Aionian Verses
Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol )
All of his children came to try to comfort him, but he did not pay attention to what they said. He said, “No, I will still be mourning/crying when I die and go to be with my son.” So Joseph’s father continued to cry because of what had happened to his son. (Sheol )
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol )
But Jacob said, “No, I will not let my son go down there with you. His [older] brother is dead, and he is the only [one of my wife Rachel’s] sons who is left! If something harms him while you are traveling, you would cause me, a gray-haired old man, to die because of sorrow.” (Sheol )
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol )
I am an old gray-haired man. If you take this other one from me, too, and something harms him, you would cause me to die because of my sorrow.’ (Sheol )
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol )
If he sees that the boy is not with us when we return to him, he will die. We will cause our gray-haired father to die because of his sorrow. (Sheol )
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol )
But if Yahweh does something that has never happened before, if he causes the ground [that is under their feet] to open up and swallow these men [and their families] and all their possessions, and they fall into the opening and are buried while they are still alive, then you will know that these men have insulted Yahweh.” (Sheol )
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol )
They fell into the opening in the ground while they were still alive, and all their possessions fell into the opening also. They disappeared, and the ground closed back up again. (Sheol )
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol )
I will be very angry, and I will destroy them like a fire that will burn on the earth and all the way down to the place where dead people are [MET]; that fire will destroy the earth and everything that grows on it, and it will even burn what is down under the mountains. (Sheol )
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol )
Yahweh, you cause some people to die, and you restore some people who are almost dead. For some people, [it seems that they will soon] go to where the dead people are, but you cause them to become healthy again. (Sheol )
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol )
I thought that I would die; it was as though death wrapped ropes around me; it was as though I was in a trap where I would surely die. [PRS, MET] (Sheol )
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol )
Because you are wise, do to him what you think is best [for you to do], but do not allow him to become old [MTY] and then die [IDM] peacefully. (Sheol )
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol )
But now you must [LIT] surely punish him. You are a wise man, so you will know what you should do to him. He is an old man [MTY], but be sure that he [loses/sheds] a lot of blood when you kill him [MTY].” (Sheol )
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol )
Like [SIM] clouds (disperse/break up) and then disappear, people [die and] descend to the place where dead people are, and they do not return; (Sheol )
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol )
[What there is to know about God] is greater than [the distance from earth to] heaven; so there is no way [RHQ] that you can [understand it all]. It is greater than [the distance from here to] the place of the dead; so it is impossible for you [RHQ] to know it all. (Sheol )
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol )
[“Yahweh, ] I wish that you would put me safely in the place of the dead and forget about me until you are no longer angry with me. I wish that you would decide how much time I would spend there, and then remember [that] I [am there]. (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
If my home will be the place where dead people are, where will I sleep in the darkness? (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )
After I descend to the place where the dead are, (will I be able to confidently expect anything good there?/I certainly will not be able to confidently expect anything good there.) [RHQ] [It will be as though] [RHQ] I and the things I hope for will descend with me into the dust [where the dead are].” (Sheol )
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
Wicked people enjoy having good things all the time that they are alive, and they die quietly/peacefully and go down to the place of the dead. (Sheol )
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol )
Just like the snow melts away when it is hot and there is no rain, those who have sinned disappear into the place where dead people are. (Sheol )
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol )
God knows all about [those who are in] the place of the dead; there is nothing down there that prevents God from seeing what is there. (Sheol )
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol )
I will not be able to praise you after I die [RHQ]; No one in the place of the dead praises you. (Sheol )
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol )
Wicked people will all [die and] be buried in their graves, and [their spirits] will go to be with all those who have (forgotten about/rejected) you. (Sheol )
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol )
because you, Yahweh, will not allow my soul/spirit to remain in the place where the dead people are; you will not allow me, your godly one, to stay there. (Sheol )
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol )
[It was as though] the place where dead people are had ropes that were wrapped around me, or [it was as though] there was a trap [MET] that would [seize and] kill me. (Sheol )
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol )
You saved/restored me when I was dying [MTY]. I was nearly dead, but you caused me to get well again. (Sheol )
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol )
Yahweh, I call out to you, so do not allow me to be disgraced. I desire that wicked people will be disgraced; I want them to [soon die and] go down to the place where the dead people are. (Sheol )
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol )
They are certain to die just like sheep, when a shepherd leads them away to be slaughtered. [PRS, MET] In the morning righteous people will rule over them, and then [those wealthy people will die and] their bodies will quickly decay in their graves; they will be where dead people are, far from their homes. (Sheol )
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol )
But it is certain that God will rescue me so that I am not kept in the place of the dead. (Sheol )
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol )
I desire/hope that my enemies will die suddenly; while they are still young, cause them to go down to the place where the dead people are. They they think evil things. (Sheol )
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol )
You faithfully love me very much; you have prevented me from [dying and going to] the place where dead people are. (Sheol )
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol )
I have experienced many troubles/difficulties, and I am about to die [MTY] and go where dead people are. (Sheol )
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol )
No one can [RHQ] keep on living and never die; (No one can [RHQ] avoid going/Everyone will go) to the place of the dead. (Sheol )
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
Everything around me [MET] caused me to think that I would die; I was very afraid that I would [die and go to] the place where dead people are. I was very distressed/worried and afraid. (Sheol )
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol )
If I went up to heaven, you would be there. If I lay down in the place where the dead people are, you would be there. (Sheol )
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol )
Like a log that is split and cut into small pieces [SIM], their shattered bones will be scattered [on the ground] near [other] graves. (Sheol )
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol )
We will kill them [HYP] and get rid of them completely, [just] like [people who are buried in] graves are gone forever. While they are in good health, we will send them to the place where dead people are. (Sheol )
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol )
If you go where she goes [MTY], you will go down to where the dead people are. Her steps will lead you straight to the grave. (Sheol )
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
The road to her house is the road to the grave. Those who enter her bedroom [PRS] will die as a result. (Sheol )
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol )
But men who go to those women’s houses do not know that those who have gone there are now dead; they have descended down into the deepest parts of the place where dead people are. (Sheol )
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol )
Yahweh knows [what is happening in] the place where dead people [DOU] are, so he certainly knows [RHQ] what people are thinking. (Sheol )
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol )
Wise people walk on a road that leads up to a long life; they do not walk on a road that leads down to the place where dead people are. (Sheol )
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol )
and it may save them from [going to] the place where dead people are. (Sheol )
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol )
[It is as though] the place where the dead people are is always wanting more people to [die and] come there; and humans [SYN] are always wanting to acquire more things, [too]. (Sheol )
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol )
The place where the dead people are; women who do not have any children; ground that needs water/rain; and a fire that always needs more wood. (Sheol )
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol )
Whatever you are able to do, do it with all your energy, because [some time you will die], and in the place of the dead where you are going, no one works or plans to do anything or knows anything or is wise. (Sheol )
