nni wan kan kuani bi puoba ki gɔ kan kuni bi jaba. (aiōn g165)
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
lan fidi ke yua n dugi o po ń baa ya miali n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kelima U Tienu buadi ŋanduna hali ki teni o bijayendga, lan fidi ke yua n dugi o po wan da kpe ka, ama wan baa ya miali n ki pia gbenma (aiōnios g166)
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios g166)
Yua dugi Bijua po baa pia ya miali n ki pia gbenma; yua n ki dugi Bijua po kan la miali, ama U Tienu pabienli n baa maa o yuli po. (aiōnios g166)
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Ama yua n ñu ya ñima k n ba teni, ñuñuni kan bamgi cuogu, k min ba teni ya ñima baa tie o po nani ñunbunbungi yeni ya mialiki pia gbemi ñima bundi lien nni. (aiōn g165, aiōnios g166)
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
Yua pedi i dii, wan ga o paagu, o ji taandi li bona ki ŋuundi ya miali ki pia gbemi bualin, ki lan fidi ki yua den buli yeni yua n pedi n ya ye li pamanli nni. (aiōnios g166)
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
«I mɔmɔni, i mɔmɔni, n maadi yi, yua n cengi n maama, ki dugi yua n sɔni nni po, pia ya miali n kan gbeni. Bi kan jia o ya buudi, ama o ñani mi kuuma nni, ki kua li miali nni. (aiōnios g166)
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios g166)
I cogi ki kpaagi i diani nni, kelima i tama ke yini n ba puni yi ya miali n kan gbeni: yini n tiendi kasiedi n po. (aiōnios g166)
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios g166)
Ya tuuni mani ki da lingi ya jiema n ba dudi ka ama yin ya lingi ya jiema n kan dudi, ki baa tundi ki ye hali ya miali n ki pia gbenma. O nisaalo Bijua n ba teni yi lanya jiema; kelima wani ya po i, ke Báa U Tienu jaa o tanpɔn ki tieni mi banma. (aiōnios g166)
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
N Báa buama tie ke yua n la Bijua, ki dugi o po ń baa ya miali n ki pia gbenma, ke n go ba yiedi o li daajuodidaali. (aiōnios g166)
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
I mɔmɔni, i mɔmɔni, n maadi yi, yua n dugi n po ba ba ya miali n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
N tie ya kpanu n pia li miali, ki ñani tanpoli ki jiidi. Yua n ŋmani lan ya kpanu, o baa tundi ki pia ya miali n ki pia gbenma; ke min ba teni a kpanu tie n gbannandi, ke n ba teni ŋanduna kuli miali po. (aiōn g165)
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Yua n ŋmani n gbannandi ki go ñuni n sɔma baa bia ya miali n ki pia gbenma, n go ba yiedi o li daajuodikaali. (aiōnios g166)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn g165)
Ne tie ya kpanu n ñani tanpoli ki jiidi. li ki tie nana i yaajanba ń bo ŋmani maana, ki nan kpe yeni ka: yua n ŋmani ya kpanu ne ba baa ya miali n ki pia gbenma. (aiōn g165)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios g166)
Siimɔn Pieri ń jiini o: “Ti Diedo, ti ba sani ki ŋɔdi ŋma i? Fini n pia ya miali n ki pia gbenma maama. (aiōnios g166)
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn g165)
I bani ke yonbo ki tie yua n baa tundi ki ye ku diegu nni ka; ama ku diegu nni bijua wani tie ku diegu nni yua i, hali yognu kuli. (aiōn g165)
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn g165)
I mɔmɔni, i mɔmɔni, n maadi yi, yua n ŋua n maama, o kan kpe palbu. (aiōn g165)
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn g165)
Juufinba ń maadi o: “Mɔla wani i, ti ji bandi ke ki cicibiadga ŋua ŋa. Abalahama kpe, bi sawalpuaba mo kpe, ke fini nan yedi ke yua ga a maama kan kpe palbu. (aiōn g165)
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Hali ŋanduna cilma, tii kpeli ki gbadi ke bi luodi yua n mali ki tie juamo nuni. (aiōn g165)
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
; N tenm'i yaa miali k pia gbenma; b kan baa kpe, nul bia kan fidi ñanb'i n nuugi n i. (aiōn g165, aiōnios g166)
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn g165)
yua fuo ki dug n po, kan bangi ki kpe. A dug li po i? (aiōn g165)