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
Keep me [close to you], like [SIM] a seal on your heart, [or] like [SIM] a bracelet on your arm. Our love [for each other] is as powerful as death, it is as enduring as the grave. [It is as though] our love [for each other] bursts into flames and burns like a hot fire. (Sheol )
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol )
[It is as though] [PRS] the place where the dead people are is eagerly looking for more Israeli people, opening its mouth to swallow them, and a huge number of people will be thrown into that place, including their leaders as well as a noisy crowd of people who enjoy living in Jerusalem. (Sheol )
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol )
[He said to tell him], “Request me, Yahweh your God, to do something that will enable you to be sure [that I will help/protect you]. What you request can be [from a place that is] as high as the sky or as low as the place where the dead people are.” (Sheol )
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol )
The dead people are [PRS] are eagerly waiting for you to come to the place where they are. The spirits of the world leaders will be delighted to welcome you; those who were kings of many nations [before they died] will stand up [to welcome you]. (Sheol )
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol )
You were very proud and powerful, [but all] that ended when you died, along with the sounds of harps [being played in your palace]. [Now in your grave] maggots will be under you [like a sheet] [MET], and worms will cover you [like a blanket] [MET]. (Sheol )
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol )
[But you were not able to do that]; instead, you were carried down to your grave, and you went to the place where the dead people are. (Sheol )
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol )
You [boast] saying, “We have made an alliance with [the leaders of Egypt], so we will not be killed [in battles]; we will never go to the place where the dead people are. When the [army of Assyria] attacks us, they will never defeat us, because we have made [an agreement with Egypt] to protect us!” [But that agreement consists of] a lot of lies [DOU]. (Sheol )
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol )
I will annul/destroy the agreement that you made [with the leaders of Egypt]. You thought that [because of that agreement] you would not be killed, and you would not go to the place where the dead are. [But] when the vast [army of Assyria] overwhelms you like a flood, they will trample you into the ground. (Sheol )
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol )
I thought to myself, “Is it necessary for me to die and go to the place where the dead people are during this time of my life when I am still strong? Is Yahweh going to rob me of the remaining years that I [should live]?” (Sheol )
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol )
Dead people [MTY] cannot praise you; they cannot sing to praise you. Those who have descended to their graves cannot confidently expect you to faithfully [do things for them]. (Sheol )
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol )
You have given [fragrant] oil and lots of perfume to your god Molech, and you sent messengers to distant countries [to find other gods to worship]; you [even tried to] send [messengers] to the place of the dead [to search for new gods]. (Sheol )
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol )
This is what I, Yahweh the Lord, say: ‘When that great tree was cut down, [it was as though] the springs that watered it mourned for it, because I caused the plentiful water [from the springs] to dry up. I caused [the mountains in] Lebanon to become black, and all the trees there to wither. (Sheol )
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol )
I caused the people of other nations to tremble when they heard that tree fall to the ground. [They realized] that it would decay, like all people who die and are buried decay. And all the [leaders of other countries represented by] other beautiful trees in my garden in Eden and in Lebanon, were like beautiful trees [that were very proud]. They were ones which had roots that grew down deep into the [ground where there was plenty of] water. They were comforted when [the king represented by] [MET] that cedar tree was there with them in the place where the dead people are. (Sheol )
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol )
The [leaders of other countries represented by] [MET] trees that grew in the shade of the huge tree, [the allies of] the great nation [that the cedar tree represents], had also joined those who had been killed by the sword and gone down to where the dead people are. (Sheol )
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol )
In the place where the dead people are, mighty leaders [of other countries] will [make fun of the people of Egypt] and say, “They have come here to lie with us godless people who were killed by our enemies’ swords!”’ (Sheol )
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol )
They will surely [RHQ] not be buried honorably like the soldiers who have died, whose shields were buried with their corpses, whose swords were placed on their skulls in the graves. While those godless people were alive, they had caused many people in the land to be terrified, so they were punished for their sins. (Sheol )
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol )
I certainly will not [RHQ] save you from being killed and from going to the place where the dead people are. I will [RHQ] cause you to be afflicted by plagues and to die and be buried in graves. I will not be merciful [to you]. (Sheol )
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol )
If they dig deep pits in the ground, or if they try to climb up to the sky [in order to escape], I will reach out and grab them. (Sheol )
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol )
Jonah said, “Yahweh, when I was greatly distressed [here], I prayed to you, and you heard what I [prayed]. When I was [about to descend way down into] the place where dead people go, you heard me when I called out [for you to help/save me]. (Sheol )
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol )
If people [trust in their wealth], they will deceive themselves, and proud people are never able to rest. [It is as though] the greedy people [of Babylonia open their mouths] as wide as the place where dead people are, and they never have enough, like [the place where] dead people go never has enough dead people [PRS]. The [armies of Babylonia] conquer many nations for themselves, and capture all their people. (Sheol )
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna )
But what I say to you is this: [If you are] angry with someone, [God] will judge you. If you say to someone, ‘[You are worthless],’ the Jewish Council will judge you. If you [hate someone], and say to them 'You fool!' you. yourself, will be in danger of being thrown into the fires in hell. (Geenna )
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
If because of what you see [MTY] you [are tempted to] sin, [stop looking at those things! Even if you have to] gouge out one of your eyes and throw it away [HYP] [to avoid sinning, do it!] It is good [that you not sin and] as a result [go to heaven, even though while you are still here on earth] you lack one [or both of] your eyes. But it is not good [that you continue to have two eyes and sin and, as a result, God] sends your whole body to hell. (Geenna )
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna )
If you are [tempted to] use one of your hands to sin [MTY], [stop using your hand. Even if you have to] cut your hand off and throw it away [to avoid sinning, do it] [HYP]! It is good [that you do not sin and as a result you go to heaven, even though while you are still here on earth] you lack one [or both] of your [hands]. But it is not good [that you sin and, as a result, God] sends your whole body to hell.” (Geenna )
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna )
Do not be afraid of people who [are able to] kill your body [SYN] but are not able to destroy your soul. Instead, fear [God because] he is able to destroy both a [person’s] body and a [person’s] soul in hell. (Geenna )
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs )
[also have something to say to] you [people who live in] Capernaum [city] [MTY]. (Do not [think that] you will be honored {that [God] will honor you} in heaven!/Do you think that you will be honored {that [God] will honor you} in heaven?) [RHQ] [That will not happen! On the contrary, after you die, you will be sent] {[God] will send you} down into the place where [sinful people] will be punished {he will punish sinful people} [forever. God destroyed the ancient city of] Sodom [because the people who lived in that city were extremely wicked]. If I had performed in [Sodom the miracles that I performed in your city, the people there would have turned away from their wicked behavior and] their [city] [MET] would still exist now [MTY]. But you, [although I did miracles in your city, you did not turn from your wicked behavior]. (Hadēs )
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn )
[God is willing to] forgive people who criticize [me], the One who came from heaven. But I [warn you that] those who say evil things about what the Holy Spirit [does] will not be forgiven {[God] will not forgive people who speak evil words about what the Holy Spirit [does]}. They will not be forgiven {[He] will not forgive them} now, and they will never be forgiven {[he] will never forgive them}.” (aiōn )
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn )
[Some people are like the soil that had the roots of] thorny [weeds] in it. They hear God’s message, but they desire to be rich, [so they] worry [only] about [MTY, PRS] material things. As a result, they [PRS] forget [God’s] message, and they do not do [IDM] the things that God wants them to do. (aiōn )
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn )
The enemy who sowed the weed seeds represents the devil. The [time when the reapers will] harvest [the grain] represents the time when the world will end. The reapers represent the angels. (aiōn )
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn )
The weeds are gathered and burned. {The reapers gather the weeds. Then they burn them.} That represents [the judging of people, which God will do] when the world will end. [It will be like this]: (aiōn )
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn )
[What they did in separating the good fish from the bad ones] is like [what will happen to people] when the world ends. The angels will come [to where God is judging people], and will separate the wicked [people] from the righteous [ones]. (aiōn )
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs )
I will also tell you this: You are Peter, [which means rock]. [You are like] a rock. What you [and your fellow apostles teach] (OR, [what] you [do]) [will be like a foundation on which I] will create congregations of people who [believe in] me. And the demons [PRS], [who live] where the dead people who lived evil lives are, will not be able to [come and] prevent [MET] [me from doing] that.” (Hadēs )
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios )
So, if you [are wanting to use] one of your hands or feet to sin, [stop using that hand or foot! Even if you have to] cut it off [to avoid sinning, do it] [MET]! It is good [that you not sin and] go where you will live [with God eternally, even though while you are still here on earth] you are maimed or lame and do not have a hand or a foot. But it is not good that you continue to have your two hands and two feet [and do] [MTY] [the sinful things you want to, and as a result], you are thrown into [hell], where there is eternal fire burning. (aiōnios , questioned)
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna )
If what you see you [makes you want] to sin, [stop looking at those things! Even if you have to] gouge out one of your eyes and throw it away [to avoid sinning, do it] [HYP]! It is good [that you not sin and] go where you will live [with God eternally, even though while you are still here on earth] you have only one eye. But it is not good that you continue to have your two eyes [and do the sinful things you want to, and as a result], you are thrown {God throws you} into hell where there is eternal fire burning.” (Geenna )
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios )
[As Jesus was walking along, a young] man approached him and said [to him], “Teacher, what good [deeds] must I do in order to live [with God] eternally?” (aiōnios )
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios )
[God will reward] those who, because of being my [disciples], have left [behind] a house or plot of ground, [their] brothers, [their] sisters, their father, their mother, their children, [or any other family] [MTY] [members]. [God] will give them 100 times [as many benefits as they have given up]. And they will live [with God] eternally. (aiōnios )
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn )
He saw a fig tree near the road. [So he went over to it to pick some figs to eat]. But when he got close, he saw that there were no [figs on the tree]. There were only leaves on it. So [to illustrate how God would punish the nation of Israel], he said to the fig tree, “May you never again produce figs!” As a result, the fig tree withered that night. (aiōn )
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna )
“You are hypocrites, you men who teach the [Jewish] laws and you Pharisees! Your punishment will be terrible, because you exert yourselves very much to get [even] one person to believe what you teach. For instance, you travel across seas and lands [to distant places] in order to do that. And [as a result], when one person [believes what you teach], you make that person much more deserving to go to hell than you yourselves [deserve to].” (Geenna )
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna )
[You people are so wicked] You are [as dangerous as poisonous] snakes [DOU, MET]! (You [foolishly] think that you will escape being punished in hell!/Do you [foolishly] think that you will escape when [God] punishes [wicked people] in hell?) [RHQ] (Geenna )
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn )
[Later], as Jesus was sitting alone on [the slope of] Olive [Tree] Hill, [we] disciples went to him and asked him, “When will this happen [to the buildings of the Temple? Also, tell us what will happen to indicate that you are about to] come again, and [to indicate] that this world is ending?” (aiōn )
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios )
Then I will say to those on my left, ‘You people who have been cursed [by God] {whom God has cursed}, leave me! Go into the eternal fire that God has prepared for (the devil/Satan) and his angels! (aiōnios )
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios )
Then those people [on my left] will go away to the place where [they] will be punished {[God] will punish them} eternally, but the righteous people will go to where they will live forever [with God].” (aiōnios )
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn )
Teach them to obey everything that I have commanded you. And remember that [by the Spirit] I will be with you always, until the end of [this] age.” (aiōn )
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn , aiōnios )
But if anyone speaks evil words about what the Holy Spirit [does], [God] will never forgive that. That person’s guilt will remain with him forever.” (aiōn , aiōnios )
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn )
they desire to be rich, and they desire to own many other things. So they worry [only] about material things. The result is that they forget [God’s] message and they do not do [the things that God wants them to do]. (aiōn )
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna )
[So], if you are [wanting to use one of] [MTY, PRS] [your hands to sin, stop using your hand! Even if you have to] cut your hand off and throw it away [to avoid sinning, do it] [HYP]! It is good that you not sin and that you live eternally, [even though you lack one of] your hands [while you are here on earth]. But it is not good that you sin and as a result God throws your whole body into hell. There the fires never go out! (Geenna )
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna )
If you are [wanting to use] one of [PRS] your feet to sin, [stop using your foot! Even if you have to] cut off your foot [to avoid sinning, do it] [HYP]! It is good that you not sin and live eternally, [even though] you lack one of your feet [while you are here on earth]. But it is not good that you sin and go to hell. (Geenna )
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna )
If because of what you see [MTY, PRS] you are tempted to sin, [stop looking at those things]! Even if you have to gouge out your eye and throw it away [HYP] [to avoid sinning, do it! It is good that you not sin and live eternally, even though you lack one of] your eyes [while you are here on earth]. But it is not good that you sin and, as a result, God puts your whole body in hell. (Geenna )
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios )
As Jesus was starting to travel [again with his disciples], a [young] man ran up to him. He knelt before Jesus and then he asked him, “Good teacher, what must I do to have eternal life/in order to live [with God] eternally?” (aiōnios )
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn , aiōnios )
will receive in this life 100 times as much [as they left behind. That will include houses and people as dear as] brothers and sisters and mothers and children, and plots of ground. Furthermore, although people will persecute them [here on earth because they believe in me], in the future age [they] will ([have] eternal life/live [with God] eternally). (aiōn , aiōnios )
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn )
[But to illustrate how God would punish the nation of Israel, ] he said to the tree, “No one shall ever eat from you again [because you will no longer bear figs].” The disciples heard what he said. (aiōn )
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn )
He will be the King of [the] Jews, the descendants [MTY] of [your ancestor] Jacob, forever. He will rule as king forever!” (aiōn )
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn )
He promised to Abraham and all our other ancestors who descended from him that he would act mercifully toward them forever.” (aiōn )
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn )
Long ago God caused his prophets to say that he would do that. (aiōn )
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos )
[The demons] kept begging [Jesus] that he would not command them to go into the deep place [where God punishes demons]. (Abyssos )
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs )
[I also have something to say to] you [people who live in] Capernaum [city]. (Do not [think that you will be honored] {[that God] will honor you} in heaven!/Do you [think that you will be honored] {[that God] will honor you} in heaven?) [RHQ] [That will not happen! On the contrary], [after you die, God] will send you down to the place where [sinful people] will be punished [forever]!” (Hadēs )
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios )
[One day as Jesus was teaching people], a man was there who had studied carefully the laws that [God gave Moses]. He wanted to ask Jesus a difficult question. So he stood up and asked, “Teacher, what shall I do in order to live [with God] forever?” (aiōnios )
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna )
But I will warn you about the one that you should truly be afraid of. You should be afraid of [God], because he not only has [the power to] cause people to die, he has the power to throw them into hell afterward! Yes, he is truly the one that you should be afraid of! (Geenna )
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn )