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios g166)
Yua n bua o miali ba biani li, ke yua n luni li ŋanduna ne nni baa tundi ki kubi li hali ya yogu n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn g165)
Ku niwulgu ń maadi: Ti gbadi ke yiko maadi ke Kiristo wani baa tundi ki ye hali ya yogu n ki pia gbenma; li ga ledi i, ke fini wani nan yedi ke: «Li buali ke ban fiini ki duoni o nisaalo bijua? ŋma n tie li nisaalo bijua? (aiōn g165)
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios g166)
N go bani ke o yikodi maama tie ya miali n ki pia gbenma. Lan ya po i ke min maadi ya bona kuli, n maadi nani Báa ń maadi nni maama i. (aiōnios g166)
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn g165)
Pieri madi o: «A kan ŋuudi n taana paliba.» ke Jesu yedi o: N yaa ki ŋuudi a taana, a ki pia n kani libakuli.» (aiōn g165)
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn g165)
N bu mia Baa, ki wan te ni todikaa bieno, yua baa tundi ki ye yeni, (aiōn g165)
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios g166)
ki kuli tie nani ŋan puni nni li bali bini saaliba kuli po maama ke min pa ŋan puni nni yaaba kulu yaa miali n kan gbeni. (aiōnios g166)
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios g166)
yaa miali n kan gbeni tie ke ban bandi fini yua bebe yua tie UTienu moamoani, yeni ŋan soani yua Jesu kilisiti (aiōnios g166)
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
Kelima a kan ñɔli ki ŋa n naano bi kpienba diema nni, a go kan ŋa a niŋamo gbannandi ń bedi. (Hadēs g86)
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
o bo tuodi ki bandi, ki maadi Jesu yiedma po, “Bi den ki ñɔli ki ŋa o bi kpienba tinga nni, ke o gbannandi mo ki bandi bedma. (Hadēs g86)
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn g165)
O tie yua ke tanpojoma ba ga hali yeni ya yogu ke U Tienu ń tuodi ki cedi ke o sawalpuaŋanba yaadi ki waani ya bona kuli n ba tieni ki dudi. (aiōn g165)
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
Ama pɔl yeni Barnabasa n ŋanmi ki maadi ba: «Ke li nan bu buali bani n kpia ki gbadi U Tienu maama t la ki yie, ke gua diidi ki sua ke li ki dagdi yeni ya midn kan ban k gbeni eni, mɔlawani, t ba ŋmagdi b canma po i. (aiōnios g166)
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
Yaaba n ki ban U Tienu n gbadi li maama ya yogu, k b pala mangi, k ji tieni U Tienu maama baliga. Boncianli yaaba n bo dagdi yeni ban kua U Tienu diema nni kuli daan ki dugi li maama po. (aiōnios g166)
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn g165)
Oyonmdaano yua bo tieni a bona ke bi bandi ti ya yogu nni n maadi yaala n yeni. (aiōn g165)
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios g126)
Lanyapo, U Tienu ŋandi yaadi n ki pia bianu, O paaciamu yuu n ki pia gbenma yeni o yenyema ki duagi ba; bi nua likuli yeni bi nuni, hali ŋanduna tagma. Ti ya diidi wan tagi yaali kuli, bi niba ki pia ban ba yedi yaali ki faabi bi yula. (aïdios g126)
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn g165)
Bani yaaba n lebdi ki ŋa U Tienu mɔmɔni, ki nan ŋua mi tofaama, bani yaaba n kpiagdi U Tienu tagma ki nan ŋa wani o tagdo yua dagdi yeni ya kpiagdi n ki pia gbenma. Ami! (aiōn g165)
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
ki caa liiga ki kpaani U Tienu kpiagili yeni yaa miali n kan gbeni. (aiōnios g166)
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Lan kuli ne tieni, nani ti biidi n ba yeni n kuumi n yeni, ŋalibaliga n tɔgini ti mɔnkundi lan baa yeni yaa miali n ki pia gbema ti Diodo Jesu Krisiti kani. (aiōnios g166)
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Mɔla yin ñani ti biidi nni, i tua U Tienu yaa yonbi, i ji pia mi tegiŋanma, yaa miali n kan gbeni. (aiōnios g166)
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
kelima ti biidi paabu ti mi kuuma i ama U Tienu ŋanbili tie yaa miali n kan gbeni ti yonmidaano Jesu Krisiti nni. (aiōnios g166)
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