When his master [heard what the manager had done], he admired the dishonest manager for the clever thing he had done. [The truth] is that the ungodly people in this world act more wisely toward other people than godly people [MET] act. (aiōn )
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios )
[So] I tell you [(pl)] this: Use the money that you have [here] on earth to help others so that they will become your friends. Then when [you die and] you cannot [take] any money with you, [God and his angels] will welcome you into a home [in heaven] that will last forever. (aiōnios )
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs )
In the place where dead people wait [for God to judge them], he was suffering great pain. He looked up and saw Abraham far away, and he saw Lazarus sitting close to Abraham. (Hadēs )
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios )
A [Jewish] leader asked [Jesus], “Good teacher, what shall I do in order to have eternal life?” (aiōnios )
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn , aiōnios )
will receive in this life many times as much [as they left]. And in the future age they will (live eternally [with God]/ have eternal life).” (aiōn , aiōnios )
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn )
Jesus replied to them, “Men who live here in this world take wives, or are given wives [by their parents] {their [parents] choose wives [for them]}. (aiōn )
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn )
But the men whom God considers worthy of [being in heaven after] they become alive again will not be married. (aiōn )
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios )
As a result, everyone who believes/trusts in me will have eternal life.” (aiōnios )
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios )
God loved us people [MTY] in the world so much that he gave his only Son [as a sacrifice for us], in order that everyone who believes in him would not be separated from God forever. Instead, they would have eternal life. (aiōnios )
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios )
Those who trust in [God’s] Son have eternal life. But those who reject God’s Son will never have [eternal] life. Instead, God is angry with them [and he will surely punish them]. (aiōnios )
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn , aiōnios )
But those who drink the water that I will give them will never be thirsty again. On the contrary, the water that I give them will become in their inner beings like a spring of water that will enable them to have eternal life.” (aiōn , aiōnios )
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios )
[If you help them to accept my message], I will reward you [MET], [as an owner of a field] pays those who harvest the crops. Because of your work, people will gain eternal life.’ [I have been telling people God’s message. That is like] [MET] a man who plants seeds. [You will help people to accept my message. That will be like] [MET] harvesting crops. [When that happens], both you and I will rejoice. (aiōnios )
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios )
Listen to this carefully: Those who hear my message and believe that [God] is the one who sent me have eternal life. [God will] not (condemn them/say that he will punish them). They are no longer separated from God. Instead, they have [eternal] life. (aiōnios )
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios )
You carefully study (OR, Study) the Scriptures, because you think that by [studying] them you will [find the way to] have eternal life. And those Scriptures tell people about me! (aiōnios )
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios )
Stop desiring food that will soon spoil! Instead, desire to get [spiritual] food that will last forever! Yearn for eternal life! That is what I, the one who came from heaven, will give you. God [my] Father has shown that he approves of me [enabling me to do that].” (aiōnios )
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
[Long ago in the desolate area when those who were bitten by snakes looked at the bronze replica of a snake, they were healed] [MET]. What my Father wants is that [similarly] everyone who looks at [what] I [have done] and believes in me will have eternal life. I will cause them to become alive again (on the last day/on the day [when I judge everyone]) [MTY].” (aiōnios )
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios )
Listen to this carefully: Everyone who believes ([my message/in me]) has eternal life. (aiōnios )
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn )
I am the one who came down from heaven to enable people to have [spiritual] life. If people take what I will give them, they will live forever. What I will give them is my flesh, which I will give to [all the people in] [MTY] the world in order that they may have [spiritual] life.” (aiōn )
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios )
Those who eat my flesh and drink my blood have eternal life, and I will cause them to become alive again at (the last day/the [judgment] day), (aiōnios )
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn )
[I am] the true bread that came down from heaven. Although our ancestors ate [manna], they [later] died [anyway]. But those who eat this bread will live forever.” (aiōn )
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios )
Simon Peter replied to him, “Lord, [we] will not [leave you], [because] (there is no other person [like you] to whom we can go!/what other person is there like [you] to whom we can go?) [RHQ] You have the message about eternal life! (aiōnios )
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn )
A slave is not a permanent member of a family. But a son is a member of a family forever. [Similarly, you say you are members of God’s family because you are descendants of Abraham, but really, because you are like slaves of your sinful desires, you are no longer permanent members of God’s family]. (aiōn )
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn )
But the truth is that anyone who obeys what I say will never die!” (aiōn )
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn )
Then the Jewish [leaders] [SYN], [thinking that he was talking about ordinary death and not about spiritual death], said to him, “Now we are sure that a demon [controls] you! Abraham and the prophets died [long ago]! But you say that anyone who obeys what you teach will never die! (aiōn )
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn )
No one has ever enabled a man to see who was blind when he was born [like I was]. That has never happened since the world began! (aiōn )
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn , aiōnios )
I will give them eternal life. No one will separate them from me, not ever. No one shall ever pull them away from belonging to me. (aiōn , aiōnios )
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn )
Furthermore, all those who believe in me while they are alive, [their souls] will not die [forever]. Do you believe that?” (aiōn )
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios )
Anyone who strongly wants to keep on living [here on earth] will surely lose his life forever. But anyone who is willing to die [HYP] [for my sake] will surely gain eternal life. (aiōnios )
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn )
[Someone in] the crowd answered him, “We understand from the Scriptures that the Messiah will live forever. So why do you say that the one who came from heaven, [who is the Messiah], will be lifted up {that [men] will lift up the one who came from heaven, [who is the Messiah], } on a cross? What kind of man who came from heaven are you [talking about]? (OR, That’s not the [kind] of Messiah [we are expecting]!)” (aiōn )
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios )
I know that [paying attention to] what he has instructed us [leads to] eternal life. So whatever I say is exactly (OR, only) what [my] Father has told me to say.” (aiōnios )
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn )
Peter said, “I will never, ever, [allow you to] wash my feet!” Jesus replied to him, “If I do not wash you, you cannot continue (to be my [disciple/to belong to] me).” (aiōn )
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn )
Then I myself will request [my] Father, and he will send you someone else who will (encourage/be like a legal counsel for) you. (aiōn )
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios )
You gave me authority over all people, in order that I might enable all those whom you chose [to come] to me to live eternally. (aiōnios )
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios )
[The way for people] to live eternally is for them to know that you are the only true God, and to know that [I], Jesus, am the Messiah, the one you have sent. (aiōnios )
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs )
You will not allow my spirit to remain in the place where the dead are. You will not [even] let my body decay, [because] I am devoted to you and always obey [you]. (Hadēs )
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs )
David knew beforehand [what God would do], so he [was able to] say that God would cause the Messiah to live again [after he died]. He said that God would not let the Messiah remain in the place of the dead, nor let his body decay.” (Hadēs )
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn )
Jesus must stay in heaven until the time when God will cause all that he has created to become new. Long ago God promised [to do that, and] he chose holy prophets to tell [that to people]. (aiōn )
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios )
Then, speaking very boldly, Paul and Barnabas said [to those Jewish leaders], “[We two] had to speak the message from God [about Jesus] to you [Jews] first [before we proclaim it to non-Jews, because God commanded us to do that. But] you are rejecting God’s message. [By doing that], you have shown that you are not worthy (to have eternal life/to live eternally [with God]). [Therefore], we are leaving [you, and now we] will go to the non-Jewish people [to tell them the message from God]. (aiōnios )
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios )
While the non-Jewish people were listening [to those words], they began to rejoice, and they repeatedly said that the message about the Lord [Jesus] was wonderful. And all of the non-Jewish people whom [God] had chosen (to have eternal [life/to live eternally with God]) believed [the message about the Lord Jesus]. (aiōnios )
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn )
I [caused my people to know about them] long ago.” (aiōn )
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios )
[People] cannot see what God is like. But ever since he created the world, by means of what he created he has clearly revealed what he is like. He has made clear to everyone that he has always been able to do very powerful things. [Therefore, we should recognize that] God is powerful, [completely different from all that he created]. So no one has a basis for saying, [“We never knew about God].” (aïdios )
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn )
Also, they [chose to worship] false [gods] instead (of admitting/of choosing to believe) what is true [about] God. They worshipped and served things [that God] created instead of [worshipping and serving God himself], the one who created [everything. They did this even though] he [deserves that those he created] would forever praise him. Amen!/May it be so! (aiōn )
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
[Specifically], some people, by continuing to doing good things, strive to be highly honored [by God] [DOU] and to receive a life that will not end. [God will reward them by enabling them] to live forever. (aiōnios )
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios )
He did that in order that just like people everywhere inevitably sin, [which results in their] dying [MET, PRS], people everywhere might inevitably experience God’s acting kindly towards them in a way they do not deserve [MET, PRS] by [erasing the record of their sins]. [The result is that people can] live eternally because of what Jesus Christ our Lord [did for them]. (aiōnios )
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios )
But you have been freed {[God] has freed you} from [letting the desire to] sin control you. You have become [as though you are] [MET] the slaves of God. So now the result is that God has caused you to completely belong to him and, as a result, you will live eternally. (aiōnios )
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
[What people receive for] sinning [is that they are] eternally separated from God. That is [like] wages that [people receive] [MET]. But what God gives us is a gift. What he gives us is that we live eternally because of [our relationship with] (OR, because [we are united to]) Christ Jesus our Lord. (aiōnios )
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
It was our ancestors, [Abraham, Isaac, and Jacob, whom God chose to found our nation]. And, [most importantly], it was from us Israelites that the Messiah received his human nature. [Nevertheless, most of my fellow Israelites have rejected Christ], who is the one who controls all things! He is God, the one who is worthy that we praise him forever! This is true! (OR, Amen!) (aiōn )
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos )
“Or [you should not think inwardly], ‘(Someone will have to go down and enter the place where [the spirits] of dead persons are!/Who will go down and enter the place where [the spirits] of dead persons are?)’ [RHQ]” That is to say, someone will have to [go down and] bring Christ up [from there to bring the message of salvation to us. You should not say that because Christ has already come down to save us, and has already become alive after he died]! (Abyssos )
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē )
God has declared and proved that all people, [both Jews and non-Jews] [MET], disobey ([him/his laws]). He has declared that because he wants to act mercifully towards us all. (eleēsē )
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn )
God [is the one who created] all things. He is also the one who [sustains all things]. The reason that he created them was that [everything he created might praise] him. May [all people] honor him forever! (May it be so!/Amen!) (aiōn )
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn )
Do not let anything non-Christian determine how you should act. Instead, let God change your [way of life] by making your way of thinking new, in order that you may know what he wants you to do. That is, you will know what is good, and you will know what pleases [God], and you will know how to be all that he wants you to be. (aiōn )
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios )
As [I] proclaim [the good message about] Jesus Christ, [I tell about God], the one who is able to strengthen you [spiritually]. I also proclaim the [truth] that was not revealed {which [God] did not reveal} in all previous ages/times (aiōnios )
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios )
but which has now been {which [he] has now} revealed. [I, along with others, have proclaimed] what the prophets wrote [about Christ]. We are doing what the eternal God commanded [us(exc)/me to do]. We want [people in] all ethnic groups to know [Christ] so that they can believe [in him] and obey [him]. (aiōnios )
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn )
[I desire that by] Jesus Christ [enabling us, we] will forever praise the one who alone is God, who alone is [truly] wise. (May it be so!/Amen!) (aiōn )
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn )
So, do you know [what God thinks] about what [RHQ] people who [IRO] consider themselves to be wise and scholars and philosophers say? [He does not pay attention to what they say, because] [RHQ] he has shown clearly that what unbelievers [think is] [IRO] wise is [not wise at all], but is really foolish. (aiōn )
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn )
I do teach a message that people who are [spiritually] mature [consider to] be wise. But I do not teach a message that unbelievers [consider to be] wise. I also do not teach a message that unbelieving rulers in the world consider to be wise. [What they think about it does not matter], because [some day] (they will lose their power/not be ruling any more). (aiōn )
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn )
Instead, I teach about what God planned wisely [long ago]. It is something that people did not know about previously because [God] did not reveal it previously. But God determined before he created the world that he would greatly benefit us by his wise plan. (aiōn )
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn )
None of those who rule this world knew that wise plan. If they had known it, they would not have nailed our wonderful Lord to the cross. (aiōn )
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn )
Some among you think that you are wise because unbelievers thought you were wise previously. Stop deceiving yourselves. [If you really want to be wise, by accepting what God considers to be wise] you should [be willing to let unbelievers consider that you are] foolish [IRO]. (aiōn )
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn )
So if [I, Paul, think that by] eating a certain food I might cause a fellow believer to be ruined spiritually, I will never eat such food again. I do not want to cause any fellow believer (to be ruined spiritually/to stop believing in Christ). [And you should] ([do as I do/imitate my example]). (aiōn )
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn )
All those things [that happened to our ancestors long ago] are examples for us. [Moses] wrote those things to warn us [who are living at this time which is near the end]. We are the people for whom God has done [the things that he decided to do in] the previous periods of time. (aiōn )
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs )
Death [APO] will not win a victory over us. Death will not be able to hurt us. (Hadēs )
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn )
[Satan, who is] the one [who rules] this world, controls the thoughts of those unbelievers. He prevents them from understanding the message about how wonderful Christ is. [They are not able to understand that] Jesus is like God [in every way]. (aiōn )
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios )
[I know that] all these troubles that [happen to us in this life are] not significant and will not last forever. [When we think of] the glorious things [that God is preparing] for us [to enjoy] forever [in heaven], all [our suffering now] is not important. (aiōnios )
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios )
That is why we say, “We will not continue thinking about [all the suffering that we] are experiencing now. Even though [we] cannot see [all the things that God has prepared for us in heaven], those are what we should be thinking about.” [That is how we should think], because [all these troubles] that [we(exc)] have [now] will last only a short time. But what [we will have in heaven], what [we] cannot see [now], will last forever. (aiōnios )
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios )
We know that [these bodies] we live in [here in this world are like] [MET] tents. [They are like temporary living/dwelling places]. [So we should not be concerned about what happens to our bodies]. We know that if we are killed {if [someone] kills us}, God will give us [permanent living places. Those permanent living places] [MET] will not be houses that people have made. They [will be new bodies in which we will live forever] in heaven. (aiōnios )
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn )
[Those who give willingly and cheerfully will be rewarded like the man about whom] it is written {[about whom] (someone/the Psalmist) wrote} in the Scriptures, He generously [helps others], [he gives to those] who are poor. [God will remember] the good things that he did, [and reward him with] good things forever. (aiōn )
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn )
God, who is the Father of our [(inc)] Lord Jesus, and who is the one [whom we should] praise forever, knows that I am not lying [about this]. (aiōn )