Bi tie ti yaja nba puoli ŋuani, Krisiti moko den mali li yaa buolu nni ti gbannandi po. Wani yua n die bonla kuli. U Tienu n pagidi hali yaa yogunu kuli, Amina (aiōn g165)
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos g12)
Lani yaa ka: “ŋma ba jiidi ki kpientinga nni? “lani n ba cedi Kiristu ń fii lankani ki yiedi bi tinkpiba siiga. (Abyssos g12)
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Kelima U Tienu luoni bi niba kuli mi ti tuonbiadi nni, ke wan fidi ki gbadi bikuli niñima. (eleēsē g1653)
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Bonli kuli ñani U Tienu kani i, wani n die likuli, likuli ye o ya po i. Wani n yeni ti kpiagdi yeni ti yudandi li bina yeni li bina! Ami! (aiōn g165)
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
Da ŋua mani mɔlane jamaano ka. Yin lebdi i pala, ki pandi i yantiali, ki fidi ki bandi U Tienu buama, yeni yaali tuagi, ki mani, ki ŋani cain. (aiōn g165)
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios g166)
yua n fidi ki todi yi yeni olabaali ŋamo ke n todiba Jesu kilisiti nni ke nani yaala doagidi ki waani ŋasiili nni yaala ke da foagi. (aiōnios g166)
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios g166)
Ama moala ne o nisoaginkaaba yaaba ke UTienu den doagidi ba idian pokuli ke lan fidi ki nibuoli kuli n coanli li dandanli maama. (aiōnios g166)
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn g165)
ke UTienu bebe n ga ti kpiagidi yua n tie o yanfodaano li bina yeni li bina Amina. (aiōn g165)
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn g165)
O yanfodaano ye le? o gbanbando ye le? Ti jamaano ne ñɔniadaano ye le? U Tienu ki cedi ke ŋanduna yanfuoma kpandi gaadma aa? (aiōn g165)
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn g165)
Ama leni li kuli, leni mi yanfuoma i ke ti tundi yaaba ke bi yama gagdi Kristo ŋɔgkaaba nni. Li yanfuoma ki tie ŋanduna ne yaama, mi gɔ ki tie ŋanduna ne badbijaba yaama; ban wan ba bia bikuli. (aiōn g165)
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn g165)
Ti maadi U Tienu ya yanfuoma i, mi den tie ŋasiili yaama n wuo i, ke u den tuodi ki bobni ti yudandi po ki sua ke ŋanduna da ki ye. (aiōn g165)
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
ŋanduna badbijaba ne, obá naa bani li yanfuoma, bi den kan cedi ke ban kpaa Yudandi Yonbdaano dapɔnpɔnli po. (aiōn g165)
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn g165)
Nilo ṅ da bɔndi o yuli. Nilo ya maali ke o tie yanfodaano ti jamaano ne, wan go tu a gaado, yeni, o baa pia mi yanfuoma. (aiōn g165)
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn g165)
Lani cedi mi jiema po ya ba cedi nilo n ba ti biidin nni, n kan di lan jiema k da tua tantudli n naataanu po. (aiōn g165)
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn g165)
Li bona ba ki bua waani'ti binbigu, ke gɔa diani ki bili yua ba mali ŋanduna juog yogu. (aiōn g165)
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs g86)
M kuuma a paalu ye le i? M kuuma a jatiagu ye le i? (Hadēs g86)
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn g165)
Yeyapo, Liŋaduli tienu juani yaaba ke daani. Yeni bi kan fid k la o tienu laabal yeyema, o kristi yal lan tie o tienu nan nant. (aiōn g165)
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios g166)
Tin ye yayuogune, fala yua ye tipo tie wamu ne, ke bobidi ya kpiagidi n waagidiki goaki pia bigima. (aiōnios g166)
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios g166)
Tin da noa ti nuoa yaali ka, ama tin ya noa tin ke noa yaali yabona n pia minoalima kan wagi, ya bona n ke pia noalima wagidibocienla. (aiōnios g166)
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios g166)
Ti bani ke ti gbannandi. yaali tie nani tingani diegu ne yaa bedii, ti baa pia tanpoli po yaa dieli, Lani n tie mi tagima. Lanya d'Iéna nifosaalo nuu kaa maa. Ama li tie yaa dieli n baa se li bina yeni bina i. (aiōnios g166)
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn g165)
Nani lan diani maama: O yadi o piama a luoda po kelima o tegima ki pia juodima. (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn g165)