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn )
Christ offered himself [as a sacrifice] in order that [he might remove the guilt for] our sins. He did that in order that he might enable us to not [do the evil things that people who do not know him] do. [He did this] because God, who is our Father, wanted it. (aiōn )
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn )
[I pray that people will] praise God forever. (May it be so!/Amen!) (aiōn )
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios )
[God] will punish eternally those who do what their self-directed natures urge them to do. But those who please [God’s] Spirit will live forever [with God] because of what [God’s] Spirit does for them. (aiōnios )
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn )
[There], Christ is the supreme ruler over every powerful spirit of every level of authority. His rank is much higher than any powerful spirit can receive, not only now, but forever. (aiōn )
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn )
You were acting in the same [evil] way as those who oppose Christ [MTY] act. That is, you were behaving in the [evil] ways [that Satan wanted you to behave]. He rules over evil spiritual beings that no person can see [MTY]. He is the spirit who now powerfully controls the people who disobey God. (aiōn )
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn )
in order that he might show to everyone at all times in the future that he has acted toward us in an extremely kind way because of what Christ Jesus [did for us]. (aiōn )
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
and to enable everyone to understand clearly how God accomplished what he planned. God, who created everything, [has now revealed] this message, which he never revealed to anyone before. (aiōn )
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
That is what God had always planned, and it is what he accomplished by what our Lord Jesus [has done]. (aiōn )
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )
Because of our relationship with Christ Jesus, may all (believers/those who belong to him) praise him forever. (Amen!/May it be so!) (aiōn )
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn )
You must do this because the fighting that we [believers] do is not only against human beings [SYN]. Instead, we are also fighting against evil spirits who rule and have authority over all that is evil [MET] in the world. And we are fighting against evil spirits who are in heavenly places (OR, everywhere). (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
[So], praise God our Father forever and ever! Amen! (aiōn )
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn )
[We did not know this message previously; that is, God] concealed it from [the people who lived in all] the previous ages, but he has now revealed it to his people. (aiōn )
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios )
[Our Lord Jesus] will forbid them from ever coming near to him and near to the glory which he has [because he is so] powerful (OR, the glory that is manifested by his power). He will cause those people to suffer forever. (aiōnios )
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios )
Our Lord Jesus Christ himself and God, our Father, loves us and encourages us and causes us to confidently expect [to receive] the eternal things that [he has promised to give to us] as a result of [Christ] acting kindly toward us in a way we did not deserve. (aiōnios )
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios )
Yet Christ Jesus acted mercifully to me in order that he might demonstrate [to people that he is perfectly patient with them]. He did that by his being patient with me, one who has sinned worse than everyone else. He wanted what he did for me (to be an example/to demonstrate his patience) to people who would [later] believe in him, and as a result would live forever. (aiōnios )
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
I desire that people will honor and praise the only [true] God forever! Even though no one can see him, he is the King who rules for all time, who will never die! (Amen!/That is true!) (aiōn )
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios )
Try earnestly and with all your energy/strength [MET] to live in accordance with what you believe. [Continue to do your tasks well in order that] you will know for sure that you will live eternally. Remember that [God] chose you to [live with him], and that when many elders were listening you said strongly ([what you believe/that you trust in Christ]). (aiōnios )
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios )
He is the only one who will never die, [and he lives in heaven surrounded by] light [that is so bright that] no one can approach it! He is the one whom no person has ever seen and whom no person is able to see! My desire is that all people will honor him and that he [will rule] powerfully [MTY] forever! (May it be so!/Amen!) (aiōnios )
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn )
Tell [the believers] who are rich here in this present world that they should not be proud, and that they should not trust in their many [possessions], because they cannot be certain [how long they will have them]. Teach them that instead of [trusting in their wealth, they should trust] in God. He is the one who generously gives us everything we have in order that we may enjoy it. (aiōn )
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios )
[God] saved us and chose us to conduct our lives in a pure way. It was not our doing good deeds/actions [that caused him to do this for us—something] that we did not deserve. Instead, before (time began/he created the world) he purposed/planned to [be kind to us] as a result of what Christ Jesus [would do for us]. (aiōnios )
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
Therefore I [willingly] endure all [that I am suffering] for the sake of those [whom God has] chosen. [I do this] in order that Christ Jesus will save them, too, and that they will be forever with [him in the] glorious [place where he is]. (aiōnios )
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn )
[I say that] because Demas has left me. He wanted very much [the good things that he might enjoy] [MTY] in this world [right now], and so he went to Thessalonica [city]. Crescens [went to serve the Lord] in Galatia [province], and Titus went to Dalmatia [district]. (aiōn )
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn )
[Therefore, I am sure that] the Lord will rescue me from everything that is truly evil and will bring me safely to heaven, where he rules. Praise him forever! (Amen!/May it be so!) (aiōn )
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios )
[As a result of my doing these things, his people] confidently expect that God will cause them to live forever. God, who never lies, promised before he created the world that [his people] would live forever. (aiōnios )
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn )
God teaches/tells us [PRS] how to stop doing what he dislikes, and to stop desiring the things that (ungodly people/people who habitually do things that do not please God) desire [MTY]. He wants us to control our behavior and to do what is right and to do what pleases him while we live in this present age/time. (aiōn )
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios )
He wanted to erase the record of our sins even though we did not deserve that, and he wanted us to receive all that [God desires] to give us. [These are the things that we] confidently expect to receive when we live [with him] eternally. (aiōnios )
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios )
Perhaps the reason that [God permitted] Onesimus to be separated from {to leave} you for a little while was that [he would believe in Christ, and as a result] you would have him (back/with you) forever! (aiōnios )
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn )
But now when this final age [is beginning], God has communicated to us [just once] by means of what (his Son/the man who was also God) [said and did. God] appointed him in order that he would possess everything [that truly belongs to God. God also appointed] him in order that he would create the universe. (aiōn )
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn )
But on the other hand, [in the Scriptures it is written that God said] this to his Son: You [(sg)] who are [also] God will rule forever [MTY], and you will reign righteously over your kingdom [MTY]. (aiōn )
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
And he also said [to Christ what the Psalmist wrote] in another Scripture passage, You are a priest eternally just like Melchizedek was a priest. (aiōn )
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
By becoming (all [that] God intended him to be/perfect), [he has now] become fully qualified [to be our Supreme Priest. As a result, he is the one who saves] eternally all who obey him. (aiōnios )
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios )
[I am referring to the teaching about what] various [Jewish and Christian] rituals for purifying people [signify. I am referring to the teaching about how elders enable people to receive spiritual gifts by] laying hands [on them] [MTY]. [I am referring to the teaching that God will] ([cause] those who have died to live again/raise people from the dead). And [I am referring to the teaching that God] will judge [some people and punish them] eternally. (aiōnios )
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn )
They have experienced that God’s message is good. And by what they have experienced [now], they know how [God will work] powerfully in the future. If those people reject [the message about Christ], it will not be possible for anyone to persuade them to turn away from their sinful behavior again! (aiōn )
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn )
Jesus went [into God’s presence] ahead of us [(inc)] to [help] us when he became a Supreme Priest eternally in the way that Melchizedek was a Supreme Priest. (aiōn )
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