O Diedo Jesu Tienu yeni o Báa yua n die ti kpiagdi hali ya yugo n ki pia gbenma, bani ke mii pua tofaama! (aiōn g165)
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
Ŋmei cabi oba i ti biipo i ki fidi ŋaati ti bidi n ni O Tienu Ti ba ya yan buama po i. (aiōn g165)
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
Ŋme nga ticiagidi a bina yen a bina! Ami (aiōn g165)
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios g166)
Yua buli o gbannandi buama, o ba ti yendi o gbannandi yaala i, lani n tie mi kuuma; ama yua n buli mi Foŋanma n bua yaala ba ti yendi mi foŋanma yaala i, lani n tie ya miali n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn g165)
Wani kilisi kaa lankani ki die m diema danba kuli, li bali danba kuli, bi paatieba yeni bi yonmbidaba kuli. O yeli cie yeli kuli yaayogu yene yeni ya yogu baa t cua kuli. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
li yoguni yi bo ŋua ŋanduna sanbiidi yeni ŋanduna tagibiidi bado yua yaa yantiana n suani mɔla u Tienu yiedikaaba pala nni. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
O bo tie lani kuli ki bua waan'ti o ŋanbili n yabi maama kaa pia bianu, hali ya yogu n baa ti cua kelima o ŋanma ti po Yesu kilis nni. (aiōn g165)
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
Min baa sɔni yaala tie ke min waani yuakuli U Tienu n bogindi yaala. Yaala ke U Tieni wuonla hali ke li fagi, hali yaa yognu ke o bo tagi a bona kuli. (aiōn g165)
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
U Tienu bo bogini lani ti po, o bia tieni lani Jesu Kristi tuonli po. (aiōn g165)
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
O yeli po, li pamanli n yaa ye yeni a bina yeni a bina. Amen (aiōn g165)
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn g165)
Kelima tii kɔni yeni yaaba n pia gbanandi yeni sɔma ka ti togidi ki kɔni yeni mi diema danba, yeni li bali paciami danba yeni yaaba n die li biigili ŋandunli badijaba yeni mucicibiadimu yaa mu ye nni fawaama nni. (aiōn g165)
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Mɔla, Ti Báa yeni Ti Tienu ń baa ti kpiagdi li bina yeni li bina. Ami. (aiōn g165)
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
Ban den dɔgni ya mɔmɔni n hali li bina yeni li nifiima, ama ke li ji dɔgdi o niŋanba po, (aiōn g165)
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios g166)
Bi ba pa bi tuonbiadi panli ki fagi leni O Diedo leni o paaciamu yudandi. (aiōnios g166)
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
Ti Diedo Jesu Kiristu yeni U Tienu T Báa, yua buadi ti, ki puni ti ya baagli yeni ya dandanli n ki pia gbenma o ŋanbli po, (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
Ama lanyapo i, ke n baa mi niñingbadma ke li wangi ke mini n cindi ki la Jesu Kiristi ń pia ya juunli. O tieni lani, ke lan tua nannanli yaaba n duu o po hali ya miali n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Mɔlane, ti kpiagdi yeni ti yudandi tie hali ya yognu badciamo, yua ya miali n ki pia gbenma, ban ki nua yua, Tienyendu baba yaadi, li bina yeni li bina, Ami! (aiōn g165)
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios g166)
ŋan kɔni ti dudugdi kɔkɔnmɔnli, ŋan cuo ban yini a ya miali n ki pia gbenma ya po, yaali ya po ke a tieni kasiedimɔno a dudugdi po bi nib boncianli nintuali. (aiōnios g166)
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios g166)
Yua n ye ban kan nandi ya yenma kani, yua ke niloba kuli ki kpeli ki la, ki go kan la halibada, yua n yeni ti yudandi yeni u paaciamu. Ami! (aiōnios g166)
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn g165)
ŋan tundi ŋanduna ne ŋalmandanba ke ban da tie japaadanba, ki go da kuani bi dandanli ya piama n ki pia dugdi po, ama, ban ya daani U Tienu nni, wani yua n puuni ya piamɔnma n pia ti po li pamanli todma. (aiōn g165)
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios g166)
Wan fie'ti k gɔ yin'ti k ti ya ye m foŋanma nni, L ya sua k u tiel'i laa tie ti ya tuona po kaa, ama u den tuodi k bobn i ki dugni o ŋalbalgo po. (aiōnios g166)
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
N gan li maaba kul yen li junl, kilisu yab ya po k o tienu gagd, lan fid bimɔn la ya fabu n yesu kilisu, yen ya kpagidi n ki pia gben yen yal yeg yenl. (aiōnios g166)
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn g165)
Kelima Demasi ŋaani duliña buama po i. O gedi Tesaloniki. Kresansi gedi galati Titi mo gedi dalimati. (aiōn g165)
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn g165)
N yomdaano ba tugi nni ki ya ñandi n ti tuobiadi kuli nni, ki go gaa n i o kpiagidi deni tanpoli naani n ŋani wan ya die ti kpiagidi yognu n tu yognu amina. (aiōn g165)
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
Yen lan fidi bin yaa pia ya mial kaan gbeni. Ya Tienu k puɔ faag den puon ti yal mieli kaan gbel haali yoknu. (aiōnios g166)
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
u falu n yi ced tin ña o tienu mutuolin k go san k fagd yen ŋanuna yab n suan ya tuonbiid n, mola ne wan t ji b fid k yaye ya, yen yem n ŋam k dagd yen ti, k bie gbie yen ya cɔlung k t b tien o tienu. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
O bo tieli li ki dugi k o ŋanbidi po tin mɔ n tua faadiila li manpaanli nni. (aiōnios g166)
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios g166)
klma ŋma ban li ba fid onesimi den paad yena lan fid nan guan k lao yogu kul. (aiōnios g166)
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn g165)
Ama juodi dana yaali ke t ye ne, u Tieenu cedi ke o bijua maadi yeni ti. U Tienu tagi bonli kuli yeni wani. Ke taa'o ke o tie yua ba yenddi bonli kuli. (aiōn g165)
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn g165)
Ama o bijua ya po wani u Tienu maadi; «u Tienu a baa kaa a badkpagili po i u ygu n tuu yogu ke bonli kuli fangi 'a» ke a kubi a badidanbili ki ŋmagidi bi niba yeni t mɔnkundi (aiōn g165)
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
K gɔ maadi tianli kani ke: «fini n tie sala yidikaa yogu n tuu yogu nani mɛlikisedɛki yeni» (aiōn g165)
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
Wan bo sɔni o tuona ya yogu ki gbeni canyiin ke o cedi ke yaaba n bo cɔlini'o kuli la ya fiema k pia gbenma. (aiōnios g166)
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
yeni ya tundili ke b tundi m ñinwulima po, yeni ban yi maani i nugi o nulo po ki jaandi o po yeni yeni bi kpienma fiima. Yeni u Tienu buudi jiama yua pia u lebdu yeni po. (aiōnios g166)
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
ki bandi ŋanduna yua baadi paalu n tie yaali, ki yuandi baa yeni, (aiōn g165)
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn g165)
Lan kani ke Yesu liidi ki kua t po, ki tie sala yidikaa kuliciamo. Mɛkisedɛki sala yidikaadinma sanu nni, ki baa ye yogu n tuu yogu. (aiōn g165)
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Yeni i mɔni li diani u Tienu tili nni ki maaadi ke: «fini n tie sala yidikaa u yogu tuu u yogu nani Mɛlikisedɛki yeni” (aiōn g165)
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
Ama Yesu wani yua bo din'o sala yidikaa bo puon'o ki poli ki maad'o: «mini o yonmdaano npuoni ne ki poli, min yedi yaali lani n ba tieni n kan ban baa lebidi: a baa tie sala yidikaa u yogu n tu yogu.» (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
Ama Yesu bo li fo i yogu kuli ke o sala yiodikaa k pia gbenma yogu n tuu yogu. (aiōn g165)
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Moyisi yiko n ko kaandi sala yidikaaba cianba yaaba bo tie yaaba ba fidi tieni t biidi. Ama Moyisi yiko puoli po. U Tienu maadi ki poli ki kaani o bijua ke o ji baa tie sala yidikaa kuli cianmo yua dagidi yeni wan sɔni o tuonli u yogu tuu yogu. (aiōn g165)
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios g166)
Li ki tie i ŋuabi yeni i ne sɔma ka. Li bo tie yaa sɔma moni ke o bo kua apadiciama kani binli yema. (aiōnios g166)
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios g166)