[We know this] since [God] confirmed it in [the Scripture passage in which he said to his Son], You [(sg)] are a priest eternally just like Melchizedek was a priest. (aiōn )
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn )
However, when he [appointed Christ to be a priest], it was by these words that [the Psalmist wrote in Scripture]: The Lord has solemnly declared [to the Messiah], —and he will not change his mind— “You will be a priest forever!” (aiōn )
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn )
But because [Jesus] lives eternally, he will continue to be a Supreme Priest forever. (aiōn )
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn )
[We need a Supreme Priest like] him, because in the laws [that God gave Moses] [PRS] the ones who would be appointed to be priests would be men who tended [to sin easily]. But [God] solemnly [declared] [PRS] after [he had given] his laws [to Moses] that [he would appoint] (his Son/the man who is also God) [to be a Supreme Priest. Now] ([his Son/the man who is also God]) has forever become all that God intends him to be. (aiōn )
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios )
[When a Supreme Priest goes into the inner room in the tent each year, he takes] goats’ blood and calves’ blood [to offer as a sacrifice]. But Christ did not [do that. It was as though] he went into that very holy place only once, taking his own blood with him. By doing that, he eternally redeemed us. (aiōnios )
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios )
[So, because we know what] Christ [accomplished when] his blood flowed [when he died for us] [PRS, MTY], we will be very certain that we are not guilty [of having] done those things [that those who are spiritually] dead do. [As a result], we can serve God, who is all-powerful. [The priests always offer to God animals] with no defects. Similarly, when Christ offered himself [as a sacrifice] to God, he was sinless [MET]. He did that as a result of [God’s] eternal Spirit [helping him]. (aiōnios )
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios )
[By] dying [for us], [Christ] ([redeemed/] free from the penalty for their sins) even those who disobeyed the [conditions of] (OR, [during the time of]) the first covenant. So, [because] no [one could be made perfect by obeying the old covenant], now Christ establishes [between God and people] a new covenant. He does that in order that those whom God has chosen may eternally have [the blessings that God] has promised them. (aiōnios )
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn )
[If that were so], he would have needed to suffer [and shed his blood] repeatedly since [the time when God] created the world. But instead, in this final age, [Christ] has appeared once in order that by sacrificing himself he could cause [that people] no longer will be [punished for their] sins. (aiōn )
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn )
It is because we trust in God that we understand that he formed the universe by commanding [it to exist]. The result is that the things that we see were not made from things that already existed. (aiōn )
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn )
Jesus Christ [is] the same now as he was previously, and he will be the same forever. (aiōn )
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios )
Jesus [provides for us], [protects us, and guides us as] a great shepherd does for his sheep [MET]. And God, who gives us [inner] peace, brought our Lord Jesus back to life. By doing that, God ratified his eternal covenant with us by the blood [that flowed from Jesus when he died on the] cross. (aiōnios )
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
So I pray that God will equip you with everything good [that you need in order] that you may do the things that he desires. May he accomplish in our lives whatever he considers pleasing as a result of Jesus Christ [equipping us]. May Jesus Christ be praised forever. (Amen!/May it be so!) (aiōn )
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna )
[Just like a fire damages a forest] [MET], when we say things that are evil, [we harm many people]. What we say [MTY] reveals that we are very evil. What we say contaminates/defiles everything that we think and do [PRS, MET]. [Just like a flame of fire easily] causes [the whole surrounding area] [MET] to burn, what we say [MTY] can cause [others] to want to do evil. It is the devil himself [MTY] who causes us to say evil things. (Geenna )
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn )
[I ask you to do this, because you now have] a new life [MET]. It was not [by means of] something that will perish that you received this new life. Instead, it was [by means of] something that will last forever; that is, by believing the life-giving and enduring message of God. (aiōn )
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn )
but God’s message endures/lasts forever. This message [that endures/lasts] is the message [about Christ] that was proclaimed to you. (aiōn )
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn )
Those who speak [to the congregation] should do that as though they are speaking the [very] words of God. Those who do kind things to others should do it with the strength that God gives them, in order that God may be honored by all this {that all this may honor God} as Jesus Christ [enables us to do it. I pray that we will] praise [God] (OR, [Jesus]) and allow him [to rule over us] forever. (May it be so!/Amen!) (aiōn )
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios )
God is the one who kindly helps us in every [situation], and [he is the one] who chose us to share his eternal glory/greatness [in heaven] because of our relationship with Christ. [And] after you have suffered for a while [because of things that people do to harm you], he will remove your spiritual defects/imperfections, he will strengthen you [spiritually] [DOU], and he will support you [emotionally]. (aiōnios )
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn )
[I pray/desire that] he will [rule] powerfully forever. (May it be so!/Amen!) (aiōn )
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios )
and [God] will very wholeheartedly welcome you into the place where our Lord and Savior Jesus Christ will rule [his people] forever. (aiōnios )
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō )
God destroyed [LIT] the angels who sinned. He threw them into the worst place in hell and imprisoned them [there] in darkness in order to keep them there until he judges [and punishes them]. (Tartaroō )
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn )
[Instead, live in such a manner that you] experience more and more our Savior Jesus Christ being kind [to you], and that you get to know him [better and better]. 2 Peter 3:18b [I pray/desire that Jesus Christ] will be honored both now and forever! (aiōn )
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios )
Because he came here [to the earth] and we have seen him, we proclaim to you clearly that the one whom we have seen is the [one who] has always lived. He was [previously] with his Father in heaven, but he came to live among us. (aiōnios )
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn )
The [godless people in] the world [MTY], along with what they desire, will disappear, but those who do what God wants [them to do] will live forever! You know that it is now the final period of this age when there are liars who deny that Jesus is God’s Chosen One. But you have the power of God’s Spirit and you know what is true and what is false. So continue to live according to the true message that you heard when you began to believe in Christ, in order that you may continue to live united both to God’s Son and to the Father. (aiōn )
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios )
And what God told us is that [he will cause us] to live forever! (aiōnios )
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios )
Those who hate [any of] their fellow believers, [God considers] [MET] them [to be] murderers. And you know that no murderer has eternal life. (aiōnios )
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios )
This is what [God] says [to us]: “I have given you eternal life!” We will live forever if we have a close relationship with his Son. (aiōnios )
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios )
I have written this [letter] to you who believe that Jesus is [MTY] (God’s Son/the one who is also God) in order that you may know that you have eternal life. (aiōnios )
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios )
We also know that (God’s Son/the one who is also God) has come [to us], and [we know] that he has enabled us to know God, the one who is really/truly God. So now we have a close relationship with [God because] we belong to Jesus Christ, the one who is the (Son of/man who is also) God. Jesus Christ is truly God, and [he is the one who enables us to have] eternal life. (aiōnios )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
All of us [believe God’s] true message. It is in our ([inner beings/hearts]) and we will continue [to believe it] forever! (aiōn )
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios )
And there were [many] angels to [whom God assigned/gave positions of authority in heaven]. But many did not continue to rule with authority [in those positions]. Instead, they abandoned the place that [God] gave them to live [in heaven]. So God has put those angels in chains forever in the darkness [in hell. They will stay there] until the great day when [God] will judge [and punish] them. (aïdios , questioned)
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios )
Similarly, the people who lived [MTY] in Sodom and Gomorrah [cities] and the nearby cities committed sexual immorality. They sought all kinds of sexual relations that differ [from what God permits. So God destroyed their cities. What happened to those people and those angels] shows that [God will] punish [people, such as the ones who teach false doctrine], in the eternal fire [of hell]. (aiōnios , questioned)
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn )
They are [restless] [MET], [like] the pounding waves of the ocean. [Just like] waves [produce foul-smelling] foam on the shore, [those teachers of false doctrine do] shameful [MTY] [deeds. We cannot depend/rely on them to show us how to conduct our lives] [MET], [just like we cannot depend/rely on] (meteors/falling stars) [to show us the way when we travel]. [God] has reserved intense darkness for them forever [in hell]. (aiōn , questioned)
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios )
Keep conducting your lives in [a way that is appropriate for those whom] God loves. Keep constantly expecting that our Lord Jesus Christ will [act] mercifully toward you. Keep expecting that until [the time when we begin] living eternally [with him]. (aiōnios )
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn )
He is the only true God. He has saved us as a result of what Jesus Christ our Lord [did for us]. God was glorious and great and mighty and he [ruled] with great authority before time began. [He is still like that], and [he will remain like that] forever! (Amen!/That is true!) (aiōn )
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn )
He is [the one who] has caused us to become people whose lives God rules, and he has made us to be priests [who serve] God his Father. [As a result of this, we acknowledge that] Jesus Christ is eternally divine and eternally powerful. (Amen!/That is true!) (aiōn )
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
I am the living one. Although I died, I am alive again and will live forever! I have [the power to cause people] to die, and I have authority over the place where all the dead people [are]. (aiōn , Hadēs )
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn )
The living [creatures praise], honor [DOU], and thank the one who sits on the throne, the one who lives forever. (aiōn )
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn )
Whenever they do that, the 24 elders (prostrate themselves/kneel down) before the one who sits on the throne, and they worship him, the one who lives forever. They lay their crowns in front of the throne and sing: (aiōn )
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn )
I also heard every creature that is in heaven and on the earth and under the earth and on the ocean, every creature in all those places, saying (OR, singing): “We must forever praise and honor the one who sits on the throne and the one who is like a lamb, May they reign with complete power forever!” (aiōn )
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs )
This time I saw a pale horse [come out]. The one who sat on it is named ‘[The one who causes] death [PRS]’, and [the one that is named ‘The place where dead people go’] accompanied him. [God] gave them authority over one quarter of the people on earth to incite them to kill each other with weapons [SYN], and also authority to kill them (by [causing them to] starve, by [their causing them to become] sick from epidemics, and by [their causing them to be attacked by] wild animals. (Hadēs )
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn )
They said, “May it be so! [We(exc)] praise, thank, and honor [you], our [(exc)] God, forever! [We(exc) acknowledge] that you are completely wise, the powerful one, who is forever able to accomplish everything he wants to. (May everyone acknowlege that it is so!/Amen!)” (aiōn )
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos )
The fifth angel blew his trumpet. Then I saw [an evil angel. He was like] a star that had fallen from the sky to the earth. He was given {[Someone] gave him} the key to the shaft [that descended] ([to] the underworld/[to] the deep dark pit). (Abyssos )
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos )
When he opened that shaft, smoke arose from it like smoke from a huge burning furnace. The smoke prevented [anyone from seeing] the sky and the light of the sun. (Abyssos )
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos )
The king who ruled over them was the angel of the underworld. His name in the Hebrew language is Abaddon. In the Greek language it is Apollyon. [Both of] those names [mean ‘Destroyer’]. (Abyssos )
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn )
and he asked the one who lives forever, the one who created heaven and everything that is in it, [who created] the earth and everything that is in it, and [who created] the ocean and everything that is in it, to affirm that what he said was true. [He said that he] would surely no longer delay [what he had planned to do]. (aiōn )
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos )
When they have finished proclaiming [to people the message from God], the beast that comes up (from the underworld/from the deep dark pit) will attack them, overcome them, and kill them. (Abyssos )
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn )
Then the seventh angel blew [his trumpet]. Angels in heaven shouted loudly, “Our Lord [God] and the Messiah [whom he has appointed] can now govern [everyone in] [MTY] the world, and they will continue to rule people forever!” (aiōn )
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios )
I saw another angel that was flying between the sky and heaven. He was bringing [God’s] eternal good message [to earth], in order that he might proclaim it to people who live on the earth. He will proclaim it to every nation, [to every] tribe, [to speakers of every] language [MTY], and [to every] people-[group]. (aiōnios )
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn )
The smoke [from the fire] that torments them will rise forever. [They will] be tormented {[God will] torment them} continually, day and night. [That is what will happen to] the people who worship the beast and its image and who allow its name to be marked on them {allow [its agent] to mark them with its name}.” (aiōn )
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn )
One of the four living [creatures] gave [each of] the seven angels a golden bowl, filled with [wine/liquid. That wine/liquid symbolized] that God, who lives forever, would severely punish [rebellious people]. (aiōn )
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos )
The beast that you saw [lived] previously. Eventually God will destroy him, but now he is dead. He is [about to] come up (from the underworld/from the deep dark pit). [When] the beast who had previously lived, and who then had died, reappears, the people who live on the earth will be amazed. [They are people whose] names were not in the book in which are written the names of people [who will] have eternal life. [The angels have been writing those names in a list] (from the beginning of the world/from the time when the world began). (Abyssos )
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn )
[The crowd] shouted a second time saying: (Hallelujah!/Praise God!) The smoke of the fire that is burning the cities will rise forever! (aiōn )
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr )
The beast and the false prophet were captured {[He] captured the beast and the false prophet}. The false prophet is the one who had performed miracles in the beast’s presence. By doing that he had deceived the people who had accepted the beast’s mark [on their foreheads] and who worshipped its image. The beast and the false prophet were thrown {[He] threw the beast and the one who falsely said that he spoke messages that came directly from God} alive into the lake of fire that burns with sulfur. (Limnē Pyr )
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
I saw an angel coming down from heaven. He had the key to the deep dark pit, and he was carrying a large chain in his hand. (Abyssos )
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos )
The angel threw him into the deep dark pit. He shut [the door of the pit], locked it, and sealed it [to prevent anyone from opening it]. He did that in order that Satan might no longer deceive [the people of the] nations [MTY], until those 1,000 years are ended. After that [time], Satan must be released {[God/God’s angel] must release Satan} for a short time [in order that he can do what God has planned]. (Abyssos )
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
The devil, who had deceived those people, will be thrown {[God’s angel] will throw the devil, who had deceived those people} into the lake of burning sulfur. [This is the same lake] into which both the beast and the false prophet had been [thrown] {[he] had [thrown] both the beast and the false prophet}. [As a result], they will continually suffer severely forever. (aiōn , Limnē Pyr )
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs )
[The people whose bodies were buried in the] sea [became alive again in order to stand before God’s throne]. Everyone who had been buried on the land (OR, Every person who was waiting in the place where dead people stay) [became alive again, in order to stand before the throne]. [God] judged each one of them according to what each one had done. (Hadēs )
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
All the unbelievers [PRS, MTY] —those who had been in the place where they waited after they died— [were thrown into the burning lake]. The burning lake is [the place in which people] die the second time. (Hadēs , Limnē Pyr )
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr )
The people whose [names] [MTY] are not in the book, the one [where God] has written [the names of people who] have [eternal] life, [were also thrown] {([God/God’s angel]) threw them also} [into the lake] of fire. (Limnē Pyr )
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr )
But those who are cowardly, those who do not believe [in me], those [who do] detestable things, those who are murderers, those who sin sexually, those who commit sorcery, those who worship idols, and every liar, will [all suffer] in the lake that burns with fire and sulfur. [Anyone who suffers in that lake] will be dying the second time.” (Limnē Pyr )
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn )
There will never again be night. [God’s servants] will not need the light of a lamp or the light of the sun, because the Lord God will shine his light upon them. And they will rule forever. (aiōn )