Be n bo cedi ke o badiciamotuo ki tieni o sɔma o Diedo. O bo mali wan ṅani li mi bɔnma nn i ki kuani ti o Diedo kani? (aiōnios g166)
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios g166)
Lanya po O tie O dɔnŋanmo candanbaanlo. Kelima naani ke i polidi ye, li tie taladi ke ban waani ka cincinli yua kpe. (aiōnios g166)
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn g165)
Nilo kuli ba kpe yenma, lan ya pendi, ti buudi n cua. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn g165)
Li dandanli po, ti tuo ke li ŋanduli den tagi U Tienu buama po wan bua maama. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
Jesu kilisiti tie yenma wonli yeni dinla yeni yaa yogunu kuli. (aiōn g165)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
Mi yanduama Tieni yua n den fiini ti Diedo Jesu bi tinkpiiba siiga wani yua n tie i pe yankpaciamo, kelima o sɔma yaama yaa yogunu kulipo. (aiōnios g166)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Wani n teni yin fidi ki yaa tiendi yaala ŋani kuli. Wani go teni Jesu Kilisiti n yaa baadi ti kpiagidi hali yaa yogunu kuli. Amina. (aiōn g165)
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna g1067)
O lanbu mɔ tie mu, ya ŋandunli n gbie yeni o yinyɔgu, ke jɔgndi o nusaalo gbannandi, ke biidi ti tajenli yenma, ke wan oba mɔnosieni ke ye a maba nni. (Geenna g1067)
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
Kelima i baa li miapaali, ke li naa ñani ya bonbuola n ba dudi kani ka, ama ya bonbuola n ki pia dudma kani; lani n tie U Tienu maama yaama fo, ki baa tundi ki ye hali ya yogu n ki pia gbenma. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)
Ama O Diedo maama tundi ki ye hali li bina yeni li bina. Ke lanya maama tie ban waani yi ya laabaalŋamo yeni i. (aiōn g165)
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Nul ya maad, lan ya tie nan o tienu maam. Nul ya pia o tienu wuol wan ya pial yen ya paalu k o tienu tien lan fid bon kul o tienu ya kpiagd yesu kilisu po. yua die t kpiagd yen o palu abina yen abina, amina. (aiōn g165)
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios g166)
Ya tienu pa kan kul, k yi yi yesu kilisu ciagd yogu kul tu, k l ya po e ba cagni wamu, ko ba te guani k pag yi, k ten yi l junli, opaalu k go tien yi yal ke baa te ŋanmbised. (aiōnios g166)
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Wani pia o paalu yogu kul tuu! amina! (aiōn g165)
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios g166)
Lani k t bu kua t yomdaan Jiesu Kristo diem n. (aiōnios g166)
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō g5020)
kelima u tienu den yabidi meleke ba yaa biid ama o kagdi b po o mubuogu i, k ji guu b buud daali. (Tartaroō g5020)
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
Ama mɔndi mani ki bandi ti yonbidaano Jesu kritu. K o ŋalbaligo yeni o yudandi n cili mɔlane, k da pia juodima. Ami (aiōn g165)
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios g166)
kelima l miali bo wuodi, ki ti la'o ki mɔ ji tie o sida, k muadi l miakangbenl, yua den ye ti baa kan k ti ji la'o. (aiōnios g166)
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn g165)
ŋanduna yen bi niba n niani yaali k li ŋani, ji pendi. Ama yua tie U Tienu n bua yaali wani, baa li ye yogukuli. (aiōn g165)
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios g166)
Wan puoni k o bi ten ti yaali n tie: ya miali ki pia gbema. (aiōnios g166)
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios g166)
Yua ki bua o lielo tie nikpalo, ki bani ki nikpalo ki pia miakangbenli. (aiōnios g166)
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios g166)
U Tienu ń yedi ti yaali n ne: “N puni yi ya miali n ki pia gbenma” Ti baa tundi ki fo, li ya tie ke ti kubni ti bá o Bijua nui nni. (aiōnios g166)
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios g166)
N diani ya tili ne yaaba n dugi ke Jesu tie U Tienu Bijua, lan fidi ki todi yin ya tundi ki ye. (aiōnios g166)
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Ti go bani ke U Tienu Bijua cua ti siiga, ki puni ti u paalu ke tin gbadi i mɔmɔni; ti kubni ti yuli wani yua tie i mɔni U Tienu Bijua, Jesu Kirisiti nui nni. Jesu Kirisiti tie U Tienu leni i mɔni, ke wani n puni ti u paalu ke ti baa ya miali n ki pia gbenma. (aiōnios g166)
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn g165)
U tinu momɔni yua ye yen ti po k gɔ baa ye yen ti yqgu kuli (aiōn g165)
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
O tienu kub, k loliba yogu kul l bonbɔnlin hal l bujial dacianl dal, ya malekin baa na den kub ban pia ya yial. (aïdios g126)
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
S odom nub, gomod yen dogi ku kul yaab po, mon den kua n concom yen cangdi bul kul. l ya po b jii b mɔn ya mu k pia gbem, k b ji sua bonannangu. (aiōnios g166)
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
B nann nan n ñincianma ƙñinguona n lengdi dɔgidi b tuona n pia ya fe k lu t ñinpupudi gbangbanl po, nan ya ŋmabia yaab gɔd k ye yogu kul tuu l bɔnbɔnlin. (aiōn g165)
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
ŋambi kub man o tienubuam k ya guu man ti yomdaano yesu kilisu o ŋamu po, o ba tienti ya mial n k pia gbem. (aiōnios g166)
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)
Otienu yend yua faab ti yen t yomdano yesu kilisu po, wan n pia t ciagd yen ti baad gbengd, o paalu yen yiko, yogu kul, mɔmonlan yen hal mial n kan gben yogu! amina. (aiōn g165)
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
O cedi ke ti tua O Báa U Tienu po salga yidkaaba buolu; Ti yudandi yeni u paaciamu tie O yaali hali ya yogu n ki pia gbenma. Ami! (aiōn g165)
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
yeni yua n fo. N den kpe, ama diidi N fo hali ya yogu n ki pia gbenma! N go kubi mi kuuma yeni bi tinkpiba diema piemi. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn g165)
A bonfuoda ya jaandi ki dondi yua den kaa ti badigbandipo, ki kpiagi o yeli, ki tieni o balga ya yogu kuli, (aiōn g165)
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn g165)
bi nikpelba piilie n bina yeni yi gbaani yua kaa ti badigbandi po yeni nintuali. bi den yi gbaani yua n fo hali ya yogu n ki pia gbenma nintuali, ki cibdi bi badfeglimu ki lu tibadigbandi nintuali ki yedi, (aiōn g165)
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn g165)
N go den gbadi ke tagma kuli yaama n ye tanpoli, ki tinga po, ki tinga tiipo, yeni mi ñincianma nni - yeni yaali n ye kuli - ki maadi ki tua, “Fini yua n kaa ti badigbandi po yeni fini ki pebiga, ń ga a donda, ti kpiagdi, tiyudandi u paaciamu yeni u fidu ki diedi bonli kuli li bina yeni li bina.” (aiōn g165)
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs g86)
Ke n la tantinbengu. o tanjaglo den yii mi kuuma, ke bi tikpiba diema ŋua o. Bi den teni ba u sanu ke ban kpa ki tinga niba bɔgdma na, yeni ki jugsiega, mi koma, u yianu yeni ki tinga po bonfuodbiada. (Hadēs g86)
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn g165)
ki tua, “Ami! Ti Tienu n die ti kpiagdi, ti yudandi, mi yanfuoma, balga, li seli, u paaciamu yeni u fidu hali ya yogu n ki pia gbenma! Ami!” (aiōn g165)
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
Ke o malekimuulo piebi o naatunli, ke n la ke ŋmaabiga ñani tanpoli ki baá ki tinga po Bi den teni ga ki kpientinga caañuangu piemi. (Abyssos g12)
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos g12)
Ke ki luodi ki kpientinga caañuangu, ke ya muñii n tuoni begibegi ña u caañuangu nni nani u maafanu nni yeni. Ke u yienu yeni mi faama ga ki bɔndi yeni ku kpienbuogu muñii. (Abyssos g12)
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos g12)
Bi badciamo den tie ki kpientinga nni caañuangu maleki i. O yeli Ebrewu maama nni tie Abadɔn, Gileki maama n mo Apoliyɔn. (Abyssos g12)
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn g165)
O den poli yua n fo hali ya yognu n ki pia gbenma yeli po, yua tagi tanpoli yeni yaali n ye lipo, ki tagi ki tinga yeni yaali n ye kipo, ki tagi mi ñincianma yeni yaali n ye mi niinni kuli, maleki den yedi, “Li ji kan waagi (yognu bakuli ji ki ye”. (aiōn g165)
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
Bi ya tieni bi kasiedi ki gbeni, ki yanbiadga yagi n ba ña ki kpientinga buoñuangu nni ba pua bu tɔbu yeni ba, ki paadi ba, ki kpa ba. (Abyssos g12)
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
O malekileleedo den piebi o naatunli, ke u nialciamu ñani tanpoli ki yedi, “Ki tinga badciamo diema ji tua ti Diedo yeni o Kiristi diema i. O baa diedi ma hali ya yognu n ki pia gbenma” (aiōn g165)
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios g166)
N den la maleki tiano, ke o yugi hali tanpoli, o den pia ya laabaalŋamo n ki pia gbenma hali ya yognu kuli tondu, ki bua waani yaaba n ye ki tinga po, diema kuli, nibuoli kuli, maabuoli kuli yeni dogi kuli yaaba. (aiōnios g166)
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn g165)
Bi fala munii do ki ña hali ya yognu n ki pi gbenma, ke baa pia fuodma yienu yeni ñiagu kuli, bani yaaba n gbaani ki pugi ki yanga yeni ki nannanli yeni ya nilo n li ga o yeli maalma kuli. (aiōn g165)
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn g165)
A bonfuodnaada yeni nni yendo den teni malekinba lele yeni wula tadbuomu lele ke mu gbie yeni U Tienu yua fo hali ya yognu n ki pia gbenma pabienli. (aiōn g165)
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos g12)
ŋan nua ya yanbiadga ne bo ye, ama ki ji ki ye mɔlane, ama ki go ba ña ya buogu n ñua, kaa pia bianu nni, ki do ki guani ki ya ye. Ki ba guani ki tugni mi bolima sanu. Yaaba n kua ki tinga po, yaaba ya yela n ki diani li miali tili nni hali ban tagi ŋanduna, ya la ya yanbiadga n den ye, ki ti bodi, ki go bobindi ki ba guani, li ba cuo ba ku yaalidgu boncianla. (Abyssos g12)
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
Bi go den yedi mi liema: “Aleluyaa! O muñii ña ki do hali ya yognu n ki pia gbenma” (aiōn g165)
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Bi den cuo ki yanbiadga yeni mi tofaama sawapuaba yaaba n den tiendi yaalidgu bona ki nintuali. Ki den taa li yaalidgu maalma i ki tulni yaaba n den tuo ki ga ki yanbiadga maalma, ki go gbaani ki pugi o nannanli. Bi den luni bani bilie kuli ya mubuogu n pia cidbili nni, ke bi dá fo. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
N go den la maleki ke o ñani tanpoli ki jii. O den kubi ya fañuangu n ki pia banlu piemi, ki muubi i kudseseli. (Abyssos g12)
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos g12)
O den tudi ki luni o u fañuangu nni, ki luoni ki kpali. wan baa ye naani ki ji da bɔndi ki tulni i nibuoli hali bina tudli. Lanya puoli po, bi ba luodi ki ŋa o wan tieni u yogu waamu. (Abyssos g12)
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bi den luni mi tofaama yudaano yua n den bɔndi ki tulni ba yeni u mukpenu nni naani ke cidbili co, ban den luni ki yanbiadga yeni mi tofaama sawalpuaba naani yeni. Bi baa laadi falaciamo yienu yeni ñiagu kuli hali ya yognu n ki pia gbenma. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs g86)
Mi ñincianma den cedi ke ya tinkpiba n ye mi niinni ñani. Mi kuuma yeni ki kpientinga mo cedi ke yaaba bi niinni mo ñani; bi den buu bi tinkpiba ke li cɔlni yuakuli ń tieni yaali o yema nni. (Hadēs g86)
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bi den tudi ki luni mi kuuma yeni ki kpintinga u mukpenu nni. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Ban den diidi kaa la yaaba ya yela L Miali Tili nni kuli, bi den luni ba u mukpenu nni i. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Ama bi jawaandanba, yaaba n ki dugi n po, ti cancagindi danba, a nikpala, a concona, ti ñɔgibiidi danba, yaaba n ŋa i buli, yeni bi tofaadanba kuli, bi ya yekaanu baa tie u mukpenu, naani ke cidbili co. Lani n tie mi kuuliema.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
Ñiagu ji kan ya ye; bi ji kan ye bua fidsanga bii yienu yenyenma, kelima O Diedo U Tienu baa yendi ba. Bi baa die boli kuli hali ya yognu n ki pia gbenma. (aiōn g165)

SWN > Aionian Verses: 264
GMB > Aionian Verses: 200